africa

  1. REJESHO HURU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nawaza tu yule mchezaji wa Simba mwenye asili ya Afrika Kusini. Nawaza tu

    Wabongo wanamua na wao kutuma ujumbe kwa waSouth Africa
  2. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Afrika leo tunasimama na Mexico kombe la dunia

    Salaam to everyone, and Happy World Cup Holiday. Kama ilivyo kawaida ya kwamba kila baya litalipwa hapa hapa duniani. Leo kwenye World Cup mechi ya ufunguzi kati ya Mexico na South Africa, wa-Africa wengi kwenye social media platforms mbalimbali wameanzisha campaign ya kui-support Mexico...
  3. Teslarati

    JamiiForums Tanzania Hii Retro Tour inadhihirisha Diamond Plutnumz ni moja ya performers wakubwa sana Africa

    Huyu kijana asingejiingiza kwenye mambo ya uchaguzi kwa kauli zile mwaka jana basi angejaza sana kwenye hii retro tour yake. Perfomance nzuri sana, mziki unapigwa live yaani bila chenga wala auto tune. Vifaa sasa wamejitahidi sana, trombone, saxophone, na sauti iko swaafi sana, yaani murua au...
  4. Fbn

    JamiiForums Tanzania Ukichunguza Marais na viongozi waliopita au wapo kwenye nchi zao waliweka mchango mkubwa na ndio zinamaendeleo makubwa tofauti Afrika

    Fikiria baba wa taifa wa Singapore kitabu chake kilikuwa na maono mpaka leo. Rais wa China mtu kabla ajashika uraisi lakini ana vitabu ambavyo china imefika hapo. Mfalme wa Dubai ana vitabu ambavyo mpaka leo nchi imefika leo. Hapo sija zungumzia ulaya,USA kama wengine .kwa urusi labda...
  5. E

    JamiiForums Tanzania Prof Mohammed Hassen: Ethiopia anasema waarab(UAE) Wana project ya mda mrefu ya kumiliki bandari zote za Afrika ikiwemo ya Dar. TISS hawajui!?

    Nimesikiliza hii video hadi nikatamani kulia, humu ndani ameeleza pia project Yao ya kutaka kumiliki dhahabu za maeneo yetu kama ufaransa anavyo fanya kwa yaliyo kuwa makoloni yake.
  6. Top Gun

    JamiiForums Tanzania Mpemba aliwahi kuniuliza "unajua kwanini Uislam umeshikilia sana Uarabuni na Africa" akasema "kwa sababu waafrika na waarabu wanaongozwa na mihemuko"

    This was 2019, Tariq aliniambia kiuhalisia yote aliyofundishwa na yote aliojifunza mwenyewe haya hitaji uwe na fikra pevu na yenye mantiki ili yakukae utaishia kuyakimbia na malipo yake kutengwa kwa hio itakubidi uwe umejazwa hisia na muziki wa mambo ya kufikirika ndio uendane nayo.
  7. R

    JamiiForums Tanzania Hakuna ukombozi wowote Afrika, bali tulibadilisha mkoloni Mweupe na kuleta mkoloni Mweusi. Actually ni fadhali ya Mkoloni Mweupe kuliko Mkoloni Mweusi

    Rais Samia ashukuru mchango wa Russia katika kupigania uhuru wa nchi za Africa. But kilichofanyika ni kubadirisha aina ya wakoloni. Mweupe replaced by Black ones! Tena Afadhali ya Mkoloni Mweupe kuliko Mweusi
  8. Parabolic

    JamiiForums Tanzania AFRODAD Urges Journalists to Expose Debt Crisis as Africa Loses Billions to Illicit Financial Flows

    AFRODAD Interim Executive Director, Dr. Theophilus Yungong Jong NAIROBI, Kenya – The African Forum and Network on Debt and Development (AFRODAD) has called on journalists across the continent to intensify scrutiny of public debt, illicit financial flows, and governance failures, warning that...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Ukijaza Undugu/Uzanzibari/Utanganyika kwenye Uongozi ndiyo yamkuta Mama Samia! 2026 eti una pongeza Urusi kwa ukombozi wa Africa!!!

    Tatizo la kujaza watu kwenye uongozi waliojaa uchawa na uzanzibari. Sasa Mama badala ya kusafiri nje kutafuta uwekezaji na technologia ili kukuza ajira na maendeleo anaenda Urusi eti kuwashukuru wa ukombozi wa Africa. Ukombozi gani wakati yeye mwenyewe hajachaguliwa, wabunge wanachaguliwa mezani...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mozambique: Five citizens killed in ‘xenophobic attacks’ in South Africa

    Mozambique said five of its nationals were killed in “xenophobic attacks” in South Africa at the weekend and efforts were under way on Tuesday to repatriate hundreds of others. However, the South African police confirmed only that two Mozambicans had died in violence in the southern coastal...
  11. O

    JamiiForums Tanzania Hii nchi ya Ghana mambo yake kama haipo Africa vile

    Ghana wapo kwenye mchakato wa kupitisha Sheria ya kuwaruhusu wananchi wenye uraia nchi nyingine(diaspora) kuwa na fursa ya kugombea ubunge na kuwa na haki ya kuteuliwa nafasi ya uwaziri! Cha ajabu nchi yetu diaspora haruhusiwi hata kumiliki shamba kwenye nchi yake ya asili! Hivi changamoto hasa...
  12. Stability

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna jamii yenye wanawake warembo zaidi ya wanawake wenye asili ya Africa?

    Ebony queens👑
  13. K

    JamiiForums Tanzania Nilivyonusurika kuchomwa moto nikiwa dukani usiku wa saa 9 South Africa

    Umbea
  14. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Ni Africa tu ambapo mwenyekiti wa Chama yupo gerezani kwa makosa ya uhaini lakini bado anaendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA hii ni aibUu

    Africa Kuna maajabu sana, mtu yupo gerezani lakini bado anaendelea kuwa kiongozi na watu wanamuona Bado kiongozi sasa mkiambiwa ni misukule au manyumbu mtalaumu? Mtu anakesi ya uhaini huyo ni shetani kwa Mujibu wa makosa kwa Taifa lolote lile Duniani, amepoteza uzalendo kwa Taifa lake lakini...
  15. Matovu Godfrey

    JamiiForums Tanzania South Africa faces continental diplomatic quagmire as African envoys boycott Africa day celebrations

    🇿🇦 South Africa 🌍 📌 Envoys’ boycott signals lack of confidence in Pretoria’s ability to guarantee migrant safety. 📌 This boycott is not just symbolic—it represents a continental diplomatic quagmire that could isolate South Africa unless it urgently addresses xenophobia and restores trust...
  16. Fbn

    JamiiForums Tanzania Watu weusi tunarudishwa utumwani wa kisasa sasa

    Watu weusi tunarudishwa utumwani wa kisasa sasa. Hakuna waafrika pakukimbilia afrika kila sehemu afrika ni kama ring tone zina fanana kwa ujinga wao. Hivi mnajua zile muvi za zombie ujumbe ulikuwa afrika itakuwa kama zombies na control na vikundi vya zombie wenye unafuu. Hii ripoti msije...
  17. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Tanzania: United for Peace & Sovereignty

    Tanzanians are united in defending their country’s dignity, sovereignty, and peace. External campaigns built on misinformation will never define Tanzania’s identity or future
  18. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Beside Tanzania, ni nchi gani Africa ungechagua kuweka makazi ya muda mrefu?

    Mimi ningechagua Botswana, Kuna demokrasia, kuna utulivu, hakuna mfumuko wa bei, lakini pia ni nchi inayoongoza kuwa na wadada wenye makebo makubwa.
  19. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Joshua Baraka anaweza kuja kuwa Tishio East Africa endapo atajipanga vizuri

    Hapa Afrika Mashariki watu wengi uangalia skendo na vitu visivyokuwa na umuhimu hili kumuweka mtu pale kileleni. Diamond Platinumz ni msanii mkubwa tu Afrika Mashariki, lakini soko la dunia la muziki limekuwa likimsumbua sana na ujikuta akitumia nguvu sana kufanya collaboration na A-list wa...
  20. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Rais Museveni; Africa iliachwa nyuma kimaendeleo na Asia kwa sababu ya kutaifisha biashara za sekta binafsi.

    Huyu mzee ana madini hatari. Msikilize https://www.facebook.com/share/v/18Z3GKN5RQ/
Back
Top Bottom