The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.
Kuna swali ambalo kila jamii inayojenga taifa lenye haki lazima ijiulize:
Kwa nini wakati mwingine uhalifu mdogo unaonekana kupata majibu ya haraka kuliko uhalifu mkubwa unaohusisha fedha za umma?
Mtu akiiba kuku wa jirani, ushahidi huwa rahisi kuonekana. Kuna mali iliyopotea, kuna...
Nahitaji haya mabati kwa ajili ya kuextend chumba cha ofisi nje ya jengo kubwa.
Au kama kuna mtu anajua material ambazo ni za uzito mwepezi na hazipenyezi maji wala kuoza anisaidie.
Polisi, Serikali na CCM pamoja na magenge yao kutwa wanaimba kuna watu wanataka kuvurugu, sasa unajiuliza hili limetoka wapi? Wananchi wamesema wanaandama kwa Amani nyie habari za maanadamano kutokuwa ya amani, sio watu watafanya vurugu mmeyatoa wapi?
Mnaashumu kuwa yatakuwa na ghasia na kuleta...
Maisha ni kujipa furaha pale unapopata nafasi, maisha hayahitaji usiriazi sanaa, kama vile unataka kuvumbua sayari yako.
Yote yanapita, muhimu kuipa furaha nafsi kwa kuwa wote tunaishi mara moja.
Nipo tayari kwa mtoko wa wikiendi.
Wananzengo, wikiendi hii tuende wapi?
Wadau wa michezo habari zenu.
Nauliza kwa hapa Dar ni wapi naweza kupata mashine ya kumfanyia mazoezi ya kukimbia au kutembea kama zile zinazopatikana gym.
Naomba kuelekezwa mahali na duka lilipo.nahitaji kua nafanyia mazoezi nyumbani badala ya kwenda gym.
Msaada tafadhari.
Mtu akiniambia bei na...
Mwaka 2022 nilisafiri kikazi mkoani Lindi, ambapo tulitembelea wilaya na vijiji mbalimbali. Tulipofika Wilaya ya Ruangwa niligundua kuwa bei ya ardhi ni nafuu sana. Kwa mujibu wa taarifa nilizopata, ukinunua ardhi kupitia serikali ya kijiji na unahitaji eneo kubwa, ekari moja inaweza kupatikana...
Nikiona Katambi Mimi simwoni kama mwanaccm, kamwe huyu ni zao la mbowe,
Najiuliza hata Dr Mashinji kweli au wakina lijualikali HAYA ni maproduct ya mbowe na heche.
Huku waziri aloteuliwa na Samia akifungia vyama vya Siasa, Mtoto wa Rais wa Uganda amefungia vyombo vya habari.
Kisa mtangazaji wake alihoji kutata kujua kama Janeth Mke wa Museven amekufa huko Marekani au yupo hai.
Mnamo Machi 21, 2026.
Yoweri Museveni alisema kwaamba ana hofu kubwa juu ya...
Taja watoto wa Rais, au waziri yoyote aliywai kuwa kama Maria Sarungi,
Hahahaha Kuna kizee kimoja hapa butimba gerezani kimemtaja, Makongoro Nyerere, sijakishangaa maana kilifungwa miaka ya 1992. Kiliacha akiwa na akili Sasa kitakuwa huru kesho sijui kitamwelewa Makongoro?
Haya na wewe uliye...
Sijui ninayo yaona ndiyo mnayoyaona, ILA kiukweli simwamini Katambi, Wala simwamini mwiguru kama kweli Taifa lipo hatarini kuchafuka, km ni kweli kwanini hawakuona hatari ya 29/10/2025?
Kuna miezi fulani alitokea jamaa Tiktok kwa jina la HABIL and KABIL, aliteka masikio ya wananchi wengi kwa stori zake za kuhusu maandamano, lakini ghafla bin vuu jamaa hasikiki tena.
Ilikuaje ama ilikua project ya watu wazito? The same kwa CAPTAIN TESHA alisema tu nitarudi ila hadi leo holaa
Walimu wa Mkataba (Mradi wa GPE-TSSP): Mikataba inaonesha tumeajiriwa na Wazazi na si TAMISEMI, tuna mazingira magumu.
Ujumbe wa Walimu wa Mkataba chini ya mradi wa GPE-TSSP, Juni 26, 2026:
Napenda kuwasilisha kwenu baadhi ya changamoto kubwa tunazokabiliana nazo sisi walimu wa mkataba chini...
wanawake wapo wapi hapa ?
wanawake mko wapi ?
najua wapo baadhi wanaochomoza, lakini huwezi kuwaweka kwenye mizani moja na wanaume. 50/50 inatoka wapi ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.