umeme

  1. NkomaBakhosi

    JamiiForums Tanzania Wanaume Waogope Wanafunzi Kama Umeme

    Wanaume Waogope Wanafunzi Kama Umeme: Siri ya Kupunguza Mimba Shuleni na Mtego wa "Wavaa wa Suti "Wakuu salamu, Kila alfajiri, mabinti maelfu kote nchini wanajifunga mikanda ya sketi zao, wanabeba mabegi ya madaftari, na kuelekea shuleni kutafuta ufunguo wa maisha yao ya baadaye. Lakini...
  2. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Hali ya umeme ikoje huko kwako uliko..???

    Huku kwetu NGERNGER MOROGORO BADO TUNA TESEKA SANA NA TATIZO LA UMEME BILA TAARIFA WALA MAELEZO YOYOTE. BADO TUNAISHI GIZANI KAMA ZAMA ZA MAWE. MAREKEBISHO NI JIBU FUPI TANESCO NDILO WANALO JIBU. HAWANA MUDA WALA SAA MAALUMU NA BILA KUJALI WAO WANA SITISHA HUDUMA VILE WAONAVYO.
  3. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Tanzania Kati ya fundi umeme wa magari au bajaj repair ipi ni choice nzuri.

    Vyote ni katika kujenga career yenye turn over ya 2M -5M per month kwa mtaji wa million 10. 1.auto electrical repair Kuwa na ujuzi wa umeme wa magari, then kuuza spare au accessories za magari kwanza ni kuwa na ujuzi ndio pesa iwekwe kwenye biashara. 2. Bajaj repair Kutokana na ongezeko za...
  4. General Nguli

    JamiiForums Tanzania TANESCO WAMEENDELEA NA LEO KUKATA UMEME NGERENGERE MOROGORO.

    Leo Trh 6 SEPT 26 TANESCO WAMEENDELEA KUKATA UMEME NGERENGERE BILA TAARIFA YOYOTE.LICHA TA KKUFUNGULIWA BWAWA LA UMEME LA JULIUS NYERERE NGERENGERE IMEENDELEA KUSOTA NA UMEME KIDOG KWA SIKU. MBAYA ZAIDI HAKUNA TAARIFA YOYOTE. WENGI WANADHANI NIKUTOKANA MA KIJIJI HIKI WANANCHI HAWANA ELIMU
  5. General Nguli

    JamiiForums Tanzania Ngerengere Morogoro Umeme una tendency ya kukatika kila siku

    Hii imekuwa hali ya kawaida Umeme kukatika mara kwa mara. Mi huwa najiuliza sana...??? Wanaweza amua wakakata umeme kila siku.Haijawahi pita Week nzima bila umeme kukatika. Sasa kama Inchi inazalisha umeme mwingi mpaka wa ziada sa inakuweje kuishi kwenye janga la umeme Kiasi hiki kila siku.
  6. A

    JamiiForums Tanzania HOJA TANESCO, badala ya posti za Wizi na Pongezi tu, Tumieni kurasa zenu kuelimisha Umma kuhusu majanga ya Shoti za Umeme

    Habari zenu Wana-Jukwaa, Lengo langu la kuandika uzi huu ni kutoa ushauri na wito kwa Shirika letu la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhusu namna linavyotumia kurasa zake za mitandao ya kijamii. Kazi kubwa na ya msingi ya TANESCO ni kuhakikisha Watanzania wanapata nishati ya umeme kwa usalama na...
  7. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania Umeme wa jua wazidi umeme wa makaa ya mawe nchini China

    Takwimu zilizotolewa hivi karibuni na Mamlaka ya Nishati ya Kitaifa ya China zinaonesha kuwa, uwezo wa kuzalisha umeme kwa nishati ya jua nchini China umefikia kilowati bilioni 1.286, ukizidi uwezo wa kuzalisha umeme kwa makaa ya mawe kwa mara ya kwanza, na kuwa chanzo kikubwa zaidi cha umeme...
  8. G

    JamiiForums Tanzania Ulipo kuna umeme?

    Jamani umeme umekatika kila mahali ama ni huku madongo kuinama tu? Nauliza maana it's been a while tokea umeme ukatike usiku alafu usirudi ndani ya muda mfupi 😵
  9. D

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Umeme ni kitanzi kwa wachimbaji Songwe

    Kwa masikitiko makubwa ninapenda kukujulisha Mhe. Rais wetu mpendwa, Mama Samia Suluhu Hassan kuwa Wachimbaji wa Songwe tunapata changamoto kubwa sana ya kukatika kwa umeme na low voltage kiasi cha kushindwa kabisa kufanya uzalishaji wa Dhahabu. Vile vile, kukatika kwa umeme na low voltage...
  10. H

    JamiiForums Tanzania WAZIRI MKUU ATOA MAELEKEZO KATAVI (BARABARA, UMEME NA MAJI)

    Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa maelekezo kwa viongozi wa Mkoa wa Katavi na mamlaka husika kuharakisha utekelezaji wa miradi ya barabara, maji na umeme, akisisitiza kuwa wananchi wanapaswa kupata huduma hizo kwa wakati. 📍Mpanda-Katavi 🗓️ Agosti 30, 2026 ———————————————— Amesema hayo...
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kero ya kuunganishiwa Umeme REA Igonyamu, Mbeya DC

    Naomba kuwasilisha kero yangu inayohusu kuunganishwa kwa umeme wa REA Kijijini kwetu IGONYAMU KATA YA IWINDI MBEYA DC. Baada ya mda mrefu wa kusubiri kuunganishiwa umeme kijijini kwetu na wanakijiji kujitolea kuchimba mashimo na kubeba na kusimika nguzo kwa umbali mrefu kwa nguvu ya wanakijiji...
  12. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Nilichogundua hawa wanaotetea huu uongozi hapa JF ni kama sisi tuu

    Kabla ya tukio la Nchimbi kujiuzulu kutokea , walikuja jamaa wawili hapa kuleta za ndani kua Nini kitatokea, Mto wa mbu na britanicca, lakini hawa watetezi wa serikali walibisha sana, na kwa reply zao ukiangalia sio kwamba walikua wanaigiza ila ni kwamba kweli walikua hawajui Nini kinaendelea...
  13. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Tangu mwaka 2023 tunapamabana kuuza umeme nje ya nchi

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa September 20, 2023 alifungua Kongamano la Tano na Maonesho ya Nishati Tanzania na amesema kwamba Serikali imedhamiria kuwa Mzalishaji mkubwa wa nishati na kuwa na umeme wa kutosha utakaopatikana kwa urahisi na nafuu na ziada itauzwa nje ya Nchi...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wilaya ya Chunya kuna tatizo la umeme kukatika kwa zaidi ya mwaka sasa, tukiuliza tunapewa majibu mepesi

    Kumekuwa na tatizo la umeme Wilaya ya Chunya kwa zaidi ya mwaka sasa, kila siku zinavyokwenda linaongezeka, hatupati umeme unaostahili na tukipiga simu huduma kwa wateja tunaambiwa ni tatizo la low voltage. Tangu January 2026 wanakuwa wanakata umeme kila siku ya Alhamis na Jumamosi wakisema...
  15. Miguel Felix Gallardo

    JamiiForums Tanzania MADOGO MLIOPANDA DARAJA, HUKU LIGI KUU HAKUNA UTANI HUKU UMEME UPO NA UKISHANGAA UNAPIGWA SHOTI.

    Madogo mnaochipukia kunako KIMASIHARA, Kaeni kwa PASSWORD kwa zama tulizopo usiumize sana kichwa. Mchukue mpeleke hospitali ya serikali, mwambie doctor sisi hatuumwi tumekuja kufanya check-Up. Kisha mtipu doctor hata ka 5K au teni mwambie ampime huyo kuku wako vipimo vifuatavyo; 1.UTI...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Hii ni hujuma? Siku moja baada ya bwawa la JNHHP kuzinduliwa umeme unakatika

    Tangu saa kumi mpaka sasa tunasubiri kuangalia mechi kati ya Azam na Pamba Jiji. Umeme umekatika nchi nzima. Habari tulizoambia kuna mega watt 2115 ni kama kupiga ndulu tu.
  17. Etwege

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaipiku Kenya kama mzalishaji mkubwa wa umeme. Aibu kwa Muhongo, Nape, Zitto

    Rais Magufuli alipotangaza ujenzi wa bwawa la umeme kuanza mara moja bila kujali sura ya mtu alipata upinzani mkali sana kutoka ndani ya nchi na nje ya nchi. Nje ya nchi gazeti la economics lilikuwa linakuja na makala ndefu kuonyesha kuwa huo mradi ni white elephant na utasababisha madhara...
  18. N

    JamiiForums Tanzania JPM hatajwi kabisa inavyostahili kwenye hili jambo la bwawa la umeme

    Salaam! Ni kweli,hii ni ndoto ya Mwalimu Nyerere iliyobadilishwa kuwa uhalisia na Rais wa awamu ya tano ndugu JPM ambaye alimwachia kiti chake Daktari Samia Suluhu Hassan Ajabu katika Kila kinacjofanyika hakuna mtu anataka kulitaja jina la mtekelezaji wa ndoto.Wasemaji wote wanaanzia Kwa...
  19. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania MIZANIA Ndege wanaweza kukaa kwenye nyaya za umeme bila kupigwa na shoti?

    Kumekuwepo na dai kuwa Ndege wanaweza kukaa kwenye nyaya za umeme bila kupigwa na shoti kwa sababu umeme haupitii kwenye miili yao.
  20. Msanii

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA TANESCO mtuelimishe hapa namna JNHP inavyoweza kutatua changamoto ya kukatika umeme

    Hongereni sana TANESCO, tumeshuhudia kukamilika kwa mradi huu mkubwa na hakika mtambo umewashwa leo, mmetuambia tayari mmeunganisha na gridi ya Taifa. Nina dukuduku hapa Gridi ya Taifa ni moja, kwa nini kusiwe na gridi za Taifa ambazo zinapokea umeme huo na kutumika kama backup iwapo moja...
Back
Top Bottom