chakula

  1. Wakufoji

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini ukila chakula cha mchana kabla ya saa sita tumbo huanza kusumbua kwa kuleta kiungulia ?

    Hivi kwa nini kula chakula cha mchana kabla ya saa sita hupelekea tumbo kushikwa na kiungulia ?.
  2. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Vita ya kwanza ya kijana si biashara, ni chakula

    kipindi cha nyuma tukiwa tunarudi safari za kikazi wilayani namuona boss wangu anajaza viroba vya vyakula mpaka cruiser inajaa ananishauri ninunue debe za mahindi me bishoo hapo naona huo ni ushamba nanunuaje mavyakula wilayani wakati mkoani masoko yapo na kibunda nitakuwa nacho.. nadharau...
  3. H r n

    JamiiForums Tanzania "Je, Watanzania wengi wanakula kwa ajili ya kushiba tu, si kwa ajili ya afya?"

    Watanzania wengi wanakula kwa ajili ya kushiba, si kwa ajili ya afya. Nimegundua watu wengi huangalia chakula kwa lengo la kushiba tu bila kujali virutubisho au athari zake kiafya. Mara nyingi tunachagua chakula kwa bei nafuu, ladha au wingi wake, lakini si kwa ubora wake kiafya. Matokeo yake...
  4. MamaSamia2025

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mnaolipa kodi za nyumba, chakula na ada za watoto huku mkiwa na waume nyumbani wenye afya njema, mmechanganyikiwa? Are you stupid?

    Mbaya zaidi wengine mnawalipia hadi madeni yao binafsi. Acheni upuuzi. Kuna baadhi hadi mnapokea vipigo. Usiingilie majukumu ya mwanaume. He has to provide for his family.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Uchafu migahawani; chakula huwekwa kwenye sahani yenye maji maji kutoka beseni la kuoshea vyombo lenye maji yalilotumika kuosha sahani nyingi

    Assume, fikiria njaa imekukaba kweli kweli. Umetoka nje kutafuta chakula haraka ili kuondoa makali ya njaa, kisha unaingia mgahawa wa kawaida tu kuokoa muda. Unaagiza ugali au wali na mboga. Unapokuwa unasubiri, unaona sahani zinaoshwa kwenye beseni moja lenye maji ambayo tayari yametumika...
  6. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Mama Anauza Sufuria 5 Kubwa za Chakula Kwa Siku: Halipi 100 Serikalini!

    "Mama Manyema" anayefanya biashara ya Chakula kariakoo, ana siri kubwa! 1. Hana fremu wala kizimba! 2. Hajapima afya kama miongozo ya afya wala hakaguliwi. 3. Haijulikani anapopikia kwakuwa huleta chakula kwa kirikuu na toroli/guta toka Temeke Sudani! 4. Mama hatoi risiti wala hana leseni ya...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wapishi mnatukera muda mwingine mnajaza viungo mpaka chakula kinakosa ladha

    Wapishiii nawaita mara 3, kweli jiko sanaa ila mnazidisha bwana, unakuta mtu kajaza maviungo mpaka hujui unakula viungo au chakula maana ladha halisi ya chakula inapotea na kama una tumbo tia maji kidogo basi unaanza kukimbiza mwenge. Kuweni wabunifu ila msiwe waharibifu, kama hujui matumizi ya...
  8. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Je, kilimo cha mijini ndicho suluhisho la chakula na biashara ya baadaye?

    Katika dunia ya sasa ambapo miji inaongezeka kwa kasi na gharama za maisha zinapanda kila siku, watu wengi wameanza kugundua nguvu ya “Kilimo cha Mijini” kama njia ya kujitosheleza kwa chakula na hata kujiongezea kipato. Lakini swali kubwa ni: 👉 Inawezekana kweli kulima ukiwa mjini? 👉 Ni mazao...
  9. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Namna ya kuandaa chakula bora murua kwa jina la kichuri

    Kichuri ni chakula kinachotengenezwa kutokana na mabaki ya chakula kilichosagwa tumboni mwa ng'ombe kabla ya kutolewa kama kinyesi. Kinapendeza sana kuliwa pamoja na nyama choma. Ni maarufu miongoni mwa Wakurya. Mabaki ya tumbo (kichuri mbichi) kutoka ng'ombe/mbuzi — safisha vizuri. Nyongo...
  10. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu ashiriki chakula cha jioni kilichoandaliwa na Rais Ruto

    Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba jana Mei 11, 2026 alishiriki chakula cha jioni cha kitaifa kilichoandaliwa na Rais wa Kenya Dkt. William Ruto kwa heshima ya Wakuu wa Nchi na Serikali wanaoshiriki Mkutano wa Ushirikiano wa Afrika na Ufaransa Dkt. Mwigulu yupo nchini Kenya akimuwakilisha Rais...
  11. Forrest Gump

    JamiiForums Tanzania Ningependa mchana huu chakula hiki anipikie Seran

    Step by step atanifahamu mrembo huyu na ipo siku atafungua prime minister (PM) yake. Sikati tamaa
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna kero ya Michango ya Uandikishaji na Chakula Shule ya msingi Mkuza

    Habari, Mimi ni mzazi nawakilisha wazazi wenzangu ambao wamechoshwa na kero hii. Mimi ni Mkazi wa Kibaha Manispaa, mkoa wa Pwani. Tumechoshwa na kero ya michango mashuleni hasa shule ya Msingi Mkuza iliyopo kata ya Picha ya Ndege kituo cha daladala maarufu kwa Mbonde Wamekuwa na utaratibu wa...
  13. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Hii ni aina gani ya bunduki alieonekana nayo mlinzi wa raisi mapema leo baada ya kashi kashi katika hafla ya chakula cha jioni?

  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Abiria kulazimishwa kushuka kwenye vituo vya chakula vyenye bei kubwa wakati wa safari

    Ndugu wana JF, Kuna jambo linazidi kuwa kero kwa wasafiri wengi wa mabasi ya mikoani. Ni hii tabia ya makampuni ya bus kusimamisha safari kwenye vituo maalum vya chakula ambavyo bei zake ziko juu kupita kiasi. Abiria tunashushwa hapo kana kwamba hatuna chaguo lingine, wakati ukweli ni kwamba...
  15. O

    JamiiForums Tanzania Kwanini chakula Cha MSIBANI ni kitamu?

    Hizi ni baadhi ya SABABU ila inayoshinda na isiyo na shaka ni MOJA. SABABU. unakuwa na njaa sana kabla ya kula ukizingatia chakula Cha MSIBANI uchelewa kuliwa, mnaweza kula saa 9, 10, WENGINE ni BAADA au kabla ya mazishi. Chakula cha msibani huandaliwa kwa juhudi kubwa na wapishi wengi japo...
  16. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Kipi chakula chako pendwa?

    Kwangu mimi ni chapati sizichoki asee af za mama ntilie hapana nimekuwa affected siwez kula chakula ame pika mwingine na simuamin mtu kwenye swala la kupika ata kama nimechoka kuliko kununua bora nipike Huo unga wa ppf ni mzuri mnoo Jiona una kula nini show us
  17. H

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu ashiriki chakula na watoto wenye mahitaji maalum, asisitiza upendo na wajibu wa jamii

    Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema hakuna mtoto anayepaswa kuachwa nyuma katika jamii, akisisitiza kuwa kuwahudumia watoto wenye mahitaji maalum si hisani bali ni wajibu wa pamoja wa jamii na Taifa kwa ujumla. Ameyasema hayo Aprili 6, 2026, alipojumuika na watoto wenye mahitaji maalum...
  18. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Watu wa Afya tuchukue lipi mbona kila chakula hakifai kwa mujibu wenu? Nyie huwa mnaishije?

    Tunaambiwa.... Sukari haifai.. Chumvi haifai... Mafuta hayafai... Juice ya matunda haifai... Matunda mchanganyiko hayafai... Unga wa sembe haufai... Unga wa dona uliopita mashineni haufai maana unatuvyuma bora strange na kinu hahaha.... Nyama hazifai zinavimelea vya magonjwa ... Wali...
  19. Driz de Mafwele

    JamiiForums Tanzania Maandazi ni chakula lakini yamegeuzwa kuwa tusi ama madharau

    Utakuta watu wakitofautiana wanabaki kutukanana maandazi wewe ama andazi wewe. Sasa kwanini andazi ama maandazi itumike kwenye lugha chafu wakati ni kitafunio pendwa? Utakuta hadi kiazi nayo imekosewa heshima. Utasikia kiazi wewee. Hivi sisi Niggers tuna shida gani? adriz de mbusii
  20. C

    JamiiForums Tanzania Mipangilio ya chakula kwenye baadhi ya migahawa Dodoma ilinishangaza

    Nilizoea kukuta menu za kawaida kama wali maharage, pilau nyama, wali mboganboga na kadhalika. Nilipoenda Dodoma kuna migahawa nikakuta wanauza wali ugali nilishangazwa nikijaribu lakini sikupendezwa nayo kabisa. Baadae nikasikia pia kuna menu zaidi kama, ugali burger, piza maharage, ugali...
Back
Top Bottom