wapi

The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.

View More On Wikipedia.org
  1. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Hivi ni macho yake? Ufupi wake? Aiba yake? Vinavyonifanya niamini sio mbaya kiivyo, ILA wapo WABAYA zaidi yake je wapo wapi?

    Sijui ni ufupi wake? Rangi yake, aiba yake? Au vinamacho vyake? Mbona Mimi siioni ubaya kama anao twishwa? Aliyemtuma Samia akamwone Tundu Lissu Nairobi ni nani? Au ni yeye aliamua? Najiuliza kmni ni yeye Leo kwa nini amemweka magereza Mwaka mzima?
  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania Bwawa la nyerere limeishia wapi ?

    Kwa mtindo wa kila kiongozi kuanzisha chake na kukiuwa cha mwenzake ili yeye kuwa bora ni hatari kwa taifa. Zile elephant project kama sio magofu sasa naona zinelekea kuwa vyuma chakafu.
  3. Msanii

    JamiiForums Tanzania Njooni Tusemezane sasa, Neno au jina la Walokole limetokea wapi, na linamaanisha nini kwenye imani?

    Neno la Bwana katika Injili iliyoandikwa katika Mathayo 28: 19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; Je neno au jina la Walokole limetokea wapi? Je kuwa Mkristo ni hatua ya awali kisha ulokole ni daraja la juu? Je ni...
  4. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Rais wetu kipenzi mstaafu mh. Jakaya mrisho Kikwete.

    Ndugu zangu, ni wapi alipo Rais wetu wa awamu ya nne. Mh. Jakaya Mrisho Kikwete? Hakuna kipindi ambacho wapinzani waliinjoi kama kipindi cha Kikwete. Walizoa wabunge wengi sana madiwani na wenyekiti wa vijiji. Maisha ya wapinzani yalianza kuwa magumu pindi tu alipokaa pembeni Mh. Kikwete...
  5. Kisouda

    JamiiForums Tanzania Hii imetokea wapi?

    Aise watu wanajiamini. Pesa kweli inajeuri ingawa hatufahamu kafanyiwa nini mpaka akawa na hasira kiasi hiki.
  6. L

    JamiiForums Tanzania Heche Aache Janja Janja . Ajibu Mpaka Sasa Amepokea Kiasi Gani Cha Pesa Kupitia Akaunti yake Binafsi na Zipo Wapi?

    Ndugu zangu Watanzania, Kelele za Tuhuma zimemuibua Heche Kutoka Mafichoni. Heche Sasa baada ya Kupigwa kwa kelele na kumtaka ajibu tuhuma za kupokea pesa kutoka kwa Wadau kupitia akaunti yake binafsi ameamua kubadili Gia Angani. Eti sasa anasema wale ambao wangetaka kumtumia Hela kupitia...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Unatoa wapi ujasiri wa Kuomba mtu kiasi Cha shilingi 100,000

    Leo katika mizinguko yangu nikajikuta nimefika huko uswahilini ukonga mombasa jilani na kikosi Cha kutuliza ghasia (ffu) basi nikapaki gari yangu land cruiser lc 300 zx Basi nikashuka kwenye gari nikakatuna na mama muuza dagaa nikamsalimia na kuanza kuongea nae na kumuuliza biashara yake jinsi...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania Sijui ni wapi na lini tulimkosea Mh Rais na hataki kutusamehe! Moyo wangu unajaa huzuni sana Kila nikimuona

    Labda tukumbushane ndugu zangu Watanzania, ni lini na wapi tuliwahi kumkosea Mh Rais Nakumbuka mengi sana ambayo, kama angeliyasemea tu na kuyakemea, tusingekuwa hivi tulivyo Leo Au basi
  9. Erick Martie

    JamiiForums Tanzania Tuliomaliza shule ya Chekechea ya Step UP Nursery School ya Sinza miaka ya 90s nadhan mpaka miaka ya 20's. Mpo wapi Tujuane Wadau

    Leo nlikuwa napitia baadhi ya mitihani yangu ya shule ya Chekechea nimekumbuka sana wadau au classmates zangu wa Chekechea katika kindergarten ya Step Up Nursery School, tulikuwa tunavaa shati za pink na kaptura au sketi za light bluu, dah kitambo sana. Binafsi nlimaliza 1997, nlisoma Nursery...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Baada ya maridhiano nini kinafuata, uchaguzi unarudiwa au, Isije kuwa ni maridhiano ya kugawana vyeo maana kila baada ya uchaguzi maridhiano

    Kwa akili ya kawaida mnapokuwa na mgogoro mnatafuta sababu za mgogoro harafu ndo mnakubaliana kuutatua huo mgogoro , Hapo ili kupata suruhu huwa tunatafuta mtu watatu ambaye atakaa katikati kuhakikisha pande zote mbili zinaridhia yale yaliyojadiliwa na kuafikiwa yanatekelezwa. Kama sababu za...
  11. mike2k

    JamiiForums Tanzania Mwizi wa Kuku anafungwa, mwizi wa mabilioni anapoteza muda? Tatizo liko wapi?

    Kuna swali ambalo kila jamii inayojenga taifa lenye haki lazima ijiulize: Kwa nini wakati mwingine uhalifu mdogo unaonekana kupata majibu ya haraka kuliko uhalifu mkubwa unaohusisha fedha za umma? Mtu akiiba kuku wa jirani, ushahidi huwa rahisi kuonekana. Kuna mali iliyopotea, kuna...
  12. Kyenju

    JamiiForums Tanzania WAPI NITAPATA HIVI VIFAA VYA UJENZI HAPA DAR ES SALAAM?

    Nahitaji haya mabati kwa ajili ya kuextend chumba cha ofisi nje ya jengo kubwa. Au kama kuna mtu anajua material ambazo ni za uzito mwepezi na hazipenyezi maji wala kuoza anisaidie.
  13. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Wakuu! Wapi naweza kupata hivi vifaa vya ujenzi/bati

    Nipo Dar es salaam, nahitaji hizi materials.
  14. B

    JamiiForums Tanzania Polisi, Serikali, CCM mmepokea vipeperushi vingine wenzetu? Tumepata vya Maandamano, vya Vurugu 77 mmetoa wapi?

    Polisi, Serikali na CCM pamoja na magenge yao kutwa wanaimba kuna watu wanataka kuvurugu, sasa unajiuliza hili limetoka wapi? Wananchi wamesema wanaandama kwa Amani nyie habari za maanadamano kutokuwa ya amani, sio watu watafanya vurugu mmeyatoa wapi? Mnaashumu kuwa yatakuwa na ghasia na kuleta...
  15. Fene

    JamiiForums Tanzania Napata wapi cover la redmi note 13 pro

    Vipi wakuu Natafuta cover la redmi note 13 pro Nimetafuta k/koo kwa jitihada zangu nimekosa, napata wapi? Nani mwenye nalo
  16. Equation x

    JamiiForums Tanzania Wikiendi hii tuende wapi?

    Maisha ni kujipa furaha pale unapopata nafasi, maisha hayahitaji usiriazi sanaa, kama vile unataka kuvumbua sayari yako. Yote yanapita, muhimu kuipa furaha nafsi kwa kuwa wote tunaishi mara moja. Nipo tayari kwa mtoko wa wikiendi. Wananzengo, wikiendi hii tuende wapi?
  17. L

    JamiiForums Tanzania Naulizia wapi naweza kupata mashine ya mazoezi ya kukimbia au kutembea

    Wadau wa michezo habari zenu. Nauliza kwa hapa Dar ni wapi naweza kupata mashine ya kumfanyia mazoezi ya kukimbia au kutembea kama zile zinazopatikana gym. Naomba kuelekezwa mahali na duka lilipo.nahitaji kua nafanyia mazoezi nyumbani badala ya kwenda gym. Msaada tafadhari. Mtu akiniambia bei na...
  18. Room 28

    JamiiForums Tanzania Wapi ulienda ukakuta ardhi bei ya kutupwa?

    Mwaka 2022 nilisafiri kikazi mkoani Lindi, ambapo tulitembelea wilaya na vijiji mbalimbali. Tulipofika Wilaya ya Ruangwa niligundua kuwa bei ya ardhi ni nafuu sana. Kwa mujibu wa taarifa nilizopata, ukinunua ardhi kupitia serikali ya kijiji na unahitaji eneo kubwa, ekari moja inaweza kupatikana...
  19. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Hata CHADEMA wapo, kwani Katambi si wao? Hivi Dr Mashinji je? Yaani hata wao wanamapoyoyo wasitutishe bhana!

    Nikiona Katambi Mimi simwoni kama mwanaccm, kamwe huyu ni zao la mbowe, Najiuliza hata Dr Mashinji kweli au wakina lijualikali HAYA ni maproduct ya mbowe na heche.
  20. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Hivi munch wa anabelle alipotelea wapi?

    Ni mtu ambae alipata pata viskendo humu ambavyo nisingependa kuvizungumzia. Yu mwema, yu hai?
Back
Top Bottom