israel

  1. Echolima1

    Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu afichua kwamba alikuwa ametibiwa saratani ya tezi dume!!

    Netanyahu afichua kwamba alikuwa ametibiwa saratani ya tezi dume; daktari anasema uvimbe ulipatikana 'miezi michache iliyopita,' Waziri Mkuu alipata tiba ya mionzi miezi 2.5 iliyopita, na ugonjwa huo umetoweka. Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu afichua kwamba alifanyiwa matibabu ya saratani ya...
  2. ELI COHEN

    Wairan wenyewe ni mashabiki wa US na Israel ila wewe mwenzangu wa daraja mbili unalaani vikali matendo ya mabwenyenye😁😁

    Ni kipi haswa ulichosimamia😁😁 muuaji ayatollah anaeua watu wake kwa ajili ya madaraka au watu wa iran ambao kiasili ndio wenye nchi? Hakuna unajua wewe zaidi ya ushabiki, unashibikia IRGC kwa maana wana wakilisha unyama ulionao ndani yako na unyama wa itikadi mnayo share nao.
  3. Le Padrino

    How UAE and Israel “stole” rains from Jordan, Iraq and Iran

    In the year 2011, the former Iranian president Mahmoud Ahmadinejad said: "They are stealing our rains." No one believed him. How Were the UAE and Israel Stealing Jordan's, Iran's, and Syria's Rain? The theory circulating to explain the increase in rainfall in Iran, especially after the recent...
  4. Echolima1

    Waziri wa Ulinzi wa Israeli, Israel Katz aionya Iran!

    Waziri wa Ulinzi wa Israeli, Israel Katz, mwishoni mwa tathmini ya hali kuhusu Iran: Israeli imejiandaa upya kwa ajili ya vita dhidi ya Iran. Jeshi la IDF limejiandaa katika ulinzi na mashambulizi na malengo yamewekewa alama tayari kwa kushambuliwa!! Tunasubiri amri tu kutoka Marekani hasa ili...
  5. Echolima1

    Nchi za kiarabu kwa miaka 78 zimeshindwa kuifanya chochote nchi ya Israel

    Kwa miongo kadhaa, vichwa vya habari vya Iran na nchi za kiarabu viliendelea kuahidi kuangamizwa kwa Israeli. Wataalamu kutoka Iran na nchi za kiarabu walisema Taifa la Israel haliwezi kudumu. Walikosea kila wakati walipobashiri Israeli haikuokoka tu, ilijenga, ilipigana, na kustawi. Bado tuko...
  6. Echolima1

    Sherehe za miaka 78 ya Uhuru wa Israel Rais Isaac Herzog atoa salamu!!

    Salamu kutoka kwa Rais wa Israeli Isaac Herzog kwa jamii za Wayahudi duniani kote katika Siku ya Uhuru wa Israeli ya miaka 78.
  7. Echolima1

    Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na Waziri wa Mambo ya nchi za nje wa Israel waomba radhi!!

    Matokeo na Hitimisho la Uchunguzi Kuhusu Mwenendo wa Askari wa IDF Aliyeharibu Alama ya Kikristo Kusini mwa Lebanon Uchunguzi uligundua kuwa wakati wa shughuli za IDF katika eneo la kijiji cha Kikristo cha Debel kusini mwa Lebanon, askari wa IDF aliharibu alama ya kidini ya Kikristo huku askari...
  8. Zee la madawa

    Israel kuandaa tamasha la LGBT

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Israel imetangaza kuandaa tamasha kubwa la jamii ya LGBTQ+ (mapenzi ya jinsia moja) linalofahamika kama "Pride Land," ambalo linatarajiwa kufanyika katika fukwe za Bahari ya Chumvi mwezi Juni. Tukio hilo limetajwa kuwa tamasha kubwa zaidi la aina yake kuwahi kufanyika...
  9. Echolima1

    Msala wetu na Iran bado haujaisha-Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu!!

    Jitihada za Marekani na Israeli dhidi ya Iran "hazijaisha bado," anasema Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu katika hotuba yake pamoja na Rais wa Argentina Javier Milei. "Wakati wowote unaweza kutuletea maendeleo mapya," anasema Netanyahu. "Nani anajua kesho au keshokutwa italeta nini." Netanyahu...
  10. R

    NIULIZE SWALI: Hii vita ya USA, Israel vs Iran, nani mshindi?

    Mbabe ni nani? Naona kama vile Iran anawapelekesha puta hawa magwiji wa kila kitu duniani! WHO IS THE WINNER Echolima1
  11. Echolima1

    Rais wa Marekani Donald Trump aisifu Israel!!

    Trump awasifu Israeli kupitia Mtandao wake wa Truth Social, akiiita "Mshirika MKUBWA wa Marekani" na kuangazia nguvu na uaminifu wake. "Ni Jasiri, Jasiri, Waaminifu, na Werevu... Israeli inapigana vikali, na inajua jinsi ya KUSHINDA!" aliandika. Wafuga Midevu na Majini najua watanuna sana...
  12. Echolima1

    Marekani na Israel zaanza maandalizi ya kuipiga tena Ira

    Rais wa Marekani Donald Trump alifanya mkutano wa usalama wa faragha leo na Mwenyekiti wa Wakuu wa Majeshi wa Pamoja, Jenerali Dan Caine na Katibu wa Vita, Pete Hegseth. Chanzo cha habari cha ujasusi cha Marekani kimesema kwamba maandalizi yanafanywa ili kurudi vitani na Iran ikiwa hakuna...
  13. I

    Israel mguu sawa kukiwasha tena dhidi ya Magaidi wa IRGC

    https://www.instagram.com/p/DXSDIvmE9Pt/?igsh=MTdqcjVqY3UyMXpudg==
  14. Echolima1

    Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu atoa neno kuhusu Iran na Lebanon

    Kauli ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kuhusu Lebanon na Iran. "Tuna fursa ya kuunda makubaliano ya kihistoria ya amani na Lebanon. Rais Trump anakusudia kunialika mimi na Rais wa Lebanon ili kujaribu kuendeleza makubaliano haya. Fursa hii ipo kwa sababu, tangu 'Vita vya Ukombozi,'...
  15. Echolima1

    Israel yapeleka misaada ya kibinadamu ndani ya Lebanon!!

    Rasmi, kuanzia kesho, Israel itapeleka misaada ya kibinadamu kwa angalau vijiji 3 vya Wakristo ambavyo havijahamishwa, vilivyoko kusini mwa Lebanon. Kwa njia isiyo rasmi, baadhi ya misaada ilitolewa katika siku zilizopita. Wakati huohuo magaidi wa Hezboulah wanaendelea kupata kipondo cha...
  16. R

    Italy yasitisha makubaliano ya ushirikiano wa Ulinzi na Israel

    Serikali ya Italia imefanya maamuzi ya kusitisha mkataba wao wa ushirikiano wa Ulinzi na nchi ya Israel. Waziri Mkuu Giorgia Meloni alitoa tangazo hilo leo Aprili 14, 2026, akielezea kuwa uamuzi huo umetokana na mivutano na migogoro inayoendelea huko Mashariki ya Kati. Ingawa serikali ya...
  17. Echolima1

    Israel yaangamiza Zaidi ya wanamgambo 250 huko Lebanon

    Kufuatia ufuatiliaji endelevu wa kijasusi wa IDF tangu shambulio kubwa zaidi nchini Lebanon wakati wa Operesheni ya Kunguruma Simba - Operesheni ya Eternak Darkness, mnamo Aprili 8, 2026, IDF sasa inathibitisha kwamba zaidi ya magaidi 250 wa Hezbollah waliangamizwa wakati wa shambulio hilo kote...
  18. Mohamed Said

    Kibri Kitaangamiza Marekani na Israel

    KIBRI KITAANGAMIZA MAREKANI NA ISRAEL Tatizo kubwa la Marekani ni kibri. Hiki kibri kimewaelemea kiasi hawawezi kuwaza kama binadamu mwenye uwezo uliokuwa na kikomo. Hata hapa walipofikishwa kutafuta amani kwa mazungumzo na diplomasia bado hawajatambua kuwa wao si washindi. Halikadhalika...
  19. upupu255

    FALSE Iran destroyed Israel's largest phosphate factory

  20. Dalton elijah

    Israel haikushiririkishwa katika makubaliano ya kusitisha vita baina ya Marekani na Iran, hadi kufikia hatua za mwisho

    kumekuwepo na chapisho ambalio limesambazwa na chommbo cha habari cha Mwana habari kikiw na kukuu ya kuwa Israel hajafurahishwa na makubaliano ya kusitisha vita baina ya Marekani na Iran huku Israel === Israel haikujulishwa kuhusu mpango wa Marekani wa kufikia makubaliano ya muda ya kusitisha...
Back
Top Bottom