barabara

A barabara or barabora (Russian); ulax̂, ulaagamax, ulaq, or ulas (plural) (Aleut); and ciqlluaq (Alutiiq ~ Sugpiaq) were the traditional, main or communal dwelling used by the Alutiiq people and Aleuts, the indigenous people of the Aleutian Islands. They lay partially underground like an earth lodge or pit-house, and most of the house was excavated from the dirt so as to withstand the high forces of wind in the Aleutian chain of islands. Barabaras are no longer used, as present-day Aleuts live in modern houses and apartment buildings.

View More On Wikipedia.org
  1. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha ajali ni Ubovu wa Barabara!

    Haijawahi kutokea "mamlaka " ikasema chanzo cha ajali ni miundombinu ya barabara kuwa mibovu. Mitaani na barabara kuu, TANROAD wanapata hela kutoka mafuta tunayoweka kwenye magari, yet hawazibi mashimo. Mitaani wanaweka bumps, lakini hawaweki alama, ajali za kupinduka. Madaraja membamba na...
  2. G

    JamiiForums Tanzania KERO Mtaa wa Nzasa, eneo lililo karibu na nyumba za walimu wa UDSM, mifumo ya maji taka inasumbua sana

    Mtaa wa Nzasa, eneo lililo karibu na nyumba za walimu wa UDSM, kuanzia Barabara ya Kitambaa Cheupe hadi kwa Mama Ngoma, unakabiliwa na tatizo la mara kwa mara la mifumo ya maji taka kuziba na chemba kujaa. Hali hii imekuwa kero kubwa kwa wakazi, hasa ikizingatiwa kuwa watoto hupita katika njia...
  3. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Highway 10, Saudi Arabia, ndio barabara ndefu bila Kona Duniani. Unaenda Kilometa 240 straight! RIP in Advance!

    Hii road naona kabisa ni death trap ingekuwepo Tanzania. Hamna kilima, hamna Kona kwa Kilometa 240? Karibia Dar - Mikumi.
  4. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Barabara zote ni za serikali, polisi wanaweza kukuzuia kuweka gari lako barabarani!

    watanzagiza tunaishi kwa mazoea sana, serikali ndiyo mwenye barabara zote tunazotumia i.e hakuna mtu binafsi anayemiliki barabara tanzagiza ukiondoa labda ya kuingia nyumbani kwako kama hata kwanza una hati miliki ya hiyo nyumba unayoishi ambayo unasema ni yako lkn hiyo ni mada nyingine hata...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumiaji wa Vituo vya Mwendokasi Barabara ya Morogoro Wapo Hatarini Kugongwa Wanapovuka Barabara

    Ningependa kufikisha malalamiko kuhusu changamoto kubwa wanayokutana nayo watumiaji wa vituo vya mabasi ya mwendokasi katika njia ya Kimara, hususan wanapovuka Barabara ya Morogoro kwenda au kutoka vituoni. Baada ya upanuzi wa barabara, umbali wa kuvuka umeongezeka, lakini katika baadhi ya...
  6. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya Barabara Kijiji cha Kidemeni ni kubwa, inarudisha nyuma mwendo wa maendeleo

    Kidemeni ni miongoni mwa vijiji vinavyopatikana katika Wilaya ya Chake Chake, Mkoa wa Kusini Pemba, wananchi wake wana kilio cha kutokuwepo kwa barabara ya uhakika, hivyo kudai inachangia kudumaza maendeleo yao. Kwa miaka kadhaa sasa, Zanzibar imeendelea kushuhudia mabadiliko makubwa ya...
  7. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu: Mkandarasi wa barabara Ilongero kutangazwa mwezi huu

    Ndani ya mwezi huu huu, muwe mmeshatangaza kupata mkandarasi wa kuanza kujenga hizi kilomita 11 za awali ambazo zitaziba hili pengo kuanzia hapa mpaka kwenye lami na kupita kidogo mji wa Ilongero-Waziri Mkuu Dkt.Mwigulu Nchemba. 📍Ilongero-Singida 🗓️Septemba 06, 2026 ——————- Amesema hayo...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Nchi ya rushwa: kila tenda ya barabara ni 10% inatoka!

    Marafiki zangu ambao wana kampuni za ujenzi wanasema kila kampuni ninlazima zitoe 10% kwenye kila mradi. Lakini pesa ikichelewa kuna riba🤦🏾‍♂️ Umasikini na wetu ni huu uongozi fake unaleta
  9. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Dhoruba ya EL Nino Yapiga Hodi China,Yaporomosha Magorofa na kuleta Mafuriko Makubwa.Huko Canada na Marekani Barabara zajaa maji na magari kusombwa.

    My Take El Nino sio mzaha ,kama wanaojiita wahandisi wa Dunia wamesambaratishwa hivyo huku kwetu tuanze kutia maji. https://www.instagram.com/reel/Dc3I6r-oVX7/?stkn=cmlybWF6dzA3cXVn Ila tusiogope sana Kila Nchi Ina aina zake za Hali ya Hewa na intensity...
  10. O

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara ya Ndegesera–Mwime–Machimboni, Manispaa ya Kahama ni mbovu sana

    Barabara ya Ndegesera–Mwime–Machimboni katika Manispaa ya Kahama imekuwa kero kubwa kwa wananchi kutokana na hali yake kuwa mbaya kwa muda mrefu. Ubovu wa barabara hiyo unasababisha usumbufu na changamoto mbalimbali kwa watumiaji, hususan kina mama wajawazito, wagonjwa na waendesha vyombo vya...
  11. kavulata

    JamiiForums Tanzania Barabara za mwendokasi zitungiwe sheria yake

    Usafiri wa mwendokasi kama hautatungiwa sheria zake itakuwa kazi bure. Hali ilivyo sasa ni vuluvulu
  12. 4

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale “Fursa ya Uwekezaji – Barabara Kuu ya Msata"

    🏡 KIWANJA 3,109 SQM KINAPATIKANA – BARABARA KUU YA MSATA, MAKURUNGE BAGAMOYO Fursa nzuri kwa mwekezaji anayehitaji eneo kubwa lenye access nzuri ya barabara kuu kwa ajili ya biashara, lodge, hotel, kituo cha huduma au makazi. 📍 Mahali: Makurunge, Bagamoyo – Barabara Kuu ya Msata 📐 Ukubwa...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Hivi kuna Jiji jingine Tanzania lenye barabara mbovu kama Mbeya? Tuungane hapa kuweka picha na ushahidi

    Kwa kweli hali ya baadhi ya barabara za Mbeya inakera. Mashimo yamekuwa mengi kiasi kwamba kuendesha gari au pikipiki katika baadhi ya maeneo ni kama kufanya mtihani wa kila siku. Sasa tuwaulize wananchi: Ni jiji gani Tanzania mnaona lina barabara mbovu kuliko Mbeya? Kwa Mbeya, ni barabara au...
  14. H

    JamiiForums Tanzania WAZIRI MKUU ATOA MAELEKEZO KATAVI (BARABARA, UMEME NA MAJI)

    Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa maelekezo kwa viongozi wa Mkoa wa Katavi na mamlaka husika kuharakisha utekelezaji wa miradi ya barabara, maji na umeme, akisisitiza kuwa wananchi wanapaswa kupata huduma hizo kwa wakati. 📍Mpanda-Katavi 🗓️ Agosti 30, 2026 ———————————————— Amesema hayo...
  15. NkomaBakhosi

    JamiiForums Tanzania Je, tunaepuka vipi kifo cha Utambulisho wetu kidijitali? Uchambuzi - barabara na reli hazitatoshi kulinda Taifa.

    Wana-JF, Kuna aina ya utajiri ambao taifa linaweza kuupoteza bila wenyewe kugundua. Mzee mmoja anapofariki kijijini, simulizi zote ambazo hazijawahi kuandikwa kwenye vitabu zinakufa pamoja naye. Lugha yetu ya asili inapopoteza watoto wanaoizungumza, sehemu kubwa ya kumbukumbu ya jamii...
  16. NkomaBakhosi

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi: Barabara na Reli Hazitatoshi Kulinda Taifa. Je, Tunaepuka Vipi Kifo cha Utambulisho Wetu Kidijitali?Jukwaa (Sub-forum): Jukwaa la Siasa / J

    Wana-JF, Kuna aina ya utajiri ambao taifa linaweza kuupoteza bila wenyewe kugundua. Mzee mmoja anapofariki kijijini, simulizi zote ambazo hazijawahi kuandikwa kwenye vitabu zinakufa pamoja naye. Lugha yetu ya asili inapopoteza watoto wanaoizungumza, sehemu kubwa ya kumbukumbu ya jamii...
  17. H r n

    JamiiForums Tanzania Leo nimegundua kitu kimoja, kuvuka barabara si kitu kidogo!

    Leo nimeacha chombo changu sehemu fulani, nikatembea kwa miguu kwa muda mrefu. Kwa kweli nilichokutana nacho njiani kimenifanya nitafakari sana kuhusu usalama wa watembea kwa miguu. Nilipofika sehemu ya kuvuka barabara, nilihisi wasiwasi mkubwa. Pikipiki zinakuja kwa kasi, magari nayo yanapita...
  18. Vien

    JamiiForums Tanzania Ni Muda Muafaka Kwa Serikali Kuipa Kipaumbele Barabara Ya Mpiji Magoe

    Baada ya agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Albert Chalamila, kutaka mabasi yote ya mkoa kuanzia na kumalizia safari zao katika Magufuli Bus Terminal, nadhani sasa ni muda muafaka kwa serikali kuangalia pia upande wa miundombinu ili agizo hilo liende sambamba na kurahisisha usafiri kwa...
  19. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Kumbe inawezekana kujenga barabara kutoka Zanzibar kuja Tanzania Bara?

    Baada ya kuangalia ramani inayoonesha kina cha bahari, nimegundua ya kwamba kuna eneo la magharibi ya Zanzibar ambalo lina mwambatano wa kina kifupi sana cha bahari na visiwa vidogo vidogo ambavyo inanipa ishara kwamba huko mbeleni miaka ijayo inaweza kufanyika land reclamation ya kujaza vifusi...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ujenzi wa Barabara ya Rangi Tatu - Kongowe unasuasua, kero kila siku, Bilioni 54 zilizotajwa kusimamia Mradi hazijasaidia?

    Hivi ujenzi wa Barabara ya Mbagala Rangi Tatu mpaka Kongowe imekuwa kero kwetu Watumiaji na sasa hivi hakuna kinachoendelea hata mkandarasi hatumuoni 'site' hii kero itaisha lini jamani. Nakumbuka Machi 19, 2025, Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Dar es Salaam na mkandarasi kutoka...
Back
Top Bottom