Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
Hii nchi imeharibiwa sana na kutengenezwa kuwa pori kubwa sana yaani (the jungle of thieves,).
Na walioshika mpini hawana mpango kabisa wa kutatua hii changamoto kwa sababu nyingi tofauti tofauti.
Ushahidi wa haya mambo uko wazi na dhahiri sana, ikiwa ni pamoja na hiki kinachoitwa ziara za...
Mambo yanaenda kasi sana.
Waswahili wanasema mdomo ulikiponza kichwa.
Madsi ya mwanasiasa asiyejulikana na wengi kutoka Zanxibar sitwaye Simai Mohammed, umeleta mtafaruku wa kisiasa ndani ya CCM, na hata Bungeni.
Madai yake mazito ati kuna Yuda msaliti ndani ya serikali, si tu yamekosea...
Mikutano ya Chadema imejaaa watu wa rika zote, vijana akina mama na wazeee wenye bashasha na wanaotaka madiliko. Mikutano ya CCM imejaza akina mama wazee.
WanaChadema wanatoa hoja za msingi wakipinga ufusadi, utekaji na upendeleo wa kisiasa wanaouoata wanaCCM wachache na familia zao.
WanaCCM...
Nimekuwa kimya muda mrefu baada ya fitina na majungu ya watu wasiowema kutaka niwe kimya.
Mapambano yaendelee. Chama kwa sasa hakina vibaraka. Na mziki wa Chadema CCM wanauona hata pamoja kukaa madarakani kupitia uchafuzi
Japo mie sio mfuasi wa chama chochote cha siasa,lakini kwa hizi dalili nazoziona,hiki chama kitaanguka muda wowote kutokea sasa na kuacha ombwe kubwa la uongozi.
Na kwa kuwa upinzani wa nchi hii ni dhaifu sana basi nchi hii itakuwa ni sandakarawe amina,basi yangu macho
1.Mstaafu raisi Jakaya. Huyu uzee
2.Spika wa bunge.Hapa kama bunge hakuna ndio maana hakuna nguvu ya kuwa na kumbu kumbu.
3.Mkuu wa majeshi Mkunda.Huyu naona hata jeshi heshima imeshuka siku akistaafu hata kumbuka kama ya Kigwangara au yule wa uganada IGP.
4 .Usalama wa taifa kuanzia idara...
Hakuna sababu hata moja ya kuvumilia wanachama wa CCM hususani wabunge wasio na adabu kwa mamlaka za nchi, na kuendelea kuachwa tu akidunda kama mwana ccm, hali ya kua amezua taharuki, amefanya uchochezi na kutoa kashfa nzito za uzushi dhidi ya viongozi wetu wa kitaifa.
Hili halikubaliki hata...
Mchungaji Msigwa aliyekuwa mbunge wa Iringa Mjini kupitia Chadema kwa miaka 10 (2010/20), alijiunga na CCM Juni 30, 2024 kabla ya kutangaza kurejea rasmi Chadema Mei 23, 2026 amesema; "Mimi sikujua kwamba watu walikuwa wamekasirishwa sana na kitendo cha mimi kuhama kutoka Chadema kwenda CCM...
Kama heading inavyojieleza makada waanza kujitokeza kumjibu simai aliyoyaongea kuhusu YUDA ndani panawaka moto yetu macho wachatuone mwisho wao.
=====
"Waziri wa utalii kule Zanzibar na hoja zake za kutatanisha kwamba kwanini alijiuzulu uwaziri kule anakuja kumkashifu na kumvunjia heshima...
Hamjambo!
Mpira ni mchezo na burudani kwa Watazamaji na mashabiki. Lakini kwa Kocha na wachezaji na benchi la ufundi kwao ni KAZI.
Unapoleta siasa kwenye kazi za watu unaleta hatari za kuhujumu kazi husika. Ndio maana watumishi wa umma na wanataaluma hawaruhusiwi kujihusisha na siasa.
Fikiria...
Tumeshindwa kabisa kukaa vikao vya kichama na kuyamaliza?, tuliolelewa ndani ya chama tunarekodi nzuri juu chama chetu na mifano lukuki juu ya ccm yetu,ambayo inapotokea misuguano basi sisi wana ccm wote kwa pamoja huchutama chini na kukaa pamoja na kuondosha zimwi linalotaka kujitokeza na...
Kwa maoni yangu moja ya mbinu ambazo CCM imezitumia kwa ustadi mkubwa ni kumuingiza MwanaFA serikalini. Sizungumzii uwezo wake binafsi au kama anafaa kuwa waziri au hafai, bali athari za kisiasa ambazo hatua hiyo imezalisha ndani ya tasnia ya muziki.
MwanaFA ni mmoja wa wasanii wenye ushawishi...
"CCM naiona inaondoka madarakani. Kama mmenisikiliza vizuri hayo mambo ninayoyazungumza ni ya msingi sana. Eh, nimesema labda sikusema mwanzoni, Roman Empire ilikuwa na jeshi kubwa sana lilikuwa litifu sana, lakini Roman Empire haikuanguka kwa sababu ya kushambuliwa kutoka nje. Ilianguka yenyewe...
Mgombea Ubunge wa Jimbo Ismani Emmanuela Mtatifikolo ametangazwa Mshindi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi baada ya kupata kura 70,905 sawa na asilimia 93.5 katika Uchaguzi uliofanyika Juni 1/2026.
Uchaguzi huo umefanyika katika Jimbo la Ismani ambalo Lina Tarafa tatu ikiwemo Ismani, Idodi na Pawaga...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha kimewaonya viongozi wa chama wanaotumia vibaya mali za chama huku kikisisitiza kuwa hakitavumilia uzembe na ubadhirifu unaofanywa na baadhi ya viongozi katika ngazi mbalimbali.
Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa Itikadi, Siasa na Uenezi wa CCM Mkoa wa...
Anadai sababu kubwa ya yeye kurudi CHADEMA ni kwa sababu mauaji yalifanyika tar 29 mwezi wa kumi mwaka 2025.
Je, kama CCM ingempitisha kuwa mgombea wao wa ubunge na kisha akawa mbunge angejiuzulu au angekataa kuapishwa kuwa Mbunge?
Wajinga ndio...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ismani Emmanuela Mtatifikolo kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) amehitimisha mikutano ya kampeni za Uchaguzi Mdogo katika Kata ya Idodi kwa kuwaomba wananchi wa Kata hiyo kujitokeza kwa wingi kupiga kura za Ndiyo kwa CCM katika uchaguzi utakaofanyika Juni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.