Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
  • Sticky
Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje... ============== July 2014...
112 Reactions
2K Replies
1M Views
  • Sticky
Habari zenu wana-JF? Naomba msaada wa jinsi ya kuandaa CV yangu.. Mie ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho Computer science, nataka kuandaa CV yangu vizuri. Shukrani! Namna ya kuandika CV...
38 Reactions
291 Replies
236K Views
  • Sticky
Salaam! Ni muda sasa humu Jukwaani kumekuwa na mabandiko ya watu mbalimbali wakiomba kazi, zile za ujuzi mahususi na zile za jumla. Baadhi ya wanaoandika wamekuwa wakitaja sifa zao, wengine...
79 Reactions
185 Replies
138K Views
  • Sticky
Wewe ni mfanyakazi wa Serikali, Kada ya Kilimo (Afisa Mifugo, Afisa Kilimo, Bwana Nyuki n.k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi? Kutokana na wengi kuweka maombi ya watu wa...
3 Reactions
135 Replies
88K Views
Nimetumiwa file ,PDF za Kaz za TRA ambazo Wametangaza nafasi mbali mbali ktk ofisi hyo ila Cha ajabu tangazo Hilo halipo katika portal za ajira portal yaan utumishi Ndio nauliza hapa utaratibu wa...
5 Reactions
25 Replies
992 Views
Jeshi la polisi Tanzania limetangaza nafasi za kazi, kwa maelekezo zaidi soma[emoji116]
17 Reactions
13K Replies
672K Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
26 Reactions
34K Replies
1M Views
Job Title: Customs Assistant II (24 Posts) Responsibilities To control imports, export and transit goods. To examine goods. To enter the Data into the Customs System. To maintain field records...
1 Reactions
3 Replies
133 Views
Habari zenu jobless kwa graduates, waajiri kwa wakurugenzi n.k . Niende direct kwenye mada Kutokana na watu wengi kuhangaika kutafuta ajira na wengine kutafuta waajiriwa humu nimeamua kuja na huu...
55 Reactions
450 Replies
22K Views
Anahitajika matron kwa ajili ya kazi ya kuhudumia wanafunzi ndani ya mji huu wa DSM katika shule, majukumu ya mfanyakazi yatakuwa ni : 01. Kupika 02. Kufua 03. Kupiga pasi 04. Kusafisha mazingira...
0 Reactions
8 Replies
197 Views
Nafasi za JKT 2023 kwa awaye yoyote anayejua zinatoka lini
1 Reactions
15 Replies
681 Views
wizara ya afya jana imetangaza kumwaga ajira 8000 na hii ni kutokana na uhaba mkubwa wa watumishi katika hospital za rufaa, kwa hiyo vijana jiandaeni tena kufanya maombi ili mlambe asali
1 Reactions
12 Replies
536 Views
View Vacancy - Chef (08/23 DAR) The British Government is an inclusive and diversity-friendly employer. We value difference, promote equality and challenge discrimination, enhancing our...
5 Reactions
51 Replies
1K Views
Habari wanna jamii forums, katika harakati zangu za utafutaji nami nikaona sio mbaya kuanzisha kikampuni changu kidogo Cha usafirishaji. Lengo ni kuendelea kujikomboa na circle ya umasikini, na...
8 Reactions
48 Replies
625 Views
Ifahamike kuwa vijana wamekuwa katika kusubiri kwa matumaini kwa muda mrefu tangu 2015. Si vibaya kama Tamisemi mkatoa ratiba kamili ya ni lini mnatarajia kuachia mkeka wa waliochaguliwa kwenye...
1 Reactions
93 Replies
6K Views
Hodi na Salamu Members. Mimi ni kijana wa kiume (27), Elimu yangu ni ya Secondary. Nimekuja kwenu Kuomba Connection ya Kibarua cha kulipwa kwa siku, Nimeandamwa na msururu wa Madeni ya Kodi na...
0 Reactions
23 Replies
835 Views
Job Title: Legal Counsel II (12 Posts) Responsibilities To identify Court cases which are suitable for settlement out of judicial processes and recommend to the supervisor. To draft legal...
1 Reactions
3 Replies
128 Views
Job Title: Director for Risk and Compliance Responsibilities To oversee development and review of TRA’s Risk Management Policy in line with Government Guidelines and international best practice...
0 Reactions
1 Replies
65 Views
Job Title: Deputy director research and fiscal policy advisory Responsibilities To coordinate development, review and implementation of research policy, guidelines, standards and procedures. To...
0 Reactions
1 Replies
42 Views
Job Title: Tax Management Officer II (206 Posts) Responsibilities To assist in the preparation of action plans. To conduct face vetting of tax returns. To conduct desk audit on simple cases and...
0 Reactions
1 Replies
154 Views
Job Opportunity: Customs officer II (41 Posts) Responsibilities To control imports, export and transit goods. To carry out documentary verification. To prepare enquiries and offence files. To...
3 Reactions
4 Replies
249 Views
Sina mengi ila Utumishi kwenye hii Interview ya Compliance Officer mmetuonea. Pepa imepigika Jumamosi, leo matokeo, mchanganuo wa marks hueleweki, watu 33 tu ndio wameitwa oral. Mnatufanya...
2 Reactions
60 Replies
2K Views
Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu. NB: Depo ya...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Habari za jioni ndugu zangu, Mimi ni kijana wa kiume, miaka 30, naishi Dar es Salaam na mhitimu wa shahada ya kwanza (bachelor degree) ya elimu na shahada ya umahiri (master degree) katika...
2 Reactions
5 Replies
337 Views
Back
Top Bottom