wapi

The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.

View More On Wikipedia.org
  1. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Samia ICC imefikia wapi ?

    Kichwa cha habari kiko wazi. Je, kesi ya Samia ICC imefikiia wapi? Wako wapi akina Polepole? Wako wapi ambao maiti zao hazikupatikana? Tanzania inaenda wapi? Tunangoja kujua hatima ya unyama na ukatili na ushenzi huu.
  2. E

    JamiiForums Tanzania Ile FBI tulio ahidiwa kwenye kampeni itaundwa imeishia wapi!?

    Kipindi Cha kampeni tuliahidiwa to Tanzia itaunda FBI, sasa sijui imeishia wapi
  3. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Mainjinia mnaoweka lami barabara ya Kimara Weekend mlikua wapi?

    Yaani mnapenda kujipa umuhimu wa bure tu. Weekend mmekaa hamna kazi, jumatatu mnaamka mnajifanya mpo serious. Mnafunga barabara upande mmoja zaidi ya masaa 24. Serious Morogoro Road mnaifanyia ivo?
  4. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Mahmoud bin Zubeiry,yuko wapi?

    Simuoni siku hizi kwenye vipindi vya michezo vya Azam. Kuna mtu anajua alipo?
  5. Chizi Maarifer

    JamiiForums Tanzania Shati kama la Echolima1 naweza kupata wapi ?

    Mzuka wana jamvi ? Nimeona shati kwenye avatar ya Echolima1 nimevutiwa nalo, la unyama sana mixer ulokwiz hivi naweza kupata wapi kirahisi bongo ?
  6. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Nilipomuonya LEMA na Siasa zake Jukwaani za kuhalalisha Serikali ya CCM , Et Sista Nyahozi anampongeza , weee umeona wapi ?

    Siku chache nilipomuonya LEMA aache Siasa za kuhalalisha Serikali ya CCM. Sista Nyahozi anakuja kusema 'Mbona LEMA Kaongea vizuri tu , Mbona Bon Yai Kaongea vizuri " na sijaongea neno. Ila anapoongea HECHE , Sista Nyahozi anakuja kubweka kama Mbwa !!!. Heche shikilia hapo hapo, na huo ndo...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Utashi wa kisiasa umetowekea wapi?

    Yahusu Vita ya Kisiasa dhidi ya Mzee Warioba. Imeniuwia vigumu kuiweka yote hapa hivyo nimeweka Link. Tafadhli fuatilia hapa Facebook
  8. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Hivi yule mwanajeshi wa Marekani aliishia wapi?

    Mara kwa mara nimekuwa nikisema kwamba taasisi inayoongoza kwa kuwa na vilaza wengi sana nchini, ni JWTZ ikifuatiwa kwa karibu na polisi. Kipindi cha mauaji ya Watanzania hapo mwaka jana, katika jitihada za kupoteza watu malengo, polisi wa Tanzania walikuja na kituko cha mwaka. Baada ya Samia...
  9. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Mtoto Ameenda Wapi?” Kenya’s Silent Crisis That Every Mwananchi Fears

    Kuna kitu imekuwa ikiendelea quietly kwa estates, mashinani na hata kwa busy streets za Nairobi… watoto wanapotea. Leo ni poster kwa wall, kesho ni WhatsApp status, next week ni another crying mother kwa police station. Lakini for the common mwananchi, hii sio just another headline ni fear ya...
  10. F

    JamiiForums Tanzania Hivi Abdul yuko wapi siku hizi?

    Ni muda mrefu huyu kijana hajaonekana au kusikika, nini kimempata? Au ameshamaliza kazi yake?
  11. Stunnaman008

    JamiiForums Tanzania Kigogo amepotelea wapi?

    Unakumbuka nini kuhusu huyu mtu
  12. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chidy nikufate wapi nikupe K. nikamwambia Kipapiro chako ntakifanyia nini mimi.

    Mwaka huu nilirudi Tz kikazi mara moja. Nikakutana na mdada ambaye miaka ya 2000 mwishoni kazini nliwahi mtokea. Demu alikuwa ana nyodo kinyama. Alikuwa anatoka na Mkurugenzi halafu anaendesha Rav 4 ndo zimetoka toka hatari sana. Mimi baxo napanda dala dala. Sasa sikuwa najua ndo nmehamishiwa...
  13. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Kama ulipozaliwa ulikuwa hujui unatoka wapi kwanini basi tukifa tunaambiwa tunaenda mbinguni nk?

    Kwamba tunajua tunakokwenda na si tuliko Toka Yaan mnaijua kesho msioiona na sio Jana tulioitoka?
  14. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Rais Samia hana washauri? Habari ya kupata Katiba Mpya inahitaji elimu ya miaka mitatu inatoka wapi? Tume ya Jaji Kisanga na rasimu ya Jaji Warioba?

    Nimeshangaa kusikia anasema eti ili mabadiliko ya katiba mpya wananchi wanatakiwa kupata elimu kwa miaka mitatu . Wajue nini kinafaa ndani ya katiba hii ya sasa na nini hakifai. Iliundwa tume ya Jaji Kisanga mwaka 1998 ikakisanya maoni ya Wananchi kupitia White paper. Serikali ya CCM chini ya...
  15. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Hii tabia ya mabeberu kutengeneza magonjwa Mungu anawaona. Panya kwenye meli ya kitalii wapi na wapi.

    Watu watatu wamefariki baada kushukiwa kuambukizwa virusi vya hantavirus katika meli moja ya kubeba abiria iliyokuwa ikisafiri katika bahari ya Atlantiki, hii ni kulingana na taarifa iliyotolewa na shirika la afya duniani WHO. Kisa kimoja cha hantavirus kimethibitishwa, huku visa vingine vitano...
  16. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania SWALI TATA: Maiti za mauaji ya 29/10/2025 ambazo Chande na tume yake walizichunguza Muhimbili zilitoka wapi? Walikwenda kuzifukua walikozizika au?

    Moja ya hoja iliyoibuliwa na CHADEMA wakichambua ripoti ya Tume haramu ya Othman Chande na wazee wenzake walioamua kuuza utu wao kwa kuamua kuwa "wazee wa kutunga uongo" ni suala la wao kujigeuza kuwa madaktari wa kuchunguza Maiti Ili kujua chanzo chake CHADEMA wanasema ktk ripoti ya uchambuzi...
  17. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi! Raisi mtaafu J.Kikwete.???

    Kwamaana hakuna mwingine ni yeye aliyebakia, sasa anatuvusha vipi katika hali hii. Katika kipindi hiki kigumu yuko wapi? Hasa ukizingatia umahili wake katika kutatua migogoro, mbalimbali ya kisiasa na kiutawala sehemu mbalimbali Duniani. Nchi imeharibika ikiwa mikononi mwake hivyo ni wajibu...
  18. one one chief

    JamiiForums Tanzania Yuko Wapi Dkt. Akwilina Victor Kayumba?

    Katika mjadala wa maendeleo ya sekta ya afya na usalama kazini nchini Tanzania, jina la Akwilina Victor Kayumba haliwezi kupuuzwa. Ni miongoni mwa wataalamu waliopitia safari ya kitaaluma yenye uzito—kuanzia utafiti wa kisayansi hadi kushika nafasi ya juu ya uongozi serikalini. Dkt. Kayumba ana...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Rais Mwinyi aongeza kima cha chini cha mshahara kutoka 300,000 kwenda 500,000

    Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi ametangaza ongezeko la kima cha chini cha mshahara kutoka TZS 300,000 hadi TZS 500,000 kwa mwezi. Dkt. Mwinyi amesema kiwango hicho kipya cha mshahara kitaanza kutumika Januari 2027. ====== RAIS DKT. MWINYI ATANGAZA ONGEZEKO LA MSHAHARA KIMA CHA CHINI...
  20. Teslarati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi vibinti vya 2005 hadi 2010 nani ameviroga? Hii stamina na libido vimeitoa wapi?

    Hivi vitoto sijui vililishwa nini maana ni vina stamina sio ya kitoto, unaweza kukipelekea moto kwa speed ya 5g ila ndo kwanza kinasema uongeze speed. Unachapa hadi bao 5 ila kinataka kuendelea, wakuu hapa nimekifungia ndani ila nahisi mimi ndie nimefungiwa ndani. Hivi vibinti ni gani aisee?
Back
Top Bottom