mwisho

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Hii ndo kete ya Mwisho na hatari zaidi ya CCM kupambana na maandamo tukivuka tumeshinda japo tutaumia sana

    Mara.zote.watawala wakiishiwa nguvu hizi ndo mbinu wanazoweza kuzitumia maana kuua siyo suluhisho. 1. Divide them and rule.. 2. Fake Propaganda and illusions.. 3. If you can't convince them, confuse them rejea history ya ujenzi wa mara wa babel (Mwz 11, 1-9) 4. Let them fight each other...
  2. kyaibumba

    JamiiForums Tanzania Natangaza kila Ijumaa ya mwisho wa Mwezi ntakuwa natoa sadaka kwa watu wasio na uwezo

    Jana nimewasema vijana kutopiga kazi na wengine kutojishughulisha na kuomba omba pesa Kwanini nilisema Kuomba omba pesa na ilinikera Mtu Ana bando Ana simu Ana contact kibao za kuwezo kumpa kibarua hata cha kufyeka apate angalau sh 4000 kwa siku ye anakuja Mtanzanoa kuomba 1000 ya kula ? Huo...
  3. Fbn

    JamiiForums Tanzania Mwenye kutengeneza kitabu kwa jina :Hofu ya kumiliki madaraka mwisho wake.

    hapa JF tuna wajuzi wazuri.Jina la kitabu kama kichwa cha habari. Tumeona afrika nzima ili ni tatizo kubwa. Jamiiforum mnaweza kuwa ndio wahusika.Ila andiko la kitabu kuwa ilo neno.
  4. Masweeter

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi Upweke umri wake mwisho lini ?

    Mtu anatakiwa aolewe akiwa na umri gani?
  5. puker

    JamiiForums Tanzania Kutamani Dunia ifike mwisho, Nani mwingine aliwahi pitia hali hii?

    Habari, za muda huu ndugu zangu wana JF. Kwenye maisha, kuna mambo mengi tunapitia mazuri na mabaya. Naamini sio wote tumewahi pitia mambo magumu kiasi cha kutamani kufa au Dunia ifike mwisho kulingana na sittuation ya wakati huo. Binafsi nimewahi pitia vipindi viwili vingumu sana kwenye maisha...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Rank these Presidents wa kwanza kwa ukatili mpaka wa mwisho kwa tafadhali

    Picha hiyo toka X
  7. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi siku nchi yetu ikifikia steji ya mwisho kama Zimbabwe. CCM wataongea nini na kumlaumu nani

    Tokea kupata uhuru ni CCM kipo madarakani. Taifa mumeligeuza mali ya chama.Siku nchi imekuwa corrupt ni nani mtamlaumu na mtawaeleza ninu wananchi.
  8. Saad30

    JamiiForums Tanzania Mwisho wa yote ni chini tu

    Nipo zangu home nasukuma kete zangu kichwani. Jinsi ya kupata Hela nyingi nijenge mijumba ninunue magari Mazuri nile bebez za kwenda. Najisemea hela nyingi zina gharama kubwa na kutokuwa na Amani ya kutosha kama nilivyo Sasa. Mali nyingi zina gharama masta Achana na matamaa haya ya magari...
  9. Sonship

    JamiiForums Tanzania HILI BOMA LENYE KIWANJA LIMESHUKA BEI -MBEZI MSAKUZI MWISHO

    HILI BOMA NA KIWANJA LIMESHUKA BEI HAPA MBEZI MSAKUZI MWISHO Ni Kiwanja chenye Boma la vyumba 2 sasa MILIONI 14 TU! 📍 Location: Mbezi Msakuzi ✔ Dakika chache tu kwa miguu kutoka daladala zinapogeuzia ✔ Nauli ni Tsh 700 tu kutoka Mbezi mwisho hadi site 📐 Ukubwa wa Kiwanja: 20x23 (460 sqm)...
  10. Sister Abigail

    JamiiForums Tanzania Umewahi kula papa? Mara ya mwisho lini?

    Mi sikumbuki lini ni kama mwaka Sasa. Kinachonifanya nsipende sana ni shombo yake.dizaini naifananisha na mk*j*..Ina shombo Kali nisamehewe😒 Pili ni chumvi nyingi sana. Mie asili yangu ni pwani,hiyo ni kitu pendwa kule.wanapenda kavu au na muhogo.mhogo wa nazi au ugali wake wanaita bada. Na pia...
  11. ndege JOHN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuangalia kwa muda mrefu porn kunaweza kusababisha watu kuendelea kutafuta maudhui makali zaidi na mwisho kujaribu vitendo vya ushoga

    hili jambo jamii haitaki kulisema sijui inaona aibu kuliongelea kwa vile wenye indusrty yao watasema hakuna ushahidi wa kisayansi lakini amini usiamini matumizi ya porn yanaweza kusababisha kile kinachoitwa "escalation", ambapo mtumiaji huanza na maudhui ya kawaida lakini baada ya muda...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kero ya maji Kimara Mwisho

    Kimara Mwisho tuna shida kubwa sana ya upatikanaji wa maji safi toka DAWASA kuanzia mtaa wa bakery ni upande wa kushoto ukitokea mjini baada ya msikiti kwenda Stopover. atizo hili ni la muda mrefu sana toka January hadi sasa, maji tunapewa mara moja kwa wiki yaani Jumatatu tuu. Hapa toka wiki...
  13. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Wivu ni darasa la mwisho kabla hujawa mchawi

    Wivu mbaya na chuki ya kupitiliza ni sumu kali ya kiroho inayomfanya mtu aanze kufikiria au kutenda mambo ya kishirikina na kijicho. Huu usemi usemao "Wivu ni darasa la mwisho kabla ya kufuzu kuwa mchawi" una ukweli mkubwa kiroho. Kimaandiko na kiimani, wivu si tu hisia mbaya ya kibinadamu...
  14. Mad Max

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo ndio Mechi za Mwisho za EPL 2025/26: Hakuna Mechi isio na Goli!

    Tunafunga msimu kibabe sana. Kila mechi goli limefungwa, hamna droo ya 0-0 leo. COYG
  15. Allen Kilewella

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hizi mechi ndizo zitaamua nani anakuwa bingwa 2025/2026

    Bila ya kujali msimamo wa ligi ulivyo hivi sasa, mechi sita za mwisho za ligi kuu Tanganyika, ndizo zitakazoamua nani atakuwa bingwa Kwa msimu wa mwaka 2025/2026. Wakati Simba itaanza na Dodoma Jiji (24/05/2026) Yanga wao siku inayofuata itakutana na Namungo. Mechi ngumu kwa Simba, Yanga mechi...
  16. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kama tutavuka ili basi ndio itakuwa mwanzo na mwisho kama 1.Raisi mwanamke, 2.Kutoka visiwani.

    Ukweli mchungu ila ndio kashatiburia wanawake wenzake. Tumeona wengine wakipinduliwa huko asia,wengine wakifungwa na wengine wamefanya mambo ya ajabu. Kwa ili wanawake sijui kama mna la kujitetea mlipofikia hapa. 2.kutoka viswani kwa mtindo mliopelekea kwa wabara na kuwabagaza na kuonesha...
  17. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Kufeli Si Mwisho: Maisha Yanaendelea

    Kaa chini kwa dakika chache na utafakari maisha. Fikiria watu uliowahi kuwaona wakifanikiwa sana — leo hawapo tena. Fikiria wafanyabiashara waliotikisa miji kwa utajiri wao — leo majina yao hayasikiki. Fikiria kampuni zilizokuwa kubwa, maduka yaliyokuwa yamejaa watu, biashara zilizokuwa...
  18. Pakome

    JamiiForums Tanzania Kuzuia yaliyotokea ni sawa na kuzuia mkojo, kazi ambayo ni ngumu sana lakini mwisho wake mkojo utatakiwa kutoka nje kwasababu ulishaingia

    Kinachotakiwa sasa ni kumwaga mkojo nje sio kuzuia ndani kwasababu utaharibu figo Hata White wasipoingia ndani bado watafikishiwa taarifa zote huko waliko Wengi washazuia wamechoka wameamua kukimbia
  19. Pakome

    JamiiForums Tanzania Hakuna laana mbaya kama kutesa watu au kuwanyanyasa kwa namna yeyote ile, huwa mwisho wake unakuwa mbaya sana

    Hakuna uamuzi mbaya kama kutesa watu au kuwanyanyasa kwa namna yeyote ile, huwa mwisho wake unakuwa mbaya sana Njia ya haraka sana ya kulaaniwa ni kutesa watu na kuwanyanyasa Laana haiji kwa njia moja inakuja kwa namna tofauti sio lazima njia iliyomlaani fulani ndiyo itakayomlaani na yule...
  20. Ritz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania IRGC yaionya Marekani dhidi ya mashambulizi dhidi ya meli zake uvumilivu umefika mwisho. Italipiza kisasi kwa nguvu kubwa.

    Wanaukumbi. TEHRAN, Mei 10 (Xinhua) -- Jeshi la Wanamaji la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) lilionya Jumamosi kwamba "uchokozi" wowote dhidi ya meli za mafuta za Iran na meli za kibiashara utasababisha shambulio kubwa dhidi ya moja ya vituo vya kijeshi vya Marekani...
Back
Top Bottom