The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.
Kichwa cha habari kiko wazi. Je, kesi ya Samia ICC imefikiia wapi?
Wako wapi akina Polepole?
Wako wapi ambao maiti zao hazikupatikana?
Tanzania inaenda wapi?
Tunangoja kujua hatima ya unyama na ukatili na ushenzi huu.
Yaani mnapenda kujipa umuhimu wa bure tu.
Weekend mmekaa hamna kazi, jumatatu mnaamka mnajifanya mpo serious. Mnafunga barabara upande mmoja zaidi ya masaa 24. Serious Morogoro Road mnaifanyia ivo?
Siku chache nilipomuonya LEMA aache Siasa za kuhalalisha Serikali ya CCM.
Sista Nyahozi anakuja kusema 'Mbona LEMA Kaongea vizuri tu , Mbona Bon Yai Kaongea vizuri " na sijaongea neno.
Ila anapoongea HECHE , Sista Nyahozi anakuja kubweka kama Mbwa !!!.
Heche shikilia hapo hapo, na huo ndo...
Mara kwa mara nimekuwa nikisema kwamba taasisi inayoongoza kwa kuwa na vilaza wengi sana nchini, ni JWTZ ikifuatiwa kwa karibu na polisi.
Kipindi cha mauaji ya Watanzania hapo mwaka jana, katika jitihada za kupoteza watu malengo, polisi wa Tanzania walikuja na kituko cha mwaka.
Baada ya Samia...
Kuna kitu imekuwa ikiendelea quietly kwa estates, mashinani na hata kwa busy streets za Nairobi… watoto wanapotea. Leo ni poster kwa wall, kesho ni WhatsApp status, next week ni another crying mother kwa police station. Lakini for the common mwananchi, hii sio just another headline ni fear ya...
Mwaka huu nilirudi Tz kikazi mara moja. Nikakutana na mdada ambaye miaka ya 2000 mwishoni kazini nliwahi mtokea. Demu alikuwa ana nyodo kinyama.
Alikuwa anatoka na Mkurugenzi halafu anaendesha Rav 4 ndo zimetoka toka hatari sana. Mimi baxo napanda dala dala. Sasa sikuwa najua ndo nmehamishiwa...
Nimeshangaa kusikia anasema eti ili mabadiliko ya katiba mpya wananchi wanatakiwa kupata elimu kwa miaka mitatu . Wajue nini kinafaa ndani ya katiba hii ya sasa na nini hakifai.
Iliundwa tume ya Jaji Kisanga mwaka 1998 ikakisanya maoni ya Wananchi kupitia White paper. Serikali ya CCM chini ya...
elimu
elimu ya
habari
hana
inahitaji
jaji
jaji warioba
katiba
katiba mpya
kisanga
kupata
miaka
miaka mitatu
mpya
rais
rais samia
rasimu
samia
samia hana
tume
wapi
washauri
Watu watatu wamefariki baada kushukiwa kuambukizwa virusi vya hantavirus katika meli moja ya kubeba abiria iliyokuwa ikisafiri katika bahari ya Atlantiki, hii ni kulingana na taarifa iliyotolewa na shirika la afya duniani WHO.
Kisa kimoja cha hantavirus kimethibitishwa, huku visa vingine vitano...
Moja ya hoja iliyoibuliwa na CHADEMA wakichambua ripoti ya Tume haramu ya Othman Chande na wazee wenzake walioamua kuuza utu wao kwa kuamua kuwa "wazee wa kutunga uongo" ni suala la wao kujigeuza kuwa madaktari wa kuchunguza Maiti Ili kujua chanzo chake
CHADEMA wanasema ktk ripoti ya uchambuzi...
Kwamaana hakuna mwingine ni yeye aliyebakia, sasa anatuvusha vipi katika hali hii.
Katika kipindi hiki kigumu yuko wapi? Hasa ukizingatia umahili wake katika kutatua migogoro, mbalimbali ya kisiasa na kiutawala sehemu mbalimbali Duniani.
Nchi imeharibika ikiwa mikononi mwake hivyo ni wajibu...
Katika mjadala wa maendeleo ya sekta ya afya na usalama kazini nchini Tanzania, jina la Akwilina Victor Kayumba haliwezi kupuuzwa. Ni miongoni mwa wataalamu waliopitia safari ya kitaaluma yenye uzito—kuanzia utafiti wa kisayansi hadi kushika nafasi ya juu ya uongozi serikalini.
Dkt. Kayumba ana...
Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi ametangaza ongezeko la kima cha chini cha mshahara kutoka TZS 300,000 hadi TZS 500,000 kwa mwezi.
Dkt. Mwinyi amesema kiwango hicho kipya cha mshahara kitaanza kutumika Januari 2027.
======
RAIS DKT. MWINYI ATANGAZA ONGEZEKO LA MSHAHARA KIMA CHA CHINI...
Hivi vitoto sijui vililishwa nini maana ni vina stamina sio ya kitoto, unaweza kukipelekea moto kwa speed ya 5g ila ndo kwanza kinasema uongeze speed.
Unachapa hadi bao 5 ila kinataka kuendelea, wakuu hapa nimekifungia ndani ila nahisi mimi ndie nimefungiwa ndani.
Hivi vibinti ni gani aisee?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.