africa

  1. M

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Africa inaweza kupunguza zaidi tatizo la Ajira kwa Watoto wa Kiafrica kupitia Ubia | Happy frica Day 2026

    AFRICA DAY 2026: PPP NI DARAJA LA MAENDELEO YA AFRIKA Katika kuadhimisha Siku ya Afrika Mei 25, 2026, Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi Tanzania (PPPC) kimetoa ujumbe wenye maono makubwa kuhusu mustakabali wa bara la Afrika kupitia ushirikiano wa maendeleo na uwekezaji...
  2. Matovu Godfrey

    JamiiForums Tanzania South Africa faces continental diplomatic quagmire as African envoys boycott Africa day celebrations

    🇿🇦 South Africa 🌍 📌 Envoys’ boycott signals lack of confidence in Pretoria’s ability to guarantee migrant safety. 📌 This boycott is not just symbolic—it represents a continental diplomatic quagmire that could isolate South Africa unless it urgently addresses xenophobia and restores trust...
  3. Fbn

    JamiiForums Tanzania Watu weusi tunarudishwa utumwani wa kisasa sasa

    Watu weusi tunarudishwa utumwani wa kisasa sasa. Hakuna waafrika pakukimbilia afrika kila sehemu afrika ni kama ring tone zina fanana kwa ujinga wao. Hivi mnajua zile muvi za zombie ujumbe ulikuwa afrika itakuwa kama zombies na control na vikundi vya zombie wenye unafuu. Hii ripoti msije...
  4. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Tanzania: United for Peace & Sovereignty

    Tanzanians are united in defending their country’s dignity, sovereignty, and peace. External campaigns built on misinformation will never define Tanzania’s identity or future
  5. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Beside Tanzania, ni nchi gani Africa ungechagua kuweka makazi ya muda mrefu?

    Mimi ningechagua Botswana, Kuna demokrasia, kuna utulivu, hakuna mfumuko wa bei, lakini pia ni nchi inayoongoza kuwa na wadada wenye makebo makubwa.
  6. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Joshua Baraka anaweza kuja kuwa Tishio East Africa endapo atajipanga vizuri

    Hapa Afrika Mashariki watu wengi uangalia skendo na vitu visivyokuwa na umuhimu hili kumuweka mtu pale kileleni. Diamond Platinumz ni msanii mkubwa tu Afrika Mashariki, lakini soko la dunia la muziki limekuwa likimsumbua sana na ujikuta akitumia nguvu sana kufanya collaboration na A-list wa...
  7. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Rais Museveni; Africa iliachwa nyuma kimaendeleo na Asia kwa sababu ya kutaifisha biashara za sekta binafsi.

    Huyu mzee ana madini hatari. Msikilize https://www.facebook.com/share/v/18Z3GKN5RQ/
  8. G

    JamiiForums Tanzania Why Is Event Planning in East Africa Still So Stressful? 🤔💍

    One thing many people in East Africa can agree on is this: Planning weddings and events is exciting… until the stress begins. From managing guest lists on WhatsApp, chasing RSVPs manually, tracking budgets in notebooks or Excel sheets, coordinating vendors through calls, and sending updates...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Nilijifanya M-south Africa Pale Coco Beach. Dadeki! Ati Wali Samaki Tsh 85k wakati wiki hiyohiyo nilikula kwa 25. Wabongo uaminifu Zero

    Hamjambo wote! 1. Nje ya kuandika na kusoma soma ninapenda Kuogelea. 2. Sasa Kila wiki ninakuwa na ratiba ya kwenda beach kukata Maji baharini. Kwa Upare wangu mara nyingi naendaga Beach za bure hasa Siku za katikati za kazi. Weekend sio rahisi kunikuta huko. 3. Napenda kuoga Ile kabla ya...
  10. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania President Samia to Attend Africa Nuclear Summit in Kigali

    RWANDA 🇷🇼🇹🇿 TANZANIA President Samia Suluhu Hassan to attend the Nuclear Energy Innovation Summit for Africa scheduled from 18–21 May 2026 at the Kigali Convention Center.
  11. B

    JamiiForums Tanzania African Union peace envoy Roll Stéphane Ngomat roots for peace in Africa

    By Correspondent. African Union peace envoy Roll Stéphane Ngomat roots for peace in Africa. African Union peace ambassador Roll Stéphane Ngomat is urging for peace in Africa’s conflict riddled regions in a fresh plea to regional bodies and states. Roll Stephane, who is the Chairperson of...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Nairobi Africa Forward Summit: A Collision of Economic Sovereignty, Colonial grievances, Critics to Socialites

    The recent Africa Forward Summit in Nairobi, marked by the high-profile presence of French President Emmanuel Macron, was intended to be a stage for modern partnership and economic progress. However, the atmosphere outside the plenary halls told a different story. For many Kenyans and Africans...
  13. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Why Kenyans Are Cancelling Content Creators Attending the Africa Forward Summit: Justice or Bullying?

    A heated online debate emerged after several Kenyan content creators attended the Africa Forward Summit in Nairobi. While the event aimed to bring together leaders, innovators, creatives, and policymakers to discuss Africa’s future, many Kenyans on social media viewed the attendance of...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Katika so called Marais wa East Africa, nani Dictator katili kuliko wote

    Nauliza tu. Rwanda, Burundi, Tanzania, Uganda, Kenya, Zanzibar, Wote ni madikiteita, Nani katili kuliko wote
  15. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Dangote ana dola bilioni 45 zinasuburi kuwekezwa kwenye LNG plant Nigeria na refinery East Africa. 2030 miradi hiyo itakuwa tayari.

    Msikilize mwenyewe. https://youtube.com/watch?v=jVs4NBoHZic&si=JzFKdd-vhBYoxp9O
  16. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Dangote kiwanda cha Kuchakata mafuta (Refinery) kutoa IPO katika masoko ya hisa Africa.

    Baada ya kuzidiwa na Madeni naona Aliko Ally Dangote anataka kuweka sawa vitabu vyake Debt to Capital balance kwa kutoa IPO (Initial Public Offer) ili kupata mtaji ambao utasaidia katika ku balance vitabu Mfanyabiashara huyu alishafungua Refinery yake Nigeria ambayo inachakata pipa 650,000/= kwa...
  17. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania rita hongera kuifanya BSS kuwa east africa wise ila ingefaa ionekane DSTV maana inatazamwa Africa nzima, hapo azam ni watalaam wa etugru uswahilini

    Kura zingepigwa fairly na squarely kutoka kwa wana EA kila mahalai ila hii ya azam kura zitaishia kulimbikizwa kwa wabongo hata kama hawajui.
  18. Asubuhi News

    JamiiForums Tanzania Msanii wa Africa kusini "TYLA" atoa kalenda ya mwaka 2026

  19. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Plans to Commit Public Funds to Dangote-Linked Ksh2.58 Trillion East Africa Oil Refinery

    Kenya is weighing the use of public funds, including pension savings, to help finance a proposed East Africa oil refinery backed by Nigerian billionaire Aliko Dangote, as the project shifts from Tanzania's Tanga port to Mombasa as the preferred site. Dangote told the Financial Times he favours...
  20. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Kwa nini nchi za africa na uarabuni ndizo nguli wa dini duniani ila ndizo zinazoongoza kwa umasikini na vita?

    Tulidhania nyie mlio loyal wa dini na mafundisho yake mtakuwa na unyenyekevu na kusaidiana ila ndio mnaongoza kuuana na kunyang'anyana.
Back
Top Bottom