Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na mfanyabiashara Alhaji Aliko Dangote wawaibua wasomi
◇Ni kuhusu mradi kusafisha mafuta ghafi wa zaidi ya Sh trin 40.
◇Wakoshwa na Rais, wataja sababu 5 kwanini Tanga ipo kimkakati.
◇Ipo ya miundombinu ya EACOP, Jografia, soko Kusini mwa Afrika
Ikiwa mradi wa refinery ya mafuta ya Aliko Dangote (au mradi wowote wa ukubwa huo) ungejengwa Tanga, Tanzania ingenufaika kwa kiwango kikubwa sana kiuchumi, kijamii na kimkakati. Tanga ina sifa ya kipekee kutokana na kuwa mwisho wa bomba la mafuta kutoka Uganda (EACOP), hivyo kuwa kitovu cha...
Kutokana na harakati za maisha za hapa na pale, nimejikuta nimezaa na wanawake mbali mbali nje ya ndoa; na kabla ya wao kuingia kwenye mahusiano walijua kabisa mimi namilikiwa na mrs Equation x.
Ila kwa kutaka kupata chata tu ya equation x iliwalazimu wao wenyewe, kwa mida yao kujibebea mimba...
Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Nikitazama maisha wanayoishi matajiri nikalinganisha na maisha wanayoishi maskini, nashindwa kuona tofauti ya kimsingi iliyopo kati yao.
Fikiria matajiri kama Dangote, MO29 au Bakhressa wanamiliki utajiri uliotapakaa nchi nzima na baadhi...
Benki ya CRDB imeongoza Kwa kupiga faida kubwa yaani super normal profit baada ya kuibia Watanzania Kwa riba kubwa na makato yasiyoeleweka.
https://www.instagram.com/p/DXwCODMjpnq/?igsh=MXFyMnhrZGRwbGx4OQ==
My Take
Serikali Inafaa kuingilia Kati Ili kuokoa Wananchi kama inajali lakini.
Hizi...
Haina uchakataji mwingi: Asali mbichi haijapashwa joto kali, hivyo huhifadhi virutubisho vyote vya asili.
Ina enzymes hai: Ina vimeng’enya vinavyosaidia mmeng’enyo wa chakula na afya ya mwili.
Ina bakteria wazuri (probiotics kwa kiasi): Husaidia usawa wa bakteria kwenye mfumo wa chakula.
Ina...
Tangu mwaka jana jukwaa hili lilizuiwa kwa muda wa siku 90 na TCRA.
Tulipitia wakati mgumu sana kwa sababu hili jukwaa lina manufaa mengi sana hasa kwa ustawi wa taifa letu.
Ni kupitia jukwaa hili ambapo wananchi huwasilisha kero na changamoto mbalimbali zinazowakabili.
Ni kupitia jukwaa hili...
Nimekuwa nikijiuliza sana.
Nikiweka vocha ya 10,000 napata 10,000 exactly.
Sasa hawa makampuni ya simu wanapataje faida kama wanarudisha hela ile ile?
Au kuna kitu sielewi hapa?
Naomba nieleweshe kwa lugha rahisi maana kichwa changu kimegoma kabisa 😅
Yakobo 1:27
Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu.
Methali 19:17 BHN
Anayemsaidia maskini anamkopesha Mwenyezi-Mungu; Mwenyezi-Mungu atamlipa kwa tendo lake jema.
Zaburi...
Kwa usahihi na usalama: Fuatilia stock, mauzo, matumizi na faida. Simamia biashara yako popote ulipo! Hakuna kuumiza kichwa. Pata kila kitu unachohitaji kwa urahisi kuendesha Biashara yako.
Mfumo wetu huu unauwezo wa kufuatilia na kurecord Mauzo, Faida Hasara, Kodi, Mfumo wa Mauzo yani POS...
Naungana na ndugu yangu Equation x .Mwanaume kuchepuka kuna faida nyingi sana kiuchumi. Embu fikiria leo hii wanaume kwa umoja tukakubaliana hakuna kuchepuka kila mmoja atulie na mpenzi/mke wake, nini kitatokea.
- Wanawake wengi sana watashindwa kuendelea na masomo ya chuo kikuu
- Wanawake...
Hivi duniani kuna nchi ina mind-blowing infrastructure kushinda China
Barabara na highways
Reli (railway systems)
Viwanja vya ndege (airports)
BRT system
Train stations
Bandari (ports & harbours)
Nishati (energy infrastructure)
Maji na usafi (water & sanitation)
Mawasiliano...
Hivi kuna faida ya kujifunza Kichina?
Maana naona sikuhizi kuna translators kibao kwenye devices zetu, kuna AI zinasaidia kwa kiasi kikubwa kurahisisha mawasiliano mpaka kuna muda najiuliza kama kujifunza Kichina ni worth it anymore
Je kuna faida gani ya kujifunza kichina, 2026? Au hakuna...
Jiunge na huduma ya Bulk SMS na uanze kuuza huduma ya kutuma SMS nyingi kwa wateja wa biashara mbalimbali.
Kupitia mfumo wa Bulk SMS Marketing, wateja wako wataweza kutuma maelfu ya SMS kwa wakati mmoja kwa bei nafuu, hivyo wewe kama reseller unapata nafasi kubwa ya kupata faida.
Faida kwa...
Habari za wakati;
Habari za wakati huu.Ni matumaini yangu kwamba unaendelea salama na Ujenzi wa Taifa na Uchumi binafsi.
Leo nataka nilete mada hii kwa ufupi ili nichokozi mjadala uanohusu soko La Hisa.Kabla ya kuanza kwa mjadla niweke wazi kwamba mimi sio mtaalamu wa fedha,wala biashara,wala...
Katika demo account, nimefanya trades 53 na kati ya hizo 40 zimeleta profit kwa kutumia hii pullback and breakout strategy.
Sasa natafuta vitabu na articles mbalimbali ili nifanye specialization kwenye hii strategy naona ni rafiki sana.
Kabla sijaiingiiza kwenye real money naombeni muongozo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.