Habari wana JamilForums,
Mimi ni fundi mbobevu wa samani
(furniture maker) na mwanzilishi wa chapa
ya Heritage Style. Natafuta mwekezaji anayependa kushirikiana nami katika kukuza biashara ya samani bora jijini Dodoma.
Nina uwezo na utaalamu wa kutengeneza samani za kisasa zenye viwango...
Wakuu nina jino la uzeeni limeota mwisho kabisa upande wa juu.
Mwanzo nimelivumilia nikajua likiota litapona maumivu, ila yamezidi na nikigusa naona jino linatokezea kwa pembeni nje ya usawa wa mengine.
Naomba kujuzwa hospital nzuri ya meno kwa Dodoma yenye gharama nafuu
MHE. GHATI CHOMETE ATEMBELEWA NA MADIWANI WA HALMASHAURI YA MJI WA TARIME-BUNGENI DODOMA
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Mhe. Ghati Zephania Chomete ametembelewa na Wahe.Madiwani wakiongozwa na Mhe.Thobias Elias Ghaty- M/Kiti wa Halmashauri ya Mji wa Tarime.
Madiwani hao walifika Bungeni...
Jumla ya wananchi 537 wamepatiwa huduma za kibingwa na kibobezi katika banda la Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma.
Maadhimisho hayo yamehitimishwa leo, Juni 23, 2026 na...
ATCL YAZINDUA SAFARI ZA MWANZA - DODOMA, ABIRIA 1300 KWA SIKU
Shirika la Ndege Tanzania(ATCL), limezindua safari zake za utoaji huduma kati ya Mwanza -Dodoma ikiwa ni kurahisisha safari kwa watumiaji kwa njia ya anga.
Safari hizo zilianza Juni 5,2026, ikitajwa kusaidia wafanyabiashara na...
MASHIRIKA YANAYOCHELEWESHA MIRADI YA PPP SASA KUWEKWA KITIMOTO BUNGENI DODOMA
===
SPIKA ZUNGU amesema kuwa baadhi ya miradi ya PPP imekwama kwa muda mrefu, hali inayosababisha kupungua kwa mapato ya serikali. Amesema kutokana na hilo, amemwagiza Mtendaji Mkuu wa PPP kuwasilisha orodha ya...
Naomba niwasilishe taarifa hii tukiwa na uchungu mwingi kama familia, hapa tunapoandika ujumbe huu tunajiandaa nyumba yetu kubomolewa Jumamosi hii Juni 13, 2026.
Sababu kubwa ikiwa ni dhuluma, mbinu chafu za baadhi ya maafisa wa ardhi kuhusu kiwanja na nyumba yetu iliyopo Image - Kikuyu Kusini...
Anonymous
Thread
ardhi
ardhi dodoma
bila
dodoma
hati
hati ya kiwanja
kiwanja
mchezo
nyumba
ridhaa
takukuru
My Take
Sasa Dar inaenda kuwa kama Mombasa na Dom kuwa kama Nairobi.
Siku zote anakolala Baba ndiko taulo linatunzwa.Pia soma Jiji la Dodoma Laipiku Dar na Kuwa Kimbilio la Biashara ya Kupangisha Nyumba za Kuishi na Biashara (Frame) | JamiiForums Tanzania Jiji la Dodoma Laipiku Dar na Kuwa...
Kwa mara ya kwanza katika Historia Jiji la Dodoma limepindua meza na kuwa Kimbilio la Biashara ya makazi yaani real estates.
Dom ndio Jiji linajengwa Kwa kasi makazi ya kuishi na biashara kiasi kwamba bei ya kupanga chumba Cha duka Dom ni kubwa kuliko Dar.
=============
Dodoma, mji mkuu wa...
Habari anahitajika dereva wa bajaji (used ) ya mkataba.
Dodoma mjini mkataba ni mwaka mmoja.
Vigezo
- Awe na leseni
-Mdhamini mmoja
Kwa yeyote aliye tayari anicheck whatsapp 0743315931
Deadline 1/06/2026
Wachangiaji wote waliochangia bajeti ya mambo ya nje Kila mtu alimsifia Samia
Nape Samia
Bulaya Samia
Kingu Samia
Samia Samia Samia
Wao wanafanya kazi Gani Sasa kama Kila kitu anafanya Samia?
Kwani huwezi ongea bila kutaja jina la raisi?
Kwann waitwe waheshimiwa Hawa ?
Kwa waliomsikia Godbless Lema akihutubia mkutano wa hadhara mkoani Dodoma leo hii, bila shaka watakubaliana na mimi kwa jinsi Lema alivyomshukia Mwigulu kwa kauli yake kuhusu watu kutekwa kuwa ni michezo.
Binafsi, siamini kama Mwigulu anaweza kusikiliza hiyo clip mpaka mwisho na akabaki sawa...
Mechi kati ya Simba na Dodoma Jiji inapigwa leo, Mei 24, 2026 kwenye uwanja Wa KMC, Simba inaingia kwenye mche huu ikiwa nyumba ya Yanga kwa pointi 2, Ikiwa na alama 55 ya pili kwenye msimamo huku Dodoma ikiwa na alama 33, na ya 8 kwenye msimamo.
Nani kuongeza alama? Ni moja au 3 acha tuone au...
Dkt. Samia Suluhu Hassan kubadili majiji, Dar es Salaam na Dodoma.
📌Atatandaza Flyover Tabata, Morocco, Mwenge hadi Kongowe
📌Zitafuata pia za makutano ya Fire, Magomeni na eneo Kamata
📌Dar, Mkoa Pwani kushuhudia barabara njia 8, Dodoma njia 6
Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange, amesema mradi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Zuzu, Dodoma, unatarajiwa kukamilika ifikapo Agosti 18, 2026.
Akizungumza Mei 20, 2026 wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya mradi huo katika mikoa ya...
Baada ya andiko lililowekwa na Mdau kupitia Fichua Uovu ndani ya JamiiForums.com, alipoandika “Watu 178 tulipata ajira VETA, tukaenda kuripoti Dodoma, ni mwezi wa tatu huu hatujapangiwa kituo, wametusahau?”
Meneja Uhusiano kwa Umma na Masoko wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi...
4:00 Asubuhi**
3. Lengo la Ziara:
1. Mkutano wa Hadhara - Mnemia, Kondoa
2. Kukagua ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Amali Kingale
3. Mkutano wa Hadhara - Puma
4. Utangazaji wa Moja kwa Moja - MBASHARA
Matukio yataonyeshwa moja kwa moja kwenye vituo hivi:
Maelezo TV, TBC, ITV...
Kumekuwa na maneno, machapisho mitandaoni kwamba, ruti ya mabasi ya Shabiby Line kutoka Dodoma kwenda Tanga kupitia Chalinze imekufa. Siyo kweli hata kidogo.
Ruti hiyo bado ipo palepale na ipo vilevile. Dodoma- Tanga na Tanga- Dodoma kupitia Chalinze kama vibao vya utambulisho mbele ya mabasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.