dodoma

  1. Jerry pro

    JamiiForums Tanzania FURSA DODOMA

    Habari wana JamilForums, Mimi ni fundi mbobevu wa samani (furniture maker) na mwanzilishi wa chapa ya Heritage Style. Natafuta mwekezaji anayependa kushirikiana nami katika kukuza biashara ya samani bora jijini Dodoma. Nina uwezo na utaalamu wa kutengeneza samani za kisasa zenye viwango...
  2. Top for B

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada ya Hospital nzuri ya meno Dodoma

    Wakuu nina jino la uzeeni limeota mwisho kabisa upande wa juu. Mwanzo nimelivumilia nikajua likiota litapona maumivu, ila yamezidi na nikigusa naona jino linatokezea kwa pembeni nje ya usawa wa mengine. Naomba kujuzwa hospital nzuri ya meno kwa Dodoma yenye gharama nafuu
  3. H

    JamiiForums Tanzania Chomete atembelewa na madiwani wa halmashauri ya mji wa Tarime-Bungeni Dodoma

    MHE. GHATI CHOMETE ATEMBELEWA NA MADIWANI WA HALMASHAURI YA MJI WA TARIME-BUNGENI DODOMA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Mhe. Ghati Zephania Chomete ametembelewa na Wahe.Madiwani wakiongozwa na Mhe.Thobias Elias Ghaty- M/Kiti wa Halmashauri ya Mji wa Tarime. Madiwani hao walifika Bungeni...
  4. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Wananchi 537 wahudumiwa katika banda la MOI wiki ya utumishi wa umma Dodoma

    Jumla ya wananchi 537 wamepatiwa huduma za kibingwa na kibobezi katika banda la Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma. Maadhimisho hayo yamehitimishwa leo, Juni 23, 2026 na...
  5. O

    JamiiForums Tanzania ATCL Yazindua safari za mwanza - dodoma, abiria 1300 kwa siku

    ATCL YAZINDUA SAFARI ZA MWANZA - DODOMA, ABIRIA 1300 KWA SIKU Shirika la Ndege Tanzania(ATCL), limezindua safari zake za utoaji huduma kati ya Mwanza -Dodoma ikiwa ni kurahisisha safari kwa watumiaji kwa njia ya anga. Safari hizo zilianza Juni 5,2026, ikitajwa kusaidia wafanyabiashara na...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Spika Zungu aagiza Uchunguzi wa Miradi ya PPP iliyokwama

    MASHIRIKA YANAYOCHELEWESHA MIRADI YA PPP SASA KUWEKWA KITIMOTO BUNGENI DODOMA === SPIKA ZUNGU amesema kuwa baadhi ya miradi ya PPP imekwama kwa muda mrefu, hali inayosababisha kupungua kwa mapato ya serikali. Amesema kutokana na hilo, amemwagiza Mtendaji Mkuu wa PPP kuwasilisha orodha ya...
  7. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Hati ya Kiwanja imebadilishwa bila ridhaa yetu, TAKUKURU wamebaini ‘mchezo’, aliyepewa hati na Ardhi Dodoma anakuja kutuvunjia nyumba

    Naomba niwasilishe taarifa hii tukiwa na uchungu mwingi kama familia, hapa tunapoandika ujumbe huu tunajiandaa nyumba yetu kubomolewa Jumamosi hii Juni 13, 2026. Sababu kubwa ikiwa ni dhuluma, mbinu chafu za baadhi ya maafisa wa ardhi kuhusu kiwanja na nyumba yetu iliyopo Image - Kikuyu Kusini...
  8. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Kwa Heri Dar (Mkoani) Karibu Dodoma HQ. Serikali Kuifanya Dodoma kuwa Kitovu Kikuu Cha Uchumi wa Nchi

    My Take Sasa Dar inaenda kuwa kama Mombasa na Dom kuwa kama Nairobi. Siku zote anakolala Baba ndiko taulo linatunzwa.Pia soma Jiji la Dodoma Laipiku Dar na Kuwa Kimbilio la Biashara ya Kupangisha Nyumba za Kuishi na Biashara (Frame) | JamiiForums Tanzania Jiji la Dodoma Laipiku Dar na Kuwa...
  9. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Serikali ya jiji Dodoma imetoa amri kubomoa nyumba yetu na kuondoka ndani ya siku 7

    Tunakiwanja chetu . Tuna doc zote lililipia hati toka 2019 tukawa tunafuatilia hati tunaambiwa file letu halionekani 2024 tukaenda kuchukua kibali cha ujenzi ili tuanze kujenga tukapewa kibali cha ujenzi, ile tunataka kuanza ujenzi akaja dada mmoja alie kua jirani yetu anasema anahati na pale...
  10. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Jiji la Dodoma Laipiku Dar na Kuwa Kimbilio la Biashara ya Kupangisha Nyumba za Kuishi na Biashara (Frame)

    Kwa mara ya kwanza katika Historia Jiji la Dodoma limepindua meza na kuwa Kimbilio la Biashara ya makazi yaani real estates. Dom ndio Jiji linajengwa Kwa kasi makazi ya kuishi na biashara kiasi kwamba bei ya kupanga chumba Cha duka Dom ni kubwa kuliko Dar. ============= Dodoma, mji mkuu wa...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Anahitajika Dereva bajaji Dodoma

    Habari anahitajika dereva wa bajaji (used ) ya mkataba. Dodoma mjini mkataba ni mwaka mmoja. Vigezo - Awe na leseni -Mdhamini mmoja Kwa yeyote aliye tayari anicheck whatsapp 0743315931 Deadline 1/06/2026
  12. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Wabunge waliopo Dodoma wanastahili kuitwa waheshimiwa Bado?

    Wachangiaji wote waliochangia bajeti ya mambo ya nje Kila mtu alimsifia Samia Nape Samia Bulaya Samia Kingu Samia Samia Samia Samia Wao wanafanya kazi Gani Sasa kama Kila kitu anafanya Samia? Kwani huwezi ongea bila kutaja jina la raisi? Kwann waitwe waheshimiwa Hawa ?
  13. S

    JamiiForums Tanzania Mwigulu kama amemsikia Lema huko Dodoma leo, sijui atakuwa kwenye hali gani

    Kwa waliomsikia Godbless Lema akihutubia mkutano wa hadhara mkoani Dodoma leo hii, bila shaka watakubaliana na mimi kwa jinsi Lema alivyomshukia Mwigulu kwa kauli yake kuhusu watu kutekwa kuwa ni michezo. Binafsi, siamini kama Mwigulu anaweza kusikiliza hiyo clip mpaka mwisho na akabaki sawa...
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Simba 1 - 0 Dodoma Jiji | Uwanja wa KMC, Mei 24, 2026

    Mechi kati ya Simba na Dodoma Jiji inapigwa leo, Mei 24, 2026 kwenye uwanja Wa KMC, Simba inaingia kwenye mche huu ikiwa nyumba ya Yanga kwa pointi 2, Ikiwa na alama 55 ya pili kwenye msimamo huku Dodoma ikiwa na alama 33, na ya 8 kwenye msimamo. Nani kuongeza alama? Ni moja au 3 acha tuone au...
  15. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Samia Kubadili Dar & Dodoma: Miundombinu Mipya

    Dkt. Samia Suluhu Hassan kubadili majiji, Dar es Salaam na Dodoma. 📌Atatandaza Flyover Tabata, Morocco, Mwenge hadi Kongowe 📌Zitafuata pia za makutano ya Fire, Magomeni na eneo Kamata 📌Dar, Mkoa Pwani kushuhudia barabara njia 8, Dodoma njia 6
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Lazaro Twange: Mradi wa kusafirisha umeme Chalinze - Dodoma wafikia 82.5%, kukamilika Agosti 2026

    Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange, amesema mradi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Zuzu, Dodoma, unatarajiwa kukamilika ifikapo Agosti 18, 2026. Akizungumza Mei 20, 2026 wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya mradi huo katika mikoa ya...
  17. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Madai ya Ajira Mpya VETA walioitwa Dodoma ‘kutelekezwa’, VETA yasema “Wanaandaliwa mafunzo elekezi 21-22 Mei 2026”

    Baada ya andiko lililowekwa na Mdau kupitia Fichua Uovu ndani ya JamiiForums.com, alipoandika “Watu 178 tulipata ajira VETA, tukaenda kuripoti Dodoma, ni mwezi wa tatu huu hatujapangiwa kituo, wametusahau?” Meneja Uhusiano kwa Umma na Masoko wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi...
  18. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ni Dodoma Tena!

  19. U

    JamiiForums Tanzania leo PM Mwigulu Nchemba yupo Kondoa Dodoma Mei 16, 2026

    4:00 Asubuhi** 3. Lengo la Ziara: 1. Mkutano wa Hadhara - Mnemia, Kondoa 2. Kukagua ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Amali Kingale 3. Mkutano wa Hadhara - Puma 4. Utangazaji wa Moja kwa Moja - MBASHARA Matukio yataonyeshwa moja kwa moja kwenye vituo hivi: Maelezo TV, TBC, ITV...
  20. A

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kutoka Dodoma kwenda Tanga kupitia Chalinze, panda mabasi bora ya Shabiby lile, ruti iko vilevile

    Kumekuwa na maneno, machapisho mitandaoni kwamba, ruti ya mabasi ya Shabiby Line kutoka Dodoma kwenda Tanga kupitia Chalinze imekufa. Siyo kweli hata kidogo. Ruti hiyo bado ipo palepale na ipo vilevile. Dodoma- Tanga na Tanga- Dodoma kupitia Chalinze kama vibao vya utambulisho mbele ya mabasi...
Back
Top Bottom