kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. Jang hyuk

    JamiiForums Tanzania Wakuu naombeni kazi Niko mwanza mkoleni.

    Wakuu naombeni kazi yoyote hata saidia fundi. Au kama Kuna mtu anajua kazi za day zinapopatikana naomba anielekeze. Namba yangu ni 0790601629. Asante.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi yoyote, napatikana Kahama

    WanaJF habari za majukumu wadau naomba Kwa yoyote atakayeguswa anisaidie mchongo wa nafasi ya kazi yoyote Hali. Nipo Kahama Shinyanga 0664984110
  3. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Kazi ya udaktari ni ngumu sana, hawa watu tuwatie moyo sana.

    Katika watu ambao inabidi walindwe kwa gharama zozote basi ni madaktari. Asilimia kubwa ya madaktari wanafanya kazi kwa uwito na sio maslahi zaidi . Ukitaka kuamini hivyo utakuta daktari ana miradi yake mikubwa tu na asilimia kubwa inahitaji uwepo wake lakini yeye yupo busy hospitali kutibu...
  4. neggirl

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi - Binti wa Kuuza Hardware

  5. N

    JamiiForums Tanzania Uzi wa kubadilishana vituo vya kazi

    Wakuu uzi huu ni kwa wale ambao wanatamani kubadilisha kituo cha kazi.hivyo kama unataka kwenda dodoma au mkoa mwingine na upo mkoa mwingine labda iringa na kuna mtu yuko dodoma anataka kwenda iringa basi uzi huu utawakutanisha. Mfano utasema. Mimi ni technician mkoa wa dodoma natafuta mtu wa...
  6. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania 💼🚨 NAFASI YA KAZI: MSAIDIZI WA MSIMAMIZI WA OFISI IMETANGAZWA!

    Je, una uwezo wa kupanga kazi vizuri, kuwasiliana kwa ufanisi, na kufanya kazi kwenye mazingira ya ofisi? Hii inaweza kuwa nafasi nzuri kwako ya kujenga experience, kukuza career yako, na kupata opportunity mpya ya kazi. 🔥 📌 Nafasi: Msaidizi wa Msimamizi wa Ofisi Mtu atakayepata nafasi hii...
  7. ndege JOHN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni eneo gani la kazi kwa maoni yako linaongoza kwa kuona warembo/watu wapya kila siku mpaka mtu anaingia kazini na furaha ya ajabu?

    Kuna baadhi ya maeneo ya kazi ukiajiriwa tu unaanza kuamini dunia bado ina furaha. Sio kwa mshahara kwanza… bali mazingira yenyewe yanakuwa kama series isiyoisha kuhusu “uhamiaji wa viumbe wazuri” Mfano maeneo ya vyuo vikuu… aisee huku ni kama Serengeti migration. Kila mwaka linaingia...
  8. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Ni tukio/kituko gani ambacho alifanya dada yako wa kazi hapo nyumbani hutosahau?

    Salute! Nafahamu kwa sababu mbalimbali watu wengi tunapenda kuishi na dada wa kazi majumbani mwetu Wapo watu wengi ambao wamekutana na Mikasa mbalimbali kutokana na dada hawa wa kazi. Je ,ni kituko gani uliwahi kukutana nacho kutoka kwa dada wa kazi?
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama unajijua huwezi kumridhisha mkeo kwenye tendo ni ujinga au akili kumkomesha mwanaume mwengine anaeweza kazi ?

    Kama unajijua kabisa 6 x 6 nguvu zimeisha, jogoo hawiki, dakika hufiki ushamaliza, n.k. Mkeo akikwambia huwezi kumridhisha, ukaendelea kubaki nae, siku ukagundua kaanza kutoka nje kwajili ya sex, ni hekima ipi utatumia, kumkomoa anaeweza kazi au kukubali yaishe
  10. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mfumo wa kubadilisha umiliki wa magari nchini umejaa vikwazo vingi visivyo na ulazima

    Mfumo wa kubadilisha umiliki wa magari nchini Tanzania umejaa vikwazo vingi visivyo na ulazima. Hii ndiyo sababu leo utakuta magari mengi yanatumika na watu tofauti kabisa na wale waliopo kwenye umiliki rasmi wa nyaraka. Hali hii inaleta changamoto kubwa kwa vyombo vya usalama, hasa pale...
  11. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Mnasema tufanye biashara, kazi tunazofanya afanye nani?

    Kuna mtindo umezuka sasa hivi, kila kona unapogeukia, kila mtu unayekutana naye anakwambia anza biashara ufanikiwe. Mbaya zaidi ni kuwa maneno haya yanaambatana na kejeli haswa kwa watu ambao wameajiriwa kuwa ni duni na kwamba hawawezi kupata mafanikio. Hii movement pamoja na kuwa na mazuri...
  12. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wanaofanya kazi kwa bidii bado wanakufa maskini?

    Huu ni ukweli mchungu ambao wengi hawapendi kuusikia. Kufanya kazi kwa bidii peke yake hakujawahi kuhakikisha utajiri. Jasho peke yake halijawahi kutoa uhuru. Jitihada peke yake hazijawahi kumkinga mtu na umaskini. Watu wengi wanafanya kazi kila siku… Lakini wanastaafu wakiwa hawana kitu...
  13. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Inawezekana kubalance kazi na maisha binafsi kwenye dunia ya sasa?

    Katika maisha ya sasa, watu wengi wamejikuta wakitumia muda mwingi kwenye kazi, biashara, au internet kiasi cha kusahau afya zao, familia, mahusiano, na muda wa kupumzika. Wengine wana pesa lakini hawana peace of mind, huku wengine wakichoka mentally kutokana na pressure za maisha ya kila siku...
  14. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Jinsi Content Creation Inavyoweza Kukupatia Scholarship na Kazi za Kimataifa

    Siku hizi kupata scholarship au kazi kwenye mashirika makubwa si suala la kuwa na GPA nzuri pekee au CV ndefu yenye maneno mengi. Dunia imebadilika. Watu wa kwenye panel za scholarship na recruiters wa mashirika ya kimataifa wanaanza kuangalia “digital footprint” yako yaani umeonyesha nini...
  15. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Je, kazi za mtandaoni ndiyo future ya ajira duniani?

    Katika dunia ya sasa, watu wengi wanaanza kuachana na mfumo wa kawaida wa kusubiri ajira za ofisini pekee. Internet imefungua milango mipya ya kazi za online, freelancing, remote jobs, na opportunities ambazo unaweza kufanya ukiwa popote. Lakini swali kubwa ni: 👉 Watu wanapataje kazi online? 👉...
  16. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Tume imemaliza kazi yake kuhusu yaliyotokea ,hatua inayofuata ni maridhiano hasa mbona kuna watu mnafukua makaburi?

    Natumaini tuko poa Kila mmoja anaona au aliona yaliyotokea kabla na baada ya uchaguzi wa mwaka jana 2025 ,baada ya machafuko ya October 29 ,Raisi aliunda tume ya kuchuguza kilichotokea na sababu ya yale mambo kutokea na tayri tume imekabidhi ripoti yake na mapendekezo yake. Baada ya tume...
  17. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, unafanya kazi nzuri sana. Kaza buti

    Kiukweli PM unafanya kazi nzuri sana za kutatua kero za wananchi.. Ukitangaza tu ziara sehemu yoyote kiukweli watendaji wa serikali wanawajibika kwa wananchi 100%..juzi ulitangaza kwenda mkoa X kiukweli wanahaha kutatua kero za wananchi mpaka usiku kabisaa. Naomba usikatishwe tamaa na viongozi...
  18. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Hakuna kijana anakataa kazi yenye maslahi tatizo mabrother mnataka tuwasindikize kwenye utajiri

    Dr Toyota anadai vijana hawapo tayari kufanya kazi kitu ambacho si kweli kimsingi watu wanafanya kazi zenye kurisk afya hata maisha yao ila wanachopata hakimudu gharama muhimu za maisha. Mabrother waliojipata baadhi yao wanakuwa na roho za kishetani unakuta umeshiriki hata kwenye mchongo...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi Wapya VETA: Miezi 2 Bila Kazi Wala Mshahara

    VETA Habari za wakati huu. Mimi ni mmoja wa watumishi wapya walioajiriwa na Veta tarehe 19/02. Baada ya kufika makao makuu Dodoma na kukamilisha zoezi la kusaini mikataba ya ajira, tuliombwa kusubiri maelekezo ya kupangiwa vituo vya kazi. Hata hivyo, hadi sasa zimepita takribani miezi miwili...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wafanyakazi wa TANESCO Kazi Maalumu – Katavi tunacheleweshewa sana mshahara

    Mimi ni mfanyakazi wa TANESCO wa kazi maalumu S.T.E (Specific Task Employee) kutoka Mkoa wa Katavi viongozi wetu wa juu wa Shirika wasikie ujumbe huu ili watusaidie maana tunapitia changamoto ya kucheleweshewa mishahara. Tunapaswa kulipwa kila baada ya siku 10 lakini inapita hata mwezi bila...
Back
Top Bottom