hai

“Haï” is an essay written by French Nobel laureate J. M. G. Le Clézio.

View More On Wikipedia.org
  1. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Karibu sana Peter Msigwa, Roho yako ni Hai kwa CHADEMA, ila Mwili ndio Ulikua Dhaifu! Akili, Uwezo, Ubunifu, Busara zako sio za kukaa CCM, Pole sana!!

    Kwa Peter Msigwa, Akili, Uwezo, Ubunifu wake ndani ya CCM Ulikua ni 'Umefungwa'. Peter Msigwa nayemfaham yeye hawezi kaa kuvumilia Watu watekwe, Kuuwawa, Kusumbua Kanisa, Kufunga wapinzani Kufungia Chama , Maisha ya Mtanzania kua Juu, Gharama kupanda ,huku Mafisadi wachache wakijineemesha ...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi Hai tunadai Malipo ya fedha za Kujikimu

    Habari, tunaomba msaada wa kutupazia sauti juu ya changamoto kubwa tunazokumbana nazo sisi watumishi katika Wilaya ya Hai. Mimi ni Afisa Mtendaji niliyeajiriwa mwaka 2024 katika Wilaya ya Hai. Hadi sasa, sijapatiwa fedha ya kujikimu kama inavyostahili kwa mujibu wa taratibu za ajira serikalini...
  3. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi limlete David Jumbe akiwa HAI, Mashuhuda wanakiri Gari la Watekaji kuingia Moja ya Nyumba hapo Mbweni wakiwa Naye !!!

    Muache ngonjera za kusema Aliruka na kutokomea akiwa na PINGU. Ukimfunga Mtu Míkono kwa namna yoyote ile, UMEMUONDOLEA BALANCE YA KUKIMBIA , HIVO HAWEZ KUA NA UWEZO WA KUKIMBIA KWA KASI HATA KUWASHINDA MAASKARI UHUNI MLOUFANYA KWA POLEPOLE, KWAKUA HAMNA AKILI, NDIO MNAURUDIA ULEULE
  4. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Drake ni G.O.A.T, wamejaribu kukandamiza carreer yake ila mwana bado yupo hai, tangu jana nakula hits after hits kwenye hizi projects zake mpya

    https://youtu.be/fpr2AM8ziEs?si=vXyJlGXoQ2wbgbfP
  5. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Nadhani The Velvet Lounge na Sudan Hotel Temeke, ni mifano hai ya Sodoma na Gomora!

    Kitambaa Cheupe mnapazingizia tu. Pana wastaarabu sana. Izo sehemu mbili tajwa kwa level yangu ya dhambi, nimeona mengi sana.
  6. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Uwe hai au umeuliwa, Humphrey Polepole umeliponya taifa la Tanganyika

    Ni kweli Humphery sababu ya kisema ukweli tu kuwa Rais Samia anaiba rasilimali za Watanganyika? Kosa lako lilikuwa ni nini? Kuwaeleza ukweli Watanganyika kuwa Samia ni zao la wanaCCM chini ya mstaafu?
  7. Pfizer

    JamiiForums Tanzania Hai: Lengai Ole Sabaya na Freeman Mbowe Uso kwa Uso. Watoa ya moyoni

    Mkiti msaafu wa Chadema Freem mbowe wamekutana na mkuu wa wilaya ya Hai Mstaafu Lengai Ole Sabaya katika msiba wa Mama yake mbunge wa Hai Saasisha Mafuwe. Katika Msiba Huo,mbowe amesema yeye ameshamsamehe sabaya kwa mambo yote kwa hakuna mwanaadamu mkamilifu. Nae sabaya alipopata nafasi ya...
  8. nusuhela

    JamiiForums Tanzania Miaka 100 ijayo tulio hai leo tutakua tumefariki

    Miaka 100 kuanzia sasa yaani mwaka 2126 sisi tulio hai leo, hatutakuwepo kwenye uso wa dunia. Kwa takwimu za mwaka huu, dunia ina watu takribani bilioni 7.8. maana yake miaka 100 ijayo dunia itakua imemeza watu wote hawa
  9. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Wakristo wenzangu, kwahiyo pamoja na kuwa na elimu zetu Bado tunaamini Nabii Yona alimezwa na nyangumi na akatapikwa akiwa Yu hai?

    Hapa sasa nakubaliana na Mzee Kikwete hasa aliposema Akili za kuambiwa changanya na zako. Inawezekana vipi mtu amezwe siku3 nzima mchana na usiku Kisha akatapikwe akiwa Yu hai? Haihitaji maelezo mengi sana naishia hapa ila Mimi pamoja na ukristo wangu nakiri wazi tulipigwa chumvi iliongezwa...
  10. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Hai: Mwekezaji kijiji cha Mbosho, Kata ya Masama Kati amepanda uzio wa miba uliosogea barabarani na kupelekea njia kuwa nyembamba

    TATIZO LA BARABARA (KWARE - MBOSHO - LEMIRA - MASAMA MULA) Barabara hii ni mbovu kupitiliza na imekuwa kero kubwa. Mbaya zaidi, mwekezaji wa hapa Mbosho amepanda uzio wa miiba uliotanuka hadi barabarani. Barabara imekuwa nyembamba kiasi kwamba hata magari mawili au bajaji hayawezi kupishana...
  11. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Esmail Qaani aliyemchomesha Ayatolla Khamenei yuko hai Israel

    Esmail Qaani Yuko Hai Israel: Siri ya Usaliti Mkubwa Mashariki ya Kati Ripoti za kijasusi zimeibua tetesi nzito zikidai kuwa Esmail Qaani, mkuu wa Kikosi cha Quds, yuko hai nchini Israel baada ya kutoroka Iran kwa siri. Inadaiwa Qaani alishiriki kikamilifu kutoa ramani na siri zilizopelekea...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Kuzidi kiwango Chembe hai nyekundu za danu

    Wanajamvi mzazi wangu anaumwa amefanya vipimo imeonyesha chambe hai nyekundu za damu zimezidi. Daktari wake anasema chanzo hakijulikani kwa hiyo hata matibabu sahihi imekuwa ngumu. Naombeni mwenye uelewa na hili eneo anishauri mzazi wangu apate tiba gani akae sawa.
  13. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Inasadikika Jeffrey Epstein yu hai

    Kuna nyaraka za siri zimevuja. Zinadai Jeffrey Epstein yuhai ni mzima anaendelea kula maisha maafichoni. Nyaraka hizo zinadai, Epstein kwa kushirikiana na baadhi ya wakubwa, alitoroshwa jela na kupelekewa mafichoni huko Marekani ili kupunguza minong’ono. Kisha dunia ikatangaziwa Epstein...
  14. E

    JamiiForums Tanzania Changamoto lukuki zakabili biashara ya mazao ya kilimo hai Afrika Mashariki

    Wafanyabiashara katika soko la Kilombero Arusha. Arusha. Wakati Itifaki ya Soko la Pamoja la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ikiweka msingi wa uhuru wa kusafirisha bidhaa na huduma kati ya nchi wanachama, bado kumekuwa na changamoto zinazokwaza itifaki hiyo kutekelezeka. Lengo la itifaki...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania BASATA: MC na DJ mtakiwa kujisajili na kuwa na kibali hai ifikapo 31 Januari, 2026

    Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limekumbusha kuwa, kwa mujibu wa Kanuni za BASATA za mwaka 2018 na Tozo za mwaka 2025, waongoza sherehe, burudani na matukio (MC) pamoja na Manju Muziki (DJ) wanatakiwa kupata vibali vya BASATA kabla ya kufanya kazi za sanaa. BASATA imeelekeza wahusika wote...
  16. E

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Serikali yalalamikiwa, hali mbaya katika Shule ya Msingi Mbosho Wilayani Hai

    Shule Ya Msingi Mbosho iliyopo kata ya Masama Kati Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro ni miongoni mwa Shule kongwe zilizopo Wilayani Hai. Kwa Sasa Shule hii Inakabiliwa na Uchakavu Mkubwa wa majengo ya Madarasa na Ofisi ya Waalimu. Shule hii kwa Sasa Ukiitembelea Hali yake inatisha, Majengo...
  17. H

    JamiiForums Tanzania Hakuna nilichofanya mwaka 2025 cha maana, nashukuru tu niko hai

    Salaam! Huu mwaka 2025 mwanzoni Januari hali niliona itakua vizuri kutokana na jinsi nilivyokuwa napambana na matokeo napata. Baada ya Januari, oh ni mambo yalikua sivyo kabisa hadi mwaka unakata saivi huku nikitazama notebook yangu ya malengo, naona kote 0.0%. Kila nilichofanya, hakuna...
  18. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Nimefurahi kumwona huyu chali akiwa hai maana maneno yalikuwa mengi sana

    GT Mwamba huyu hapa engine ya maandamano M029 kutoka kimara
  19. T

    JamiiForums Tanzania Nauhakika Nyerere angekua yu hai, lazima angetekwa katika utawala huu

    Kwa jinsi mambo yalivyo utawala huu, Nyerere amgekuwepo na zile hotuba zake, nina uhakika wanamtandao wasingemuacha. Hawa watu hawacheki na yoyote
  20. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Je, Humprey Polepole yuko hai? Ataachiwa!?

    Kuielewa mada hii pitia hii kwanza kisha ndio uendelee https://www.jamiiforums.com/threads/ilivyo-ngumu-kumlinda-mateka.1494053/ Kwa hali ilivyo ni wazi kwamba aliyekuwa balozi wa Tanganyika nchini Cuba alitekwa na 'wasiojulikana' baada ya kuwabagaza vilivyo Swali muhimu je bado yuko hai? Na...
Back
Top Bottom