Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, akizungumza katika kipindi cha Medani Kuu cha Star TV, amesema Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imeendelea kufanya kazi kubwa ya kuwaletea maendeleo wananchi.
Kihongosi amesema kuwa watu wanaodai kuwa...
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ametangaza kufutwa kwa zoezi la usafi lililokuwa likifanyika kila Jumamosi katika Mkoa wa Dodoma.
Akizungumza katika tukio hilo, Mkuu huyo wa Mkoa amesema hatua hiyo imechukuliwa kutokana na sababu mbalimbali, huku akisisitiza umuhimu wa wananchi kuendelea kutunza...
▪︎ Aagiza Wizara ya Fedha na Uchukuzi kuharakisha utekelezaji.
▪︎ Aelekeza leseni za madini zisizoendelezwa kufutwa.
▪︎ Asisitiza kupunguzwa kwa matumizi yasiyo ya lazima.
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameiagiza Wizara ya Fedha na Wizara ya Uchukuzi, kwa kushirikiana na Shirika la Reli...
Yaani siku hizi wanamke akipita mbele ya wanaume bila wimbo, "singida Dodoma" kusindikiza hatua zake, basi mambo kadhaa lazima yatokee.
1. Atakumbilia uturumia (kama ana pesa).
2. Atapatwa na msongi wa mawazo na kushindwa kujiamini akatizapo mbele za watu na hivyo atajifungia ndani n.k...
https://www.youtube.com/live/XCDPRo8_24s?si=IW7oNMtLDpnRMsbH
LIVE: Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba Leo September 03,2026 ni Mgeni Rasmi ufunguzi wa Kongamano la Tano la Kitaifa Ushiriki wa Watanzania.
Hafla hiyo inafanyika katika ukumbi wa mikutano wa PSSSF, Makole jijini Dodoma
Sisi walimu walioajiriwa Januari 2026 katika Wilaya ya Mpwapwa, Dodoma, hatujapewa fedha za kujikimu. Mamlaka zimekuwa zikituzungusha bila majibu ya msingi.
Tunaomba msaada wa kupaza sauti yetu ili suala hili lipatiwe ufumbuzi.
Nafasi hizo ni kwaajili ya kukuza mauzo katika kanda ya Mvumi Territory ya Dodoma
Vigezo
1. Ajuwe kusoma na kuandika
2. Awe na smartphone
3. Awe na akili timamu
4. Umri kuanzia miaka 18 na kuendelea
5. Upande wa Tl Awe na uwezo wa kusimamia timu Elimu zaidi ya kidato cha 4 ama sawa na...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi, pamoja na familia yake wameungana na waumini mbalimbali katika kushiriki Ibada ya Misa Takatifu ya Jumapili, katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Paulo wa Msalaba Jimbo Kuu Katoliki Dodoma. Tarehe 30 Agosti 2026.
Nikiwa miongoni mwa waombaji tuliopata neem ya kuhudhuria kongamano la 18 la maombi ya kutafita makao makuu ya serikali Dodoma.
Miongoni mwa masomo ambayo tulipata kujifunza ni juu ya umuhimu wa kuomba kwa habaro ya Nchi.
Mtumishi wa Mungu Mwl Mwakasege alitufundisha faida 7 za kuombea nchi na...
WANAHARAKATI, KABLA YA KUDAI-ULIZENI KWANZA! DEOGRATIUS JOHN NDEJEMBI NI KIJANA WA DODOMA.
Wanaharakati, kama hamjui jambo fulani, ni vyema kuuliza. Kuna watu wako tayari kuwasaidia kupata taarifa sahihi badala ya kukurupuka na kutoa hitimisho lisilo na msingi.
Jambo dogo kama kutokujua asili...
Ofisi za Kampuni ya Mabasi ya Machame Investment Arusha waweka huduma ya choo lakini ni ya kulipia hata kwa abiria, unapaswa kulipia Shilingi 300 hata kama una tiketi.
Jambo hili lipo pia katika Ofisi ya Machame Dodoma njiapanda ya Area c, kuna choo ambacho ni cha kulipia nafikiri siyo kitu...
Ofisi ya Afisa Elimu Jiji Dodoma haiko na utaratibu mzuri wa kusikiliza Watu wanaohitaji huduma za Afisa Elimu.
Nimekuwa nikifuatilia barua ya ruhusa wiki mbili sasa lakini kila nikienda nakutana na PS naambiwa mpaka boss awepo.
Akija Afisa Elimu anakaa dakika tano ofisini kisha anatoka...
Anonymous
Thread
afisa
afisa elimu
dodoma
elimu
huduma
jiji
kusikiliza
ofisi
utaratibu
wananchi
Sio poa Dodoma wameweka historia ya kipekee unaambiwa chinangali ili pelea kutokana na mauzo ya TIKETI kuwa makubwa kilicho fuata ikabidi ukuta uvunjwe pia kuunganisha Hadi parking, ili watu wapate nafasi.
Ikumbukwe Diamond katoka kufanya show juzi kwenye tour yake lakini haikua nyomi ka Hil...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.