Nataka niende hukohuko labda tutaelewana vizuri, tokea jumatatu nilituma milioni 3 na laki 2 kwenda account ya bank mpaka Leo haijafika, niliwapigia jumanne wakaniambia kuna shida ya mtandao muamala upo hewani nisubiri ndani ya masaa72 hela itarudi kwenye tigopesa na kama isiporudi itaenda...
Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.
1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)
2. Ingia Invite & Earn
3. Bonyeza Redeem
4. Weka hii code 2ZJVO8ZK
Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
Wakuu
1. Router ni bure
2. Router ni ya 5G
3. Tunakuletea popote
4. Vifurushi ni unlimited
5. Ina connect watu 65 at once umbali wa metre 100
Nini cha kufanya uwe na vifuatavyo
Kama ni mtu binafsi
1. Tin certificate
2. Nida ID
3. Pesa ya kifurushi
Kama ni taasisi au kampuni uwe na
1. Nida...
Vigezo vya kupewa huduma
1. Nida ID au namba ya nida
2. Tin certificate au Tin namba
3. Email
4. Pesa ya security deposit (Pesa ya dhamana) mfano unataka kifurushi cha ef40 unalipa ef40 kama dhamana
MUHIMU
Dhamana hii haumpi mtu unailipia kwenda TIGO nakuelekeza jinsi ya kulipa alafu...
Samahan wakuu Kwa bahati mbaya Sana Jana nilikua nanunua vocha ya tigo Tsh 4000 kwenye crdb SIM bank sasa nikakosea nikajikiuta nmenunua vocha ya elfu 40000? Jeh naweza kubadilishiwa iwe tigo pesa.
Mwenye kufahamu naomba anisaidie ushauri naweza kweli kuirudisha iingie kuwa tigo pesa.
Hii promosheni kwangu naona haina maana yoyote
Yani nanunua MB kisha unaniongezea MB nyingine kidogo za bure halafu unanibana kwamba nitumie tu kwa Whatsapp is not fair
Kulikua na ulazima gani kumuongezea mtu MB halafu unampangia wapi pa kuzitumia
Mwanzoni wakati mnapigia promo hii promosheni...
Kuna mchezo mchafu unafanyika kwenye branch ya Mbagala Zakhiem upande wa Lipa kwa simu, HQ wanasema ni bure kupata number ya Lipa kwa simu ila ukifika kwenye hii branch Wanatoza 10,000 kwa ajili ya hii huduma.
Je, huu wizi umebarikiwa na manager wa branch?
Rate ya BoT kwenye kampuni za kukopesha ni 3.5% as a guidance issued by BoT.
A simple study imefanyika kwenye mikopo ya Vodacom kupitia Mpesa and there is huge deviation which is believed to be against BoT guideline.
1. Informant amekopa kiasi cha 84,800, Mgodi huwa wanakata kwanza riba yao...
Hello bosses and roses...
Wiki hii nimepata changamoto kubwa ya kukosa access kwenye baadhi ya websites ninapotumia intaneti ya mtandao wa Tigo.
Shida ilizidi zaidi kupelekea baadhi ya websites zangu mwenyewe kuanza kutopatikana kwa users walokuwa wanatumia mtandao wa Tigo na Airtel, ivyo...
Hii huduma ya Tigo post paid ni kero, mawakala wanaowapa kazi waunganishe watu hawawaambii wateja vikwazo vilivyopo, wanakuunga kwa group la watu usiowajua.
Akitokea mmoja hajalipa na kaacha kutumia laini mnahukumiwa nyote, is not fair na inakera sana mpka tunafkiria kuhama mtandao wao.
Inafahamika kwamba kwa sasa tigo Tanzania inamilikiwa na kampuni inayoitwa HONORA TANZANIA PLC, lakini kwenye website au hata kwenye huduma zao kama za bustisha n.k terms and conditions zinasoma bado MIC.
Hii imeekaaje kisheria incase wamezingua kwenye tigo pesa huduma ya nivushe ambayo terms...
Download TIGO PESA APP (play store au app store ) jisajili utapokea 1GB ,
Kama tayari app unayo log out then hakikisha iko updated then log in again utapata 1GB
FTTX Proejct Manager at TiGO May, 2024
Tigo is a telecommunication company in Tanzania. With over 13.5 million registered subscribers to their network, Tigo, directly and indirectly, employs over 300,000 Tanzanians including an extended network of customer service representatives, mobile money...
Msaada wenu naitaka tigo pesa yangu ila hunikata kila ninapoweka pesa kwa matumizi yangu.
Mfano
Hii ni kifano tu na sometimes nakatwa nastukia baadae.
Msaada wenu ili niset simu yangu isiweze kufanya hii miamala
Hebu angalia Tangazo lao
Halafu angalia walichokifanya nusu saa kabla ya muda
Hii ni Aibu kwao na Mamlaka zinazowasimamia
Nimeweka ushahidi huu ili kuondoa uongo uongo kwenye masuala ya msingi, hizi hela tunazoweka humu si zao ni zetu wajaribu kutuheshimu
TIGO Tanzania, juzi wakati namuhamishia dogo salio (siyo kifurushi na wala siyo pesa) ili yeye sasa ajiunge na kifurushi akitakacho,
On the process kufikia mwishoni baada ya kuweka amount (angalia picha) naletewa ujumbe wa kwanba mtumiwaji atakatwa 3% ya amount nitakayomtumia.
WHY IS THIS 3%...
Mwezi huu wa tatu nilienda kumnunulia mdogo wangu simu kwenye duka la tigo nilishawishika kununua simu Ile sababu ya ofa ya kupewa gb kadhaa kwa mwaka lengo langu zile GB zimsaidie kuongeza maarifa kwenye masomo yake ishu ikaanza pale pale kupewa gb pungufu nikauliza kwanini ila nikaambiwa kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.