basi

  1. GENTAMYCINE

    Ewe Mwenyezi Mungu hujawahi Kuacha Kusikia na Kutendea Kazi Maombi yangu basi na leo tena hili Ombi langu Ulikubali na litokee kama nitakavyo

    "Ewe Baba Mwenyezi Mungu naomba fanya kila uwezalo Klabu yangu ya Simba SC isiishie kabisa katika Nafasi ya Tatu bali ishie nafasi ya ama ya Tano au ya Saba ili sasa Sisi Mashabiki na Wanachama Kwanza tuanze Kupigana wenyewe kwa wenyewe kisha Hasira zetu tuzihamishie kwa Viongozi wetu na baadae...
  2. Hakuna anayejali

    Kutokana na hila zenu viongozi basi na sisi hatufanyi kazi vema

    Habari wanajukwaa.Juzi nimeenda hospitali ya serikali kupata tiba ya mteguko wa miguu baada ya mazungumzo ya awali Kati ya dokta na mgonjwa (diognosis)dokta akaniambia hawana vifaa pale ila nichukuwe namba yake atakuja kunitibu nyumbani na hakika alikuja. Na kunasiku tena nikamchek dokta fulani...
  3. Kiboko ya Jiwe

    Kama Makonda RC wa Arusha mnadhani ana tatizo basi hilo tatizo analo aliyemteua

    Makonda tangu ajulikane 2010's kazi zake ni za kisiasa, matukio yake yote yako wazi kuanzia lile tukio la kumpiga Mjikofi Mzee Warioba mpaka leo yako wazi. Mengi yako mtandaoni, YouTube, Facebook, Instagram, x n.k Pamoja na hayo yote kuna mtu alimteua pamoja na kuwekwa kando na Rais Magufuli...
  4. SteveMollel

    Sio kila mimba isiyo na baba basi ni kwa uwezo wa roho mtakatifu.

    Baada ya kuponea maisha kwa kuzama ndani ya ziwa la barafu, kipindi akiwa msichana mdogo, Cecilia alikata shauri la kumtumikia Mungu kwa kipindi chake chote alichobakiza duniani. Kwahiyo anapofikia umri, anajiunga na 'convent' ya hapa Italia ili apate kuwa sister kwa kiapo na matendo. Hivyo...
  5. Alwaz

    Kwa shambulio hili la Israel basi vita baina yao ndio basi. Kila mmoja atamuheshimu mwenzake

    Lengo halisi la Israel inaonekana ni Rafah na ile kurusha droni tatu Iran ambazo zimedunguliwa ilikuwa ni kuzubaisha ulimwengu lengo halisi likiwa ni kuingia Rafah ikijua Iran haitaiuliza kitu. Huku watu wamecharuka kujadili shambulio la Israel lililotangazwa na US kwa upande wake Israel ndio...
  6. Erythrocyte

    Kama Ligi ndio ingekuwa inaanza sasa basi Simba ingeshuka daraja

    Mwenendo wa Timu hii kwa sasa hauridhishi , na kwa kweli ni kama wameamua kwa makusudi kutudhalilisha sisi mashabiki na wanachama wake . Kila tunapopita tunachekwa na kunyooshewa vidole , huko maofisini hali ni mbaya zaidi , kuna wakati matokeo ya timu yetu yanasababisha baadhi wasiende...
  7. GENTAMYCINE

    Hebu jifunzeni basi kutupa Maua yetu na Kutuheshimu Watu wenye Maono, aliyosema Makonda nilishayasema Kitambo tu hapa JF ila mkanipuuza

    Hivi ni lini mtaniheshimisha na hata Kunijengea Mnara wangu GENTAMYCINE hapa JamiiForums? Mna uhakika kuwa sikuwahi Kuanzisha Uzi hapa hapa JamiiFoums tena nikisema na kuna mahala nikayafumba Majina ya hawa hawa waliotajwa jana na Makonda na baadhi ya Intelligent Members hapa wakayajua? Mna...
  8. LA7

    Kama ningekuwa nakunywa basi leo ningekuwa chakarii

    Habari za humu wandugu, leo hii nimevurugwa sana nisaidieni nipate utulivu, nimeletewa laptop ilizima mwanga nikairekebisha ikawaka tu poa nikaizima na kuifunga, baada ya kumaliza kuifunga naiwasha haiwaki tena ukiwasha inawaka taa tu ya power halafu inazima baada ya sec 5 hata ukitoa betri...
  9. Ngungenge

    Kardinali Pengo, unampigania Sana Makonda lakini kama huwezi kumsaidia akaacha tabia yake ya ufitini, uongo na kiburi basi kikombe hicho kiwe juu yako

    Ni kweli unampenda Sana Makonda, na hii huwa inatokea mtu fulani kumpenda mtu fulani automatic, inatokana na ku share spiritual rim, njozi na maono ya pamoja. Ni kweli Makonda kwako ni kijana mtiifu na mnyenyekevu amekuwa hivyo tangu akiwa Mkuu wa Mkoa, alipotoka, alipokuwa mwenezi na sasa Mkuu...
  10. Kakondele

    Car4Sale Basi linauzwa bei nafuu sana

    Zhongtong Caesar Inauzwa Namba B Siti 60 2by2 Engine scania 93 Gearbox scania Diff scania Bei Tzsh 35,000,000/= Gari haina tatizo lolote Bima ipo hai Call, sms, whatsap 0759399805
  11. Kakondele

    Basi linauzwa

    Zhongtong Caesar Inauzwa Namba B Siti 60 2by2 Engine scania 93 Gearbox scania Diff scania Bei Tzsh 37,000,000/= Gari inafanya kazi Bima na latra vipo hai Call,sms,whatsap 0759399805
  12. Kaka yake shetani

    Tuseme ukweli mfano Shinyanga kwa sasa bila Kahama basi ingeshajifia

    Katika matembezi yangu ya utafutaji na majukumu ya jina langu nimeona kuleta moja ya mfano ambao kiukweli ni wazi kabisa. Shinyanga miaka 90 kushuka chini ilikuwa ni moja sehemu centre sana ikibeba wilaya zake zote na mambo mengine, ila kwa sasa imekuwa tofauti sana yani kuna kila kitu cha...
  13. Fundi mahiri wa ujenzi

    Uongozi wa yanga mwanipa mashaka kukubali kupanda basi la Mamelodi

    Kama viongozi mnania ya kuihujumu timu, tuambieni mapema tujiandae kisaikolojia na tusipoteze mda wa kwenda vibanda umiza kucheck game. KUKUBALI KUPANDA GARI LA MAMELODI WKT MNAJUA UWEZEKANO WA KUWEKEWA SUMU NI UPUUZI. NA KAMA MLIKUWA MEKOSA NAULI YA KUKODI BASI BINAFSI MNGESEMA TUPITISHE BAKURI
  14. Nehemia Kilave

    Kila ukitaka walaumu wazungu/mabeberu kuhusu Afrika kuchezewa basi usisahau kwamba kuna CCM ,Katiba mpya ni sasa

    Nimekaa nimewaza sana nikafika mpaka kuwalaumu Wazungu na Mabeberu kwa propaganda na mambo yanayoendelea Africa.. Mwisho nikakumbuka tatizo ni Wa Africa wenyewe kila Nchi viongozi wake hupambana kwa Ajili ya Wananchi wake kwa Namna yoyote ile . Kwa Tanzania nitakuwa mnafiki kama sitatupia...
  15. M

    Kama una sifa hizi huwezi tegemewa, hairisha hata kuwa na familia

    KAMA UNA SIFA HIZI BASI HUWEZI KUTEGEMEWA, HAIRISHA HATA KUWA NA FAMILIA 😔 1.Kila changamoto inakuliza na kukuumiza. 2.Mtu wa kulalamika tu. 3.Unaishi kijanja janja kukwepa majukumu. 4 .Hutaki kuwajibika kwa makosa yako. 5.Mtu wa kususa hovyo. 6.Unajitetea sana 7.Bado una utoto wa kutaka kila...
  16. M

    KAMA UNA SIFA HIZI BASI HUWEZI KUTEGEMEWA,HAIRISHA HATA KUWA NA FAMILIA

    KAMA UNA SIFA HIZI BASI HUWEZI KUTEGEMEWA, HAIRISHA HATA KUWA NA FAMILIA 😔 1.Kila changamoto inakuliza na kukuumiza. 2.Mtu wa kulalamika tu. 3.Unaishi kijanja janja kukwepa majukumu. 4 .Hutaki kuwajibika kwa makosa yako. 5.Mtu wa kususa hovyo. 6.Unajitetea sana 7.Bado una utoto wa kutaka...
  17. M

    Kama una sifa hizi basi huwezi kutegemewa, sitisha hata kuwa na familia

    KAMA UNA SIFA HIZI BASI HUWEZI KUTEGEMEWA, HAIRISHA HATA KUWA NA FAMILIA 😔 1. Kila changamoto inakuliza na kukuumiza. 2. Mtu wa kulalamika tu. 3. Unaishi kijanja janja kukwepa majukumu. 4. Hutaki kuwajibika kwa makosa yako. 5. Mtu wa kususa hovyo. 6. Unajitetea sana 7. Bado una utoto wa...
Back
Top Bottom