israel

  1. Webabu

    Israel yasema shambulio la Yemen ni onyo kwa maadui zake wote wa mashariki ya kati

    Israel ilifanya shambulio lake la mwanzo kwa Yemen na kuiharibu vibaya bandari ya Hodeida nchini humo kwenye eneo linalodhitiwa na Houth. Waziri wa ulinzi wa Israel,Yoav Gallant amesema shambulio hilo si kwa Houth pekee bali ni onyo kwa wote wenye uadui na Israel.Akaongeza kusema kuwa moto...
  2. green rajab

    Komandoo wa Iran wateka meli ya UAE iliyokuwa inapeleka Mafuta Israel

    Komandoo wa Iran wameikamata meli ya Falme za Kiarabu iliyokua inapeleka Mafuta na gas kwenye meli za Kivita za Israel. Wakati huo huo Yemen wamesema watakilipua kisima Cha mafuta Cha Israel kilichopo baharini ⚡️BREAKING Iranian commandos seized a UAE-run vessel carrying marine gas oil for...
  3. MK254

    Kipigo cha F-35 za Israel husikika kama ndege zishajiondokea, hamna radar huzigundua

    Yaani ndege zinapaa na kushusha madude na kujiondokea, baadaye mnaanza kulipukiwa, mnatafuta ndege hazipo, zilishapiga. Huwa hazionekani kwa radar yoyote.... na ndio kilichowakuta magaidi wa uislamu, akina Houthi. ======================== The first of these advantages is stealth, the fact that...
  4. 6 Pack

    Nitapinga Israel kuwekewa vikwazo na UN hapo baadae.

    Niaje waungwana Wakuu najua wanaJF wengi wa hili jukwaa la "International forum" watashangazwa na msimamo wangu huu, kwa vile wengi wamezoea kuniona mimi nasimamia ukweli, napinga dhuluma na uonevu na kutetea haki ya watu kujitawala kwa mujibu wa sheria za kimataifa. Pamoja na kwamba mimi...
  5. Webabu

    Oman ambao ni jirani wa Yemen yatoa wito kuwaunga mkono Houth kupigana na Israel

    Mufti mkuu wa Oman aitwaye sheikh Alkhalil ametoa wito kwa mataifa ya kiislamu kuwa bega kwa bega na makundi yanayopigana na Israel. Wito huo ameutoa leo baada ya ndege za Israel kuushambulia mji wa wa bandari wa Hodeada ndani ya Yemen ambao unadhibitiwa na jeshi la Houth.Shambulio hilo...
  6. MK254

    Houthi walionywa sana, kwamba wayafanye huko mbali na Israel, hawakuskia

    Hawa magaidi ya waislamu, Houthi wamekua wakifanya maugaidi ya kidini huko mbali na Israel, walikua wanaonywa mambo yao hayo yaishie huko, juzi walithubutu kufikisha drone moja Israel, wamepokea kipigo ambacho hawajafanyiwa siku nyingine, yaani ukitazama videos kwa kweli hiki ni kipigo...
  7. Ritz

    Yemen Houthi: Tutajibu mashambulizi Israel nchi yeyote itakayozua makombora tutaishambulia

    Wanakumbi. BREAKING: TAARIFA RASMI YEMENI HOUTHI "Adui wa Israeli walianzisha uchokozi wa kikatili dhidi ya Gavana wa Hodeidah, wakilenga na uvamizi mara kadhaa kwenye kituo cha umeme kinachosambaza umeme katika mji wa pwani wa Hodeidah. Pia ililenga bandari ya Hodeidah na matangi ya mafuta...
  8. J

    Israel yawashushia Kitu kizito Houthi wa Yemen

    Imeripotiwa kuwa Israel imefanya shambulio la kimkakati kwa Magaidi wa Houthi Source BBC Taarifa zaidi zitakujia --- Israeli airstrikes targeted Houthi rebels in Yemen a day after the Iran-backed group claimed a deadly attack on the Israeli city of Tel Aviv. The...
  9. R

    Israel hits Gaza from land, sea and air as Hamas halts talks killing 92 people

    Kuna watu humu wanasema hamas/Palestina ni mashujaa.. Sidhani kama kuna sense katika usemi huo wakati watu wanateketea kama si binadamu. Why not release hostages and look for a new alternative to your demands! Israel hammered the Gaza Strip from the air, sea and land Monday as the war in the...
  10. Bob Manson

    Why DNA tests are BANNED in Israel?

    I am interested in hearing your thoughts on the matter. Do you believe there is a reason for the ban on DNA testing in Israel?
  11. A

    Submarine network kutoka Lebanon to Cyprus ndio chanzo ya kuwauwa Macommander Wa Hezbullah

    Habari ndio hio, watu wanawasifia Israel oh anauwezo wa kugundua kila kitu, hamna lolote. Sababu ya Israel kuwauwa makamanda wa Hezbullah ni Cyprus, alijidai yeye ndio atagharamia kila kitu na ku control kumbe ni Israel ndio katoa pesa ili apate access ya kuwanasa Hezbullah ukweli ndio huo. ---...
  12. Ritz

    Hezbollah yachoma tena Israel

    Wanaukumbi. Ripoti ya roketi kugonga hoteli ya Gosher na roketi iligonga Barja moja kwa moja Kombora la "Kornet" lilitua kwenye shabaha ya kijeshi karibu na makazi ya Avivim huko Magharibi mwa Galilaya. Pia Hezbollah ilifafanua kuwa siku ya Jumatatu tarehe 07-08-2024 Mujahidina wa Islamic...
  13. green rajab

    Vituo vya Kijeshi vya shambuliwa huko Israel

    Israel anapigwa mande bila mate 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥BREAKING: 🇱🇧🇮🇱 Starting two hours ago, Hezbollah launched a huge wave of attacks on Israel The entire occupied Golan Heights was under fire from hundreds of Hezbollah missiles. Dozens of settlements along the border, including the city of...
  14. A

    Israel Kasalim Amri Kwa Hezbollah

    Waisrael huko na magazeti yao wamegundua moto unao wangojea huko Lebanon, sio Missiles tu zinawasubiria na drones, lakini kuna ndege vita kuliko F16, ambayo wanatamba nayo Israel ni drones ambazo hazina tofouti na F16 zina ruko 30,000ft. Zinauwezo wa kupita kwenye Radar bila kuonekana, na zina...
  15. Uzalendo wa Kitanzania

    Taarifa njema Mke wa Waziri Mkuu Victoria mteule Uingereza ni myahudi, Mungu ibariki Israel

    Wadau hamjamboni nyote? Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi Mungu ibariki Israel Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother...
  16. B

    Kwenye mzozo wa Palestine na Israel, wawili hawa, nani alikuwa na malengo muhimu dhidi ya mwenzake? Je, yametimia?

    Kuna maswali mengi sana kuhusu mgogoro wa nchi hii ya Israel na mamlaka ya bandari ya Palestine Palestine ndiyo wa kwanza kuvamia Israel, bila shaka hawa ndio walikuwa na malengo mahususi dhidi ya Israel Wapalestine wa Tandale, wao wanakwambia, baada ya Wazayuni kujibu mapigo, eti...
  17. Ritz

    Kuanzia wiki iliyopita pekee, wanajeshi 12 wa Israel waliuawa

    Wanaukumbi. ⚡️Vyombo vya habari vya Israeli: Kuanzia wiki iliyopita pekee, wanajeshi 12 wa Israel waliuawa. Si haba wauaji wa watoto wanazidi kupata haki yao nao wajue uchungu wa vifo. Leo majeruhi wengi kati ya wanajeshi wa Israel kutoka kaskazini mwa Israel, Golan na Gaza, walihamishiwa...
  18. green rajab

    Wanamgambo wa Israel waunguzwa ndani Merkava Battle Tank

    Wanamgambo wa Israel wakiwa kwenye uwanja wa mapambano na Kifaru chao aina Merkava wameviziwa na makomando Hamas kisha kuwekewa mabomu bila wao kushtuka baada sekunde 3 kikalipuka na kubaki majivu
  19. MK254

    Israel yafanya majaribio ya mizinga yenye uwezo wa kupiga kilomita 1,800 KM

    Mwendo wa maandalizi...... Kwa kifupi sasa hivi swali la kujiuliza ni lini yataanza maana ukanda ule unaelekea kuchafuka. Israel conducted a test launch for a missile with a range of up to 1,800 kilometers, (1,118 miles) pro-Kremlin Telegram channel Rybar reported on Thursday. The missile...
  20. Ritz

    Iran wamewaambia UN iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah"

    Wanakumbi. MPYA: 🇮🇷🇮🇱 Iran katika Umoja wa Mataifa: "Iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah" Iran imesema katika Umoja wa Mataifa kwamba iwapo Israel itaanzisha vita vikali dhidi ya Hizbullah nchini Lebanon...
Back
Top Bottom