jambo

Jambo (17 April 1961 – 16 September 1992) was a gorilla housed at Durrell Wildlife Park in Jersey, Channel Islands. He was involved in an incident in which he was seen to be protective of a child who fell into his enclosure.

View More On Wikipedia.org
  1. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Nimekutana na Demu wa Kiarabu Toronto. Amenifundisha jambo la ajabu sana

    Nlikutana naye Supermarket moja inaitwa T&T ana makalio yanaonekana ingawa kavaa baibui. Sasa ikawa kila nikizunguka nakutana naye. Kama mara 3 hivi. Mwishowe akaja niuliza kama kitu flani nmewahi kutumia ni kizuri. Nikamwambia ni kizuri nmewahi tumia na ni halal kwake. Akacheka na kushukuru...
  2. Bei rahisi Electronicks

    JamiiForums Tanzania Nahiitaji ushauri kuna jambo linanisumbua

    Sasa natimiza mwaka wa pili tangu niajiriwe serikalini. Nataka kuongeza elimu maana niliajiriwa na Form Six. Nafanya kazi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, nipo Zanzibar. Kwa mujibu wa kazi yangu, siruhusiwi kusoma mpaka nipate kibali kutoka kwa mkuu wangu, na hawakubali kutoa labda kwa watoto...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa TLS na vyama vya siasa na hata CCM wenyewe, ni kwenda mahakamani kupinga katazo la waziri la mikutano ya hadhara, jambo la kikatiba

    Serikali ya Raisi Samia imefika mahali inafikiri kwamba inaweza kuamua jambo lote lile kufanyika hapa nchini, hata kama kufanya hivyo ni kupingana na katiba ya nchi. Serikali hii imefanya maamuzi mengi ya kukiuka katiba, kufikia hata kiwango cha kuua raia wasio na silaha kwa sababu tu...
  4. Moto wa volcano

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukipata mke anayeomba ushauri wako jambo la kushukuru Mungu

    Wanaume huwa tunavimba vichwa sana kuona mke anakuja kuomba ushauri wa mambo yake ni utiifu wa kiwango cha juu , akiwa na jambo utasikia subiri hubby aje niongee naye hafanyi jambo bila kumshirikisha mume . Mke wa aina hii anavutia sana
  5. idiomer

    JamiiForums Tanzania Utapeli upo huu upo? Ama kweli Bongo Dar es Salaam

    Siku kadhaa zimepita niliona jambo akili yangu ikawaza sanaaa. Je wajua jambo gani tiririka na uzi huu mwenetu. Bongo Dar es Salaam Jiji la watu wapatao milioni 6 na ushee wakubwa kwa wadogo lakini wote wakubwa. Jiji maarufu la vyakula vitatu wali, chips na ugali. Jiji lenye vyanzo...
  6. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO ‘Watumishi wa Kujitolea’ wanaotumika na Ofisi za Ardhi Manispaa ya Sumbawanga ni kero kubwa kwa wananchi

    Habarini, Ofisi za ardhi Manispaa ya Sumbawanga imeendelea kuwatumia “watumishi wa kujitolea” licha ya wananchi kulalamikia jambo hili mara kwa mara kwenye ngazi husika. Kuna watu wapo pale tangu 2010 wanajitolea tu hadi leo wakilalamikiwa wanapumzika kidogo halafu wanarudishwa kitu ambacho...
  7. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna jambo linatisha na kutisha:Kampuni ya META inakuwaje kurespond kutoka CCM ndio META wapate ruhusa.

    Kuna majaribio ambayo naona wengi watakufa na kweli mtakufa .Hii serikali inawezekana kuna pesa zina kwenda META. Leo data analysis inaonyesha META kabla ya kufanya kuijadili CCM inapita CCM ku verify na kama ukiripoti fanyeni majaribio mnapata kizingiti cha CCM ni kama CCM ni mamraka ya TCRA...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Hakuna jambo lililoniuma mwaka huu kama kutochaguliwa Uhamiaji ukizingatia nina Barchelor of Arts in Law Enforcement na JKT Certificate ninayo

  9. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Tujifunze jambo hapa kutoka kwa R. Kelly na P. Diddy

    Kuna muda Watu hujiuliza swali hili mara nyingi sana lakini wasipate majibu. Unamwona mtu kama R. Kelly, mwenye kipaji kikubwa, utajiri na umaarufu. Ni aina ya mtu ambaye angeweza kuingia katika chumba chochote duniani na kutoka akiwa ameambatana na mwanamke yeyote ambaye angemtamani. Lakini...
  10. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Mbunge Simai: Kuna Yuda Msaliti ndani ya Serikali hili anatafuta huruma kanisani

    Mbunge wa Baraza la Wawakilishi na Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu, Simai Mohammed Said, amesema mafanikio ya Serikali katika ukusanyaji wa mapato yanaonyesha kuwa Tanzania ipo katika mwelekeo sahihi wa kiuchumi chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Akichangia mjadala wa Bajeti ya...
  11. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Kupeleka wazee kushangilia Serengeti Boys kwa gharama za serikali ni jambo lisiloeleweka

    Wakuu nimeangalia video na picha kadhaa wazee wakiwa kwenye ndege kuishangilia Serengeti Boys kwa gharama za serikali. Hii sikubaliani nayo kabisa. Hawa wazee kwenye ajira na uongozi hawaachii ngazi ila bado hata nafasi ya vijana kwenda kushangilia vijana wenzao wanabana.. HII NI AIBU. Ila...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Katika jambo ambalo Mama Samia kafanya na litaacha kumbu kumbu ni kuwapandisha watumishi madara

    Serikali ya awamu ya sita imefanya mambo mengi yapo mabaya na mzuri. Kwa upande wa watumishi Mh rais amejitahidi sana, kuanzia mseleleko mpaka kupanda kawaida , Kwahili Kwa kweli anastahili pongezi. Ushauri wangu kwako achana na washauri maslahi. Ambao always hutoa ushauri unaolinda maslahi...
  13. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania Kipi kipo nyuma ya shamrashamra za mastaa wa Kimataifa wanaokuja Bongo: Kuna jambo, au tunatolewa kwenye reli?

    Katika kipindi cha hivi karibuni, Tanzania imeshuhudia ujio wa watu maarufu duniani kama Didier Drogba na Rio Ferdinand ikielezwa kuwa ni kwa mwaliko wa Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo inayoongizwa na Paul Makonda. Kwa juu juu, hatua hii inaweza kuonekana kama jitihada za...
  14. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Nitaenda Magogoni kuhoji hili jambo

    Kuna project naiona ya kubomoa majengo ya zamani ya umma (NHC) na kujenga majengo mengine .KARIAKOO-DSM Tukumbuke haya majengo mengi yalitaifishwa na Baba wa taifa ili yamilikiwe na umma. Nitahoji mnajenga majengo ya umma au siyo ya umma. Wameuza viwanja kwa gharama ya sh ngapi na pesa zipo...
  15. DogoWaNjombe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Julio: Makocha Wazawa tuliipeleka Timu AFCON tukatolewa kiuhuni, lilikuwa jambo baya sana lile

    Kocha wa Mashujaa FC, Jamhuri Kihwelo 'Julio': “Sometimes napenda Kujilipua, singoji mpaka nife mje mnisifie, kazi aliyofanya Hemed Morocco, Juma Mgunda na mimi kuipeleka timu AFCON afu tukatolewa kiuhuni ni jambo baya sana.
  16. Nanren

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sipho "Jambo" Johnson: Sikujua kama huyu dogo alishatangulia

    Nilipenda sana reggae zake zilizokuwa zinamidungo ya kiafrika afrika. Watu wengine walifikiri miziki yake ni ya Lucky Dube. Leo ndio nimejua kuwa alishafariki miaka kadhaa iliyopita. RIP Sipho Johnson "Jambo"" https://www.youtube.com/watch?v=T7J9JjrDzUA...
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Tunazalisha Wataalamu wa Famasi Halafu Tunawanyima Mitaji Wakati Tunatumia Mabilioni Kuagiza Dawa

    Nina jambo moja ambalo linaumiza vijana wengi waliosoma famasi Tanzania. Serikali imetumia mabilioni kusomesha wataalamu wa famasi, lakini baada ya kuhitimu tunaachwa bila mtaji, bila uwezeshaji na bila nafasi ya kujenga viwanda vya dawa nchini. Wakati huo huo, kila siku serikali inaendelea...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Kwenu wabunge wa Kanda ya Ziwa: Airport ya Mwanza iboreshwe lakini hoja zenu za kikanda zisiwe sababu ya kupinga ujenzi wa uwanja wa Serengeti

    Serengeti ni moyo wa utalii wa Tanzania, halafu bado tunabishana kuhusu airport? https://youtu.be/9eOKGUVCjA4?si=UOzbKsu_RKP-Xeck Wakenya waliona tumelala, wana mipango ya kujenga airport karibu na Maasai Mara ili watalii watue moja kwa moja karibu na destination yao. Tumechelewa sana kuweka...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Waitara: Wabunge tunapata huduma ya bima lakini wazazi wetu hawajajumuishwa, inaleta taharuki katika familia

    Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara, amehoji sababu za wazazi wa wabunge kutojumuishwa katika huduma za bima ya afya wanazopata wabunge, huku akielezea changamoto kubwa wanazopata familia nyingi wakati wazazi wanapougua. Akizungumza bungeni leo Mei 12, 2026, Waitara ameeleza kuwa utaratibu...
  20. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Bunge lifanye jambo pale kwenye katiba ili Mama atuongoze angalau kwa miaka mingine 7 baada ya 2030, ndo hitaji la wananchi wengi kwa sasa

    Kwa sheria ya mabadiliko ya katiba, bunge lina nafasi kubwa ya kurekebisha katiba. Wananchi tulio wengi tumeona MAMA ANATOSHA AONGEZEWE MUDA. Bunge lifanya kitu kabla ya 2030 ili mama aendelee kuongoza kwa miaka mingine 7. Wazalendo tunataka mama amalize kabisa malengo yake mema kwa nchi hii...
Back
Top Bottom