yanga sc

Young Africans Sports Club is a football club based in Jangwani, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1935, the club play their home games at the Benjamin Mkapa Stadium and the Uhuru Stadium.
Nicknamed "Wananchi" (Citizens) or "Yanga" (Young Boys), Young Africans is one of the two biggest clubs in Tanzania, alongside cross-city rivals Simba. The club has won 22 league titles and four domestic cups, and have participated in multiple CAF Champions League editions. They are also one of the biggest clubs in East Africa, having won the CECAFA Club Championship five times.
The club was popular among Africans, and became a symbol of the anti-colonial movement. Young Africans became associated with nationalists and freedom fighters, and inspired the political party TANU to adopt yellow and green as their primary colours.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Full Time: Yanga yaendeleza moto, yaibamiza Namungo 3-1 | Ligi Kuu NBC | KMC Complex | 25 Mei, 2026

    Yanga imeendelea kuwa na moto, inautaka ubingwa "wake”, hiyo ni baada ya kuichapa Namuongo, hivyo kuendelea kuongoza msimamo wa Ligi Kuu Bara kwa tofauti ya pointi mbili dhidi ya Simba ambayo inashika nafasi ya pili. Mechi ipo live Yanga yupo mbele hadi sasa ############# Allan Okello...
  2. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Yanga yapata mbabe Ligi Kuu, YABAMIZWA na Dodoma Jiji magoli 3-2

    Kwa mara ya kwanza timu ya Yanga imepoteza mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu wa 2025/26 mbele ya Dodoma Jiji kwenye Uwanja wa Airtel, Singida, leo Mei 13, 2026. ######### Yanga yupo uwanjani tena kuzisaka alama 3 dhidi ya Dodoma Jiji. Je ni Dodoma Jiji au Yanga kuondoka na alama 3 ...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Full Time: Yanga SC 3-0 Coastal Union | Ligi kuu NBC | KMC Complex | Mei 9, 2026

    Yanga wapo Mbele hadi sasa wakiwa wamefunga magoli matatu. Magoli mawili yamefungwa Okello na goli moja limefugwa na Max Mpia Mechi bado ipo live Yanga wanaendelea na ubabe kwenye ligi kuu ya NBC baada ya leo kuondoka na ushindi mnono wa magoli matatu kwa sifuri dhidi ya Coastal Union na...
  4. uran

    JamiiForums Tanzania Full Time: Simba SC 2-2 Yanga SC | NBC Premier League | Kariakoo Derby| Major Isamuhyo Stadium | 03.05.2026

    Match Day Kariakoo Derby Vikosi VINAVYOANZA. Updates... Timu zote zimewasili tayari kwenye Uwanja wa Mchezo. Major Isamuhyo Mbweni... Kikosi cha Yanga kimegoma kuingia kwenye vyumba vyakubadilishia Nguo. Wameingia kwenye nyumba ya pembeni... Sasa ni saa 11:18jioni DK 1 Mpira umeanza kwa...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Full Time: Yanga SC 0-1 Simba SC| Muungano Cup Final | New Amaan Complex | 29.04.2026. Simba abeba Ubingwa

    MATCH DAY Yanga SC vs Simba SC ni Dabi ya Kariakoo, Kombe la Muungano Cup kwa wababe hawa kupambana kusaka taji. Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa LEO 29/4/2026 Jumatano, Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, kuanzia majira ya saa 2:15 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Yanga SC wanaingia...
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Full Time: Yanga SC 4 - 0 Muembe Makumbi | Muungano Cup 2026| New Amaan Complex

    Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Muungano Cup wapo uwanjani New Amaan Complex Visiwa Zanzibar wakicheza na Muembe Makumbi Hadi sasa Dakika 31 Yanga anaongoza goli moja liliofungwa na Prince Dube Shekhan anapiga chuma ya 3 kwa upande wa Yanga. Dakika 57, Dube anaweka kamba ya nne
  7. PAYE

    JamiiForums Tanzania FT: Pamba Jiji FC 0-3 Yanga SC | Ligi ya NBC | Aprili 8, 2026 | CCM Kirumba

    Leo Aprili 8, 2026, mashabiki wa soka nchini wanatarajia kushuhudia pambano kubwa la kusisimua kati ya Pamba Jiji FC na Yanga SC katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC. Mchezo huu utapigwa katika Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza, kuanzia saa 10:15 jioni. Pamba Jiji FC, wakiwa nyumbani...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwanasheria wa Simba SC: Damaro na Yanga SC wao hawajafika, Sheria inaruhusu kwenda CAS kama tusiporidhishwa

    Shauri la Simba SC dhidi ya Damaro na Yanga SC limesikilizwa Aprili 2, 2026 katika Ofisi za TFF, Karume Ilala Jijini Dar es Salaam, ambapo Mwanasheria wa Klabu ya Simba, HOSEA CHAMBA amesema, Damaro na Yanga SC wao hawajafika, Sheria inaruhusu kwenda CAS Kama tusiporidhishwa Sakata la SIMBA...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania TFF yatoa Notisi ya Siku 60 kwa Makampuni ya Betting kujieleza kwa kuweka Mechi ya Dabi (Yanga na Simba) kwenye mfumo bila idhini

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetoa notisi ya kisheria ya siku 60 kwa makampuni kadhaa ya michezo ya kubahatisha (betting), likitaka maelezo ya kwanini yaliorodhesha mchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Young Africans SC (Yanga) na Simba SC bila idhini. Mchezo huo wa Dabi...
  10. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Full Time| Mtibwa Sugar 1 -1 Yanga SC | Ligi kuu NBC | Jamuhuri stadium | Machi 21, 2025

    Mchezo wa Ligi Kuu wa NBC wenyeji Mtibwa Sugar wanacheza na Yanga SC uwanja wa Jamuhuri Dodoma DAkika 51, Yanga anaogoza goli moja, goli lilofungwa na Pacome Mechi imemalizika
  11. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Ally Kamwe: Shabaki anayeweza kuwa mshambuliaji aje atusaidie mechi dhidi ya Mtibwa Sugar

    Kikosi cha Klabu ya Yanga kimewasili jijini Dodoma kwa ajili ya kuwakabili Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu NBC Tanzania Bara utakaochezwa March 21 kwenye Uwanja wa CCM Jamhuri, jijini Dodoma Akizungumza mara baada ya kuwasili, Afisa Habari wa klabu hiyo, Ally Kamwe, amesema dhamira yao...
  12. P

    JamiiForums Tanzania Full Time: NBC PL | Azam FC 0-0 Yanga SC | Mkapa Stadium | 15/03/2026

    Timu ya soka ya Azam leo inaikaribisha timu ya Yanga kwrnye mechi ya NBC PL kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
  13. Mobutu JR

    JamiiForums Tanzania Full Time: NBC PL | Singida BS 0-3 Young Africans | Airtel Stadium | 05/03/2026

    Mchezo wa Ligi Ya NBC 2025/2026 Yanga Sc dhidi ya Singida Big STars Kipindi cha Kwanza kimekamilika Yanga wapo mbele kwa goli 2 Magoli ya Yanga yamefungwa na Prince Dube na Allan Okello. Chuma ya 3 😁 linawekwa na Mudathir Singida wanafanya mabadiliko ya wachezaji wa tatu. Dakika 56, Yanga...
  14. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Simba mtusamehe, hujuma zetu kwenu zimetuathiri sote

    Kwa muda sasa nmekuwa nikiombea na kushiriki kwenye michango ya kazi chafu dhidi ya mikia. Kwenda kuwapiga misumali wachezaji wao na wengine kurubuniwa Simba ifanye vibaya. Nashukuru serikali imekuwa upande wetu sana sisi team ya wananchi kinyume na mikia sc ambao wametelekezwa wameachwa kama...
  15. Vincenzo Jr

    JamiiForums Tanzania FT | Al Ahly 2-0 Yanga SC | CAF Champions League | Borg El Arab Stadium | Jan 23, 2026

    AL Ahly vs Yanga Leo Saa moja usiku kwa saa za Afrika Mashariki Afrika itasimama yote kupisha mtanange mkubwa zaidi kati ya Al Ahly SC na Yanga SC Kaa nami katika Uzi huu kwa update zaidi Kikosi kazi dhidi ya Al Ahly #cafcl #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko Mpira umeanza Dakika ya 14...
  16. Vincenzo Jr

    JamiiForums Tanzania FT | Azam FC 0-0 Yanga SC (Pen 4-5) | Mapinduzi Cup | Gombani Stadium | Fainali | 13.01.2026

    Fainali ya Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026, kupigwa katika Uwanja Mpya wa Gombani Kisiwani Pemba, Mechi kali kati ya Azam FC dhidi ya Yanga SC Kikosi kazi dhidi ya Azam FC #MapinduziCup2026Final Mpira umeanza Dakika ya 10 Yanga SC wanafanya mashambulizi Dakika ya 15 Dube anakosa nafasi...
  17. appoh

    JamiiForums Tanzania Yanga imenipa jibu kua hali ya Mtanzania ni mbaya kiuchumi

    Wasaalam Juzi siku ya mechi ya Yanga nikiwa mitaa ya mandela road kuelekea ubungo nilikutana na makund ya vijana yakitembea kwa mguu kutoka taifa had ubungo mbele mbele vifua waz jasho la kutosha Nikawahoji mnatoka wap wakajibu taifa Kwanini msipande daladala wakati ni buku tu wakasema broo...
  18. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania WAFUATAO WAFUKUZWE YANGA SC HARAKA SANA

    Edmund john - anacheza kama kondoo Offen Chikola - sio level ya yanga Aziz adambwile - vivu,zembe , chawi Prince Dube- huyu apigwe kabla yakufukuzwa Mo doumbia _ mchezaji mvivu na mjinga Kocha mabedi - Hana uwezo wakuifundisha yanga Mwamnyeto - mchawi
  19. DonDonald

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 2 - 0 Silver Strikers | CAFCL | Second Preliminary Round | Second Leg | Mkapa Stadium | 25/10/2025

    Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya CAFCL, Yanga SC jioni ya leo wataingia uwanjani kurudiana na timu ya Silver Strikers kutoka Malawi Katika mechi ya kwanza iliyofanyika jijini Lilongwe nchini Malawi, Silver Strikers waliibuka na ushindi wa goli moja kwa bila Je Yanga leo watapindua...
  20. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Jumamosi Yanga SC 2-1 atashinda

    Wapenzi wa Yanga SC huzuni sasa basi, utabiri wangu nawapa nyinyi hapo jumamosi. Gemu itisha kwa mwenyeji kuibuka na ushindi wa goli mbili kwa moja.
Back
Top Bottom