Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Nje ya kutumika kama miti kwenye ujenzi na chanzo cha pombe ya ulanzi.. Mianzi pia ina matumizi mengine kwenye kupendezesha nyumba hasa kwa wapendao vitu asilia Special dedication kwa Malchiah na...
7 Reactions
181 Replies
900 Views
Kama hujaanza ujenzi hasa wa nyumba yako ya kwanza ya kuishi jitahidi sana upate elimu ya kutosha kwenye Ununuzi wa ardhi/kiwanja Mafundi wa kila idara Makisio ya vifaa, ufundi Muda sahihi wa...
8 Reactions
43 Replies
641 Views
Habari ya wakati huu ndugu zangu wa Jua na Ac. Kama kawadi hapa dalali wa mjini nipo live. Jirani yangu ni fundi ujezi wa nyumba ambaye taaluma Yake alisomea chuo cha ufundi veta miaka mingi...
0 Reactions
9 Replies
183 Views
Habari wana JF Ni kosa gani ulilifanya kipindi unajenga na ungependa wengine wajifunze ili lisitokee kwao?
35 Reactions
1K Replies
170K Views
Kwenye ujenzi wa nyumba hakuna kitu kinakula gharama na kuleta stress karma 'finishing' Leo tutaangazia kipengele cha urembo wa kwenye kuta.. Hapa badala ya kubandika mapichapicha yenye gharama...
4 Reactions
53 Replies
419 Views
Habari za mchana wadau wenzangu wa Jamii Forums. Iko hivi, Nilihamishwa Dodoma kikazi mwaka 2019. Na sasa nimepata uhamisho wa kwenda jijini Mbeya. Wakati naishi huku Dodoma, nilibahatika kujenga...
14 Reactions
178 Replies
3K Views
Habari zenu ninahitaji kufahamu gharama za kumaliza msingi wa nyumba hiyo.Ninapendelea na upande wa jiko huko kuwe na kibaraza kama cha mbele Kiwanja tayari kipo,nataka nifahamu gharama za msingi...
0 Reactions
2 Replies
137 Views
PLN 0001 2BR Ramani ya Vyumba Viwili Living room (Sebule) 1 Master bedroom with a Dressing room (W.I.C) 1 Single bedroom Kitchen (Jiko) Public toilet (Choo cha jumuiya) Ramani hii ina privacy...
49 Reactions
938 Replies
73K Views
Hizi ni picha za mtandaoni.. Hivyo si lazima uagize nje kwa gharama kubwa ama uingie dukani Ukipata vipimo sahihi kulingana na ukubwa wako na ukawapata mafundi mahiri basi unaweza kupendezesha...
5 Reactions
69 Replies
720 Views
Fenicha, urembo vitu na nyenzo mbalimbali.. Kwa wapenzi wa asili na wana mazingira
14 Reactions
1K Replies
4K Views
UTOFAUTI KATI YA MASTER BEDROOM NA SELF BEDROOM. SELF BEDROOM Ina ukubwa ambao unaruhusu:- ✴️Kitanda cha futi 5 kuingia ✴️Meza moja na kiti kimoja au Viwili ✴️ Kabati la nguo Pia inakuwa na Choo...
6 Reactions
17 Replies
616 Views
Kiwanja chaukubwa was 30 kwa 30 nikikubwa? Kunamdaa amenitafutia kiwanja nilivyo uliza ukubwa akasema 30/30
5 Reactions
73 Replies
19K Views
Jamani fursa zipo kwenye kila kitu mpaka vile ambavyo huwezi kiuvidhania.. Leo ni zamu ya vifuu vya nazi kwenye mapambo ya maua.. Vifuu vina mpaka mapambo ya mwilini lakini leo tunaanza na maua...
4 Reactions
48 Replies
245 Views
Msisitizo kwamba Tutafute hela ni wa kweli. Cheki makazi ya maana kabisa. Sio wewe unaenda kujenga kijijini kwenu huko Singida bado unaenda kubanana karibu na sokoni
5 Reactions
21 Replies
1K Views
7 Reactions
102 Replies
588 Views
Kwa ukubwa huo wa kiwanja, inaweza ikagharimu shilingi ngapi kuzungusha fensi ya ukuta (Maji ya kutumia kwenye ujenzi yapo ya kutosha)
1 Reactions
39 Replies
11K Views
Nyumba hii ina 1 Master bedroom LIving room KItchen Dinning Store Public toilet Kama una ushauri unaweza kutoa ushauri Kama unahitaji tukuchoree raman yenye muonekano huu nichek 0743257669...
3 Reactions
16 Replies
705 Views
Hivi vinafaa zaidi kwa watoto, sehemu za jumuiya ama kwa wapenda ng'areng'are.. Usukumani hivi utauza sana (joke)😂 Kama si mpenzi wa rangirangi hivi havikufai kabisa.. Vipite kama huvioni😂
1 Reactions
79 Replies
281 Views
Back
Top Bottom