Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Habari JF. Hii hàpa sadakalawe "free hand" kutoka kwa fundi maiko kajumba cha kupangisha, sketch simple ya chumba, sebule na kajiko kadogo, Nyumba ni TWO in ONE. Choo ni public kwa matumizi yako...
1 Reactions
7 Replies
255 Views
Mtu ukiwa unauwezo wa kujenga nyumba ya zaidi ya million 200. Basi jitahidi kuwawapa kazi kampuni mzuri ya ujenzi. Pia Kuleta interior and external designer ili nyumba iwe na mvuto. Sio nyumba...
5 Reactions
9 Replies
217 Views
Gas ikiisha unasikia Watanzania wajinga wakisema "sijui kwa nini gesi lazima iishe usiku." Sawa gas imeisha usiku kwa nini usingekuwa na backup ya jiko la umeme? Utamsikia Mtanzania anakwambia...
71 Reactions
340 Replies
17K Views
Nilikua na 12M, nilikuwa natafuta kiwanja, nimetafuta sana hadi nilipopata huko mkoa wa pwani sehemu inaitwa kibaha kwa mfipa. Nikapata kiwanja cha kwanza kina sq merter za mramba 513 nikalipia...
19 Reactions
142 Replies
1K Views
Tuseme mtu anataka kununua kiwanja Lakini hajui achague viwanja vilivyopo kati ya Bagamoyo Road vs Morogoro Road, utamwambia aende wapi? Kibaha au Bagamoyo? Ni sehemu gani itakuwa na thamani na...
5 Reactions
36 Replies
468 Views
Tubuni njia nyingine za kuwekeza, kwenye mijengo ni kutupa pesa. Ukishapata kimjengo cha kuishi achana na show offs ati unamiliki mijengo mingi Ili kurudishwa milion 300 itachukua muda wa miaka...
11 Reactions
77 Replies
1K Views
Miaka ya 2005-2008 nilikuwa napita sana barabara ya Goba-Makongo Juu hadi Chuo. Kipindi hicho lile daraja la Goba kwenda Makongo Juu halijajengwa. Plus ujana ulikuwa bado mwingi nikapuuzia tu...
67 Reactions
137 Replies
4K Views
0624254690 Habari zenu wakuu! Kazi pia ni Ibada, Kwa wale wataalamu wa maswala ya Dini watakuwa wanalelewa hili. Karibuni tufanye Ibada. Nitatumia Uzi huu kupost kazi zangu mbali mbali (Ibada...
37 Reactions
595 Replies
13K Views
  • Poll Poll
Je, unsatafuta team ya ufundi kukamilisha furaha yako kupitia nyumba yako? Uvimo Civil Group sasa ni suruhisho. Pia tunapatikana katika mitamdao ya kijamii, fatilia kazi zetu Kisha 𝙗𝙤𝙛𝙮𝙖 mara...
0 Reactions
1 Replies
227 Views
𝙐𝙫𝙞𝙢𝙤 𝙣𝙞 𝙢𝙤𝙟𝙖 𝙮𝙖 𝙠𝙪𝙣𝙙𝙞 𝙢𝙖𝙠𝙞𝙣𝙞 𝙣𝙖 𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙬𝙚𝙡𝙚𝙙𝙞 𝙠𝙖𝙩𝙞𝙠𝙖 𝙠𝙪𝙩𝙞𝙢𝙞𝙯𝙖 𝙣𝙙𝙤𝙩𝙤 𝙯𝙖 𝙬𝙚𝙣𝙜𝙞 𝙠𝙖𝙩𝙞𝙠𝙖 𝙚𝙣𝙚𝙤 𝙡𝙖 𝙪𝙣𝙚𝙣𝙯𝙞. 𝙃𝙞𝙞 𝙣𝙙𝙞𝙤 𝙥𝙧𝙤𝙛𝙞𝙡𝙚 𝙮𝙚𝙩𝙞
0 Reactions
1 Replies
189 Views
HELLO WAJENZI, WAJENGAJI NA WADAU Nimekuja hapa kupata uelewa wa nini mtu huyu afanye yupo Iringa manispaa. 1. Ukuta kwa ndani unamung'unyuka na unatoa mchanga nini nifanye? 2. Kati ya msingi na...
0 Reactions
1 Replies
50 Views
PLN 0001 2BR Ramani ya Vyumba Viwili Living room (Sebule) 1 Master bedroom with a Dressing room (W.I.C) 1 Single bedroom Kitchen (Jiko) Public toilet (Choo cha jumuiya) Ramani hii ina privacy...
65 Reactions
1K Replies
130K Views
1. Mlango wa mbele ni mkubwa 2. Sipendi kuweka mlango wa mbao halafu kwa nje niweke grill naona kama ni uchafu, halafu unauondolea thamani mlango wa mbao, ambao ni lazima uwe mkali 3. Sometimes...
8 Reactions
67 Replies
1K Views
Hivi karibuni tumeshuhudia makundi yakianza kucheza karata. Historia ya CCM ni ngumu VP,PM kushinda mchakato. Je, 2030 wataweza kupita?
0 Reactions
3 Replies
79 Views
Huduma, Bora
0 Reactions
0 Replies
34 Views
Wengi huwa tunajiuliza umuhimu wa hesabu mbali mbali tulizofundishwa mashuleni/vyuoni.Ukweli ni kwamba hesabu zote zina matumizi muhimu sana katika maisha yetu. Kigawe kikubwa cha shirika (KKS)...
1 Reactions
0 Replies
75 Views
Kwa kazi za kujenga nyumba za kisasa nitafute 0743 257 669 napatikana Dsm. Nyumba ina vyumba 3 vya kulala 1 master 2 self seble jiko dinning jiko store prayer room
9 Reactions
26 Replies
1K Views
Habari, Nimegundua watu wengi huwa wanalala kwenye vyumba vyenye choo ndani au vyoo vyenye chumba ndani. Hii ni baada ya kuona ujenzi wa nyumba nyingi za kupanga, air bnb, na nyumba za kuishi...
9 Reactions
31 Replies
796 Views
Wawili hawa wametofautiana pakubwa sana kuhusu kiwango cha kuingiza umeme. Fundi umeme anasema single phase, mtu wa TANESCO ameshangaa sana, anasema huu mjengo ni mkubwa unawekaje single phase...
1 Reactions
12 Replies
413 Views
Back
Top Bottom