Hasira. Kuna maana nyingi ya neno hasira na mojawapo ni Ile inayoeleza kuwa ni hali ya moyo wa mtu ulioumia au kujeruhiwa,hivyo huweza kusababisha hasira.
Inakuja pale mtu anapohisi amedhalilishwa, amedanganywa, amenyang’anywa haki, au mtu kavunja ahadi yake.
Ni kitu fulani kinacholeta...