Kilombero District is a district in Morogoro Region, south-western Tanzania.
The district is situated in a vast floodplain, between the Kilombero River in the south-east and the Udzungwa-Mountains in the north-west. On the other side of the Kilombero River, in the south-east, the floodplain is part of Ulanga District.
According to the last census in 2002, the population of Kilombero District is 321,611
The main ethnic groups are Wapogoro, Wandamba, Wabena, and Wambunga and several others in small proportions.The area is predominantly rural with the semi-urban district headquarters Ifakara as major settlement.
The majority of the villagers are subsistence farmers of maize and rice. There are large plantations of teak wood in the Kilombero and the neighbouring Ulanga districts. In the north-west of the district, Illovo Sugar Company's sugar-cane plantations occupy most of the low lying area.
Wazazi wa wanafunzi wanaosoma Chuo cha sukari cha taifa (National Sugar Institute) cha kilombero tunawalipia pesa ya bima ya afya toka mwaka wa kwanza lakini hawapewi bima yoyote hadi wanakaribia kuhitimu.
Mkuu wa chuo anawaambia hataki kuulizwa kuhusu bima, waombee wasiugue au wajilipie...
Viongozi wa kijiji cha Mlimba 'B' katika Halmashauri ya Mlimba wamekuwa kero kwa wananchi kwani wamekuwa wakitoza faini ya Tsh. 10,000/= kwa kila mwananchi asipohudhuria kwenye mkutano wa serikali ya kijiji na kwenye shughuli za maendeleo ambazo ni kusafisha barabara ambazo zinafanyika kila siku...
Anonymous
Thread
halmashauri
kero
kijiji
kilombero
mkoani
mlimba
morogoro
viongozi
wilaya
Job Purpose
The successful candidate will manage, distribute and close section work orders and ensure that all operations in assigned area are carried out as per the ISO 9001:2000 Quality Management System at Kilombero Sugar to achieve the quality standards.
Specific Duties and Responsibilities...
Hali ilivyo katika maeneo mengi ya bonde la Kilombero ni ya kusikitisha sana. Maeneo karibia yote yaliyokuwa yakitumika kwa shughuli za kilimo yamechukuliwa na serikali kwa kigezo cha kuhifadhi ardhi oevu na pia kuhakikisha mradi wa umeme wa bwawa la mwalimiu Nyerere una sustainability...
With spacious interiors, modern amenities and a prime seaside location, this exclusive residence offers luxury, comfort and a lifestyle beyond expectations. Located at Kilombero street Upanga.
Prices starting from:
3 bedrooms: USD 280,000 (SQM 233)
4 bedrooms: USD 380,000 (SQM 327)
3 and 4...
Job Purpose
The successful candidate will be responsible for supervising, construction and repairing of effect alteration to buildings and offices around the Kilombero Sugar Estate.
Specific Duties and Responsibilities
Makes solid blocks, pavement slabs, culverts by using Moulds and block...
Job Purpose:
Operating Water treatment plant which includes operation of raw water pumps, water clarification plant, water filtration with Multimedia filters, Supply filtered water as per plant demand, Operate Reverse Osmosis Plant, Demineralized water plant, Portable water production as Per SOP...
Job Purpose
The successful candidate will be responsible to Provide direction, technical guidance and leadership for Farm Managers in designated crop production area to ensure long-term growth, development and sustainability
Specific Duties and Responsibilities
Ensure a culture of operational...
Kilombero Sugar Company Limited (KSCL) Recruitment: Multiple Job Opportunities
Kilombero Sugar Company Limited (KSCL), the largest sugar producer in Tanzania, is part of the Illovo Sugar Africa Group. With its operations spanning across six African countries, KSCL plays a significant role in...
Job Purpose
To supervise maintenance employees in respective discipline to achieve maximum plant availability and equipment capacity (Maintenance Excellence) and to ensure plant realises agreed capacity and teams address areas for improvement.
Specific Duties and Responsibilities
Plan and...
Kuna taasisi ipo pale Kilombero jijini Arusha jengo la Summit Centre inaitwa IVOJ inatoa mikopo. Taasisi tajwa ni zaidi ya kausha damu, riba ni kubwa sana, ukichukua Milioni moja unarudisha zaidi ya Milioni moja na laki 8. Mbaya zaidi na kinachodhalilisha wamekusanya kadi za benki za hao wateja...
Morogoro, 20 Februari 2025. Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo leo wameitembelea Kampuni ya Sukari Kilombero mkoani Morogoro ili kujionea maendeleo ya mradi wa kimkakati ya upanuzi wa kiwanda cha K4. Lengo la ziara hiyo likiwa ni kushuhudia uwekezaji huu...
Job Purpose
We are looking for Grower Business Systems Manager who will Implement and manage agriculture business systems for effective agriculture data analysis, with focus on components of the Planning, Forecasting and Reporting Systems and Ensure accurate business metrics through a Geographic...
Morogoro, 6 Februari 2025. Kampuni ya sukari Kilombero, leo imeandaa Mkutano wa Wadau ambao umewakutanisha na viongozi wapya wa serikali za mitaa pamoja na wadau wengine kutoka bonde la kilombero muhimu kwa lengo la kuimarisha ushirikiano na kujadili mikakati ya kimaendeleo.
Mkutano huu...
Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mhe Abubakar Asenga amesema kuwa hawezi kuchukua fomu ya Kugombea ubunge wa uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025 kama hatokamilisha ujenzi wa Barabara ya Kata ya Lumemo ambayo imekuwa kero Kwa wananchi wa eneo Hilo
Mhe. Asenga ameyasema hayo Februari 2,2025 Wilayani...
Kumekuwa na tabia ya Daladala nyingi zinazofanya safari za Kilombero - Kiseriani kuwa na tabia ya kukatisha ruti kuanzia majira ya Saa 1 Usiku na kusababisha abiria kupata adha ya usafiri wakati wa usiku kwani nusu nzima za Haisi huanza kuishia Moshono Kona.
Hali hiyo husabanisha abiria wengine...
Mshikemshike umeanza
Imeelezwa kuwa wanachama takribani 19 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jimbo la Kilombero, mkoani Morogoro wanashikiliwa na Jeshi la Polisi wakituhumiwa kuwafanyia vurugu wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kijiji na kata
Akizungumza na Jambo TV leo...
4:18 PM
Mwili wa mtoto Rashmi Abdalah (5) ukiondolewa kwenye mashamba ya miwa wilayani Kilombero. Picha Happiness Mremi
Kilombero. Mwili wa mtoto Rashmi Abdallah (5), mkazi wa Kijiji cha Katurukila, wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro, uliokutwa kwenye mashamba ya miwa wilayani humo, umezikwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.