used

  1. B

    JamiiForums Tanzania Kuongelea Gari Used Toyota Crown ndio gari yangu namba moja kwa kupenda

    Formati yake ndani, comfortability is another level. Pia mwonekano safi, hasa hizi Peal White ukipita lazima watu wageuke nyuma. Kiukweli gari yangu next year itakuwa Toyota Crown
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini harrier anaconda used hapa bongo zinauzwa sana

    Habari za weekend Team, Nimegundua harrier anaconda zinauzwa sana yani ile mtu ananunua anakaa nayo miaka miwili mitatu anaiuza kwani zina changamoto gani pia hata mitandaon kwenye zile page wanazouza magari lazima utazikuta anaconda zinauzwa ambazo zimetumika hapa bongo miaka miwili,tatu mtu...
  3. Izato

    JamiiForums Tanzania Chande's commission of inquiry used, misused, abused, and now confused

    Tume ya Chande iliteuliwa na watawala ikiwa na malemgo ya Kupata ukweli wa nini kilitokea? Nani alihusika? Na kwa nini ilitokea hivyo? Kuwajibisha ikiwa kuna mtu alikiuka sheria au maadili Kutoa mapendekezo ili kuweza kuzuia jambo hilo lisitokee tena. Lakini jambo kubwa la kushangaza ni pale...
  4. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Mi naamini Porsche 911 ndio best Sports Car ya muda wote! Sema used bila Mil 150+ ngumu sana kuimiliki!

    Tokea 1963 ianze kutengenezwa, zaidi ya generation 8, models zaidi ya 20 na units zaidi ya million 1.2 zimeuzwa. Uzuri wa hii gari, haipotezi muonekano wake, kila siku wanaiboresha tu lakini yenyewe iko vile vile kimuonekano. Wengi mlianza kuipenda 911 bila kuijua kwenye movie ya Commando...
  5. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Hizo Range Rover unazopishana nazo Vitasa vyake vimeingia kwa ndani, used tu Bila Mil 400 hujamiliki!

    Ukiachana na eVoque au RR Sports, kuna hizi RR ndefu zikijilock vitasa havionekani na kwa nyuma zina taa ndefu kwenda chini. Bwana izo ni RR 5th gen (2023+), bei ya moto kinoma. Used tu bila Mil 400 kuzipata ni mtihani. Mjapan pekee anataka Mil 270+ na TRA nao wanataka Mil 180+ Na hapo...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta used marine board

    Habari wakuu. Nahitaji used marine board, piece 40. Niko Dar Mbezi Juu.
  7. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Unawezaje kununua/kuimport pikipiki used kutoka China?

    Magari used China hayajawa soko zuri Tanzania kwasababu mengi ni LHD, ivyo ni wabishi tu wataweza kuendesha kwenye nchi yenye RHD. Sasa China wako vizuri kwenye pikipiki, tena kwa bei nafuu. Zama za kukomaa na Japan zimepita. Bei kubwa Pikipiki ya 2010. Nimekua nikifuatilia hawa jamaa na...
  8. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Magari ya Japan (Japanese used cars) za kununua 2026!

    Wakuu. Tujaribu kulist magari yaliyotumika Japan ambayo ni rafiki kununua kwa mwaka 2026 (maybe na kuendelea). Nimeanza mimi kwa kuyaweka hapa, maelezo kidogo, ila unaweza kudiscuss zaidi. Vigezo nilivyotumia: -Gharama (kuna category ya chini ya Mil 20 na nyingine Mil 20+)! -Fuel efficiency...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta Gari used Missubish Rosa au Nissan Civilian kwa ajiri ya biashara ya daladala

    Ndugu zangu kuhangaika hakuishi, mwenye connection ya mahali napoweza kupata gari nzuri kidogo ambayo ni ktk hali ya Used hapa Bongo. Nataka nijilipue kwenye biashara hizi pasua kichwa za Daladala Ktk utafiti wangu wa swali naona kama Nissan Civilian au Mitsubishi Rosa itanifaa.. Tuwekane Sawa...
  10. hp4510

    JamiiForums Tanzania Naitaji samsung S10 used

    Wakuu habari Naitaji samsung S10 used ambayo sio copy Niko Dar, Mwenye nayo naomba anipm tujue inakuwaje Simu iwe kwenye mazingira mazuri, haina mpasuko wala shida yoyote Thank you
  11. American nigga

    JamiiForums Tanzania Toyota Rush 2018 Foreign Used, Petrol, Black, Automatic

    sold
  12. S

    JamiiForums Tanzania Website nzuri ya kuverify ubora wa magari used japan kwa kutumia chassis au vin number

    Habari wanaJF kwa mwenye uzoefu aliyewahi verify ubora wa gari used japan wakati anaagiza kwa kutumia chassis au vin number naomba anijuze website aliyotumia. Najua Chatgpt inaweza toa majibu kwa kiasi fulani but napenda nipate uzoefu direct wa mwanaJF maana naamini kuna mengi ya kunisaidia...
  13. Mributz

    JamiiForums Tanzania INAUZWA CHUGA USED (ARUSHA PEOPLE MUST WATCH HERE)

    Tupo tengeru 0682124699
  14. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa kuuza magari na kununua hapa used Tanzania na Used Japan

    Habari wakuu nitakuwa napost magari katika huu uzi ukipenda Gari nichek direct kwenye simu au meseji WhatsApp. Kama unauza Gari yako nichek direct. 📱0754693556
  15. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya Samsung Galaxy S Series used hasa za kutoka Dubai

    Habari wakuu ..! Msimu ujao wa sikukuu hizi za wakristu na waislamu hasa pasaka, wauzaji na maduka mengi hasa ya simu huwa yanatoa offer kwa bidhaa zao. Nilikuwa nina mpango wa kuvuta Samsung Galaxy S22 Ultra kwenye hizo offer ila nimefatilia mara kadhaa kwenye mitandao na maoni ya watu...
  16. American nigga

    JamiiForums Tanzania Nauza Vitu Vya ndani Used Nahama.

    Nauza vitu vya ndani sofa, meza, kingamuzi cha azam, meza ya tv, na nk. Nicheki kwa namba 0710504065
  17. Forgotten

    JamiiForums Tanzania Bei sawa na bure... Laptop: HP EliteBook 740 G1

    HP EliteBook 740 G1 Intel Core i5-4210U 500 GB HDD 8 GB RAM / DDR3 64-bit OS Dual-Boot: Windows 11 & Linux Mint Battery: NO Price: TZS 250,000 Pia, ukihitaji inakuja pamoja na movies & tv series FHD@1080p zenye 400 GB+ pamoja na 30 GB+ za software.
  18. mtoto wa kibopa

    JamiiForums Tanzania nahitaji vifaa vya simu aina ya huawei mate 20 pro viwe used au vipya

    nahitaji vifaa vya huwei used hata kama ni vipya itakuwa sawa tu...vifaa ninavyovi hitaji ni mfuniko wa batri uwe na muonekano kidogo mzuri kama ni used,camera ya mbele na nyuma...au hata ikipatikana hii simu iliyokufa display nitanunua.
  19. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyotapeliwa kizembe na muuzaji wa ‘Simu used kutoka Dubai’

    Wakuu poleni na matatizo yanayoikumba nchi yetu. Poleni kwenu mliopoteza ndugu, jamaa, na marafiki kutokana na yaliyojiri oct29 Bila kuwachosha. Kuna msemo maarufu usemao """Wajinga ndiyo waliwao"""' Ilikuwa tarehe 20 mwezi wa 11 mwaka 2025 ndo siku ambayo kwa mara ya kwanza nilihisi...
  20. The Eric

    JamiiForums Tanzania Bajaji zinauzwa used na mpya

    Uzi huu ni maalumu kwa kupost bajaji, pikipiki na magari yanayouzwa..... Bajaji numbe ELV Ipo dar es salaam inauzwa Tsh. 7.5mil.
Back
Top Bottom