basi

  1. BigTall

    JamiiForums Tanzania RC Mwanamvua Mrindoko azindua basi la Watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi

    Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, Mei 20, 2026 amezindua rasmi Basi la Watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi. Akizungumza mbele ya Watumishi, Mrindoko amesema Basi hilo litasaidia sana Watumishi kupunguza gharama za maisha kwa kuwarahisishia usafiri. Pia soma ~ Milioni...
  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kama tutavuka ili basi ndio itakuwa mwanzo na mwisho kama 1.Raisi mwanamke, 2.Kutoka visiwani.

    Ukweli mchungu ila ndio kashatiburia wanawake wenzake. Tumeona wengine wakipinduliwa huko asia,wengine wakifungwa na wengine wamefanya mambo ya ajabu. Kwa ili wanawake sijui kama mna la kujitetea mlipofikia hapa. 2.kutoka viswani kwa mtindo mliopelekea kwa wabara na kuwabagaza na kuonesha...
  3. Alexido jz instagram

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama na hawa wameachana basi, mahusiano ni magumu, aisee

    Juzi pitapita mitandaoni, nikapata taarifa kuwa chirwa na rubeni wameachana, nikataka nijue chanzo, mana huyu Binti watanzania walikua nyuma yake kutokana na kile nacho amini kuhurumiwa, Inasemekana sababu kubwa ya wao kuachana, ni kuwa ndugu wa mwanaume hawa kuwa tayari ndugu Yao amuoe huyu...
  4. Stability

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lile swali la "una mpenzi?" limesha pitwa na wakati sasa hivi, sasa hivi unatongozwa ukiiingiamo basi umeingiamo mengine yatafata

    Pesa, tamaa ya ngono Ndio vimekuwa hamasa kuu ya mahusiano kwa sasa. Wake za watu waajiuza. Wamme za watu wamegeuka baba wa watot0 wa watu mtaani ili tu atafune jagina kirahisi😆
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Malalamiko ya Kuachwa na Basi la Katarama Luxury T 431 EHW Licha ya Kuwahi Kituoni – Naomba Kurejeshewa Nauli

    Nilikata tiketi online tarehe 08 Mei 2026 kwa ajili ya safari ya tarehe 09 Mei 2026 kutoka Dar es Salaam kwenda Kahama. Kituo nilichopangiwa kupandia ni Mlandizi. Nilifika kituoni mapema saa 14:15 nikisubiri basi, lakini basi lilichelewa kufika na lilifika baada ya saa 1:30. Cha kusikitisha...
  6. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aliponiambia yeye na mimi basi. Nikamwambia sawa haina shida. Nlichomfanya hatonisahau kamwe

    Mimi kusema kweli sina roho ya kitajiri. Halafu sikopeshi kabisa ni mambo taslimu. Huyu binti alikuja toka mkoani kusoma chuo. Tukapendana. Basi nikawa sababu mimi mzazi alikuwa anauwezo nikawa nachukua mkwanja home. Huku na serikali inanilipia. Mzee anajua ananisomesha. Basi najibana...
  7. mirindimo

    JamiiForums Tanzania CCM yaua stand ya mabasi ya Magufuli baada ya Magufuli kufa

    Waungwana kuna jambo haliko sawa kabisa, kwa sasa magari sio lazima yaende tena stand ya Magufuli, yameruhusiwa kila basi kuwa na stand au ofisi yake popote inapojisikia. Ile stand ilitengenezwa kwa pesa zetu za kodi nyingi sana, haya maamuzi kwa mimi binafsi sikubaliani nayo kabisa ! Namna hii...
  8. A

    JamiiForums Tanzania KERO Stendi Ya Basi Msamvu Morogoro inalipisha pesa ya kuingia hata kama una tiketi

    Leo Nimeshangaa Sana Nilipofika Stendi Tajwa Baadaya Mgeni Wangu Kumkatia Ticket Ya Basi Kuelekea Nyanda Za Juu Kusini. Nilipofika Mgeni Aingie Stendi Naambiwa Pamoja Na Kukata Ticket Hawezi Kuingia Ndani Mpaka Alipie Tzs 300/= Kiingilio Manispaa Ya Morogoro Hata Kama Mnakusanya Mapato Ila Hii...
  9. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Mh rais wao take care, trump ni mara ya pili anakoswa koswa.km aliyoyasema chande ni sahihi vijana walikuwa na silaha basi tambua hazijaisha.

    Trump kakoswa koswa hii ni awamu ya pili, Je Rais WENU you salama kiasi Gani? Kama chande anasema vijana walikuwa na silaha je Rais WENU you salama kiasi Gani? Utawala ulio mwaga damu kuwa madarakani uo sio utawala kamwe ujitafakari
  10. MANAGER DOCTOR WENGER

    JamiiForums Tanzania Inasemekana kuna showroom ya magari MIKOCHENI imeungua moto je ni kweli?

    Nishazeeka nasikia tu stori sijui kitu wakuu, ninesikia Kuna mtu katajwa nikashtuka, inasemekana ndo mmiliki ila matatizo haya, sijafurahishwa, sababu naijua biashara inavo vuruga unapo pata hasara kama hizi
  11. figganigga

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Basi la Happy nation 452 EDW limepata ajali Dakawa Mizani

    Dakawa mzani Basi la happy nation namba T 452 EDW limelala. Sababu ni mvua. Kama ulikuwa unamsubiri ndugu yako pole sana. Mtandao haushiki na mazingira ni mabaya.. Waruguru wametoa macho kama wanataka kuchomoa beteri🤣🤣 Tusubiri Polisi kwa habari zaidi.
  12. Chizi Maarifer

    JamiiForums Tanzania Ukiona Mwanamke anatumia JF basi ana Ujiniaz ndani yake

    Mzuka wana jamvi ? Wanawake wengi wanapenda mitandao kama Instagram, TikTok , Fb nk ambayo haina mambo magumu ni showoff kwenda mbele . Lakini Jf pisi Kali anabishana na secretarybird kuhusu Ayatollah, pisi Kali anachambua mabomu ya Ukraine. Hata kwenye majukwaa mengine MMU Jf ni full spana ...
  13. dr namugari

    JamiiForums Tanzania Huyu afande amenisikitisha sana kwa kweli kama ndio hivyo tumekwisha

    Hbr za muda wakuu wangu ! ...ni kweli nimeadimika sana humu ndani ila tupo pamoja ni majukumu ya kitaifa na shughuli zangu binafsi vinanibana sana hadi kukosa muda wa kuja kuwatembelea na kuwa tia moyo kwa yale mnayo yapitia us individual au groups poleni san wanangu ama hakika Mungu yupo...
  14. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Snoop Doggy: Kama ni Mwanaume na una Uwezo wa kumwacha Mke wako Nyumbani na wewe utafute hela, basi Fanya hivyo

    Mfalme wa HipHop Mziki wa kizazi kipya Nchini Marekani Mzee Snoop Doggy ametoa ushauri kwa Sisi kizazi kipya yaani Vijana wa leo. Mheshimiwa huyo amesema kama wewe ni Mwanaume na una Uwezo au uko ktk position ya kumwacha Mke wako Fanya shughuli za Nyumbani( Family matters) basi hakikisha...
  15. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Unawezaje kununua/kuimport pikipiki used kutoka China?

    Magari used China hayajawa soko zuri Tanzania kwasababu mengi ni LHD, ivyo ni wabishi tu wataweza kuendesha kwenye nchi yenye RHD. Sasa China wako vizuri kwenye pikipiki, tena kwa bei nafuu. Zama za kukomaa na Japan zimepita. Bei kubwa Pikipiki ya 2010. Nimekua nikifuatilia hawa jamaa na...
  16. Webabu

    JamiiForums Tanzania Trump azidi kusisitiza kila mtu akachukue mafuta yake Homurz.Yeye basi

    Tofauti na waziri wake wa ulinzi,Hegeseth,Trump yeye hajivungi tena kuhusu kushindwa vita alivyovianzisha na Iran. Wakati wa mahojiano hapo jana na mashirika ya habari.Trump amerudia kwa mara nyengine kusema kuwa nchi zinazounda umoja wa NATO ni kama chui wa karatasi tu.Akawapa mipasho kama ile...
  17. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Kama Mungu yupo basi hataki tumjue

    Huu ndio ukweli, haya mengine ni umbea tu wa binadamu Kama kweli Mungu yupo basi hataki tumjue, wala hataki tumuabudu na hataki tufuate sheria zake. Angekuwa anataka tumjue angejionesha au aongeonesha ishara kuwa yupo Angekuwa anataka tumuabudu angetuambia sisi direct, kila kizazi angekiambia...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Ajidai muhudumu wa basi na kuibia abiria

    Wezi kila siku wanabuni mbinu pya ili kutimiza nia zao ovu, huyo kwenye video alijidai mfanyakazi wa basi la Abood na kudai tiketi kisha iliyokuwa kwenye simu akajifanya anaenda kukagua akaondoka na simu
  19. Scott junior

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama sikupata UKIMWI pale, basi sitapata

    Kila mwanaume ana sehemu hatari aliyowahi kupita, akasema; ‘Kama sikupata UKIMWI pale basi sitaupata.’ Ilikuwaje kwako?
  20. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Kama unafunga mpaka ule daku au kwasababu ni mwezi wa mfungo au usifike na watu basi unashinda na njaa

    Kama unafunga mpaka ule daku au kwasababu ni mwezi wa mfungo au usifike na watu basi unashinda na njaa. Kuna hawa watu wanafunga na wakiona watu wanakula wanakasirika au wanawapiga na kuwauwa basi hao wanahinda na njaa wamebadilisha mda wa kula. Yule anaye funga kwasababu ya kuwaombea...
Back
Top Bottom