israel

  1. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Usalama wa Israel Itamar Ben Gvir awakaribisha Magaidi wa Flotilla Sumud Israel!!

    Itamar Ben Gvir alisababisha malalamiko ya kimataifa baada ya kuchapisha video inayoonyesha akiwadhihaki wanaharakati wa meli za Gaza zilizokuwa zimefungwa katika bandari ya Ashdod. Katika kipande hicho, Ben Gvir anapeperusha bendera ya Israeli huku wanaharakati wakipiga magoti chini huku...
  2. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas wakijipanga upya kuivamia Israel ikiwatumia watoto zaidi!!

    Baada ya magaidi wa Hamas kushindwa vibaya kwenye uvamizi wao wa Oct 07,2023 sasa magaidi hao wanajiandaa upya kwa Oct 7 nyingine!! Safari hii inawatoa kafara vijana na watoto wadogo ili wakafe SHAHIDI wakiaminishwa wataenda kukabidhiwa Mabikira 72 wawabikiri na kuwa huko watakuta Mito yenye...
  3. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Wito kwa Waislamu wote kugomea kununua bidhaa zote kutoka Taifa teule la Israel!!.

    Wito kwa Waislamu wote kugomea kununua bidhaa zote kutoka Taifa teule la Israel umekuwa ukitolewa mara kwa mara na viongozi wa kiislamu kote duniani swali najiuliza Je wanaweza? Natarajia kuona Wafuga Midevu na Majini wakiacha kutumia mitandao yote ya kijamii, wakome kabisa kutumia Simu...
  4. H

    JamiiForums Tanzania Tutarajie Ukraine Kuwa Israel ya Ulaya?

    Ni jambo la kawaida kwa jamii ya watu walio sensitive na matukio, kuelekeza nguvu zao kwa matatizo yanayowazunguka. Hali hiyo, huifanya jamii inayojitambua kuibuka na tafiti na gunduzi mbalimbali. Mataifa kama Israel, kutokana na mazingira ya kuwepo kwenye vita za mara kwa mara, yameelekeza...
  5. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Leo ni Jerusalem day!!

    Yerusalemu ni zaidi ya mji. Ni moyo wa Wayahudi, mahali ambapo historia, imani, na utambulisho hukusanyika pamoja katika vizazi vyote. Leo tunaadhimisha Siku ya Yerusalemu na miaka 59 tangu kuunganishwa tena kwa mji mkuu wa milele wa Israeli. Kuanzia mawe ya kale ya Jiji la Kale hadi sauti...
  6. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran: Ulimwengu Unajua Kinachoisibu Israel Kutokana na Vita?

    https://youtu.be/jLnDr9GEKiU?si=uwb_tCX5jY4cGNUJ
  7. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa ulinzi wa anga wa Israel (Iron-Dome) hauna mpinzani!!!!!

    Mfumo wa ulinzi wa anga wa **Iron-Dome**ya Israeli haina mpinzani!! Dk. Yuval Steinitz, mwenyekiti wa Rafael Advanced Defense Systems, alisifu mfumo wa Iron-Dome wa Israeli katika hotuba yake kwa mkutano wa mikakati. "Hakuna teknolojia inayofanana na **Iron-Dome**duniani," alisema Steinitz...
  8. ngozimbili

    JamiiForums Tanzania Kenya Inatuingiza Utumwani Afrika Mashariki? Ni Climate Lab Ya Israel , Na Vita Vya Kisasa Ambavyo Wanasiasa Hawavijui

    KENYA KAMA “TROJAN HORSE”? VITA VYA DATA, TABIANCHI NA UTAWALA MPYA WA KIDIJITALI AFRIKA MASHARIKI Katika karne ya 21, vita havitangazwi tena kwa mizinga pekee. Havianzi kwa ndege za kivita wala askari kuvuka mipaka. Vita vya leo vinaanza kwa “ushirikiano wa kisayansi,” “miradi ya maendeleo,”...
  9. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Mji wa Bint-Jibeil huko Lebanon-kusini watekwa rasmi na Majeshi ya Israel!!

    "Lango la Ushindi" la Bint Jbeil laangukia mikononi mwa majeshi hodari ya Israel!! Kikosi kazi cha 'Argentina' cha IDF imekamilisha shughuli zake kwa kuuteka mji wa Bint Jbeil kufuatia kutekwa kwa mji wa kusini mwa Lebanon, ambao hapo awali ulielezewa na Marehemu Gaidi Hassan Nasrallah kama...
  10. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Israel imejenga kituo cha kijeshi cha siri kwenye Jangwa huko Iraq!!

    Israel ilianzisha kituo cha siri cha kijeshi katika jangwa la Iraq ili kusaidia kampeni yake ya angani dhidi ya Iran, gazeti la Wall Street Journal linaripoti, likiwanukuu maafisa wa Marekani na vyanzo vingine. Kulingana na vyanzo, Israel ilijenga kituo hicho muda mfupi kabla ya vita kuanza...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Mwanajeshi mwingine wa Israel atuhumiwa kumdhalilisha bBikra Maria

    Mwanajeshi mwingine wa Idf akutwa na tuhuma ya kudhalilisha sanamu ya mama Maria kwenye mji wa kikristo lebanon. Mwanajeshi huyo akionekana kwenye picha akimdhihaki mama yake yesu kwa kuvutisha sigara sanamu lake. Hii si mara ya kwanza kwa wanajeshi wa Idf kudhalilisha makanisa na kudhihaki...
  12. U

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Jeshi la Israel asema zaidi ya wanamgambo 2,000 wa Hezbollah wameuawa

    Mkuu wa Jeshi la Israel Luteni Jenerali Eyal Zamir, ametembelea eneo la Khiam akiwa na makamanda wakuu wa IDF, akiwemo mkuu wa Kamandi ya Kaskazini na uongozi wa kitengo. Alifanya tathmini ya uendeshaji, akapokea taarifa za uwanjani, alizungumza na makamanda wa kikosi, na akatembelea...
  13. DR VRM

    JamiiForums Tanzania ISRAEL vs THE WORLD

    Israel's survival and economic resilience are heavily anchored in its advanced high-tech sector, which contributes over 50% of the country's annual exports and roughly 19% of its GDP. Despite conflict, the sector grew to $15.6 billion in capital raised by 2025, driven by cybersecurity, AI, and...
  14. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Rubio: Israel na Lebanon ni wahanga wa Magaidi wa Hezbollah

    Sek Rubio: "Israeli na Lebanon zote zinatafuta amani kati yao. Zote mbili ni wahanga wa Hezbollah."
  15. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Mtu ameamka tu akaandika "hezbollah anamchakaza israel vibaya mno". Mimi nafikiri ni wakati sahihi JF kuanzisha community notes ili kuuchamba uongo

    mtu ameamka na stress za chuki dhidi ya israel, so ili kuituliza nafsi yake ngoja atunge stori ambayo haina accuracy yoyote na picha za AI kuonesha operation kabambe za uongo😁 Point yangu kubwa kuna matango pori mengi sana humu JF na watu wanaishia kuwa mis-informed. Itengenezwe community...
  16. A

    JamiiForums Tanzania Hezbullah anavyo mcharaza Israel

    Wako wapi wale makenge waliye sema Hezbullah imekwisha Echolima1 Mzee Kigogo Mlaleo Nendeni mkawasaidie mashogo wenzenu kule Lebanon wanacharazwa vibaya sana mpaa magazeti ya mashoga wenzenu wanalia eti Israel hawana experience ya kupigana na Hezbullah hahaha...
  17. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa Israel wazidi kupaa licha ya Vita vyake na Iran

    Habari mbaya kwa mashabiki wa Magaidi duniani kote hasa kwa Waarabu-Koko wa Bonyokwa akiwema zitto junior na Mzee wa UHARO Ritz. Licha ya vita na Iran vilivyoanza Februari 2026 na mgogoro unaoendelea tangu Oktoba 2023, uchumi wa Israeli na masoko ya fedha yanastawi na kuonyesha ustahimilivu wa...
  18. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Wayahudi wa Ethiopia (Beta Israel): Je, ndio Waisraeli wa mwanzo?

    wanajulikana kama Wayahudi wa Ethiopia, ni jamii ya kale iliyodumisha imani ya Kiyahudi kwa karne nyingi katika maeneo ya kaskazini mwa Ethiopia. Je, hawa ndio Waisraeli wa mwanzo? Kihistoria, Beta Israel waliishi katika maeneo ya Gondar na Tigray. Kwa muda mrefu walikuwa wametengwa na jamii...
  19. U

    JamiiForums Tanzania Hakuwepo jambo la kifahari na ni aibu kubwa kwa mataifa makubwa ya Marekani na Israel kumuua kiongozi mkuu wa kidini wa Iran akiwa na miaka 86

    Mnamo FEBRUARI 28,2026 Mzee wetu mwenye hekima Ayatollah Ali Khamenei akiwa na umri wa miaka 86 tayari akiwa ameshiba siku akisubiri muda wake kwa amri ya Mungu wake aliuawa. Uamuzi wa kumuua katika umri huo haukuwa ushujaa bali ni ukatili na aibu kubwa kwa majeshi yenye nguvu kama...
  20. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Majeshi ya Israel ahutubia makamanda na wakuu wa vikosi vya IDF!!

    Mkuu wa Wafanyakazi, Eyal Zamir, alishiriki leo katika mkutano wa kamandi ya juu ya IDF, ambapo alihutubia mkutano huo. Maelezo Muhimu aliyoyatoa IDF ni jeshi la Nchi ya Israeli, jeshi lililojengwa juu ya maadili na nidhamu ya hali ya juu. Hata baada ya zaidi ya miaka miwili na nusu ya mapigano...
Back
Top Bottom