wapi

The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wataalamu wa Maabala tuliofanya Mitihani ya Leseni mwezi Machi tunaumizwa na Ucheleweshwaji wa Matokeo, HLPC KULIKONI?

    Sisi wataalamu wa maabara(certificate hadi degree) nchini Tanzania ambao tulifanya Mtihani wa Leseni kuanzia march 15 hadi april 01(certificate hadi degree) tumecheleweshewa kupewa matokeo kwa zaidi ya miezi miwili sasa, hali ambayo inatukosesha fursa nyingi ikiwemo ajira zinazotangazwa...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Hivi Lijualikali yuko wapi?

    At one time alikuwa Mkuu wa Wilaya??? then nini kilitokea? Au bado yupo serikalimi? Namfananisha na Yeriko Nyerere anavyotapatapa kutafuta ahueni!
  3. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Wapi wanafudisha kuongea lugha ya kichina?

    Wapi wanafudisha kuongea lugha ya kichina?
  4. Parabolic

    JamiiForums Tanzania HOJA Juhudi za kukwamua barabara ya Tatedo Goba zimeishia wapi? Tangu uchaguzi Hatumuoni Mbunge wala Diwani

    Barabara ya Tatedo iliyopo katika mtaa wa Kunguru Kata ya Goba jijini Dar es Salaam ni kama imesahaulika, kwani licha ya juhudi zilizofanywa na wakazi wa eneo hilo, tangu mwaka 2020, mpaka leo hakuna mwitikio wa Serikali. Barabara hiyo inayoingilia karibu na nguzo za umeme unaokwenda Zanzibar...
  5. GenuineMan

    JamiiForums Tanzania Huyu Johnthebaptist Yuko Wapi?

    Huyu MwanaJF yuko wapi ni muda sasa hajaonekana hapa jukwaani. Nimeona reply yake ya mwisho ni mwezi wa tisa mwaka jana. Kabla ya uchaguzi. johnthebaptist
  6. A

    JamiiForums Tanzania Msaada: Wapi wanahudumia paka mwenye matatizo ya kiafya

    Habari, Kuna paka wa jirani hapa wamempiga jiwe kiasi kwamba mguu wake mmoja hawezi kutembea tena na anamaumivu sana. Naomba msaada nifahamu ni sehemu gani inawezekana kumpeleka akapata matibabu. NB: Wenye paka wamemuacha kama alivyo na hawajachukua hatua yoyote ya kitabibu 😢 NAUMIA SANA...
  7. papag

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulikuwa wapi? Enjoy the weekend

    Wazee wa Bakulutu mukuje
  8. B

    JamiiForums Tanzania Wadau hawa Wakubwa wa elimu wamepotelea wapi ?

    Wadau hawa Wakubwa wa elimu wamepotelea wapi? By Hata Mimi JF member Salaam alaikum, Zamani kabla ya 2010 kurudi nyuma huko tulizoea kuona vitabu vya namna mbalimbali kwa maudhui moja. Namaanisha somo husika kwa darasa fulani linakuwa na matoleo kibao ya vitabu (waandishi na wachapaji) Hii...
  9. Jack Daniel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mko wapi, tatizo mnajificha sana mabroo

    Niko tu uchochoroni, Siziwezi hekaheka za vijana Mimi Mzee wenu,nipo mahali nimejibanza napata local beer
  10. R

    JamiiForums Tanzania MV. Mwanza Hapa Kazi Tu inatoa huduma au hapana?

    Hii meli mpya kabisa inafanya route zipi? Hii meli nakumbuka tuliambiwa imeanza rasmi safari zake kati ya Mwanza na Bukoba mwezi Sept mwaka jana. Lakini sasa hivi nadhani hii route bado inahudumiwa na MV. Victoria peke yake. Wenyeji wa Mwanza, Bukoba Musoma hii meli inato huduma huko mliko? Au...
  11. BabaMorgan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake, hii confidence mnaitoa wapi?

    Hapa mtaani Kuna mgogoro umetokea Mume na mke wamepigana makonde usiku huu sasa kilichonishtua ni confidence ya huyu mwanamke Anamtukana Mume wake matusi ya nguoni kilichonishangaza ni kauli yake eti amuache aishi maisha yake kama amemchoka amuache kwani Kuna Wanaume wengi wanamtaka cha ajabu...
  12. Alexido jz instagram

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kombe la Arsenal, EPL lapelekwa Kenya, bongo tunafeli wapi?

    Kuelekea juma tatu ambapo, parade Lita happen uingereza jijini London tayari losha Anza kizungushwa nchi tofauti, ambapo limepita Kenya na litaendelea kwingineko sidhani kama bongo litakuja. Jamaa yangu Mmoja kanijuza wakenya wana connection kubwa hapa duniani na ndo mana hawakuhitaji...
  13. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Gari “Namba D” zimeenda wapi?

    Yaani Namba E kila kona, D kuonekana ni 2 kwenye gari 10. Nayo ni Kirikuu, Land Cruiser, na Corolla. Hapo Namba C ndio tusiongelee kabisa.
  14. J

    JamiiForums Tanzania KERO Apps za mikopo mitandaoni, serikali ipo wapi?

    Habari za kazi ndugu zangu. Kuna kampuni mbalimbali zinazodai kutoa mikopo kupitia apps (applications), lakini matokeo yake zimekuwa zikilalamikiwa kwa kudhalilisha watu, kutoa vitisho, na kutoza riba kubwa kupita kiasi kwenye mikopo wanayotoa. Sina uhakika kama kampuni hizi zote zimesajiliwa...
  15. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Kurejea kwa Msigwa CHADEMA: Mchezo Mpya?

    👉Ndani ya siasa za kimkakati, kuna wachezaji ambao huonekana kupambana hadharani lakini nyuma ya pazia wakawa sehemu ya operesheni kubwa zaidi isiyoonekana kwa macho ya kawaida. 👉Safari ya Peter Msigwa ndani ya CHADEMA haikuwa ya kawaida, bali ilikuwa operesheni ya muda mrefu iliyojengwa...
  16. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania Miezi Saba ya Ganzi: Tanzania inaelekea wapi?

    Ni takribani miezi saba sasa tangu Taifa liingie katika ukurasa mpya wa huzuni, majonzi na maumivu ya kijamii na kisiasa kufuatia yaliyotokea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29. Tangu wakati huo, Tanzania imeonekana kutembea kwa kusitasita kama taifa lililopoteza dira, huku sintofahamu ikitanda...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Hadhi ya Mwanza na majiji mengine ipo wapi? Tukisema hizi ni dharau tunakosea? Bajeti na mikopo ni kwajili ya miradi ya Dar na Dodoma?

    MIRADI YA MIUNDOMBINU YA MAJIJI – BAJETI YA MWAKA 2026/27 1. JIJI LA DAR ES SALAAM BRT na Maboresho Makubwa ya Barabara I. BRT Awamu ya 3: Maktaba – JNA – Gongolamboto (km 23.3) II. BRT Awamu ya 4: Maktaba – Morocco – Mwenge – Tegeta pamoja na Mwenge – Ubungo (km 30.1) III. BRT Awamu ya 5...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Tunampost kwenye mitandao ipi, kama kweli sisi ndio tumemleta Rio na Mkewe ili kukuza utalii na kujisafisha na damu za October 29 2025?

    Okey, Rio hapost chochote kwenye mitandao yake ya kijamii kuhusu uwepo wake Tanzania, nakubaliana nae kuwa hapangiwi katika hilo. Huenda yeye na mkewe ni wakubwa kuliko Tanzania kama Nchi hivyo hawezi kutupa 'air time'. Je Wizara iliyohusika kumleta chini ya Waziri Makonda wao wanapost kwenye...
  19. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Kile kikundi cha chadema cha utekaji kwa Mujibu wa katibu mkuu mstaff Dr. Slaa kilipotelea wapi? Kama siyo hicho kinachoteka watu mpaka sasa

    Dr alishasema chadema Wana kikundi cha kuteka watu wa chadema kwa manufaa ya kisiasa nimewaka USHAHIDI HAPO chini. Je hicho kikundi ni lini kilivunjwa? Mnaona donation zimedoda mkaamua mje na huu usanii wa kitoto Chadema acheni siasa za kitapeli mnatekana wenyewe ili mpate public sympathy 🚮
  20. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Samia ICC imefikia wapi ?

    Kichwa cha habari kiko wazi. Je, kesi ya Samia ICC imefikiia wapi? Wako wapi akina Polepole? Wako wapi ambao maiti zao hazikupatikana? Tanzania inaenda wapi? Tunangoja kujua hatima ya unyama na ukatili na ushenzi huu.
Back
Top Bottom