kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Kinachosikitisha wa Tanzania waliozamia SA wemerudi na umaskini

    Kila siku huwa nasema ugumu wa Maisha upo popote pale usijidanganye kwamba kuhama nchi ndio kufanikiwa , wanaohama nchi na kufanikiwa ni wale waliofanikiwa kwenye nchi zao walizotoka , kama nyumbani umeshindwa kufanikiwa usidhani ugenini ndio utafanikiwa , tuliza mshono baki bongo .
  2. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Wafanyabiashara wa Library za Video Iringa Watishia Kutofanya Kazi na Umoja Movies

    UMOJA wa wafanyabiashara wa filamu maarufu kama Library za Video mkoani Iringa umeazimia kusitisha kwa muda kufanya kazi na kampuni ya Umoja Movies, ili kutoa nafasi kwa viongozi na wawakilishi wa wadau kukutana na kampuni hiyo kujadili changamoto zinazodaiwa kujitokeza katika mfumo mpya wa...
  3. Anastasia21

    JamiiForums Tanzania Kazi

    Jamani! Nahitaji kazi amabayo ipo flexible ya kwenda na kurudi ili ni balance na studies. Any recommendations let me know sina skills za wasomi! Nipo dar
  4. Anastasia21

    JamiiForums Tanzania Kazi

    Jamani! Nahitaji kazi amabayo ipo flexible ya kwenda na kurudi ili ni balance na studies. Any recommendations let me know Nipo dar
  5. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Kuacha kazi pasipokutoa notice

    Habari Jamaa aliacha kazi pasipo kutoa taarifa kwa mwajiri baada ya kutopewa mshahara kwa miezi mitatu,ajira haina mkataba ni zile za kupatana pasipo maandishi Alipofatilia akajulishwa anapaswa kukatwa mshahara wa mwezi mmoja kwa kutotoa notice kwa mwajiri. Jamaa anadai alisitisha ajira pasipo...
  6. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Alipowaambia wananchi a.k.a CHADEMA pambaneni mpate katiba mpya nilijua tu kazi imemshinda na siku zake zinahesabika

    Uongozi ni kipaji kinachokuongoza uongee nini , Kwa akina nani na Kwa wakati gani Lakini kama wewe ni kiongozi alafu lile linalokujia kichwani ndio unalolisema wewe huna sifa ya kuwa kiongozi tena kiongozi no 2 wa nchi Kama alitaka kuzungumzia katiba mpya ilitakiwa awambie wananchi wao kama...
  7. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Mtu ameshasema anastaafu siasa sasa huo uanachama wa kazi gani? Kuachwa kunauma nyie acheni tu

    Kuna mambo yanafurahisa sana. Kuachwa kunauma hatari Mwamba alikuwa sawa kuleak ile barua hiyo jana vinginevyo leo wangemdhalilisha kwa kumfuta umakamu na kumtimua uanachama.
  8. Mr Matt

    JamiiForums Tanzania Utumishi wanaangalia vigezo gani kumpa mtu kazi?

    Mwaka huu toka uanze mpaka sasa nimepiga oral 3,ila mpaka sasa hakuna iliyo blue tick.kwa uelewa wangu hizo oral zote nimepiga fresh tu kama wadau wengine walivyopiga.changamoto ni kwamba hatuitwi kazini Nimepiga oral ya cooperative officer ii,Quality assurance officer ii na juzi nimepiga...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kila mwenye akili timamu hawezi kufanya kazi na genge la wafiraji,watekaji na mafisadi

    Wadau genge la Samia ni genge la wafiraji, watekaji na mafisadi, je wenye akili tuwaase wajitenge nalo?
  10. mirindimo

    JamiiForums Tanzania PICHA: WALIOSHINDWA KUFANYA KAZI NA RAIS SAMIA

  11. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Haya wale wazee wa kuokoteza okoteza wagombea wa kiti cha Urais kazi kwenu

    Fursa zinapotokea ni kuzichangamkia haya sasa tafuteni wagombea mapema ila kaeni mkijua kuwa.👇🏼👇🏼 CCM NDO TANZANIA YENYEWE CCM NDO MLEZI WA AMANI YA TAIFA LETU. CCM NDO CHAMA PEKEE KINACHOSTAHILI KURA CCM NDO CHAMA PEKEE ambacho return ya kura zetu tunaiona wazi wazi KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
  12. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kifo cha Rosemary Koech: Je, mazingira ya kazi yanaweza kuathiri afya ya akili?

    Kifo cha Rosemary Chemutai Koech Kimwatu, aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Ulinzi wa Data katika KCB Bank Group, kimeibua mjadala kuhusu afya ya akili mahali pa kazi na namna shinikizo la maisha linavyoweza kumuathiri mfanyakazi. Rosemary, mwenye umri wa miaka 40 na mama wa watoto wanne, alifariki...
  13. M

    JamiiForums Tanzania KERO Mfumo wa DAWASA wa kuomba kuunganishiwa Maji ONLINE haufanyi kazi

    Sehemu ninayokaa hamna bomba kuna mtu wa nyumba ya pili alikuwa amevuta maji akawa anatuuzia maji ila baadaye akaja kuzuliwa na DAWASA DAWASA kuwa hana kibali cha kuuza maji lakini pia sisi sehemu tulipo tupo ndani ya mita 50 kutoka bomba kubwa hivyo tunatakiwa kuvuta maji yule mtu akakatiwa...
  14. Parabolic

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya Jaji Lila yaanza kazi, yapewa hadidu tano za kuchunguza wahusika wa ghasia

    Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza Wahusika wa Ghasia na Ukiukwaji wa Sheria Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, Shaban Ally Lila, amesema tume hiyo imeanza kazi ikiwa na hadidu tano za rejea zitakazoongoza uchunguzi wake na kubainisha upana...
  15. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Ukibaini mfanyakazi uliyemwajili anajisaidia haja kubwa ofisini mfukuze, Hana akili timamu

    Ukiona umeajili mfanyakazi anaamka saa kumi na mbili anaoga maji baridi , linanyoosha nguo, linabrashi viatu, anapiga mswaki, lakini anasaau kujisaidia haja kubwa anakuja kujisaidia ofisini jua ilo litumishi akili halina fukuzia mbali. Yaani ulilipe mshahara, saa nyingine ulipe ofa ya chakula...
  16. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Mwenye fursa au information ya kazi yoyote msaada wako unahitajika

    Wanabodi, mimi ni kijana wa kiume wa 20's. Mkazi wa Dar, kwa sasa ninaishi mbezi magari saba. Naomba yoyote mwenye nafasi au information ya kazi msaada wako unahitajika. Kuuza duka, storekeeper, kufanya kazi godown, kazi inayohusu taaluma niliyosemea procurement and logistic management, saidia...
  17. Exformer

    JamiiForums Tanzania Ona wasifu wangu, natafuta kazi/internships kwenye NGOs, CBOs N. K

    EDUCATION : BA in Community Economic Development (BA-CED) - 2022 EXPERIENCE : 2+ working in international NGO World Vision Tanzania (DODOMA&KIGOMA) FIELD: Community Engagement Officer and Resilience and Livelihood Officer (bith internships) SKILLS : Data collector/Enumerator under different...
  18. Equation x

    JamiiForums Tanzania Familia kwanza au kazi kwanza?

    Wapo wanaosema, kazi ndio kila kitu; wapo tayari kuipambania kazi zao kuliko familia, wakiamini familia ikiharibika kazi itamsitiri kwa kumpatia fedha na kuanzisha familia nyingine. Je, wewe kwa mtazamo wako, kwako ni kazi kwanza au familia kwanza?
  19. G

    JamiiForums Tanzania Utafiti unaonyesha jinsi saratani ya tezidume unavyobadilisha mfumo wa kemikali mwilini ili dawa isifanye kazi

    Kama kawaida yetu, tunaangaza afya ya Tezidume… hii mpya ya leo Uvimbe wa saratani ya tezidume unaweza kubadilisha mfumo wa kemikali wa asidi ya amino (amino acid metabolism) ili kuondoa vizuizi vya kawaida vya utengenezaji wa lehemu (cholesterol), mchakato ambao unaweza kuchochea uwezo wa...
  20. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Madai ya Mkandarasi Mwalyambi kutolipwa, TANROADS yasema 'Serikali haiwezi kufanya malipo kwa msingi wa madai bila kazi husika kuthibitishwa'

    TAARIFA KWA UMMA UFAFANUZI KUHUSU MALALAMIKO YA NDG. ODWEN MWALYAMBI WA M/S RUHAMA TRIPPLE THREE JUNIOR ENGINEERING KUHUSU BARABARA YA KAWAJENSE -UGALLA-MNYAMASI Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imefuatilia taarifa na malalamiko yaliyotolewa na Ndg. Odwen Mwalyambi wa M/s Ruhama Tripple...
Back
Top Bottom