Mwanaume ukiwa huna kazi kuna namna mchumba ako anakuona ,tunaweka vitu vingi sana moyoni kias kwamba unaweza kuwa huna kazi huna ela lakin ukitaka kuzalaulika mwambia your fience !huna kazi ume haribu , unaweza ombwa pesa ukatoa vocha ukatuma lakin huna kazi mwanaume apewe heshima yake...
Kwa uzoefu nilio nao 5+ years ya Programming ,Graphics, IT, Gaming, Ufundi na mazaga mengine ya Computer Tech.
Brands nzuri za PC nyingi za kazi heavy duty ni MSI, ASUS, ACER, GIGABYTE, RAZER, CORSAIR na brands chache not popular ila model zake ni za Gaming / Heavy Duty Task, Rendering...
TPSC NA TAASISI YA UONGOZI ZATAKIWA KUANDAA PROGRAMU ZA MAFUNZO ZITAKAZOBORESHA UTENDAJI KAZI WA WATUMISHI WA UMMA NA VIONGOZI.
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amekitaka Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) na Taasisi ya...
Hellow
Hii story ya kweli kabisa imetokea ivi karibuni
Kulikuwa na mdada aitwaye Tupokigwe ambaye alikuwa na mchumba wake aitwaye Chacha walipenda sana. Tupokigwe alikuwa ni mwajiliwa wa sekta binafsi alikuwa ni afisa biashara wa kampuni, ila Chacha alikuwa hana kazi jobless
Tupokigwe aliona...
Habari ndugu!!! Naitwa James patrick nina miaka 28 naishi mbezi beach africana..elimu yangu ni form four niliyomaliza 2019 mbagala sec school...baada ya kuhitimu masomo yangu sikufanikiwa kuendelea kwa sababu ya kifamilia,ilipofika 2014 nikajiunga na chuo cha udereva veta nikafanikiwa kupata...
Kuna jirani yangu mmoja mwanae hakufanikiwa sana kimasomo kama wa kwangu Mimi nimepambana amefika mpaka chuo amepata degree ajira ndo Hana mpaka anatia huzuni Sasa mtoto wa jirani yangu aliishia form four alifeli akawa haeleweki tu sasa juzi kati kwenye story mbili tatu na jirani yangu...
Habari wana JF.
Nauza Gaming PC yangu Mashine pamoja na Monitor ya LG, keyboard na mouse. Unaweza itumia kwa shughuli mbali mbali za production kama Video Editing, Photo Editing, VFX, 3D Animation, Rendering, etc. Iko very powerful. Specifications hizi hapa chini.
Gaming Desktop Computer...
HD Mechanic
Shinyanga, Tanzania, United Republic of
TRENDING
JOB DESCRIPTION
JOB ADVERT - HD MECHANICS (01 VACANCY)
Bulyanhulu Gold Mine is seeking to recruit HD Mechanics to join our team. The successful candidate for this position is expected to align with the Barrick DNA and drive a change...
Wana jamvi habari za usiku huu,
Leo nimeona nilete hii habari kwenu, najua fika kwa wengi wenu sio habari mpya na kwa wengine na habari mpya kabisa.
Na kuna wengine habari hii sio mpya ila wamejisahau kiasi kwamba wanabana na kuvunja sheria na taratibu zilizowekwa na serikali kuhusu kima cha...
Kwanza, Freelancer ni nani?
Freelancer ni mtu yoyote self-employed anayefanya kazi kwa watu/mtu au makumpuni mbalimbali bila kuwa na long-term relationship nao wala commitment za kazi nyingne zaidi, mostly done online.
Typically freelancers hulipwa kwa lisaa, siku ama muda service anayotoa kwa...
Ilikuwa mwaka 1915 wakati wafanyikazi wa misitu walikata miti mikubwa kama hii.
Iliwachukua mwaka mmoja kuuweka mti kama huu ardhini.
Najiuliza ilichukua muda gani mti huu kuota na kuwa mkubwa hivyo🤔
MARA ya mwisho Yanga kutinga robo fainali michuano inayoandaliwa na CAF, Clement Mzize alikuwa hajazaliwa. Kelvin John alikuwa hajazaliwa. Ilikuwa mwaka 1998. Yanga walistahili furaha waliyoipata juzi. Ndiyo, walistahili. Safari wamekwenda robo fainali yenye heshima zaidi.
Mwaka ule wakati kina...
Habari zenu wakuu mimi ni fundi umeme natafuta kazi, kama Kuna fundi ambaye naweza fanya nae kazi naomba niwe nae, au kama Kuna mtu anaweza kuniunganisha kiwandani au kwenye sekta yeyote Tanzania bara au kisiwa popote pale nipo teyari
Contact 0712046672
Je, Unatumaga Maombi ya kazi/ujumbe/document kwa njia ya Email na huweki Subject na body of Email?
Je, Umetuma maombi mengi ya kazi kwa njia ya Email na hujapata majibu?
HII HUENDA NDIO SABABU KUBWA YA BAAZI YA MAOMBI YAKO KUTO JIBIWA... "KUTO KUWEKA SUBJECT NA BODY OF EMAIL"
- Nikosa kubwa...
Habarini wakuu,
Mimi ni kijana wa miaka 28 nipo Dar ni camera man video editor na graphic designer pia ni content creator.
Sina kazi kwa sasa, nahitaji kazi yoyote ya kujikimu kimaisha maana kwa kazi za video production bila conmection huwezi pata, hivyo nikaona nitafute kazi yoyote ile ili...
wakuu habari za majukumu naitwa yohana naomba kutumia forum hii kutafuta kazi y Mambo ya yanayohusu miradi nina degree ya project planning and management pia nina diploma ya community development.
Naombeni msaada wenu pls. Naweza kukupatia any information about me when needed.
thank you...
Kwanini izi kampuni au organizations za kazi mnanyanyasa sana watu Ivi na qualifications za ajabu??? Ivi kweli mtu unaandika 18-29 halafu awe ana degree na pia experience ya miaka 5? Huyo 18 c from 5 au 6 wengine walochelewa 4 kabisa? Ndo shida ya kupaste kila kitu. Na iyo mwisho 29 nini? Kwamba...
Kila la kheri kwa Jini, Predator.... mchezaji bora Afrika na katika ligi kuu ya Tanzania Bara.Tunashukuru kwa makubwa ambayo hayajawahi kushuhudiwa ndani ya Tanzania na Afrika, sasa ni wakati wa kurejea nyumbani kuitumikia nchi yako wakati tukijipanga kufika fainali na kuchukua ubingwa CAFCC...
Ni swala la muda muda tu , watu wengi wataachishwa kazi kwenye makampuni makubwa, kutokana na kukua kwa teknolojia.
Kuna robot anaye-trend huku mtandaoni , anaitwa ChatGPT. Huyu robot anauwezo wa kukujibu swali lolote kwa sekunde 1.
Tukija kwenye swala la customer care wetu, mko wengi sana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.