Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

  • Sticky
Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje... ============== July 2014...
123 Reactions
2K Replies
1M Views
  • Sticky
Wewe ni mfanyakazi wa Serikali, Kada ya Kilimo (Afisa Mifugo, Afisa Kilimo, Bwana Nyuki n.k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi? Kutokana na wengi kuweka maombi ya watu wa...
3 Reactions
151 Replies
105K Views
  • Sticky
Salaam! Ni muda sasa humu Jukwaani kumekuwa na mabandiko ya watu mbalimbali wakiomba kazi, zile za ujuzi mahususi na zile za jumla. Baadhi ya wanaoandika wamekuwa wakitaja sifa zao, wengine...
93 Reactions
214 Replies
159K Views
  • Sticky
Habari zenu wana-JF? Naomba msaada wa jinsi ya kuandaa CV yangu.. Mie ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho Computer science, nataka kuandaa CV yangu vizuri. Shukrani! Namna ya kuandika CV...
45 Reactions
290 Replies
272K Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
67 Reactions
67K Replies
5M Views
Hello members Naomba kushare nafasi mbalimbali za kazi ninazokutana nazo huko mitandaoni, sihusiki directly ila naona wahitaji ni wengi na mnaoniulizia ni wengi pia. I hope hii itawasaidia...
29 Reactions
2K Replies
23K Views
Katika usaili wako unaweza kukutana na maswali ya aina yoyote hata kwa kitu ambacho hujasomea. Hata hivyo, mara nyingi utakutana na mambo yanayohusu taaluma yako, mfano: What are the four...
0 Reactions
3 Replies
27 Views
Anonymous
Walimu ajira Mpya halmashauri ya Wilaya Ya MKALAMA-SINGIDA hatujalipwa Pesa zetu za Kujikimu Tangu Tumeripoti mwezi January 2026. Kila tukifuatilia Tumekuwa Tukipewa Majibu yasioridhisha kwetu...
1 Reactions
8 Replies
401 Views
Kama umeitwa katika usaili wa mchujo, Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II au kwa kimombo, Record Management Assistant II utakuwa unajiuliza maswali yanatokaje hasa kama ni mara yako ya kwanza...
0 Reactions
1 Replies
53 Views
Mimi kwa taaluma yangu ni mwalimu. Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikihangaika kutafuta ajira serikalini kupitia Ajira Portal. Nimekuwa nikifanya usaili mara kwa mara, napita hatua ya maandishi hadi...
5 Reactions
17 Replies
375 Views
Ninawasalimu wote, hongereni kwa majukumu ya ujenzi wa Taifa letu zuri sana la Tanzania. Ninatangaza mtafutaji wa kazi ambaye ni mimi mwenyewe, ninaishi Gongo la mboto mkoani Dar es salaam Elimu...
2 Reactions
8 Replies
152 Views
Anonymous
Sisi ni watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, tukiwa miongoni mwa waajiriwa wapya wa mwaka 2026 (kuanzia mwezi Januari) katika kada mbalimbali zikiwemo ualimu, afya, ustawi wa jamii, kilimo...
0 Reactions
3 Replies
60 Views
Job opportunity for Local Tanzanian FINANCE MANAGER Location: Dar es Salaam, Tanzania Reports To: CEO Department: Finance Application Deadline: 20th June 2026 QUALIFICATIONS & EXPERIENCE...
0 Reactions
0 Replies
18 Views
Anonymous
Watumishi wa ajira mpya 2025 na 2026 wilaya ya masasi DC mtwara walimu hatujalipwa fedha za kujikimu. Soma Pia: Walimu wa Ajira mpya Wilaya ya Kilosa, Morogoro hatujalipwa fedha za kujikimu
0 Reactions
2 Replies
77 Views
Anonymous (4f6e)
Wafanyakazi wa afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi tunaomba mamlaka husika, hususan TAMISEMI na Wizara ya Afya, kusikiliza kilio chetu kuhusu stahiki zetu za kikazi. Licha ya kufanya kazi...
0 Reactions
0 Replies
34 Views
Watumishi wa Halmashauri ya Ushetu, Wilaya ya Kahama, tumekuwa tukikumbana na changamoto ya kubadilishiwa vituo vya kazi bila kufuata taratibu stahiki. Aidha, watumishi wanaohamishwa hawapewi...
0 Reactions
0 Replies
29 Views
Walimu wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam tumelipwa nusu tu ya hela ya kujikimu yaani laki 550,000, tumeajiriwa tangu Februari mosi 2025. Hiyo nusu yenyewe tumepewa baada ya mwaka mzima na...
0 Reactions
0 Replies
30 Views
Mradi wa EACOP ulianza mwaka 2021 na sasa mwaka 2026 unakaribia kufikia mwisho. Hata hivyo, kuna wasiwasi mkubwa kuhusu utekelezaji wa mpango wa uhamishaji wa ujuzi na urithishaji wa nafasi...
0 Reactions
0 Replies
29 Views
Majibu ya MAOMBI YA KUJIUNGA JWTZ yametoka au bado? Niliomba kujiunga na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania. Sasa mwezi umepita, lakini sijapata majibu wala simu. Je, kuna yeyote amepata...
0 Reactions
0 Replies
21 Views
Mimi ni moja ya watumishi wapya (Kada ya Elimu) Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu. Tangu January 2026 hatujapewa pesa ya kujikimu mpaka muda huu. Hata ajira za mwaka jana (2025), February...
1 Reactions
4 Replies
62 Views
MAJIBU YA MALALAMIKO YA WATUMISHI WA TEMESA KUTOKA JAMIIFORUMS LALAMIKO Hoja ya Mdau iliyowasilishwa awali ~ Watumishi wa TEMESA Kanda ya Ziwa chini ya Wizara ya Ujenzi hatujalipwa stahiki zetu...
0 Reactions
0 Replies
70 Views
Back
Top Bottom