ajira

  1. Murtapha68

    Usaili wa ajira za polisi zitafanyika sehemu gani Singida?

    wadau interview ya ajira za jeshi la polisi mkoa wa singida zitafanyika sehema gani? Hadi sasa hakuna taarifa rasmi kwa anayefahamu atusaidie
  2. emmarki

    Maelekezo muhimu kutoka utumishi kwa wanaoomba ajira za ualimu

    Ewe unayeomba ajira za ualimu hakikisha umefuata maelekezo na masharti kama yalivyoelekezwa na utumishi. Barua yako ya maombi utie saini kwa mkono wako, jidanganye utumie adobe signature unaliwa kichwa. Address ya utumishi usikosee hata nukta, Certify vyeti vya taaluma kama ilivyoelekezwa.....
  3. Kyambamasimbi

    Walimu mlioomba ajira mpya jiandaeni na interview, hii itaondoa malalamiko. Hongera serikali

    Rejea kichwa Cha thread...... Serikali Iko vizuri ni wabunifu.... Walimu mlioomba ajira mpya jiandaeni na interview, hii itaondoa malalamiko. Hongera serikali
  4. Kanye2016

    Ajira kwa Anayeweza kutumia Linkedin & Indeed

    Habari Wakuu. Kuna mchongo hapa nawalete. Nahitaji mtu Anayeweza kutumia Linkedin na Indeed a apply Virtual Jobs nchini Canada au USA. Tukikubaliana nitakutumia CV, wewe kazi yako ni Ku draft Cover Letter, kufungua account kwenye mtandao hii miwili na Ku apply hizo kazi za Virtual based na CV...
  5. Rozela

    Nahitaji Receptionist (member wa JF watapata kipaumbele)

    Maombi yatumwe kwenda info@4jsfitnesscenter.co.tz na si vinginevyo. HATUTA KUULIZA ID YAKO. KWENYE APPLICATION YAKO UTASEMA TU UMEONA TANGAZO JF
  6. Danp36

    Kufuta qualification/cheti ajira portal

    Habari wajuzi, Naomba msaada, mdogo wangu kapata shida ajira portal, ameattach qualification mara mbili kimakosa na anahitaji futa moja... naomba msaada kwa anaejua namna ya kufuta.
  7. Nyanda Banka

    Nafasi za kazi ajira portal ni kizungumkuti

    Yani huu mfumo unachanganya sana watu kwa mfano kwenye kujaza sehemu ya kujaza Professional qualifications kwa watu wa fani ya ualimu hususani Bachelor Degree Tunashida na ajira lakini mifumo yenyewe ya kuombea ajira ni changamoto sana Eeh Mungu baba tusaidie wanao wasaka tonge Tunakosa tena...
  8. BOFREE

    Vitu vya kuzingatia kwa waombaji wa ajira za ualimu na afya secretarieti ya ajira

    napenda kuwakumbusha mambo muhimu ya kuzingatia unapoomba nafasi secretariati ya ajira katika utumishi wa umma 1. hakikisha unatoa copy ya vyeti ikiwemo cha kuzaliwa, sekondari na talaluma na kuweka muhuri wa kuverify kwa wakili, mwanasheria au mahakama 2. unapoandika barua ya maombi...
  9. mdesi

    Sekretarieti ya Ajira hii imekaaje?

    Wanajukwaa salaam! Kilicho nisukuma kuandika uzi huu ni baada ya kushuhudia vijana wengi wakikata tamaa na kujutia maamuzi yao ya kujiendeleza kielimu kwa kukosa haki za kuajiriwa serikalini. Kama tujuavyo, nafasi za kazi zote za serikali hutangazwa na huombwa kupitia mfumo wa sekretarieti ya...
  10. T

    Swali kuhusu ajira hizi mpya za Utumishi

    Naomba kuuliza kuhusu ajira hizi mpya za utumishi ziliotangazwa tar 7/7/2024 Je, kitakuwa na interview? Na kama ipo je waimbaji wataenda dodoma wote au Kwa mikoa na Kama ni kimkoa kumbe selikari Ina pesa kiasi cha kuendesha interview kila mkoa
  11. W

    Maisha ya Biashara Bongo ni magumu kumaintain, Yapo Overrated kwa kuangalia wachache waliopiga mshindo, nasisitiza ajira serikalini ndio mpango

    Na kama unadhani ajira zenye mishahara midogo serikalini wana maisha magumu (mfano uliozoeleka walimu), basi hujui chochote kuhusu biashara, kuna watu wiki nzima hawauzi chochote, Maduka yanafungwa kila kukicha mtu hawezi lipa hata elf 50 ya frem, kufilisiwa nyumba za urithi kwa kushindwa kulipa...
  12. J

    Kubadilisha cheti ajira poral

    Wakubwa tupeane elimu kidogo nataka kujua jinsi ya kudelete cheti nilicho pachika Ajira portal....nimeweka cheti ammbacho hakiko certified ...sasa nikitaka kukitoa hakuna option ya dellete kuna option ya view na Edit basi
  13. Balqior

    Nawakubali sana hawa members wa jf, Mzee wa kupambania, Natafuta ajira, Extrovert, Equation x, mzabzab, DeepPond, Robert mtibeli, Analyse na Umughaka

    Shout out to you brothers, wengine kati yenu mna vipaji vya kuelezea story k.v Eric shigongo, wengine mnatoa post zenye falsafa iliyo timamu, wengine kati yenu huwa nikisomaga comments au post zenu mara nyingi huwaga nacheka kabla ya kujibu, wengine majina yenu ya humu yanachekesha, mara...
  14. Macbook pro

    Nini kilikufanya ukaacha ajira ya serikalini ukaingia sekta binafsi?

    Habari zenu ndugu zangu na wanajamvi letu pendwa la HHM. Nimekuja kwenu tena kama mwanajamvi kujifunza kitu kutoka kwenu. Kama utafuatilia hapo nyuma niliweka uzi wangu juu ya kukosa morali na mvuto na ajira yangu. Labda niweke hivi, Kabla sijaingia kwenye ajira nilikuwa na kibiashara changu...
  15. T

    Je inawezekana ukaomba ajira mkoa mwingine na ukapangiwa mkoa mwingine tofauti na uliyoomba?

    Je inawezekana ukaomba mfano singida lakini ukapangiwa mkoa mwingine tofauti na uliyoomba kwenye hizi ajira na je ni bora kuomba kwenye mikoa ambayo Haina ushindani Yani watu hawaipendi?
  16. Gilbert Prudence

    Ugumu wa ajira Kwa wanafunzi wa SUA

    Me nilikuwa na wazo kuhusu pass mark kwa vyuo vikuu Kwa mfano pass mark ya SUA ni 50+ambayo ni 40-49D 50-59 ni C 60-64 B 65-69B+ 70-100A Hii inawapa wakati mgumu vijana kwenye ajira Kwa mfano mtu mwenye G.P.A ya 3.5 SUA vyuo vingine anakuwa na G.P.A ya 4.3. Kwahyo kwenye qualifications za...
  17. msuyaeric

    Katavi : Rais Samia azalisha ajira za kudumu kwa vijana kupitia mikopo ya asilimia 10

    Vijana wa kikundi cha Kusakizya wilayani Mpanda mkoani Katavi ambao ni wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Serikali kupitia Halmashauri, wameeleza kuwa mkopo huo umewawezesha kupata ajira za kuduma kupitia mradi wa kusindika na kuuza mafuta ya alizeti. Kwa mujibu Muhasibu wa...
  18. Leoboyka

    Ajira portal ni changamoto sana

    Ajira portal imekuja kunyima ajira kwa vijana na si kutoa ajira kama ilivyotarajiwa mwombaji amesoma kuanzia certificate mpaka degree kaweka cv yake pale unahitaji kuomba kazi ya diploma iliyotangazwa Kufuta cheti cha degree ni changamoto sana Msaada kwa anayejua kama naweza update hiyo issue...
  19. D

    Nina elimu ya kidato cha nne, natafuta kazi

    Ndugu zangu natafuta kazi yeyote ya halali mim ni me(24) elimu yangu 4m4 ninaujuzi wa computer napatikana dar mawasiliano yangu 0783090144
  20. R

    Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi Elimu ya Juu (HESLB) kumtumia control namba mtu asiye na ajira ni kumuongezea stress, badilikeni!

    Salaam, shalom!!! Ninapata malalamiko mengi Kwa vijana wangu wengi Walio mtaani wanaopambana kujitafuta Ili wapate chochote kitu Cha kujikimu mahitaji Yao na ya wanaowategemea. HESLB, bodi ya mikopo, unapomkopesha mwanafunzi wa chuo, lazima unakuwa na taarifa zake, namba ya simu IPO, namba ya...
Back
Top Bottom