wapi

The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.

View More On Wikipedia.org
  1. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Balozi Emmanuel Nchimbi?

    Linaweza kuwa swali la kijinga sana lakini lililobeba tafakuri kubwa Ukimya na kutoonekana kwake hadharani kumezua sintofahamu kubwa inayotoa mwanya wa speculations za kila aina Kwamba yuko house arrest Kwamba yuko mahali salama Kwamba kapokonywa simu zake zote na kuzuiwa kuonana na yeyote...
  2. NkomaBakhosi

    JamiiForums Tanzania Anguko la Dr. Emmanuel Nchimbi na Somo la "Trojan Horse": Alikosea wapi Kisiasa?

    I. Kupanda Chati kwa Nchimbi Kupanda kwa Dr. Emmanuel John Nchimbi hadi kufikia nafasi ya Makamu wa Rais kuliashiria kilele cha safari ndefu ya kisiasa ndani ya mfumo na uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Yeye hakuwa mgeni wala mtu wa nje aliyekuwa anapambana na mfumo; alikuwa kada mzoefu...
  3. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Gwajima yupo wapi? Hatuoni akijitokeza na kuongelea mustakabali wa nchi kama tulivyomzoea

    Je Gwajima amelambishwa asali? Je Gwajima amepata vitisho ? Je Gwajima ameona aliokuwa anawatetea sio watu sahihi ni heri ajiunge na wenzake wana ccm kujichotea mali za uma nk? Hatujamzoea hivi , au kuna mahali wamembana kaona akifanya fyoko watamfilisi ikiwezekana kumbambikia kesi? Jasusi...
  4. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Wapi imewahi kutokea hii?

    CCM wa siku hizi hawana akili kabisa. Eti walishinda uchaguzi kwa 98% na kupata kura milioni 31 kati ya milioni 32 [jambo ambalo ni la uongo] zilizopigwa! Hata mwaka haujapita, wameshaanza kufukuzana, kuvuana uanachama, na hata kutekana na kuuana. Mimi sijawahi kuona wala kusikia mahali...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Aliyepewa jukumu la kusimamia vazi la Taifa yupo wapi?

    Hivi karibuni kumekuwa na mjadala kuhusu baadhi ya wanawake kuvaa mavazi yanayoonekana kama nguo za ndani katika maeneo ya umma. Je, hali hii inaendana na kanuni na maadili ya mavazi katika jamii? Tunaona katika maeneo mbalimbali ya umma, ikiwemo kwenye vyombo vya usafiri, baadhi ya abiria na...
  6. Subira the princess

    JamiiForums Tanzania Hapa ukweli uko wapi? Mbona maneno haya ni ya kinabii.

    Wasalaam. Siku zote katika bara letu Africa watu wenye akili kubwa na maono huchukuliwa ni wasaliti, why?
  7. min -me

    JamiiForums Tanzania Upo wapi ufundi wangu?

    Miaka ya 2003 kipindi cha ujana wangu ,na hapo movie mbalimbali zimetoka kwa fujo 😅 Kama muhanga wa movie, nikakutana na movie la spattacus hii anaijuia Seran na Vincenzo Jr mtaalamu wa movie Nilikua naichapa napiga vitako kispatakasi na kile kifimbo cha manyoya 😅 Ila sasa hivi ni...
  8. Li ngunda ngali

    JamiiForums Tanzania Yu wapi Waziri mchapakazi bwana Makonda?

    Ni kipindi kirefu sasa, ndugu yetu bwana Makonda hajatokea/ kuonekana isivyo kawaida! Makonda ambaye pia ni Waziri anayesimamia Michezo na Habari, imezoeleka ni Kiongozi apendaye aonwe mara kwa mara kwa matukio yasiyo punguka, ni ajabu sasa ni karibu ya Mwezi hajafanya hivyo. Si Kizimkazi...
  9. technically

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Zitto Kabwe?

    Au ndio kulamba asali? Madeleka anateseka mwanachama wa ACT yeye kala buyu? Hivi Zitto atawaadaa watanzania mpaka lini?
  10. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania ‘Tutaenda Wapi?’ Wagonjwa wa Sickle Cell Kisumu Waingiwa na Hofu Victoria Annex Ikikabiliwa na Kufungwa

    Wagonjwa wanaoishi na sickle cell mjini Kisumu wameingiwa na hofu kuhusu mustakabali wa matibabu yao kufuatia taarifa kwamba Victoria Annex, kituo kilichokuwa kimetengwa kutoa huduma maalum kwa wagonjwa hao, kinatakiwa kuondolewa katika eneo hilo. Baadhi ya wagonjwa wanasema walipewa taarifa ya...
  11. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Huyu mnyama Elephant Shrew anapatikana wapi Tanzania?

    Na anaitwaje kwa kiswahili? Ana dili gani?
  12. K

    JamiiForums Tanzania Yule waziri mkuu wa kupachikwa na ziara zake yuko wapi?

    Wadau bila shaka mko poa, swali langu yule waziri mkuu fake aliyetokana na uongozi wa kuua watu na umwagaji damu aliyekuwa anafanya ziara uchwara zisizo na matunda yuko wapi?
  13. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Aachiwe huru ili aende wapi kwa mfano muhalifu huyo?

    Ili akachochee upya ghasia uharibifu na maafa tena? Mi nadhani anawajibika kwa 100% katika kupanga, kuratibu na kuchochea ghasia, uharibifu na maafa ya 2025, ambapo sote ni mashahidi na waathirika wa matukio yale ya kigaidi aliyoyatangaza hadharani kua atakinukisha. Lakini pia hastahili kua nje...
  14. P

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Suley2019

    Aliripoti kesi ya uhaini iliyokuwa inamkabili Mbowe mwenyekiti wa zamanii wa Chadema.
  15. papag

    JamiiForums Tanzania Ulikuwa wapi? GenZ mtupishe kidogo

    Enjoy Gen X na Millenia 😊 ☺️
  16. A

    JamiiForums Tanzania Kesi za Mchango unaliweka wapi Jeshi la Polisi, Offisi ya Mwendesha Mashtaka na Mahakama zetu.

    Hivi karibuni kumekuwepo na kesi ambazo tunaweza, kusema ni za mchongo, Kwani Hazina uhalisia na tuhuma zinazo chagizwa dhidi ya watuhumiwa iwe ni ugaidi au uhaini . Sasa
  17. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Where is Kikwete (Kikwete yuko wapi?)

    Kazi ni kipimo cha utu.
  18. Kikubwa Pumzi

    JamiiForums Tanzania Muziki Mzuri wa Africa Umefichwa Wapi? Wajuzi Tushirikishane

    Kuna muziki wa Africa ambao ni nadhifu sana, lakini ni nadra kuusikia radio, TV, social media, clubs au mainstream. Mimi napenda muziki kwa sauti, vyombo, vibe, melody, lyrics na production — sio kwa sababu tu ume-trend. Hii ndiyo aina ya playlist ninayoizungumza: 🎵 Black Tax – Just B 🎵 Chai...
  19. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Tone Kwa Tone imeishia wapi?

    Aibu utaona wewe baada ya kuonya juu ya Upigaji wa CHADEMA sasa ni uthibisho tosha tone kwa tone ilishatimia mda mrefu na viongozi hawataki tena kutoa feedback kwa wananchi kwani wanahisi watasanuka ili wasichangie zaidi. Katika kipindi chote cha tone kwa tone hakuna kiongozi aliyejitokeza...
  20. KanyeWest_Tz

    JamiiForums Tanzania Haya haters wa Jux kiko wapi?

Back
Top Bottom