Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
229
Posts
7.2K
Threads
229
Posts
7.2K
  • Sticky
IDEA ya Biashara ni moja ya mambo yanayo waumiza watu wengi sana, Na mara nyingi wazo la biashara linahitaji utafiti wa kina ili kuja na wazo lenye tija kwako na kwa jamii nzima. HIZI NI MOJA YA...
302 Reactions
602 Replies
342K Views
  • Sticky
1. Hisa ni nini? Hisa ni sehemu ya umiliki wa kampuni. Hivyo hisa moja inawakilisha asilimia ndogo ya umiliki katika kampuni. Kama kampuni ina hisa milioni moja na mwekezaji anamiliki hisa...
29 Reactions
440 Replies
211K Views
  • Sticky
Imekuwa ni shida sana kwa watanzania wengi kununua bidhaaa katika masoko haya ya mtandaoni kwani mengi huwa hayakupi fursa ya kutumiwa mzigo wako moja kwa moja Tanzania. Baadhi ya thread...
125 Reactions
1K Replies
316K Views
  • Sticky
Habari wakuu, Ni dhahiri kuwa Jukwaa letu la Biashara limesheheni mada nyingi zenye miongozo kwa wanaoanza biashara na hata wanaohitaji msaada kwa biashara zao. Kutokana na mada nyingi kuwa na...
19 Reactions
354 Replies
166K Views
  • Sticky
Wana JF naomba mwenye taarifa za taratibu za kusajili kampuni ya madini pale nyumbani Tanzania anisaidie. Natanguliza shukrani zangu. BAADHI YA MAJIBU YALIYOTOLEWA NA WADAU: UTANGULIZI Kuanzia...
24 Reactions
713 Replies
367K Views
  • Closed
  • Sticky
Wakuu, Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua...
18 Reactions
62 Replies
73K Views
Habari za leo wakuu, kama kuna mtu ana kinanda na anataka kuuza naomba ani DM tuzungumze, kinanda cha kawaida tu cha kujifunzia
0 Reactions
1 Replies
20 Views
Habari za kutwa wanajamvi poleni na majukumu. Leo naomba msaada kwa wale waliowahi au wanaendelea kutengeneza faida ya Tsh 30,000 na kuendelea kila siku. Tafadhali zingatia kueleza yafuatayo...
96 Reactions
2K Replies
391K Views
Habari Kwa majina naitwa Jerry na ninajihusisha na uuzaji wa magari used nikiwa kama dalali kwa muda mrefu ndani ya Dar es Salaam. Leo ningependa kushare nanyi kuhusu biashara hii ya magari hasa...
14 Reactions
54 Replies
2K Views
Hello wana bodi, natumai wote mko poa karibuni kwenye hii thread ambayo kwa namna 1 au nyingine inaweza kukupa idea ya kufanya biashara ya kuuza mtumba: A. SIFA ZA MTUMBA WA CHINA Belo za...
60 Reactions
227 Replies
43K Views
Habari ndugu zangu JF. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Eneo la Ekari moja linauzwa. Mmiliki ni dada yangu kaomba nimtangazie Mahali: Kibaha Visiga, 500m kutoka barabara kuu ya Morogoro...
1 Reactions
1 Replies
64 Views
Habarini wajameni, kuna mtu humu ashawahi kununua bidhaa aliexpress halafu zikatumwa kupitia speedaf? Mbona naona kama wanazingua?Maana nimeagiza mzigo wamekaa nao sipigiwi simu wala nini...
0 Reactions
42 Replies
2K Views
Jamani wafanya biashara wenzangu nilicho gundua hapa nchini kila siku mambo hubadilika katika biashara na soko. Kuna marafiki zangu wawili walipata setback kwenye biashara zao moja alikua na...
21 Reactions
97 Replies
4K Views
5G ni nini? 5G ni kizazi cha tano katika teknolojia ya mitandao ya simu za mikononi yenye kasi mara ishirini zaidi ya 4G. Faida za kutumia 5G Internet ya 5G ni nzuri na ina kasi mara ishirini...
0 Reactions
17 Replies
390 Views
Habari wana jamii forum, ni matumaini yangu mnaendelea salama baada ya mda mrefu kupita bila kushusha thread ya moto.... Leo nimependa kuzungumzia swala zima la mauzo (sales) na jinsi ya kuongeza...
0 Reactions
4 Replies
106 Views
Habari za wakati, Ni matumaini yangu kwamba mu wazima na mnaendelea vyema katika utendaji wa shughuli zako na ujenzi wa nchi. Leo nimeleta mjadala mfupi kuhusu maneno ambayo tumezoea kuyasikia...
1 Reactions
4 Replies
227 Views
Naomba wenye kufahamu mnisaidie. Ni benki zipi nikiwa na hati ya nyumba nitapata mkopo? Nilikwenda NMB hawakunisaidia. Natanguliza shukhrani
4 Reactions
19 Replies
931 Views
WADAU WA MAONESHO YA 47 YA BIASHARA YA KIMATAIFA (DITF) MAARUFU KAMA SABASABA WAMESEMA MAONESHO YA MWAKA 2023 NI YA KIPEKEE - KIONJO CHA SABASABA EXPO VILLAGE Wadau wa Maonyesho ya 47 ya Biashara...
0 Reactions
2 Replies
92 Views
Dar es Salaam kuna DAWASCO. mkoani kwenu kuna nini?
1 Reactions
10 Replies
152 Views
Habari wakuu poleni na majukumu Nina wazo la kufungua Biashara ya vinywaji baridi Kwa bei ya Jumla Kwa maeneo ya Tanga. Nilikua naomba kujua je mtaji wa kiasi gani naweza kuanza nao? (Kima cha...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakuu habari poleni na majukumu! Twende moja Kwa moja kwenye Mada tajwa hapo juu. Je, siku yako ya Kwanza kwenye biashara ilikuaje? Changamoto gani ulipitia? Kwa upande wangu jana ilikua siku...
8 Reactions
15 Replies
366 Views
Habari wakuu! Niliwahi kuandika hapa kuhusu biashara ya alizeti na mafuta yake! Kwa mwaka huu kama unataka kufanya biashara fanya hii na itakulipa! Mafuta yameshuka Sana bei Hadi kufikia 48000...
9 Reactions
27 Replies
846 Views
Mambo vipi wakuu mko poa?!! natumaini mko salama. Kwa wale wazee wa forex naombeni msaada ni broker yupi ambae unaweza uka-deposit na ku-withdraw pesa kupitia mitandao ya simu ya Tanzania. Pia ni...
1 Reactions
21 Replies
617 Views
Treni ya Mwendokasi Kutoka Dar es Salaam - Morogoro Kuanza Safari Mwezi Julai 2023 Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Mhe. Atupele Mwakibete amesema safari za treni ya mwendokasi (SGR)...
0 Reactions
2 Replies
67 Views
Anaandika, Robert Heriel Ni Watu wajinga pekee watakaoamini mambo ya Pesa kupotea kimazingara, ati kupotea kichawi! Chuma Ulete! Yaani ati unaweka Pesa kwenye kibubu labda laki tatu za...
24 Reactions
57 Replies
2K Views
Ukitaka kuwa na pesa za chap chap! Basi Anza hii biashara ya kuuza pafyumu za kupima. Mzigo unaagiza kiwandani Babati, Manyara pipa 60,000 TZS+usafiri 50,000/= kutoka Babati-Dar es Salaam, gharama...
20 Reactions
93 Replies
12K Views
Back
Top Bottom