Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014...
Habari zenu wana-JF?
Naomba msaada wa jinsi ya kuandaa CV yangu..
Mie ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho Computer science, nataka kuandaa CV yangu vizuri.
Shukrani!
Namna ya kuandika CV...
Salaam!
Ni muda sasa humu Jukwaani kumekuwa na mabandiko ya watu mbalimbali wakiomba kazi, zile za ujuzi mahususi na zile za jumla.
Baadhi ya wanaoandika wamekuwa wakitaja sifa zao, wengine...
Wewe ni mfanyakazi wa Serikali, Kada ya Kilimo (Afisa Mifugo, Afisa Kilimo, Bwana Nyuki n.k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?
Kutokana na wengi kuweka maombi ya watu wa...
Nimetumiwa file ,PDF za Kaz za TRA ambazo Wametangaza nafasi mbali mbali ktk ofisi hyo ila Cha ajabu tangazo Hilo halipo katika portal za ajira portal yaan utumishi
Ndio nauliza hapa utaratibu wa...
Job Title: Customs Assistant II (24 Posts)
Responsibilities
To control imports, export and transit goods.
To examine goods.
To enter the Data into the Customs System.
To maintain field records...
Habari zenu jobless kwa graduates, waajiri kwa wakurugenzi n.k . Niende direct kwenye mada
Kutokana na watu wengi kuhangaika kutafuta ajira na wengine kutafuta waajiriwa humu nimeamua kuja na huu...
Anahitajika matron kwa ajili ya kazi ya kuhudumia wanafunzi ndani ya mji huu wa DSM katika shule, majukumu ya mfanyakazi yatakuwa ni :
01. Kupika
02. Kufua
03. Kupiga pasi
04. Kusafisha mazingira...
wizara ya afya jana imetangaza kumwaga ajira 8000 na hii ni kutokana na uhaba mkubwa wa watumishi katika hospital za rufaa, kwa hiyo vijana jiandaeni tena kufanya maombi ili mlambe asali
View Vacancy - Chef (08/23 DAR)
The British Government is an inclusive and diversity-friendly employer. We value difference, promote equality and challenge discrimination, enhancing our...
Habari wanna jamii forums, katika harakati zangu za utafutaji nami nikaona sio mbaya kuanzisha kikampuni changu kidogo Cha usafirishaji.
Lengo ni kuendelea kujikomboa na circle ya umasikini, na...
Ifahamike kuwa vijana wamekuwa katika kusubiri kwa matumaini kwa muda mrefu tangu 2015.
Si vibaya kama Tamisemi mkatoa ratiba kamili ya ni lini mnatarajia kuachia mkeka wa waliochaguliwa kwenye...
Hodi na Salamu Members.
Mimi ni kijana wa kiume (27), Elimu yangu ni ya Secondary.
Nimekuja kwenu Kuomba Connection ya Kibarua cha kulipwa kwa siku, Nimeandamwa na msururu wa Madeni ya Kodi na...
Job Title: Legal Counsel II (12 Posts)
Responsibilities
To identify Court cases which are suitable for settlement out of judicial processes and recommend to the supervisor.
To draft legal...
Job Title: Director for Risk and Compliance
Responsibilities
To oversee development and review of TRA’s Risk Management Policy in line with Government Guidelines and international best practice...
Job Title: Deputy director research and fiscal policy advisory
Responsibilities
To coordinate development, review and implementation of research policy, guidelines, standards and procedures.
To...
Job Title: Tax Management Officer II (206 Posts)
Responsibilities
To assist in the preparation of action plans.
To conduct face vetting of tax returns.
To conduct desk audit on simple cases and...
Job Opportunity: Customs officer II (41 Posts)
Responsibilities
To control imports, export and transit goods.
To carry out documentary verification.
To prepare enquiries and offence files.
To...
Sina mengi ila Utumishi kwenye hii Interview ya Compliance Officer mmetuonea. Pepa imepigika Jumamosi, leo matokeo, mchanganuo wa marks hueleweki, watu 33 tu ndio wameitwa oral.
Mnatufanya...
Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu.
NB: Depo ya...
Habari za jioni ndugu zangu,
Mimi ni kijana wa kiume, miaka 30, naishi Dar es Salaam na mhitimu wa shahada ya kwanza (bachelor degree) ya elimu na shahada ya umahiri (master degree) katika...