Tanzagiza inabadilika kwa speed ya ajabu kupindukia! Watanzagiza walizoea kuiona siku ya 7/7 kuwa siku ya maonesho ya biashara, ghafla imebadilishwa na kuwa siku ya maonesho ya silaha, huku wahusika wakuu wakiwa ni wauaji wanaotumika kudhulumu haki za watanzagiza.
Bila shaka wanaowatumia...
🛑 USISUBIRI MPAKA BRAKE ZI FAIL! 🛑
Linda maisha yako na ya abiria kwa kupima ubora wa mafuta ya breki kwa haraka na usahihi.
✅ Hupima kiwango cha unyevu kwenye Brake Fluid ndani ya sekunde chache.
✅ Rahisi kutumia.
✅ Inafaa kwa magari mengi yanayotumia DOT 3, DOT 4 na DOT 5.1.
✅ Chombo muhimu...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limesema kuwa majukumu ya ulinzi na usalama wa rai na mali zao ni jukumu lao na sio kikundi cha watu
Akizungumza wakati akihojiwa Jambo Tv, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, ACP Gallus Hyera amesema kuwa kama watu wanazo taarifa zinazoashiria uvunjivu wa amani ni...
Naamin sote mnaendelea vizuri.
Huu ni uzi maalum kabisa special kwa kazi zangu binafsi za sanaa na biashara endelevu. Binafsi ni msanii wa sanaa ya uchoraji, natangaza kaz zangu hapahapa jukwaan.
Kwanza kabisa maandalizi.
Frem
Penseli
Picha unayoichira
Rangi
Rula na
Mwisho, ni uwezo binafsi...
Yeye akiwa na shida anaomba nimsaidie pesa. Namsaidia. Mimi nikiwa na shida. Anataka anipe kipapiro/papuchi. Ambacho hicho anacho yeye all the time so haingii gharama. Eti ndo mapenzi ndo sadaka.
Sadaka ni kutoa kitu kinachokuuma ambacho unapoteza. Siyo kuoffer kitu ambacho unacho tu kinabaki...
Wana JF wenye kudadavua maana mambo ya serikali yanatumia CCM.
Na yeye kauli zake kadai mpaka CCM.Kama tukiamua msumeno utumike kweli japo katiba sijui kama ni muelewa maana hata wajibu wa sheria na katiba za nchi sijui kama anaelewa.
kuanzania sasa mwiguru na wengine wote CCM mshakatazwa kama...
bei
ccm
chama
katambi
kati
kuku
kuongeza
kupanda
kupanda bei
kutumia
maana
mkuu
mpaka
mwenge
nayo
ng'ombe
nguruwe
nyama
nyama ya ng'ombe
swala
ufugaji
ufugaji wa kuku
wako
waziri
waziri katambi
Hii nchi hipo siku tutasikia somalia tulienda kukopa pesa.
Hapa nacho kiona tuna subiri majini nao waje kuleta shutuma zao nao walikopwa na huyu mama pesa.
Hivi tumefikia steji mbaya sana na pesa zote zimefanya nini ?.
Jirani yangu hapa alistaafu mpaka na sherehee tukafanya ila bado anaendelea na bonus za kutosha.
Ina maana cha kuwalipa pesa kubwa mkaona sasa wabaki waendelee kuwatetea CCM mfike mpaka 2030.
Wale walioajiriwa mwaka 2014 walikaa miaka 7 (miaka saba) Kwa lugha ya who are you (SEVEN YEARS) bila kupata nyongeza wala kupandishwa daraja bila kosa lolote! imagine kuanzia mwaka 2014 wakaja kupanda daraja mwaka 2021! pamoja na nia nzuri ya serikali LAKINI kuna haja ya kufidiwa hili daraja...
Mchezo uliopo sasa kila CCM na UVCCM wanahisi wanacho tumwa kuwa kinafanywa na upinzani.
ila watambue CCM imefikia sasa mtashangaa pesa zimepotelea wapi na zimeama nchi gani.
Singapore,dubai na russia ndio watu wazuri wa miamala ya cryptocurrency.
Na ili litawasaidia CCM kupeleka pesa zao ili...
Habari
“Matatizo unayatafuta mwenyewe kaka” nilipompa wazo hili jamaa yangu kuwa natafuta bajaji ya bei hiyo.. majibu yake yalikuwa hayo
Mwenye connection ya minada ya serikali ya bajaji na pikipiki zilizokamatwa na makosa mbali mbali kama na madawa na wenye vyombo wakavitelekeza kituoni...
Gent,s
Tutajua baada ya timbwili hiyo 7/7 kama yasemwayo yapo tutajua nan? Anaongoza
Wamaji walichapwa sana na Mh.. mwenda zake, wa awamu ya 3, aliwanyoosha kweli kweli bwana yule na wao waliweka moyoni tu na kujiuliza lini watalipiza kisasi
Si wakajipindua na kujisahaulisha wannchi kavu...
Acheni kabisa nlishindwa kuwa nalipia DSTV Explorer. Nikajikuta nami naanza kuangalia king'amuzi cha Azam.
Jambo hilo nlisema halitatokea tena. Nikapata kazi nikaanzisha na biashara. Mwaka huu natumia DSTV EXPLORER sitaki tena Uswahili swahili.
Ile decoder nliiipasua pasua since then na dish...
Siwezi shangaa maana kwa utawala huu wanaimba na kuabudu walicho ambiwa na mtawala.
Sasa kuna nguvu kubwa sana ya matepeli na inaonesha wale wale mlio mleta na ndege yenu.
Hawa ni kutoka kule na siwezi kuonesha IP ila inatoka mlipo mleta na ndege yenu kuwa urafiki mzuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.