The Mafuta is a diamond-mining ship owned and operated by De Beers in the western coast of South Africa. Built in 1983 as Dock Express 20 for Dock Express Shipping (later Dockwise), the semi-submersible multirole heavy lift vessel was converted to the world's largest cable layer in 1993. In 2005 she was purchased by De Beers, converted to a subsea diamond mining ship by A&P Tyne over the course of 11 months. The ship's new name, Peace in Africa, may imply that it is providing an alternative to blood diamonds. In 2013, still under ownership of De Beers Marine Namibia, the vessel was renamed to MV Mafuta.
Wakuu, hali ya usalama duniani inazidi kuwa ya wasiwasi mkubwa kufuatia ripoti za hivi punde kutoka Mashariki ya Kati.
Jeshi la Marekani kupitia Kamandi yake Kuu (CENTCOM) limethibitisha kufanya mashambulizi makubwa ya kijeshi dhidi ya maeneo ya kimkakati nchini Iran (ikiwemo Bandar Abbas na...
Leo Serikali Kupitia TPDC imeita waandishi na wahariri wa Habari mbalimbali na kutaka kufafanua juu yaadai yaliyotolewa na ACT Wazalendo kuhusiania na kashfa ya uagizaji Mafuta.
Nimesikiliza hotuba Yao na kurejea maswali ya ACT kiukweli bado ufafanuzi inahitajika
Nakuwekea maswali ya ACT hapa...
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema imefanikiwa kukabiliana na uhaba wa mafuta Nchini ambao ungetokea kufuatia vita vya Mashariki ya Kati vilivyopelekea kuadimika kwa bidhaa hiyo muhimu ya Nishati Ulimwenguni koteAkizungumza na Waandishi wa Habari, Jijini Dar es Salaam leo...
Moja kwa moja kwenye kero yangu:
Nimeona tangazo la EWURA kutangaza kuwa bei ya mafuta ya petroli na dizeli imeshuka kwa sh 96 and 151 kwa mafuta yanayoshushiwa katika bandari ya Dar-es-salaam .
Bei mpya
Petroli: Sh 3,990 kwa lita
Dizeli: Sh 4,182 kwa lita
mpaka sasa sijaelewa kwanini mafuta...
Ufafanuzi juu ya suala la uagizaji wa mafuta nchini kipindi cha Aprili - Juni, 2026.
Tarehe 27 Juni 2026, kupitia akaunti ya Instagram ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, alichapisha taarifa akidai kuwa Kampuni ya Vitol imeiuzia Tanzania mafuta kwa gharama kubwa zaidi kuliko Uganda...
Shalom Shalom wakuu...!!
Katika kuperuzi kwangu mtandaoni nimekutana na taarifa kutoka kwa shirika la habari la kimataifa la Al Jazeera ikisema kuwa bei ya mafuta imeshuka sana katika viwango ambavyo havijapatwa kushuhudiwa toka vita ya Marekani akishirikiana na Israel dhidi ya taifa la Iran...
Dar es Salaam.
Taarifa waqliyoitoa Chama cha ACT-Wazalendo walipokuwa wanaongea na Waandishi wa habari. kuwa litafungua mashauri mahakamani kupinga baadhi ya vifungu vya Sheria ya Fedha ya Mwaka 2026 limefungua mjadala mpya kuhusu nafasi ya siasa za upinzani katika usimamizi wa fedha za Umma...
Waziri wa Fedha Balozi Khamis Mussa Omaramjibu Luhaga Mpina kuhusu ufisadi kwenye uagizaji mafuta Tanzania
Pia soma: Luhaga Mpina: Bei ya mafuta imeshuka soko la Dunia kwa 22% lakini hatuoni bei zikishuka hapa nchini
"Wakati Serikali ikijitetea kuifanya TPDC kuwa muagizaji pekee wa mafuta kwa kigezo cha kwamba itapunguza bei ya mafuta nchini, viwango vya faida (premium) vilivyowekwa na Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) kwa miezi ya Mei na Juni baada ya mfumo wa ushindani kufutwa, viko juu zaidi...
EWURA Hakuna excuse sahivi. Petrol na Diesel ziwe under 3,500 Tsh kwa July, hafu August ndio isivuke 3,000 Tsh. Masaa machache yajayo tunasubiria mkeka wenu.
Wilaya ya Manyoni mkoani Singida inakabiliwa na tishio kubwa la kiusalama na kiuchumi kufuatia kushamiri kwa mtandao hatari wa wizi wa mafuta unaofanywa na baadhi ya madereva wa magari makubwa ya masanduku na yale ya kusafirisha mafuta kuelekea mikoa ya jirani na nchi za nje.
Uchunguzi na...
Anonymous
Thread
biashara
maeneo
mafuta
magari
magari makubwa
makubwa
manyoni
serikali
singida
wizi
wizi wa mafuta
Salamu kwenu wakuu.
Ammaabaad. Wakuu mm nauza duka la mangi lkn Nina changamoto katika upimaji wa mafuta ya kula.
Kwenye mazingira lilipo duka langu wakazi wa huku wamezoea vipimo vya 300,500, robo nusu na Lita. Sasa robo,nusu na Lita si tatizo lakini changamoto ni vipimo vya TSH 300 na 500...
Wakuu mwenye uzoefu naomba maelekezo kuhusu biashara hii ya mafuta ya alizet.natoa dodoma au singida naenda kuyauza dar es salaam. Je biashara hii imekaaje? Nipeni mwangaza
Nilitegemea Ziara yake huko Russia na kujadili pia masuala ya mafuta!! Sote tunafahamu hali ya mafuta ni mbaya sana, na Urusi wana mafuta mengi tu mamilioni ya mapipa kiasi kwamba hawajui hata wayapeleke wapi
Nilijua alivyoenda huko angesaini madili ya kuagiza mafuta Urusi ili bei ishuke au...
Malalamiko yangu kituo cha mafuta satale mpigimagoe pump ⛽ zao zinatupunja mafuta tunaomba ewura wake wahakiki .
Mafuta Yao ni machache ukilinganisha na unayoweka kwenye kituo kingine cha mafuta
Wizara ya Ardhi pamoja na TAMISEMI zinapaswa kulitazama kwa makini suala la uuzaji wa viwanja kupitia mfumo wa Tausi, hususan kuhusu muda unaotolewa kwa wanunuzi kukamilisha malipo.
Kwa sasa, baadhi ya halmashauri hutoa muda mfupi sana wa kulipia viwanja hivyo. Kuna maeneo ambapo mnunuzi...
Anonymous (29c2)
Thread
gerson msigwa
kituo
kituo cha mafutamafuta
malalamiko tamisemi
njia
Tuambizeni ukweli hizo tozo na Makato hasa kwenye umeme yamezidi...
Unanua umeme wa 5000/=
Unapata unit za 3800/=
Kuna Makato kibao rea,Vat,ewura Kwa sitaili hii kujiajiri Ni ndoto TUWENI TU MAWINGA....
UMEME WA BWAWA LA NYERERE
Ulisafirishwa kwenda wapi mbona Bei YA umeme haishuki kama supply...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.