africa

  1. ngara23

    JamiiForums Tanzania Unyanyapaa Kwa Watanganyika waliorudishwa kutoka South Africa ni tendo la kipumbavu

    Binafsi nalaani unyanyapaa na roho mbaya Kwa wenzetu waliotoka South Africa Hii inaonyesha ni namna Gani Watanzania wana tatizo la kufurahia anguko la wenzao Tukumbuke hawa wenzetu walijaribu kwenda kusaka maisha lakini kinyume na matarajio Yao waliangukia pia, sio busara kuwazodoa mtandaoni...
  2. Gospel KTV

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya uchomaji taka (kusoma matakataka) kwenye makazi ya watu hapa Dar es Salaam

    Wakuu, habari za mchana huu. Kuna changamoto naona inazidi kushamiri kwenye mitaa yetu mingi hapa Dar es Salaam, nayo ni tabia ya baadhi ya watu kuchoma moto taka katikati ya makazi ya watu. Lugha ya mtaani wengi wanasema "kusoma matakataka." Kimsingi, jambo hili limekuwa likisababisha moshi...
  3. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Africa tuna viongozi wa ajabu sana. Malawi wamempeleka mtoto wa waziri kushiriki shindano la Miss World, badala ya mshindi halisi wa taji hilo

    Malawi sent the minister’s daughter to Miss World. Not Miss Malawi. Thandi Chisi won Miss Malawi in December. That’s the title. The trip should have been hers. It wasn’t. Organisers sent Ireen Navicha first runner-up, daughter of Gender Minister Mary Navicha. Miss World listed her as Malawi’s...
  4. Empty containers Tanzania

    JamiiForums Tanzania Hawa ndugu zetu waliotoka South Africa, ni aina Gani za ajira walizokuwa wanasema wamezichukua mpaka kufukuzwa?

    Je , ni aina Gani ya ajira ambazo wasouth Africa au wapopo wamekuwa wakiwalalamikia wageni kuwa wamezichukua? Je ni ajira zipi. Najaribu kuangalia hili swala
  5. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ni miongoni mwa viongozi mashujaa na madhubuti sana barani Afrika

    Sote ni mashahidi kwamba, Dr Samia Suluhu Hassan, alipokea nchi katika mazingira magumu ya kiuchumi katikati ya janga la COVID-19 na katika hali ya majonzi, masikitiko makubwa na huzuni ya kitaifa baada ya kufariki Rais hayati John Pombe Magufuli akiwa madarakani, na akatuvusha salama. In fact...
  6. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Serikali imeweka mikakati gani kuwasaidia Watanzania wanaorudi kutoka Afrika Kusini?

    Je, Watanzania wote waliorejea nchini kutoka Afrika Kusini kwa msaada wa Serikali wana makazi ya kudumu? Ikiwa si wote wana makazi ya kudumu, Serikali imeweka mikakati gani ya kuwasaidia kupata makazi pamoja na mahitaji muhimu ya maisha, ili waweze kuanza upya na kujitegemea?
  7. R

    JamiiForums Tanzania Angalia Rais makatili waliowahi kutokea Africa

    Kwenye jumba la kifalme la udongo na chuma lililozungukwa na miili ya simba na mamba waliokaushwa, aliishi mwanamume mmoja aliyetawaliwa na woga na wivu mkubwa wa madaraka. Alikuwa amevaa vazi la dhahabu lililonakshiwa na taji ya almasi yenye thamani ya mamilioni ya dola. Jina lake aliitwa...
  8. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Connecting East Africa: Rail, Power, Ports & More

    Connecting East Africa: The Infrastructure That Binds the Region • Standard Gauge Railway (SGR) — Tanzania’s SGR is being developed toward the western corridor, connecting Dar es Salaam with the interior and ultimately linking into the wider East African rail network toward Burundi, Rwanda and...
  9. Yoda

    JamiiForums Tanzania Africa tungepewa uhuru kwa makabila badala ya mataifa bandia tungekuaje leo hii ?

    Katika jambo baya sana wakoloni walilotufanyia Africa ilikuwa ni kugawa bara la Africa mezani katika vipande mbalimbali bandia walivyoviita nchi. Hili ni jambo ambalo limewatesa sana Waafrika baada ya wakoloni kuondoka. Mataifa yetu yalipaswa yapatikana kwa mchakato wa asili wa sisi wenyewe...
  10. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kwa kejeli na dhihaka zinazoendelea mtandaoni kuhusu waliorudishwa kutoka South Africa. Wabeba Boksi hiyo ni alert

    Habari za Sabato! Leo huko Tiktok, instagram, na Facebook habari kuu ni mabaharia waliorudishwa kutoka South Afrika. Aiseeh! Uwanja wa comments watu wanamwaga upupu sio poa. Kejeli Dhihaka Matusi. Basi ilimradi. Ni kweli ni uhuru wa maoni lakini tuangalie jamani. Hawa ndugu zetu ni kama...
  11. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania CCM ni chama,mama ya ustaarabu africa.

    Nimejaribu kuyatafakari yanayotokea hakika ni ustaarabu wa haki za kidemokrasia uliopitiliza,leo hii litokee hili kwa heche patachimbika!,japo ni makamu katika vyama vya upinzani
  12. K

    JamiiForums Tanzania Ccm na mamayao kuzomewa kila kona hadi na Dr. Ndlozi wa Africa Kusaini kijana mdogo wa Julius Malema inatoa picha gani.

    Kwa mtazamo wangu Samia na genge lake la watekaji,wauwaji, mafisadi na ma-cartels ya mafuta nimegundua kuwa ccm ni genge ambalo limefikia damu ya kunguni kiasi kwamba hakuna mtu anayetaka kusogelewa nalo hadi Dr. Ndlozi amewaonya SADEC kutomruhusu Samia kukaa naye kama mkuu wa Nchi kwasababu...
  13. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Nchi za Africa akiwepo Samia.walipa Mabillion ya Pesa Kampuni ya Udalali ili kuonana na Donald Trump

    Ujinga wa viongozi wa Africa ... https://www.instagram.com/p/DcOXDOTihBv/?img_index=2&igsi=MTgyY3NmdDhoenlrdA==
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Tanzania to Begin Voluntary Repatriation of Citizens from South Africa on August 26

    Tanzania will begin the voluntary repatriation of citizens living in South Africa’s KwaZulu-Natal province on August 26, with the first group returning aboard an Air Tanzania Company Limited (ATCL) flight from King Shaka International Airport in Durban. The Tanzanian High Commission in Pretoria...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Interview with Prof. Mohamed Yakub Janabi- WHO Regional Dorector for Africa 20.08.2026

    20 August 2026 Asmara, Eritrea ERi-TV, Eritrea - Open Mic - Interview with Prof Mohamed Yakub Janabi - WHO Regional Director for Africa ERi-TV August 6, 2026 https://m.youtube.com/watch?v=V2ajcy3agVc Source : Eri-TV, Eritrea (Official)
  16. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Jengo linauzwa lipo Africa sana billion 5, maongezi yapo

    YARD INAUZWA Plot size SQM 3800 Ipo Mwenge Full Documents Bei ni Tsh 5b/- mazungumzo yapo 🇹🇿Call/whatsap+255758844717
  17. Nabuuma Rose

    Hello Uganda

    Come let's enjoy this jack fruit. Here in Uganda 🇺🇬 The pearl of Africa
  18. Yesha

    JamiiForums Tanzania Zimbabwe hands over SADC chairmanship to South Africa

    Zimbabwe has formally handed over the chairpersonship of the Southern African Development Community (SADC) to South Africa, marking the conclusion of President Emmerson Mnangagwa’s tenure at the helm of the regional bloc. The handover took place on Monday at the 46th Ordinary SADC Summit in...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Tuwakaribishe wenzetu waliorudishwa kutoka South Africa

    Na hii ndio ile inaiitwa bila kupepesa macho https://www.facebook.com/reel/4466513103637269
  20. H

    JamiiForums Tanzania Africa na chaguzi bandia. Nani anayetupangia Mamruki kuongoza nchi Zetu?.... Kama CCM wametumwa Zambia Brian Mandubile hawezi kutangazwa mshindi kamwe

    Waafrica hawaijui ccm aisee. Hii sio TANU iliyowasaidia kupigania uhuru. Hili ni dudu baya. Sasa tume itakuwa imeshikiliwa Mateka, Vikosi kazi vimeandaliwa tayari kuanzisha vurugu ili kuruhusu wizi wa kura, Askari watapewa posho ambayo hawajawahi kuipata kisha bunduki na Amri za kuua wananchi...
Back
Top Bottom