Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
  • Sticky
Wana JF naomba mwenye taarifa za taratibu za kusajili kampuni ya madini pale nyumbani Tanzania anisaidie. Natanguliza shukrani zangu. BAADHI YA MAJIBU YALIYOTOLEWA NA WADAU: UTANGULIZI Kuanzia...
26 Reactions
731 Replies
387K Views
  • Sticky
IDEA ya Biashara ni moja ya mambo yanayo waumiza watu wengi sana, Na mara nyingi wazo la biashara linahitaji utafiti wa kina ili kuja na wazo lenye tija kwako na kwa jamii nzima. HIZI NI MOJA YA...
314 Reactions
622 Replies
363K Views
  • Sticky
1. Hisa ni nini? Hisa ni sehemu ya umiliki wa kampuni. Hivyo hisa moja inawakilisha asilimia ndogo ya umiliki katika kampuni. Kama kampuni ina hisa milioni moja na mwekezaji anamiliki hisa...
32 Reactions
451 Replies
224K Views
  • Sticky
Habari wakuu, Ni dhahiri kuwa Jukwaa letu la Biashara limesheheni mada nyingi zenye miongozo kwa wanaoanza biashara na hata wanaohitaji msaada kwa biashara zao. Kutokana na mada nyingi kuwa na...
21 Reactions
369 Replies
193K Views
  • Sticky
Imekuwa ni shida sana kwa watanzania wengi kununua bidhaaa katika masoko haya ya mtandaoni kwani mengi huwa hayakupi fursa ya kutumiwa mzigo wako moja kwa moja Tanzania. Baadhi ya thread...
129 Reactions
2K Replies
373K Views
  • Closed
  • Sticky
Wakuu, Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua kufanya...
20 Reactions
62 Replies
77K Views
Habari wakuu mnaionaje hizi baishara ni za kuendelea kufanya kweli tandam ya gari ya sukari inabeba mifuko 600 ya sukari unaiuza kwa miezi 2 na faida yake ni 540,000 wakati huo gharama za manunuzi...
9 Reactions
74 Replies
3K Views
Miaka mitano iliopita nilifungua website ya kuagiza bidhaa mbalimbali kwanjia ya mtandao bahatimbaya sikupata wateja wakutosha nilikutana na changamoto nyingi sana 1. Watu wengi niwaoga kutapeliwa...
9 Reactions
120 Replies
4K Views
Habari wana jf, Naomba mwenye business idea ambayo nikiwekeza 30m naweza pata faida ya atleast 5m per month.
2 Reactions
41 Replies
2K Views
NJOO TUKUPE SMART WATCH KWA BEI NAFUU KUANZI 65000. MAWASILIANO 0762212623
0 Reactions
9 Replies
225 Views
Habari za wakati huu wanajulkwaa. Dhumuni kuu la kushusha uzi huu ni kupata muongozo juu ya biashara ya dhahabu naona ipo juu sana kwa bei kulingana na asilimia(%). Kwa hapa Buzwagi ndogo...
0 Reactions
3 Replies
157 Views
Biashara yoyote inahitaji uvumilivu; wengi wanaamua kufunga biashara zao na kulalamika kwa sababu wanakuwa wamekosa uvumilivu. Na hasa ukiingia kwenye hii biashara ya kutengeneza na kuuza, muda...
15 Reactions
78 Replies
2K Views
Habari wakuu? Wanasema ndege wenye manyoya ya kufanana huruka pamoja. Na mimi pia naamini kwenye mzunguko wa watu wangu wa karibu nikiwa na watu wanaofanya kitu kama changu itanisaidia kukua...
1 Reactions
0 Replies
46 Views
Naulizia ni wapi kwa dares salaam au kwa mkoa wa Iringa ni wapi naweza pata BlackBerry zile simu za kizamani. Ahsante
2 Reactions
21 Replies
873 Views
…Protasi alitumia MBINU Hii Kuweka Akiba ya Laki 920,000 Ndani ya Mwezi Mmoja Tu… (Unaweza Kuitumia Pia)! Kama umekuwa Ukitafuta Formula moja ya Kutumia ili Uweze kujiwekea AKIBA ya Kutosha...
1 Reactions
4 Replies
705 Views
Wakuu heshima zenu Mimi ni mkazi wa Dar ...niko Arusha nikifatilia soko la maharage ya njano aina ya GOROLI.....lengo ni kununua maharage Arusha na kuuza Dar Watalamu naomba kujua changamoto za...
2 Reactions
19 Replies
11K Views
Habari wakuu Naomba fursa za kibiashara mikoani kwa mwenye kufahamu biashara gani inalipa kwa kusafirisha kutoka dar es salaam. Natanguliza shukrani Nguvu moja [emoji881]
1 Reactions
2 Replies
106 Views
Habari, Kiukweli tender za Serikali ni nzuri kwa kampuni zenye mitaji ya kutosha na sio kwa kampuni ambazo mitaji yao ni midogo. Kwenye ufanywaji wa kazi huwa wanataka kazi zao zikamilike kwa...
11 Reactions
36 Replies
1K Views
Niko na ujuzi wa kutengeneza sabuni Aina tatu nazo ni sabuni za miche, sabuni za maji, sabuni za unga, pamoja na mufata ya mgando na lotion tofauti tofauti. Ila mpaka sasa nimebaki na ujuzi mtaji...
6 Reactions
11 Replies
363 Views
Habarizenu wakuu, kama beginner wa photoshooting naomba ushauri wenu kuhusu printer ambayo naweza kuanzanayo pamoja na bei yake kwa ajili ya kuprint picha, Kama kuna udhaifu wa hiyo printer...
1 Reactions
2 Replies
129 Views
MAJIBU SAHIHI YA SWALI LA MSINGI "NIFANYE BIASHARA GANI?" NA, LEONARD JULIUS SHIGANGA WA MWANAMATINGATINGA. Watu wengi hasa wale wanaopata mtaji na kuwa na nia ya kufanya BIASHARA mbalimbali...
6 Reactions
6 Replies
565 Views
Habari za siku wadau wa JF, Moja kwa moja kwenye mada, Katika pita zangu huko mtandaoni katika masoko mtandao kama AliExpress na Alibaba nimekutana na hii bidhaa, bidhaa nauhitaji nayo lakini...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Kila Mtanzania ni shahidi. Mpaka vifaa muhimu vya umeme, maji na electronics bandia mchina kwa makusudi kabisa kutujazia Kariakoo kisha kusambazwa Tanzania yote. Nguo na mavazi nako ni hatari...
6 Reactions
51 Replies
1K Views
Habarini wakuu Kwa muda mrefu nimekuwa na wazo la kufungua biashara ya uuzaji wa unga wa mahindi ambapo unga utakuwa unasagwa mkoani na kuletwa huku Dar Kutokana na ugeni katika nyanja hii...
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Hali ya sarafu ya Tanzania inaenda kushukuka thamani ikiripotiwa shilingi ya Uganda kuwa Bora zaidi kwa kipindi hiki ikifuatiwa na shilingi ya Kenya Hali n mbaya kwa upande wa shilingi ya Tanzania...
10 Reactions
73 Replies
2K Views
Msaada wakuu Kati ya nyumba hizo mbili ipi itangulie kwa mtu anaejitafuta? Mfano mtu ana kiwanja ambacho kinafaa kwa yote mawili either makazi binafsi or biashara (Fremu za maduka, Lodge...
2 Reactions
13 Replies
620 Views
Back
Top Bottom