Habari JF.
Hii hàpa sadakalawe "free hand" kutoka kwa fundi maiko kajumba cha kupangisha, sketch simple ya chumba, sebule na kajiko kadogo, Nyumba ni TWO in ONE.
Choo ni public kwa matumizi yako...
Mtu ukiwa unauwezo wa kujenga nyumba ya zaidi ya million 200.
Basi jitahidi kuwawapa kazi kampuni mzuri ya ujenzi.
Pia Kuleta interior and external designer ili nyumba iwe na mvuto.
Sio nyumba...
Gas ikiisha unasikia Watanzania wajinga wakisema "sijui kwa nini gesi lazima iishe usiku."
Sawa gas imeisha usiku kwa nini usingekuwa na backup ya jiko la umeme?
Utamsikia Mtanzania anakwambia...
Nilikua na 12M, nilikuwa natafuta kiwanja, nimetafuta sana hadi nilipopata huko mkoa wa pwani sehemu inaitwa kibaha kwa mfipa.
Nikapata kiwanja cha kwanza kina sq merter za mramba 513 nikalipia...
Tuseme mtu anataka kununua kiwanja
Lakini hajui achague viwanja vilivyopo kati ya Bagamoyo Road vs Morogoro Road, utamwambia aende wapi?
Kibaha au Bagamoyo?
Ni sehemu gani itakuwa na thamani na...
Tubuni njia nyingine za kuwekeza, kwenye mijengo ni kutupa pesa.
Ukishapata kimjengo cha kuishi achana na show offs ati unamiliki mijengo mingi
Ili kurudishwa milion 300 itachukua muda wa miaka...
Miaka ya 2005-2008 nilikuwa napita sana barabara ya Goba-Makongo Juu hadi Chuo. Kipindi hicho lile daraja la Goba kwenda Makongo Juu halijajengwa.
Plus ujana ulikuwa bado mwingi nikapuuzia tu...
0624254690
Habari zenu wakuu!
Kazi pia ni Ibada, Kwa wale wataalamu wa maswala ya Dini watakuwa wanalelewa hili.
Karibuni tufanye Ibada.
Nitatumia Uzi huu kupost kazi zangu mbali mbali (Ibada...
Je, unsatafuta team ya ufundi kukamilisha furaha yako kupitia nyumba yako?
Uvimo Civil Group sasa ni suruhisho.
Pia tunapatikana katika mitamdao ya kijamii, fatilia kazi zetu Kisha 𝙗𝙤𝙛𝙮𝙖 mara...
HELLO WAJENZI, WAJENGAJI NA WADAU
Nimekuja hapa kupata uelewa wa nini mtu huyu afanye yupo Iringa manispaa.
1. Ukuta kwa ndani unamung'unyuka na unatoa mchanga nini nifanye?
2. Kati ya msingi na...
PLN 0001 2BR
Ramani ya Vyumba Viwili
Living room (Sebule)
1 Master bedroom with a Dressing room (W.I.C)
1 Single bedroom
Kitchen (Jiko)
Public toilet (Choo cha jumuiya)
Ramani hii ina privacy...
1. Mlango wa mbele ni mkubwa
2. Sipendi kuweka mlango wa mbao halafu kwa nje niweke grill naona kama ni uchafu, halafu unauondolea thamani mlango wa mbao, ambao ni lazima uwe mkali
3. Sometimes...
Wengi huwa tunajiuliza umuhimu wa hesabu mbali mbali tulizofundishwa mashuleni/vyuoni.Ukweli ni kwamba hesabu zote zina matumizi muhimu sana katika maisha yetu.
Kigawe kikubwa cha shirika (KKS)...
Kwa kazi za kujenga nyumba za kisasa nitafute 0743 257 669
napatikana Dsm.
Nyumba ina vyumba 3 vya kulala
1 master
2 self
seble
jiko
dinning
jiko
store
prayer room
Habari,
Nimegundua watu wengi huwa wanalala kwenye vyumba vyenye choo ndani au vyoo vyenye chumba ndani.
Hii ni baada ya kuona ujenzi wa nyumba nyingi za kupanga, air bnb, na nyumba za kuishi...
Wawili hawa wametofautiana pakubwa sana kuhusu kiwango cha kuingiza umeme. Fundi umeme anasema single phase, mtu wa TANESCO ameshangaa sana, anasema huu mjengo ni mkubwa unawekaje single phase...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.