tamko

  1. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Tamko rasmi kuhusu bodaboda wa Jumbe...

    Ombi kwa Chadema ingefaa na ingeleta maana kitaifa kuwajali wale bodaboda . Kama itakuwa vema zile pesa mlizokusanya kule shinyanga muwagawie kama kifuta jasho hata kama ni 500 muwape itawajenga bodaboda wengine kujitolea pindi mtu anapoomba msaada . Hawa bodaboda wana umoja sana kama wangekuwa...
  2. McLaren

    JamiiForums Tanzania Polisi: David Djumbe amepatikana, tunachunguza waliomkamata Bunju

    Wakuu, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetoa taarifa kwa umma leo tarehe 21 Mei 2026, kufuatia sintofahamu na taarifa zilizokuwa zinasambaa mitandaoni tangu jana usiku kuhusu kukamatwa kwa Ndg. David Joseph Mghanja (maarufu kama Djumbe) na watu ‘wasiojitambulisha’ huko maeneo ya...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Serikali inatoa tamko gani juu ya kupanda kwa gharama za gesi na mafuta ya petrol na dizeli? Maisha ya Mtanzania yanazidi kuwa magumu kila kukicha

    Hii post naielekeza moja kwa moja kwa Mheshimiwa Rais, Dr Mama Samia Suluhu Hassan na waziri wa Nishati na Madini. Jamani wakuu maisha yetu watanzania wa hali ya chini yanazidi kuwa magumu. Bei hizi za gesi tunazotangaziwa kuwa zimepanda kufikia 62000 kwa mtungi wa kg 15 na 27000 kwa mtungi wa...
  4. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania TLS Wanatoa Tamko Juu ya Tume ya Jaji Chande na Tundu Lissu

    https://www.youtube.com/watch?v=ex4HupJgtOg
  5. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Chawa Philosopy: Serikali Awamu ya 6 inaweza kutoa tamko la kupiga marufuku kuwashangilia au kuwaenzi wastaafu wenye utumishi uliotukuka!

    Siyo siri, serikali ya Awamu ya 6 ina matatizo ya kukubalika na jamii. Sitaingia katika sababu za kufikia hapo. Lakini wakati wa msiba wa baba Yetu Cardinali Pengo, imejidhihirisha wazi kuwa watu wanajua viongozi wanao wapenda. Kwa kushangiliwa kwa upendo na bashasha kubwa Mpango, Makamu wa...
  6. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania JamiiForums tegemeeni tamko kutoka kwa Makonda muda sio mrefu.

    Ni suala la muda tu , makonda anakuja kutoa tamko kuhusu jamiiforums. Tutegemee zaidi uhuru wa habari ukiminywa chini ya uongozi wake.
  7. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Tamko la Senator Mike Lee kwa Trump

    Republican Senator Mike Lee said the US has completed its military action in Venezuela after capturing its leader, Nicolas Maduro. “He anticipates no further action in Venezuela now that Maduro is in US custody,” Lee wrote on X after what he said was a telephone call with US Secretary of State...
  8. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Tamko la Cuba kwa Marekani baada ya kuvamia Venezuela na kumkamata Rais Maduro

    President Miguel Diaz-Canel issued a sharply worded condemnation on social media, accusing Washington of carrying out a “criminal attack” against Venezuela and calling for an urgent international response. In a post on X, Diaz-Canel said Cuba’s so-called “zone of peace” was being “brutally...
  9. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Tamko la IRAN kwa Marekani baada ya kuvamia Venezuela na kumkamata Rais Maduro

    In a statement posted on X, Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei wrote, “What’s important is when one realises an enemy wants to force something on one’s govt. or nation with false claims, they must stand firmly against that enemy.” “We won’t give in to them. With reliance on God & confidence...
  10. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Tamko la Indonesia kwa Marekani baada ya kuvamia Venezuela na kumkamata Rais Maduro

    Indonesia is monitoring developments in Venezuela to ensure the safety of its citizens, Foreign Ministry Spokesperson Yvonne Mewengkang said. “Indonesia also calls on all relevant parties to prioritize peaceful resolution through de-escalation and dialogue, while prioritizing the protection of...
  11. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Tamko la Ujerumani kwa Marekani baada ya kuvamia Venezuela na kumkamata Rais Maduro

    In a statement to AFP news agency, Germany’s foreign ministry said it is “monitoring the situation in Venezuela very closely and following the latest reports with great concern.” “The foreign ministry is in close contact with the embassy in Caracas,” Berlin said adding that the government’s...
  12. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Tamko la SPAIN kwa Marekani baada ya kuvamia Venezuela na kumkamata Rais Maduro

    ‍Madrid called for de-escalation, moderation and ⁠respect for international ‍law in Venezuela, the Spanish ‍⁠Ministry of Foreign Affairs said in a statement. It ‌also offered itself as a ‌negotiator ‌to help ⁠find a peaceful solution in ‌Venezuela.
  13. JamiiForums

    JamiiForums Tanzania Tamko kuhusu JamiiForums kuendelea kuzuiliwa kupatikana nchini Tanzania

    TAARIFA KWA UMMA Mnamo Septemba 6, 2025, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilisitisha Leseni ya Maudhui Mtandaoni ya JamiiForums na kuzuia upatikanaji wa jukwaa kwa siku 90, kwa madai ya ukiukwaji wa Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta. Pamoja na kutambua athari kwa haki ya...
  14. Cyclopedia

    JamiiForums Tanzania CDF toa tamko bado mapema

    Hadi muda huu bwana Mkunda yupo kimya. Anasubiri ngoma itoe GG, (mambo yavurugike) ndo aje na matamko uchwara😉
  15. Richard

    JamiiForums Tanzania Balozi za China, Saudi Arabia, Russia, Korea Kaskazini na UAE bado twangojea tamko lenu juu ya mauaji na madhila yanofanywa na serikali ya Tanzania.

    Balozi hizi zimekuwa kimya mno na juu ya kinoendelea nchini. Twangojea balozi hizi zitoe matamko au tamko moja kama tamko lilotolewa na balozi 17 zilizopo hapa nchini. Balozi hizi 17 zina makazi yake hapa nchini na bila shaka wala chembechembe za ushahidi wowote ule maofisa wake wameona...
  16. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri Kombo: Tanzania hatutakufa kwa kukosa fedha za EU

    Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) limepitisha azimio linalopendekeza kusitishwa kwa ufadhili wa fedha za maendeleo kwa Tanzania, likieleza wasiwasi juu ya mazingira ya kisiasa na ukiukaji wa haki za binadamu ulioripotiwa baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025. Uhusiano wa Tanzania na Umoja wa Ulaya...
  17. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania TEC wanatoa Tamko moja. Wananyamaza. Sisi tunatoa mia moja hawajibu hata moja. Ni Dharau

    Inatia hasira. TEC wanadharau sana. Serikali iangalie jambo hili kwa ukaribu sana. Hawa TEC wakitoa tamko kisha wakaja jibiwa wala hawahangaiki kufafanua au kujibishana. Hiyo ni dharau na kiburi kuonesha wao hawajibishani na vilaza au wasiojielewa. Hili jambo linanikwaza. Serikali imejaribu...
  18. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Tamko moja tu la TEC, wametokeza Mashekh 100. Je, wakitoa la pili si mtakufa kabisa?

    GT Hao maaskofu wana msemo wao unasema " Don't argue with the fool"( Yaani usibishane na mjinga). inawezekana ikawa slogan fupi lakini ina ujumbe mzito sana. TEC wameshasema mara moja na hawajaja tena kusema lolote lakini BAR KWATA taasisi zote zime chomoza hadi za mchongo in short wanaongea...
  19. ngara23

    JamiiForums Tanzania Sisi waislam wenye akili tunaunga mkono tamko la TEC

    Asalam Alyekum.. Naona wameibuka mashehe ubwabwa wanaotumiwa ili kujaribu kupinga dhuruma na mauaji ya Raia TEC walimtoa tamko la kisomi kabisa Hawa mashehe badala wawajibu wao wanapandikiza chuki Hivi hii Taasisi ya BAKWATA inayoshindwa kuweka mawakili kuwatetea mashehe wanaosota gerezani...
  20. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wahadhiri Dini ya Kiislam: Lissu aliposhambuliwa Dodoma, TEC hawakutoa tamko sababu rais alikuwa Mkatoliki; Ushahidi wa Tamko la TEC

    Kuna maoni nilisoma mtu akishauri kuwa, Hawa Masheikh na Wanazuoni wanaojitokeza kushambulia TEC wanazidi kuharibu kwani wanaongea hisia badala ya Logics. Nimemsikiliza huyu Sheikh anasema kuwa Lissu alishambuliwa Dodoma, lakini TEC hawakutoa tamko lolote sababu Rais alikuwa Mkatoliki. Katika...
Back
Top Bottom