basi

  1. T

    JamiiForums Tanzania Nimechoma account nne kwenye Forex, rasmi sasa nasema basi!

    Bora niweke focus kuongeza competence kwenye career yangu. Forex unapiga hatua tatu mbele kisha nne nyuma. Sio discipline wala strategy kitakachokuokoa.
  2. A

    JamiiForums Tanzania TCU ni lazima Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu kinachomilikiwa na Kanisa awe Mchungaji au Padre? Basi wawadahili wanafunzi ambao ni waumini wao tu!

    Nchi hii linapokuja suala la maslahi watu wanaanza kujipendelea, kubagua wengine. Kwanini VC ambaye ndiye mtendaji mkuu wa University inayomilikiwa na taasisi ya dini fulani lazima we aidha mchungaji au padre wa kanisa husika? Tena nchi hii viongozi wasipoangalia itavunjika vipande vipande...
  3. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Ukiona kiongozi ana mpambe/mtu/mlinzi nyuma yake, basi jua hayuko huru

    Nimetafakari juu ya ulinzi binafsi wa viongozi wetu, hasa wabkitaifa. Ukiona kiongonzi ana mpambe au mmlinzi au mtu yeyote nyuma yake, basi ujue hayuko huru. Huyo ni mateka wa system ambao iko chini ya Idara Kuu ya Usalama.. Hao wapambe au walinzi, si tu wako gado kumlinda kiongozi, lakini...
  4. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Ccm ikiwa dhaifu sana basi mabadiliko ya kweli yatakuja- ikiwa imara sana ni kikwazo cha mabadiliko

    Kwa hili linalotokea la nchimbi kujiuzulu mimi sina upande wa kutetea au kuponda sababu ukweli ni kwamba ccm wote wanafanana tabia na wanatumia playbook moja kwa hiyo huo ni uogomvi wa ndugu haina haja ya kuingilia na kuushabikia Ccm ikiwa dhaifu kwa mda mrefu basi itakuwa ndo chachu ya...
  5. 4

    JamiiForums Tanzania Kama ni kweli basi uyu mama kavunja rekodi ya Tanganyika.

    Ilianza kama utani kwenye Bandari za Tanganyika,Mbuga n.k Leo naona za Nchimbi ,kama ni kweli itoshe sema mstari mwekundu kwa Tanganyika umevukwa , hii ni history chafu kuwa katika tafa hili, Mzee Warioba wenda hali yake sio nzuri kama baba wa Taifa. Ni wakati sasa Mungu kuamua Ugonvi kama...
  6. Kubwa la Maadui

    JamiiForums Tanzania NIGERIA: Katika wazazi 4 wanaopima DNA basi mmoja kapigwa, Yani analea goli la kidume mwezake

    Kampuni moja ya vipimo vya DNA nchini Nigeria inaitwa Smart DNA imetoa takwimu zao za 2025/2026. Wanasema kati ya watu wote waliokwenda kufanya kipimo cha kujua kama mtoto ni wao kweli, asilimia 23.6 walikuta hapana, sio watoto wao. Mwaka jana ilikuwa 24%, na 2023 ilikuwa 26.1%. Kwa hiyo...
  7. Olivia olivia

    JamiiForums Tanzania Hakuna muwekezaji afungue hospital ukanda wa Ubungo, Kimara, Mbezi yote basi hata Kibaha

    .
  8. O Diafro

    JamiiForums Tanzania Unapolalamika kulea mimba, basi mhurumie Nii Ordatey Lamptey

    "Nilipokwenda kuchukua majibu kwa daktari aliniuliuliza ni miaka mingapi tuko pamoja[kwenye ndoa], nikamwambia miaka 21. Kisha akaniambia moja kwa moja: 'watoto siyo wako'. Nilikuwa natetemeka...". Aliongea Lamptey aliyeshindwa kuyazuia machozi mara kwa mara katikati ya kipindi cha Tv, cha...
  9. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Kama sio Football Video Support (FVS) basi wachezaji wawili wa Simba wasingepewa redcard

    Huu ni ukweli ambao ni wachache wanauona kama sio Football Video Support (FVS) basi leo hii watu wangeishia tu kulalamika kwamba jabar na duchu walistahili redcard sana sana watu wangesubiria kamati ya masaa 72 itoe hukumu Viongozi wa simba miaka nenda rudi wamekuwa wakilalamika kwamba...
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga: Tunamtafuta ndugu wa Mtoto ambaye Mama na Kaka yake walifariki katika ajali ya basi

    TAARIFA KWA UMMA Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga inawatafuta ndugu au jamaa wa mtoto huyu wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 5, ambaye hajafahamika jina lake. Mtoto huyo alinusurika katika ajali ya barabarani iliyotokea tarehe 20 Juni 2026 eneo la Wendele, iliyohusisha gari la...
  11. dronedrake

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa Tilisho akamatwa kwa kuagiza kuvunjwa kwa mnyororo uliofungwa kwenye basi lake. Chalamila amsamehe

    Mkurugenzi wa mabasi yanayofanya Dar-Arusha, John Tilisho akamatwa kwa kuagiza kukatwa kwa mnyororo kwenye moja ya basi zake Baada ya mkurugenzi wa mabasi ya Tilisho Safari aitwae John Tilisho (aliyevaa suti), kufungwa pingu kwa madai ya kukaidi agizo la uongozi wa Juu wa mkoa wa Dar es Salaam...
  12. Mtemi mpambalioto

    JamiiForums Tanzania Ushauri Kwa SERIKALI kuhusu FOLENI ZA dar! Mkipuuzia hii basi nyie wendawazimu

    1. Wenye ICD za DAR wapewe VIZIMBA HUKO KWALA halafu ICD za mjini zoote zitoke SERIKALI aifanye biashara ya ICD ikusanywe Kodi Kwa kukodisha! 2. Kuna NJIA ilikuwa inatumiwa na SGR wakati wa ujenz wake! Iwekewe LAMI iwe ya maroli ya mafuta na ya KUBEBA visivyopelekeka ICD ijengwe mpaka chalinze...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Inakuwaje mtu mwenye tiketi analazimishwa kulipia ushuru wa kuingia katika Stendi ya mabasi 88 Dodoma?

    Halmashauri ya Jiji la Dodoma inawaibia abiria waliokata tiketi kupitia mfumo kwa kuwalazimisha kulipia ushuru wa kuingia stendi na kupanda mabasi. Hili ni jambo lisilo sahihi ambalo sijawahi kuliona katika stendi nyingine za mikoani. Ndiyo maana baadhi ya abiria wameanza kuepuka kupandia...
  14. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Iwapo Salum Mwalimu angeshinda urais basi Kigaila angekuwa Waziri mkuu wetu!

    Mazungumzo yote yapo kwenye page ya Chief Odemba Facebook. Kwa kifupi sana hii nchi raia tunaonwa kama matako Yao tu kama ni hivi asee
  15. Top Gun

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kugombana na hawa members wafuatao basi gusia hivi vifuatavyo

    secretarybird jaribu kumpinga kuhusu punyeto Kiranga jaribu kusifia dini mbele yake min -me jaribu kusema kuwa pombe ni mbaya anasbo jaribu kuwa-diss wadada wenye makebo makubwa ngara23 jaribu kuongelea vibaya kuhusu chadema Eli Cohen jaribu kuongea vibaya kuhusu israel Mshana Jr jaribu...
  16. dronedrake

    JamiiForums Tanzania Ajali ya basi la Isamilo na Libanika, alfajiri ya leo

    Ajali mbaya za basi la Isamilo linalofanya safari zake Mwanza-Dar kugongana uso kwa uso na basi la Libanika (Dar-Mwanza) iliyotokea alfajiri ya leo, kijiji cha Msembeta, kata ya Nala, wilaya ya Dodoma, mkoa wa Dodoma. Kumekuwa na ripoti za vifo kadhaa na majeruhi wengi Chanzo cha ajali ikiwa...
  17. Fbn

    JamiiForums Tanzania Usipo kutana na tiki au comment hawa watu basi JF ujakamilika

    Tuwape maua yao sijui ni maroboti au wafanyakazi. Ila ni watu ambao wakiingia kwenye uzi wako kuna mawili up or down.
  18. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Tuanue "tanga".. Mwandambo ndio basi tena

    Hata kama ni pesa. Hii ni zaidi ya kujidhalilisha https://vm.tiktok.com/ZSXgdE7Jw/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok
  19. Forrest Gump

    JamiiForums Tanzania Wanaita T3 [titi, tumbo, t*ko] yani mdada yoyote akishakuwa na combination hii ilionyooka basi maisha yake ya hapa duniani anachukuliwa kama malkia

    Wadada wote JF wenye T3 sema oyeee❤️ Yani unakuta mrembo hayo maaanabeli yake hapo kifuani yapo round, manene ya wastani alafu yana point mbele, tumbo ndio hilo lipo flat, side stomach yake haina nyama bali imetoa njia kuruhusu hips zitoe shangwe alafu unakuta makebo ndio usiseme, yapo curvy...
  20. je parle

    JamiiForums Tanzania BAKWATA SAA ZINGINE WANATIA AIBU MPAKA BASI . Inamaana suratul hujurat aya ya 6 hamuijui???

    Kufuatia suala la sheikh Walid km kawaida yao wamekurupuka km wanavyokurupuka kwenye muandamo wa mwezi Huenda ni maelekezo kutoka juu ila suala la siasa life nguvu kwa muda Haya Allah tabaraka wataala anasema katika verse no.6 katika suratul hujurat kama ifuatavyo يَا أَيُّهَا الَّذِينَ...
Back
Top Bottom