ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Idugunde

    Hivi CCM ipo serious na maisha ya Watanzania? Kama wizara ya habari na utamaduni na michezo inapewa bil 562 alafu wizara ya maji tril 1.2!

    Tujiulize na kujihoji . Wizara ya habari utamaduni na michezo ina umuhimu gani kupewa bil 562? Kuwapa motisha wakata viuno na content creators? Kama Jiji kama Dar ea salaam kuna shida ya maji. Kwa nini hii wizara isipewe pesa nyingi na wizara ya Wakata viuno na wacheza ngoma ikapewa bil 100...
  2. Idugunde

    Kama ipo ipo tu; CCM na Rais Samia wanazidi kudharauliwa na Watanzania, CHADEMA inazidi kukubalika

    Ziara ya Drogba na Rais Ruto ina umuhimu gani kwa maisha ya mtanzania amabae anaishi kijihini ambapo maji na umeme ni tatizo kubwa. Mpaka sasa Watanzania wengi wanaoishi vijijini na hata miji mikubbwa kama Mwanza na Dar majji tatizo.. Ziara ya Ruto ina umuhomu gani kwa Tanzania. Ujenzi wa oil...
  3. Mto wa mbu

    Je 2030 CCM itaingia tena kwenye uchaguzi bila Chadema???

    Uchaguzi wa 2025, ni uchaguzi ambao binafsi sitokuja niusahau. Kwani ni uchaguzi ambao CCM walipata pigo, na aibu ya Karne. Kwa miaka mingi CCM wamekuwa wakiiba kura za wapinzani, kitendo Cha Strong opposition party kushiriki uchaguzi kilikuwa ni faida Kwa CCM, kwani turnover ya wapiga kura...
  4. Mkalukungone Mwamba

    Masasi wa Chaumma kuchuana na Emmanuela wa CCM kumrithi Lukuvi jimbo la Isimani

    Kamati Kuu ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) iliyokutana leo Jumanne, Mei 5, 2026 Kinondoni jijini Dar es Salaam imemteua Daudi Masasi kuwa mgombea ubunge wa Isimani mkoani Iringa. Uchaguzi mdogo wa Isimani utafanyika Juni 1, 2026 kujaza nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa mbunge wake kwa...
  5. Stuxnet

    POTOSHI Eti Nchimbi amemwambia Rais Samia "Kama Mnataka Kunitimua, nitimueni leoleo

  6. Q

    Kaburi la CCM linachimbwa na Polisi

    Kwa sasa hakuna chombo cha dola kinachochukiwa na wananchi kama jeshi la polisi, na kadri jeshi linavyochukiwa ndivyo wananchi wanavyozidi kuichukia serikali. Jeshi la polisi linatuhumiwa kuhusika na matukio mbalimbali ya kihalifu ikiwemo utekaji (SATIVA). Uhalifu unafanyika bila jeshi...
  7. Hismastersvoice

    CCM ikishirikiana na vyama vibaraka wameunda umoja wao

    Baada ya Chadema kurudi kwenye siasa CCM imeanzisha umoja wa vyama vilivyoshiriki uchaguzi, umoja huo umepewa jina la "VYAMA RAFIKI". Lengo la umoja huo ni kuisaidia CCM kupambana na CHADEMA. Kazi ya kupambana na Chadema ilianza jana huko kanda ya ziwa ambako walianza kwa kumsifu Rais Samia...
  8. Robert Heriel Mtibeli

    Mbinu ya CHADEMA ya "Win the crowd, and fate will kneel before you" ipo 70% kuelekea kuiangusha CCM

    Mbinu ya CHADEMA YA "Win the crowd, and fate will kneel before you" IPO ASILIMIA 70% KUELEKEA KUIANGUSHA CCM. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Katika Falsafs za siasa. Zipo mbinu nyingi Sana za kuishinda serikali iliyopo madarakani. 2. Elewa, Serikali inaweza kutawala nchi, lakini...
  9. Tlaatlaah

    Kwa wakati muafaka, CCM ifanye maandamano ya umoja wa kitaifa, kulaani AZAKI zote zilizopanga, na kutekeleza vurugu na maafa ya Oct.29.2025

    Maandamano hayo ya amani ya kitaifa, yazilaani AZAKI na vyama vya siasa ambavyo kwa makusudi kabisa, vilishiriki kuhamasisha na kuchochea fujo na maafa yaliyotokea Oct.29.2025. Lakini pia maandamano hayo ya kitaifa yatoe wito kwa mamlaka za serikali kuzifuta mara moja AZAKI zote ovu nchini, na...
  10. Idugunde

    CCM imeshajitambua haikubaliki kwa wananchi ndio maana imeamua kukumbatia vyombo vya ulinzi na usalama ili ikae madarakani kwa mabavu

    Hakuna uchaguzi halali uliofanyika ile Oktoba 29 mwaka jana. Kwa mara ya kwanza tumeshuhudia rais wa taifa letu akiapishwa na Wanajeshi kwenye viwanja vya jeshi. Wananchi mpaka sasa wameichukia CCM na hawaitaki kabisa. Inachokifanya ni kukumbatia vyombo vya ulinzi na usalama ili ikae...
  11. H

    Kuondoa kabisa mijadala ya Haki za wafanyakazi. MEI MOSI CCM wakaamua tu kuja na Lissu Mahakamani

    CCM inauwezo sana wa kufanya propaganda. Baada ya kumsimika Mbowe CHADEMA sasa wametuletea Heche. Kwa kuongea tu ni kama helo. Kwa kipindi ambacho CHADEMA ilikuwa na nafasi ya kuunganisha wafanyakazi wa sekta ya umma na bimafsi kutetea maslahi na kuunganisha wafanyakazi. Ccm wakampeleka Lissu...
  12. A

    KERO Changamoto ya Maji kwa wakazi wa Kivule (Dar)

    Habari. Kùna changamoto ya maji kata ya Kivule mtaa CCM hapa, wiki sasa imeisha maji hayatoki. Hakuna taarifa yoyote iliyotolewa. DAWASA hawashughulikii kabisa. Watu walichangishwa hela buku buku kutengeneza Bomba lakini bado hatuoni jitihada zozote za Maji kurudi na hata viongozi wa mtaa...
  13. Kiranga

    The Economist: Is Samia Suluhu Hassan Africa’s most disappointing president?

    From The Economist April 30 2026 Is Samia Suluhu Hassan Africa’s most disappointing president? Photograph: Xinhua News Agency/Eyevine Apr 30th 2026 | 3 min read Tanzania has had dramatic ups and downs. In the 1970s the government of this east African country forced farmers into collective...
  14. Mkalukungone Mwamba

    Wasira: CCM tumepewa ridhaa ya Wananchi kuongoza dola

    Makamu Mwenyekiti wa CCM - Bara, Stephen Wasira amekanusha chama hicho kutumia vyombo vya Dola kujinufaisha kisiasa. Ameyasema hayo katika mahojiano maalum na UTV.
  15. K

    Somo kwa CCM: Unaweza kulazimisha kupata madaraka lakini sio kupata watu

    Somo kwa CCM: Unaweza kulazimisha kupata madaraka lakini sio kupata watu. kuajiri kwa kuhonga ajira, undugu, rushwa na wizi wa kura una mwisho wake. Tuna serikali na chama cha CCM ambacho hakiendani na hali halisi ya nchi ilivyo. wakati wizi, rushwa, undugu, utekaji unaendelea ndiyo hivyo hivyo...
  16. Allen Kilewella

    Mnaounga mkono CCM huwa mnatumia VPN?

    Mnaoiunga mkono CCM mnapotaka kutumia mitandao ya kijamii JF ikiwemo, huwa mnatumia VPN? Mnawezaje kukiunga mkono chama kinachofanya matendo ya kuzuia wafuasi wake kuwa huru kwenye kutoa maoni na kupata taarifa?
  17. baz kaiza

    Emanuel Nchimbi Vs Tundu Antipas Lissu. Nitaondoka na Tundu Lissu japokua Emanuel ni mwana CCM mwenzangu atanisamehe

    CCM wakimsimamisha Emanuel na Lissu nafasi ya urais nitaondoka na Lissu sio Emma japokua mwana ccm mwenzangu nina sababu za msingi kama tatu. Emanuel ni mtu mwenye misimamo Ila ni mtu muoga hawezi kutoka kusimamia anachokiamini mpaka mwisho. Walivyomkata Lowasaa 2015 yeye na sophia simba ndo...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    Naisubiri kwa hamu Siku CHADEMA ikiingia Madarakani then CCM wawe wanaikosoa Kwa nguvu zote nione hali itakavyokuwa

    Hamjambo wakuu! 1. Sio mbali wala Siku sip nyingi nchi hii itaongozwa na Upinzani kabla ya 2040. 2. Tuombe uzima. Hapa ninachojaribu kufanya projection hali itakavyokuwa. 3. CCM sasa imegeuka kambi rasmi ya upinzani. Hapa kuna mambo kadhaa yatatokea; a) Viti vya ubunge bungeni kutakuwa na...
  19. Roving Journalist

    CCM yafanya uteuzi wa Wagombea 9 kujaza nafasi 3 za Bunge la Afrika Mashariki

    Leo tarehe 29.04.2026 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, ilifanya kikao chake cha kawaida jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wake, Dr. Samia Suluhu Hassan. Pamoja na mambo mengine, Kamati Kuu imefanya uteuzi wa wagombea tisa (9) wa CCM kujaza nafasi tatu (3) katika Bunge...
  20. R

    Salum Mwalimu: Siwezi kupingana na uhalisia ikitokea CHADEMA ikawa namba 2 CCM ikiongoza

    Katibu Mkuu wa Chaumma na aliyekuwa mgombea wa Urais wa chama hicho katika uchaguzi mkuu wa 2025 Salum Mwalim akifanya mahojiano na Wasafi FM Aprili 28, 2026,
Back
Top Bottom