akili

Akili (Persian: اكيلي‎, also Romanized as Āḵīlī) is a village in Emamzadeh Seyyed Mahmud Rural District, Sardasht District, Dezful County, Khuzestan Province, Iran. At the 2006 census, its existence was noted, but its population was not reported.

View More On Wikipedia.org
  1. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Tutafakari hili kwa akili kubwa kidogo!

    Huwa najiuliza sana akilini lakini sipati majawabu yake, Hivi katika vurugu za Oktoba 29, serekali yetu ingekaa kimya tu kwa kutuliza fujo huku wana wakichoma tu moto magari, sheli majumba ya watu kupora maduka,kuchoma mabasi ya mwendokasi,na serekali yetu ikawa inawaambia kufanya hivyo ni...
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama unajijua huwezi kumridhisha mkeo kwenye tendo ni ujinga au akili kumkomesha mwanaume mwengine anaeweza kazi ?

    Kama unajijua kabisa 6 x 6 nguvu zimeisha, jogoo hawiki, dakika hufiki ushamaliza, n.k. Mkeo akikwambia huwezi kumridhisha, ukaendelea kubaki nae, siku ukagundua kaanza kutoka nje kwajili ya sex, ni hekima ipi utatumia, kumkomoa anaeweza kazi au kukubali yaishe
  3. C

    JamiiForums Tanzania Humu ukisoma habari mchanganyiko unachanganyikiwa akili

    ukipita unakutana na anonymous anaeleza kero, ukishuka kidogo unakuta luca anasifu, ukishuka unakutana na story za kina binti wa zamani, ukishuka chini unakutana na habari za ukraine binafsi huwa nikipitia new posts hua kichwa kinachanganyikiwa sana
  4. H

    JamiiForums Tanzania Akili mnemba (AI) na taaluma zetu

    Kutokana na mambo ya AI kwasasa mambo mengi sana ya kitaaluma yanabadilika na yatabadilika kabisa. Je, kwa mtu mwenye taaluma ya mambo ya MATHEMATICS na DATA kiasi, na akataka kutafuta eneo la kubobea kwa kujifunza mwenyewe na kujisomea kupitia online-platform. Unaweza kumshauri nini kwa...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Makonda amekonda akili.

    Akili yenye afya ingemwelekeza kujenga akademi za mpira walau 5 tu nchi nzima, halafu akawa anaweleta hao wacheza mpira wa zamani kuja kuwatia hamasa vijana kwenye hizo akademi za mpira. Anachokifanya sasa hivi ni kuwafanya hao wachezaji kuwa twiga wa maonesho . Maana wanakuja ili tuwatazame...
  6. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Hivi nyie "Vi-Ben10" na "Mamarioo" mna akili timamu au mmerogwa na hawa Mashugamami?

    Wakuu, achaneni na mambo ya siasa na uchumi, njoeni hapa pande za ChitChat tupige story za ukweli. Leo nataka tuongee kuhusu hawa viumbe wa ajabu wanaoitwa "Vibenten" na "Mamarioo." Nitaongea lugha kipimo chao.. Nisamehewe😂 Hivi nyie wavulana wa hovyo mna akili timamu kweli au mmerogwa na...
  7. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Je, Yoga inaweza kubadilisha maisha yako kimwili na kiakili?

    Katika dunia ya sasa yenye stress nyingi, presha za maisha, na uchovu wa akili, watu wengi wameanza kutafuta njia za kupata utulivu wa ndani, afya bora, na balance ya maisha. Moja ya njia zinazozidi kuwa maarufu duniani ni Yoga. Lakini swali kubwa ni: 👉 Yoga ni mazoezi tu ya mwili? 👉 Inawezaje...
  8. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Nape adai Januari Makamba ana akili sana

    Akihojiwa kwenye podcast ya Omari Kashera/Salma Dakota amedai hivyo. "Ukimpima nyani kwa kigezo cha kupanda miti, utadhani kobe ni mzembe na nyani ni genius."
  9. britanicca

    JamiiForums Tanzania Kwenye siasa au harakati unaweza shangaa we ndo mtaji wa Wengine! Tumia akili zenu vema

    TANZANIA BWANA -Wanasiasa wanatumia matatizo ya wananchi kujipatia Pesa! -Machawa wanatumia wanasiasa wanaotumia matatizo ya wananchi kujipatia, nao kujipatia Pesa! -Wanaharakati baadhi nao wanatumia matatizo ya wananchi na wahanga baadhi kujipatia fursa! Usimuamini sana mtu! Ukiangalia Kwa...
  10. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Leo Imepanda, Kesho Imeshuka, Kesho Kutwa Imepanda Tena” — Serikali Inachezea Akili ya Mwanaichi Kwa Bei ya Mafuta?

    Mwanaichi wa kawaida Kenya amebaki confused na hii mchezo ya fuel prices. Last month tu serikali ilitangaza bei ya mafuta imepanda vibaya, wananchi wakalalamika, pressure ikaongezeka online na kwa ground, then ghafla prices zikashushwa kidogo kama “relief.” Sasa barely a month later, boom...
  11. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Mpumbavu hawez kua na Akili, Temba kauwawa wanasingizia 'Mganga', Mfanyabiashara Kauwawa 'Mwili umekutwa kwa ' Mganga'. Fumbueni Macho!

    Hawa Jamaa ni wapumbavu sana!! Kwao Kuua si kitu chochote Tena. Kuweni Makini , Kwasasa Kuna Mauaji yanafanyika na yataendelea kufanyika ni MIILI AU MAUAJI HAYO YATATENGENEZEWA MAZINGIRA YA KUHUSISHA NA 'USHIRIKINA" !!. Baada ya Kutafakari kwa kina, na kupitia rejea kadhaa kadhaa za Wauaji...
  12. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania Mafunzo ya AI na DATA analytics Monitoring and evaluation in local government

  13. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Usimkatie tamaa mtu..! Zikiisha akili humrudi.. Hiari yashinda utumwa!

    Ameandika Mch. Peter Msigwa Historia inaonyesha: Mataifa mengi duniani hayakuanguka kwanza kwa sababu ya vita au mapinduzi bali , Yalianza kudhoofika taratibu pale ambapo mamlaka isiyo rasmi inaanza kuogopwa kuliko taasisi rasmi. (Illusion power) Historia ina mifano mingi sana ya mataifa...
  14. ngara23

    JamiiForums Tanzania Unajenga nyumba ya milion 300 ili upangishe laki 3, ni akili au matope?

    Tubuni njia nyingine za kuwekeza, kwenye mijengo ni kutupa pesa. Ukishapata kimjengo cha kuishi achana na show offs ati unamiliki mijengo mingi Ili kurudishwa milion 300 itachukua muda wa miaka 83. Hapa hujahesabu gharama za ukarabati na muda mwingine wapangaji hakuna Miaka 83 ni mingi mno...
  15. Chibike

    JamiiForums Tanzania Elimu ya mjinga ni majungu, Bora ukose mali upate akili, yanga wamedhihirisha KUKOSA KWAO AKILI

    Eti sababu ya pesa zako unaenda kununua nyumba JIRANI ya uwanja wa meja isamuyo unaifanya sehem ya kubadilishia nguo. SIJAWAHI kuona upumbavu mkubwa kama huu duniani. TFF sio wajinga kuweka sheria, zilizotungwa na kusimamiwa na FIFA kua vyumba vya kubadilishia nguo ni ndani ya uwanja na...
  16. Q

    JamiiForums Tanzania Anayetamani Makonda kuwa Rais hana akili timamu

    Hajui mipaka yake ya kazi, hujiona yeye ni kiongozi wa wizara zote. Hajui chain of command. Akipewa cheo hujiona yeye ni kila kitu, he's everything. Low IQ, 'wanaopigia kelele rushwa hawajaingia jikoni'. One man show. Ana Charismatic ya kuaminiwa but empty head. Layman, hana profession...
  17. Q

    JamiiForums Tanzania Wanaokwenda kujadili Muhtasari, Wana akili timamu kweli?

    Nimeambiwa kuna viongozi mbalimbali wanaenda kuchambua Muhtasari wa Chande, wapo viongozi wa dini na wanasiasa, watuambie wanaenda kuchambua kitu gani ambacho hawakijui au wao wameshapewa ripoti nzima. Ripoti huijui, hujaisoma umeiona tu imefungwa kwenye gift wraps, kwanza umeambiwa ripoti...
  18. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bongo Zozo anamzidi akili Jaji Chande(?) Common sense must prevail

    Jaji Chande na Tume yake imegeuka kuwa toilet paper ya utawala. Common sense must prevail.
  19. M

    JamiiForums Tanzania Mnaopanga kuandamana tena nawaombeni mtumie akili, mnaenda kudili vipi na risasi zitazowapotezea maisha na ulemavu wa maisha?

    Mnaendelea kuchora mabango ya kuandamana, mnaposti kwenye mitandao ya kijamii, mnapanga kukusanyika na kuingia barabarani kwa matumaini ya kusikika. Lakini jiulizeni kwa kina je, mmejiandaa kukabiliana na hali halisi inayoweza kujitokeza? Mnapofika barabarani, mambo hubadilika. Mnafyatuliwa...
  20. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Tanzania wakiona mtu anaongea sana kwenye mikutano wanaona kama ni kiongozi bora, ndugu zangu kuongea sana siyo akili ni uchaa baridi

    Uongozi ni busara na hekima, ni kupanga na kuongoza, uongozi ni ulezi (guiding) uongozi ni taswira ya sehemu unayoiongoza. Uongozi ni ku-control hisia, uongozi ni utulivu wa mwili na akili, uongozi ni kuongea kidogo vitendo vingi. Nchini Kuna taasisi kibao zimepoteza direction sababu ya...
Back
Top Bottom