mpaka

Mpaka is a town in eastern central Eswatini in western Lubombo District. It lies about 22 kilometres (14 mi) northwest of Siteki on the MR3 highway.

View More On Wikipedia.org
  1. H

    JamiiForums Tanzania Wameigeuza 7/7 kutoka kuwa Siku ya Maonesho ya Biashara Mpaka Kuwa ya Maonesho ya Silaha. 8/8 Nayo Wataigeuza?

    Tanzagiza inabadilika kwa speed ya ajabu kupindukia! Watanzagiza walizoea kuiona siku ya 7/7 kuwa siku ya maonesho ya biashara, ghafla imebadilishwa na kuwa siku ya maonesho ya silaha, huku wahusika wakuu wakiwa ni wauaji wanaotumika kudhulumu haki za watanzagiza. Bila shaka wanaowatumia...
  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania Mpaka Kenya nako polisi wametanda wakiogopa maandamano

    Leo hapa Nairobi nako maduka yamefungwa na polisi wametanda. Ina maana lugha moja inaanza kutawala kwa wananchi.
  3. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Usisubiri mpaka brake zi fail kabisa tumia brake fuel tester

    🛑 USISUBIRI MPAKA BRAKE ZI FAIL! 🛑 Linda maisha yako na ya abiria kwa kupima ubora wa mafuta ya breki kwa haraka na usahihi. ✅ Hupima kiwango cha unyevu kwenye Brake Fluid ndani ya sekunde chache. ✅ Rahisi kutumia. ✅ Inafaa kwa magari mengi yanayotumia DOT 3, DOT 4 na DOT 5.1. ✅ Chombo muhimu...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Polisi Dodoma: Tumeweka askari wa kutosha sana Mtaani, hali hiyo itaendelea mpaka tutakapoona tarehe iliyopangwa tumepita kwa Usalama

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limesema kuwa majukumu ya ulinzi na usalama wa rai na mali zao ni jukumu lao na sio kikundi cha watu Akizungumza wakati akihojiwa Jambo Tv, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, ACP Gallus Hyera amesema kuwa kama watu wanazo taarifa zinazoashiria uvunjivu wa amani ni...
  5. NYOLODO

    JamiiForums Tanzania Kazi zangu za sanaa! Kutoka sketching mpaka acrylic painting. Ungana na mm hapa hapa jukwaan

    Naamin sote mnaendelea vizuri. Huu ni uzi maalum kabisa special kwa kazi zangu binafsi za sanaa na biashara endelevu. Binafsi ni msanii wa sanaa ya uchoraji, natangaza kaz zangu hapahapa jukwaan. Kwanza kabisa maandalizi. Frem Penseli Picha unayoichira Rangi Rula na Mwisho, ni uwezo binafsi...
  6. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Nimeonesha msimamo wa ajabu wa kutisha. Hajaamini kabisa mpaka sasa

    Yeye akiwa na shida anaomba nimsaidie pesa. Namsaidia. Mimi nikiwa na shida. Anataka anipe kipapiro/papuchi. Ambacho hicho anacho yeye all the time so haingii gharama. Eti ndo mapenzi ndo sadaka. Sadaka ni kutoa kitu kinachokuuma ambacho unapoteza. Siyo kuoffer kitu ambacho unacho tu kinabaki...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wanafunzi Chuo kikuu cha Waislamu Morogoro (MUM) tumesaini ada bodi ya mikopo mpaka sasa Leo 1-07-2026 hazijawekwa kwenye mfumo wa matokeo

  8. Fbn

    JamiiForums Tanzania Waziri katambi ina maana mpaka waziri wako mkuu kutumia chama na swala la mwenge umesitisha si umejumuisha CCM nayo.

    Wana JF wenye kudadavua maana mambo ya serikali yanatumia CCM. Na yeye kauli zake kadai mpaka CCM.Kama tukiamua msumeno utumike kweli japo katiba sijui kama ni muelewa maana hata wajibu wa sheria na katiba za nchi sijui kama anaelewa. kuanzania sasa mwiguru na wengine wote CCM mshakatazwa kama...
  9. Fbn

    JamiiForums Tanzania Shaikh mwaipopo kuwa ana kikundi chake na tanpol mpaka sasa na serikali mnaaanisha nini.

    Mpaka mda huu jumapili na hapa JF je .Huyu mbona hakuna tamko la idara wa CCM.Anatumika kama nani.
  10. Fbn

    JamiiForums Tanzania Aisee yani tulikopa mpaka nchi ya IRAQ na tuna daiwa pesa

    Hii nchi hipo siku tutasikia somalia tulienda kukopa pesa. Hapa nacho kiona tuna subiri majini nao waje kuleta shutuma zao nao walikopwa na huyu mama pesa. Hivi tumefikia steji mbaya sana na pesa zote zimefanya nini ?.
  11. The unpaid Seller

    JamiiForums Tanzania Video: kuna maajabu huwezi kuamini ukisimuliwa, mpaka uone mwenyewe !!

    salaam, Hakuna haja ya kusimulia, tazama mwenyewe .... https://vt.tiktok.com/ZSQ39G9yF/ kwa wanaoweza kuingia ticktok bfya link https://vt.tiktok.com/ZSQ39G9yF/
  12. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna jirani yangu muda wa kustaafu ulitakiwa 2025 ila kaombwa mpaka 2030.Ina maana gani Kwa Tanpol

    Jirani yangu hapa alistaafu mpaka na sherehee tukafanya ila bado anaendelea na bonus za kutosha. Ina maana cha kuwalipa pesa kubwa mkaona sasa wabaki waendelee kuwatetea CCM mfike mpaka 2030.
  13. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali imewadhulumu madaraja wafanyakazi walioajiriwa mwaka 2014 na mpaka leo hakuna mtetezi

    Wale walioajiriwa mwaka 2014 walikaa miaka 7 (miaka saba) Kwa lugha ya who are you (SEVEN YEARS) bila kupata nyongeza wala kupandishwa daraja bila kosa lolote! imagine kuanzia mwaka 2014 wakaja kupanda daraja mwaka 2021! pamoja na nia nzuri ya serikali LAKINI kuna haja ya kufidiwa hili daraja...
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Ni kwamba serikali ya CCM imejiingiza rasmi kwenye cryptocurrency kuogopa miamala yao mpaka kufikia kujisema wanaolipwa ni wapinzani.

    Mchezo uliopo sasa kila CCM na UVCCM wanahisi wanacho tumwa kuwa kinafanywa na upinzani. ila watambue CCM imefikia sasa mtashangaa pesa zimepotelea wapi na zimeama nchi gani. Singapore,dubai na russia ndio watu wazuri wa miamala ya cryptocurrency. Na ili litawasaidia CCM kupeleka pesa zao ili...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Rank these Presidents wa kwanza kwa ukatili mpaka wa mwisho kwa tafadhali

    Picha hiyo toka X
  16. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta bajaji ya 1.5m mpaka 2m isiwe trip garage

    Habari “Matatizo unayatafuta mwenyewe kaka” nilipompa wazo hili jamaa yangu kuwa natafuta bajaji ya bei hiyo.. majibu yake yalikuwa hayo Mwenye connection ya minada ya serikali ya bajaji na pikipiki zilizokamatwa na makosa mbali mbali kama na madawa na wenye vyombo wakavitelekeza kituoni...
  17. K

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa moja,moja baada ya maandamano tutajua nan? Anaongoza

    Gent,s Tutajua baada ya timbwili hiyo 7/7 kama yasemwayo yapo tutajua nan? Anaongoza Wamaji walichapwa sana na Mh.. mwenda zake, wa awamu ya 3, aliwanyoosha kweli kweli bwana yule na wao waliweka moyoni tu na kujiuliza lini watalipiza kisasi Si wakajipindua na kujisahaulisha wannchi kavu...
  18. DogoWaNjombe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wafungaji Bora wa Muda wote katika World Cup mpaka kufikia leo Juni 17, 2026

  19. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Huu mwaka nilipigika hasa. Mpaka nikaanza kuwa natumia Decoder ya Azam

    Acheni kabisa nlishindwa kuwa nalipia DSTV Explorer. Nikajikuta nami naanza kuangalia king'amuzi cha Azam. Jambo hilo nlisema halitatokea tena. Nikapata kazi nikaanzisha na biashara. Mwaka huu natumia DSTV EXPLORER sitaki tena Uswahili swahili. Ile decoder nliiipasua pasua since then na dish...
  20. Fbn

    JamiiForums Tanzania TPDC mnafahamu kuwa matapeli wanatumia jina lenu au mpaka siku litokee

    Siwezi shangaa maana kwa utawala huu wanaimba na kuabudu walicho ambiwa na mtawala. Sasa kuna nguvu kubwa sana ya matepeli na inaonesha wale wale mlio mleta na ndege yenu. Hawa ni kutoka kule na siwezi kuonesha IP ila inatoka mlipo mleta na ndege yenu kuwa urafiki mzuri.
Back
Top Bottom