Assume, fikiria njaa imekukaba kweli kweli. Umetoka nje kutafuta chakula haraka ili kuondoa makali ya njaa, kisha unaingia mgahawa wa kawaida tu kuokoa muda.
Unaagiza ugali au wali na mboga. Unapokuwa unasubiri, unaona sahani zinaoshwa kwenye beseni moja lenye maji ambayo tayari yametumika...
"Mama Manyema" anayefanya biashara ya Chakula kariakoo, ana siri kubwa!
1. Hana fremu wala kizimba!
2. Hajapima afya kama miongozo ya afya wala hakaguliwi.
3. Haijulikani anapopikia kwakuwa huleta chakula kwa kirikuu na toroli/guta toka Temeke Sudani!
4. Mama hatoi risiti wala hana leseni ya...
Wapishiii nawaita mara 3, kweli jiko sanaa ila mnazidisha bwana, unakuta mtu kajaza maviungo mpaka hujui unakula viungo au chakula maana ladha halisi ya chakula inapotea na kama una tumbo tia maji kidogo basi unaanza kukimbiza mwenge.
Kuweni wabunifu ila msiwe waharibifu, kama hujui matumizi ya...
Katika dunia ya sasa ambapo miji inaongezeka kwa kasi na gharama za maisha zinapanda kila siku, watu wengi wameanza kugundua nguvu ya “Kilimo cha Mijini” kama njia ya kujitosheleza kwa chakula na hata kujiongezea kipato.
Lakini swali kubwa ni:
👉 Inawezekana kweli kulima ukiwa mjini?
👉 Ni mazao...
Kichuri ni chakula kinachotengenezwa kutokana na mabaki ya chakula kilichosagwa tumboni mwa ng'ombe kabla ya kutolewa kama kinyesi.
Kinapendeza sana kuliwa pamoja na nyama choma. Ni maarufu miongoni mwa Wakurya.
Mabaki ya tumbo (kichuri mbichi) kutoka ng'ombe/mbuzi — safisha vizuri.
Nyongo...
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba jana Mei 11, 2026 alishiriki chakula cha jioni cha kitaifa kilichoandaliwa na Rais wa Kenya Dkt. William Ruto kwa heshima ya Wakuu wa Nchi na Serikali wanaoshiriki Mkutano wa Ushirikiano wa Afrika na Ufaransa
Dkt. Mwigulu yupo nchini Kenya akimuwakilisha Rais...
Habari,
Mimi ni mzazi nawakilisha wazazi wenzangu ambao wamechoshwa na kero hii. Mimi ni Mkazi wa Kibaha Manispaa, mkoa wa Pwani. Tumechoshwa na kero ya michango mashuleni hasa shule ya Msingi Mkuza iliyopo kata ya Picha ya Ndege kituo cha daladala maarufu kwa Mbonde
Wamekuwa na utaratibu wa...
Anonymous
Thread
chakula
kero
kibaha
michango
mkuza
msingi
shule
shule ya msingi
Ndugu wana JF,
Kuna jambo linazidi kuwa kero kwa wasafiri wengi wa mabasi ya mikoani. Ni hii tabia ya makampuni ya bus kusimamisha safari kwenye vituo maalum vya chakula ambavyo bei zake ziko juu kupita kiasi. Abiria tunashushwa hapo kana kwamba hatuna chaguo lingine, wakati ukweli ni kwamba...
Anonymous (c258)
Thread
abiria
bei
chakula
kero
kubwa
kulazimishwa
kushuka
safari
vituo
wakati
Hizi ni baadhi ya SABABU ila inayoshinda na isiyo na shaka ni MOJA.
SABABU.
unakuwa na njaa sana kabla ya kula ukizingatia chakula Cha MSIBANI uchelewa kuliwa, mnaweza kula saa 9, 10, WENGINE ni BAADA au kabla ya mazishi.
Chakula cha msibani huandaliwa kwa juhudi kubwa na wapishi wengi japo...
Kwangu mimi ni chapati sizichoki asee af za mama ntilie hapana nimekuwa affected siwez kula chakula ame pika mwingine na simuamin mtu kwenye swala la kupika ata kama nimechoka kuliko kununua bora nipike
Huo unga wa ppf ni mzuri mnoo
Jiona una kula nini show us
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema hakuna mtoto anayepaswa kuachwa nyuma katika jamii, akisisitiza kuwa kuwahudumia watoto wenye mahitaji maalum si hisani bali ni wajibu wa pamoja wa jamii na Taifa kwa ujumla.
Ameyasema hayo Aprili 6, 2026, alipojumuika na watoto wenye mahitaji maalum...
Tunaambiwa....
Sukari haifai..
Chumvi haifai...
Mafuta hayafai...
Juice ya matunda haifai...
Matunda mchanganyiko hayafai...
Unga wa sembe haufai...
Unga wa dona uliopita mashineni haufai maana unatuvyuma bora strange na kinu hahaha....
Nyama hazifai zinavimelea vya magonjwa ...
Wali...
Utakuta watu wakitofautiana wanabaki kutukanana maandazi wewe ama andazi wewe.
Sasa kwanini andazi ama maandazi itumike kwenye lugha chafu wakati ni kitafunio pendwa?
Utakuta hadi kiazi nayo imekosewa heshima. Utasikia kiazi wewee.
Hivi sisi Niggers tuna shida gani?
adriz de mbusii
Nilizoea kukuta menu za kawaida kama wali maharage, pilau nyama,
wali mboganboga na kadhalika.
Nilipoenda Dodoma kuna migahawa nikakuta wanauza wali ugali nilishangazwa nikijaribu lakini sikupendezwa nayo kabisa. Baadae nikasikia pia kuna menu zaidi kama, ugali burger, piza maharage, ugali...
TANZANIA YAKABIDHI MSAADA WA CHAKULA KWA NCHI YA MSUMBIJI
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekabidhi msaada wa tani 500 za mahindi kwa Serikali ya Jamhuri ya Msumbiji kufuatia mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo kutokana na mvua kubwa zilizonyesha.
Msaada huo umekabidhiwa Machi 24...
Kuna story huwa nasikia kuwa wanaume wanajua kama chakula kimepikwa na wake zao au lah, mfano mwanaume hayupo chakula kikapikwa na mtu mwingine akija kula anajua kabisa aliyepika si mkewe hata kama kitawekwa viungo vilevile ambavyo mke huwa anaweka.
Nini kinawfanya mgundue, au kuna namna...
Wadau naona wengi mna hamaki kusiana na suala la mtu kunyimwa chakula, Utaratibu wa Prison Service Order (PSO) ni kwamba mfungwa au mahabusu atakula chakula gerezani. Gerezani kwa mujibu wa sheria za kimataifa panajulikana kama sehemu salama.
Akipewa chakula popote wapo wanaompenda na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.