Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

  • Sticky
Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje... ============== July 2014...
118 Reactions
2K Replies
1M Views
  • Sticky
Salaam! Ni muda sasa humu Jukwaani kumekuwa na mabandiko ya watu mbalimbali wakiomba kazi, zile za ujuzi mahususi na zile za jumla. Baadhi ya wanaoandika wamekuwa wakitaja sifa zao, wengine...
88 Reactions
213 Replies
150K Views
  • Sticky
Wewe ni mfanyakazi wa Serikali, Kada ya Kilimo (Afisa Mifugo, Afisa Kilimo, Bwana Nyuki n.k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi? Kutokana na wengi kuweka maombi ya watu wa...
3 Reactions
146 Replies
97K Views
  • Sticky
Habari zenu wana-JF? Naomba msaada wa jinsi ya kuandaa CV yangu.. Mie ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho Computer science, nataka kuandaa CV yangu vizuri. Shukrani! Namna ya kuandika CV...
44 Reactions
290 Replies
258K Views
Niko shortlisted mkoa X ajira za afya changamoto ni kwamba akaunti yangu iligoma katika ku-apply ilikuwa inasema am not qualified, licha ya kuwapigia lkn hawakupokea kunitatulia iyo shida hivyo...
5 Reactions
66 Replies
1K Views
Leta hoja yako, ijikite kwenye 1. Kwanini miaka mingi kada hizi hazikuwa na usaili isipokuwa sasa. 2. changamoto kiujumla za Mchakato wa usaili kwa kada hizi 3. Faida ya kufanya na kutofanya...
2 Reactions
47 Replies
698 Views
Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu. NB: Depo ya...
14 Reactions
3K Replies
131K Views
Kwa majina naitwa Hamis Mahujaji Hamis, mwenye umri wa miaka 24, mwenye makazi ya mkoa wa Dar Es Salaam katika wilaya ya Kigamboni. Elimu yangu ni Ngazi ya cheti pia ni muhitimu muhitimu katika...
3 Reactions
11 Replies
145 Views
DONDOO ZA USAHILI WA WRITTEN KUPITIA MFUMO WA KIDIGITALI Mtihani unafanyika kwa njia ya kidigitali, cha muhimu unatakiwa ufike kwenye kituo utakachopangiwa siku ya interview mapema kabla ya saa 1...
6 Reactions
22 Replies
380 Views
Jamani naomba msaada kwa anaeelewa kuhusu mafao ya NSSF. Mimi nimewahi kuajiriwa kama professional na baada ya mkataba nilifungua madai NSSF nikalipwa kwa mfumo wa 33.3% ya mshahara wangu kwa...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Kuna kazi nyingi za kufanya ndani ya Nchi na nje ya Nchi huku ikitegemea na taaluma yako uliyosomea. Kuna watu wamepata kazi hizo kwa kupambana wenyewe huku wengine wakisubiri kusaidiwa kwa namna...
6 Reactions
30 Replies
394 Views
Wakuu habari za Leo. Mimi hapa ni mhitimu wa diploma ya electrical engineering mwaka huu 2024. Naombeni msaada wa namna ya kupata uzoefu na ajira zinazo hususu umeme. Mnisaidie mashirika yote...
1 Reactions
5 Replies
57 Views
Aisee maisha yana kila aina ya furaha na karaha, tunapitia mengi lakini mwisho wa watu wengi ni mzuri, amini hivyo. Nakumbuka namaliza chuo ile sina hili wala lile, naingia mtaani na mabaki ya...
73 Reactions
72 Replies
5K Views
Habari za saa hizi wana jamvi , Nimejisajili na kufungua account ya ajira portal vizuri ila nlikosea kufanya usajili kwenye kipengele cha academic qualification nilikosea kujaza level ya...
2 Reactions
15 Replies
357 Views
Je, baada ya Written interview atakayofanyia Dodoma , akifaulu kwaajili ya Oral Interview, atamfanyia Mkoa Upi? Dodoma ( alouombea ) yeye mwenyewe, au Tanga (alipobadilishiwa na Utumishi).?.
2 Reactions
4 Replies
174 Views
Habari zenu wakuu. Nimepata ronja kuwa sms za kuitwa KIHANGAIKO zimeanza kutumwa. Je, kuna yeyote amepokea?
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
49 Reactions
56K Replies
3M Views
Hello, Kwa walimu wenzangu na wenye experience na interview za utumishi, tupeane updates. Kama ni mwalimu wa Geography inamaana nijiandae vipi? Nisome course za Education like EP, EP...
5 Reactions
14 Replies
553 Views
  • Redirect
Habari wanaJF Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam, Ubungo mtaa mmoja unaitwa “kwa kichwa” Natamani kuanza biashara na kichwan kwangu kumekuja na idea ya stationery. Nimekuja kwenu kujua na kufaham...
0 Reactions
Replies
Views
Kwa mfano jina langu katika NIDA ni Mussa Ramadhani Mussa ila kwenye vyeti vyangu vya taaluma ni Mussa Ramadhani. Nimesikia kuwa naweza kupata affidavit na nikafanikiwa. Je, kuna ukweli katika...
2 Reactions
26 Replies
541 Views
Wakuu niaje.... Ni mimi hapa kijana wenu Trojan, leo nimeona nishare na nyie kuhusu interview hasa oral. Ofcourse nimefanya oral interview nyingi sana ila kuna zingine niliboronga kabisa. Kuna...
5 Reactions
27 Replies
833 Views
Interview ya mahojiano wamesema mhusika ataenda mkoa alioomba kazi kufanya interview, je kwa wale walioomba masomo mawili na kuwekwa mikoa tofauti anatakiwa kwenda pande zote mbili au atachagua...
1 Reactions
29 Replies
684 Views
Kero kubwa iliyopo kwa saa ni kwamba serikali imeamua kuanzisha sera ya kutumia mfumo wa maombi ya ajira kuhusika katika maombi ya kazi za serikali kwa ngazi zote ikiwemo kazi za maafisa watendaji...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari. Hatimaye Tamisemi wametoa ajira za afya kupitia sektreatarieti ya ajira na utumishi wa umma. Kiuhalisia mambo yanaenda kuwa Magumu kadri miaka inavyoenda. Itabidi watu wafanye Interview...
19 Reactions
1K Replies
43K Views
Back
Top Bottom