ushauri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri nina mtaji wa 50,000 (Shilingi elfu hamsini)

    Samahani wakubwa nimeuza vitu vyangu kadhaa nimepata Shilingi elfu hamsini, nahitaji hii Hela isipotee maana sijui nitapata lini Tena. Naombeni wazo la shughuli ya kufanya Kwa kutumia kiasi hiki Cha Pesa na nipate faida. Niweze kuweka akiba ya 2,500 Kila siku Jinsia mwanaume miaka 28 Dar es...
  2. Bei rahisi Electronicks

    JamiiForums Tanzania Nahiitaji ushauri kuna jambo linanisumbua

    Sasa natimiza mwaka wa pili tangu niajiriwe serikalini. Nataka kuongeza elimu maana niliajiriwa na Form Six. Nafanya kazi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, nipo Zanzibar. Kwa mujibu wa kazi yangu, siruhusiwi kusoma mpaka nipate kibali kutoka kwa mkuu wangu, na hawakubali kutoa labda kwa watoto...
  3. petro matei

    JamiiForums Tanzania Ushauri foleni barabara ya Goba

    Kumekuwa na kero kwa muda mrefu sasa haswa sisi tunatumia njia ya goba asubuhi ila haswa usiku. Kuwa na foleni kubwa sana isiyotembea hata kwa masaa matatu na zaidi. Ombi langu kwa serikali yetu kupitia tonroad wafanye mpango wa kujenga kuchora njia 3 toka around about ya goba mwembe madole...
  4. econonist

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Mwigulu: Tofautisha Uwaziri Mkuu na Ukatibu mwenezi wa CCM

    Kwako Mheshimiwa Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, Nina ushauri Mmoja tu kwako. Naomba nikushauri ya kwamba tofautisha nafasi ya Uwaziri Mkuu na nafasi ya ukatibu mwenezi wa CCM. Ushauri wangu ni kwamba Kuna kauli ambazo hutakiwi kuongea kwa nafasi uliyonayo ya Waziri Mkuu. Wewe ni kiranja wa...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Bure kuhusu siku ya 7/7

    Kwahali ninavyoiona nahisi tarehe 7/7 siyo siku ya kutoka nyumbani. Ushauri wa Bure nunua mahitaji ya nyumbani Sasa tena ya kutosha ikifika 7/7 Baki ndani usitoke hata kwenda kununua chumvi dukani ili Yale ya Octoba 29 Yasije yakakukuta.
  6. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Ninaliona tatizo kubwa kwa kamati ya kuu ya ulinzi na usalama wa Taifa letu, HAYA matamko ya wanasiasa ni ushauri wao kweli? 29/10 mlikuwa wapi?

    Sijui ninayo yaona ndiyo mnayoyaona, ILA kiukweli simwamini Katambi, Wala simwamini mwiguru kama kweli Taifa lipo hatarini kuchafuka, km ni kweli kwanini hawakuona hatari ya 29/10/2025?
  7. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Ushauri: wafuasi na Viongozi wa CHADEMA heshimuni kauli za viongozi wetu hiyo jeuri yenu kafanyieni kwenye nchi zingine siyo Tanzania

    Nchi Ina viongozi na wote wameapa kuilinda kuiheshimu katiba ya Nchi kwa hali na Mali, wameapa kuilinda amani ya Tanzania kwa hali na Mali, kwahyo nyie viongozi na wafuasi wa chadema jueni kuwa hamna nafasi ya kuvuruga amani ya Tanzania hilo halipo kabisa huu ndo ukweli. Hamna mtu mwenye uwezo...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa TLS na vyama vya siasa na hata CCM wenyewe, ni kwenda mahakamani kupinga katazo la waziri la mikutano ya hadhara, jambo la kikatiba

    Serikali ya Raisi Samia imefika mahali inafikiri kwamba inaweza kuamua jambo lote lile kufanyika hapa nchini, hata kama kufanya hivyo ni kupingana na katiba ya nchi. Serikali hii imefanya maamuzi mengi ya kukiuka katiba, kufikia hata kiwango cha kuua raia wasio na silaha kwa sababu tu...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Video fupi: Yesu atoa ushauri kwa team kataa ndoa

    Katika video hii fupi, Yesu anatoa ushauri kwa team kataa ndoa kwa kuwaambia, "Kataeni dhambi, si lazima mkatae ndoa" Angalizo: Sura zinazoonekana katika video ni matokeo ya Sanaa na siyo uwakilishi halisi wa wahusika. https://m.youtube.com/watch?v=MfpPNr5Vujw&pp=ygUMWWVzdSBBbmFqaWJ1
  10. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania HOJA Ushauri wangu: Mabasi ya abiria ya mikoani yaishie Mbezi Magufuli

    Sioni haja ya kila kampuni ya mabasi iwe na kituo chake cha kushushia abiria, inatosha wakiishia kituo kikubwa cha mabasi Mbezi Magufuli itasaidia kupunguza msongamano ktk mji na pia stendi ya Magufuli haitopoteza mapato na wafanyabishara watanufaika.
  11. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Prof Anna Tibaijuka kwenye muswada wa Fedha 69 wa 2026

    Anna Tibaijuka, aliyekuwa Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi, UN-Habitat-Nairobi na Waziri wa Tanzania, anachambua marekebisho ya Sheria ya Fedha 2026 kwenye kifungu cha 69 cha Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania. Marekebisho hayo yanaruhusu serikali kupata mapato ya muda kutoka kwa...
  12. Moto wa volcano

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukipata mke anayeomba ushauri wako jambo la kushukuru Mungu

    Wanaume huwa tunavimba vichwa sana kuona mke anakuja kuomba ushauri wa mambo yake ni utiifu wa kiwango cha juu , akiwa na jambo utasikia subiri hubby aje niongee naye hafanyi jambo bila kumshirikisha mume . Mke wa aina hii anavutia sana
  13. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi unaweza kupokea ushauri kama huu na kuamini kabisa

    Leo unakutaka na mtoto wa samia au mwiguru,wasira,kikwete,sirro,mwiguru,mombo na wengine wengi wabagazaji. Ushauri wao kukupa matumaini wakikwambia maneno haya. 1.Achana na wazo la kuajiliwa jiajili. 2.Tunza pesa utafanikiwa. 3.Kuwa mvumilivu ndondo si chururu. 4.jikubari maisha ndiyo haya...
  14. U

    JamiiForums Tanzania USHAURI nisome Foundation Course Program au nimalizie Diploma ya Clinical Medicine?

    Habari za muda huu wakuu, bila kuwapotezea muda niende kwenye maada. Mimi ni nina elimu ngazi ya cheti ya utabibu technician certificate in clinical medicine(NTA L5) niliishia hii level kwa sababu niligundua soko la ajira lipo sana kwa ngazi ya certificate ukilinganisha na diploma ambao kwa...
  15. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Tanzania Unaomba ushauri mtandaoni; upo tayari kukabiliana na usiyoyatarajia?

    Kama wewe ni mwenyeji humu ndani utakuwa na uzoefu mzuri sana juu ya wale wote ambao huwa wanaomba ushauri humu na kile ambacho huwa wanakipata. Ushauri unapata na kusimangwa juu,si ajabu hapo ulipo unahisi kama uanata kujinyonga kutokana na changamoto zako mbali mbali,sasa unataka kutafuta...
  16. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania Natafuta mshauri wa masuala ya maisha nitakulipa 20k Baada ya ushauri

    Naogopa sana kukosea, au kufanya maamuzi ambayo kwa namna moja au nyingine yanaweza kuathiri maisha yangu. Kwa kugundua hilo nimeona bora nitafute mtu wa kumuomba ushauri alafu baada ya hapo niweze kufanya yale ambayo ameielekeza. Kiukweli kuna watu wamefanya makosa hivyo wanaweza kuwa waalimu...
  17. D

    JamiiForums Tanzania Punguzeni Ushauri Kwenye Maisha ya Watu!!

    Acheni watu waishi wanavyotaka kwani ndani yake Kuna msivyovijua.
  18. Mjomba Malume

    JamiiForums Tanzania Naomba Ushauri na Msaada Kuhusu OCD Inayonitesa Kila Siku

    Wakuu salamuni. Nimeamua kuanzisha huu uzi baada ya kuona hii hali imeanza kunipa usumbufu mkubwa kwenye maisha yangu ya kila siku. Kuna baadhi ya vitu navifanya kwa kurudia rudia sana kiasi kwamba vinanichosha na kunipotezea muda bila sababu ya msingi. Mfano nikifunga mlango, baada ya...
  19. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu Binti naoa wiki hii hii sitaki nimeshindwa vumilia

    IPO hivi Kuna Binti nkutana nae kwenye gari muda natoka job sasa the way alivo alinivutia sana mwamba sikusita nikaomba namba nikampanga freshi. Kilicho nishangaza hakuonesha dalili za kutaka kukataa labda kama nilivozoea Yani tayari tumeshazoeana mpaka sasa anakuja mpaka getto kupika. Mimi...
  20. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania USHAURI

    NINA DEMU WAKATI WA KUFANYA MAPENZI HUWA ANATAKA NIMTIE DOLE NYUMA, NAPATA WASIWASI ISIJEKUWA TAYARI ANATOA NYUMA?
Back
Top Bottom