used

  1. Mad Max

    Hizo Range Rover unazopishana nazo Vitasa vyake vimeingia kwa ndani, used tu Bila Mil 400 hujamiliki!

    Ukiachana na eVoque au RR Sports, kuna hizi RR ndefu zikijilock vitasa havionekani na kwa nyuma zina taa ndefu kwenda chini. Bwana izo ni RR 5th gen (2023+), bei ya moto kinoma. Used tu bila Mil 400 kuzipata ni mtihani. Mjapan pekee anataka Mil 270+ na TRA nao wanataka Mil 180+ Na hapo...
  2. L

    Natafuta used marine board

    Habari wakuu. Nahitaji used marine board, piece 40. Niko Dar Mbezi Juu.
  3. Mad Max

    Unawezaje kununua/kuimport pikipiki used kutoka China?

    Magari used China hayajawa soko zuri Tanzania kwasababu mengi ni LHD, ivyo ni wabishi tu wataweza kuendesha kwenye nchi yenye RHD. Sasa China wako vizuri kwenye pikipiki, tena kwa bei nafuu. Zama za kukomaa na Japan zimepita. Bei kubwa Pikipiki ya 2010. Nimekua nikifuatilia hawa jamaa na...
  4. Mad Max

    Magari ya Japan (Japanese used cars) za kununua 2026!

    Wakuu. Tujaribu kulist magari yaliyotumika Japan ambayo ni rafiki kununua kwa mwaka 2026 (maybe na kuendelea). Nimeanza mimi kwa kuyaweka hapa, maelezo kidogo, ila unaweza kudiscuss zaidi. Vigezo nilivyotumia: -Gharama (kuna category ya chini ya Mil 20 na nyingine Mil 20+)! -Fuel efficiency...
  5. B

    Natafuta Gari used Missubish Rosa au Nissan Civilian kwa ajiri ya biashara ya daladala

    Ndugu zangu kuhangaika hakuishi, mwenye connection ya mahali napoweza kupata gari nzuri kidogo ambayo ni ktk hali ya Used hapa Bongo. Nataka nijilipue kwenye biashara hizi pasua kichwa za Daladala Ktk utafiti wangu wa swali naona kama Nissan Civilian au Mitsubishi Rosa itanifaa.. Tuwekane Sawa...
  6. hp4510

    Naitaji samsung S10 used

    Wakuu habari Naitaji samsung S10 used ambayo sio copy Niko Dar, Mwenye nayo naomba anipm tujue inakuwaje Simu iwe kwenye mazingira mazuri, haina mpasuko wala shida yoyote Thank you
  7. American nigga

    Toyota Rush 2018 Foreign Used, Petrol, Black, Automatic

    sold
  8. S

    Website nzuri ya kuverify ubora wa magari used japan kwa kutumia chassis au vin number

    Habari wanaJF kwa mwenye uzoefu aliyewahi verify ubora wa gari used japan wakati anaagiza kwa kutumia chassis au vin number naomba anijuze website aliyotumia. Najua Chatgpt inaweza toa majibu kwa kiasi fulani but napenda nipate uzoefu direct wa mwanaJF maana naamini kuna mengi ya kunisaidia...
  9. Mributz

    INAUZWA CHUGA USED (ARUSHA PEOPLE MUST WATCH HERE)

    Tupo tengeru 0682124699
  10. Dalali wa Mjini

    Uzi maalumu wa kuuza magari na kununua hapa used Tanzania na Used Japan

    Habari wakuu nitakuwa napost magari katika huu uzi ukipenda Gari nichek direct kwenye simu au meseji WhatsApp. Kama unauza Gari yako nichek direct. 📱0754693556
  11. Funny boe

    Matatizo ya Samsung Galaxy S Series used hasa za kutoka Dubai

    Habari wakuu ..! Msimu ujao wa sikukuu hizi za wakristu na waislamu hasa pasaka, wauzaji na maduka mengi hasa ya simu huwa yanatoa offer kwa bidhaa zao. Nilikuwa nina mpango wa kuvuta Samsung Galaxy S22 Ultra kwenye hizo offer ila nimefatilia mara kadhaa kwenye mitandao na maoni ya watu...
  12. American nigga

    Nauza Vitu Vya ndani Used Nahama.

    Nauza vitu vya ndani sofa, meza, kingamuzi cha azam, meza ya tv, na nk. Nicheki kwa namba 0710504065
  13. Forgotten

    Bei sawa na bure... Laptop: HP EliteBook 740 G1

    HP EliteBook 740 G1 Intel Core i5-4210U 500 GB HDD 8 GB RAM / DDR3 64-bit OS Dual-Boot: Windows 11 & Linux Mint Battery: NO Price: TZS 250,000 Pia, ukihitaji inakuja pamoja na movies & tv series FHD@1080p zenye 400 GB+ pamoja na 30 GB+ za software.
  14. mtoto wa kibopa

    nahitaji vifaa vya simu aina ya huawei mate 20 pro viwe used au vipya

    nahitaji vifaa vya huwei used hata kama ni vipya itakuwa sawa tu...vifaa ninavyovi hitaji ni mfuniko wa batri uwe na muonekano kidogo mzuri kama ni used,camera ya mbele na nyuma...au hata ikipatikana hii simu iliyokufa display nitanunua.
  15. Godoro la kioo

    Jinsi nilivyotapeliwa kizembe na muuzaji wa ‘Simu used kutoka Dubai’

    Wakuu poleni na matatizo yanayoikumba nchi yetu. Poleni kwenu mliopoteza ndugu, jamaa, na marafiki kutokana na yaliyojiri oct29 Bila kuwachosha. Kuna msemo maarufu usemao """Wajinga ndiyo waliwao"""' Ilikuwa tarehe 20 mwezi wa 11 mwaka 2025 ndo siku ambayo kwa mara ya kwanza nilihisi...
  16. The Eric

    Bajaji zinauzwa used na mpya

    Uzi huu ni maalumu kwa kupost bajaji, pikipiki na magari yanayouzwa..... Bajaji numbe ELV Ipo dar es salaam inauzwa Tsh. 7.5mil.
  17. G

    Kununua gari used

    Habarini wakuu, Nataka kununua gari used kutoka kwa dalali. Ni vitu gani kuwa navyo makini nisije pigwa? (Niko based Arusha)
  18. tajiri wa fikra

    URGENTLY Laptop inauzwa Ram 4,HDD 500,HP,Ram 4,processor 2.6hz Used kwa 350K

    Laptop used inauzwa HDD 500,Ram 4,processor 2.6 kwa 350K Contact: 0752650558/0712793505/0619808825
  19. Mwande na Mndewa

    R.I.P JPM, i used to hate u but now im even in darker room,I cry bitterly when I see JK,RM,Samia and Abdul.

    It is paining to see that you are gone,sasa naiona thamani yako ukiwa haupo,waliopo wametuonyesha walivyo chui na mbwa mwitu,hatuna la kufanya zaidi ya kukulilia wewe uliye tangulia mbele ya haki.
  20. mkadiriajimajenzi

    Used Google Pixel 9 (128GB)

    used Google Pixel 9 (128GB) njoo na offer yako PM
Back
Top Bottom