VACANCY
Amref Health Africa –Tanzania is an independent, non-profit, non-governmental organization (NGO) whose mission is “to improve the health of people by partnering with and empowering communities and strengthening health systems”. Amref Health Africa-Tanzania is largely supported by...
Tuliona Marais na Wafalme mbalimbali wa Afrika wengi sana wakija hapa nchini.
Mimi niliamini kabisa Africa Union (AU) inaenda kuwa imara, tena yenye maono sahihi kwa ajili ya Waafrika.
Nini kimetokea siku hizi, maana siwaoni wakija tena.
Je, Magufuli alikuwa na nia ya kuiunganisha Afrika?
Leo, tuwakumbuke wachezaji kutoka kusini mwa Afrika waliowahi kucheza soka hapa Tanzania, nikianza na Wisdom Ndlovu kutoka Malawi, huyu alicheza Yanga. Unamkumbuka yupi? Endeleaa..
Technical Support Engineer- Camera/CCTV
Our Client
Our client is a leading Vision technology Company offering internet of things (iot)
solutions with specialization in vision (camera) technology for various sectors including security, health, banking, transport etc.
The Job
The technical...
Hapa Afrika, mataifa manne tu ndio mambo yao yanaongoza kwenye ulingo huu.
=======
Kenya ranks among Africa’ four biggest destinations for tech start-up funding after Nigeria, Egypt and South Africa.
The African Tech Startups Funding Report (2021) shows that last year in the African tech...
Yaliyotokea yanasikitisha sana, Walibya wamenyimwa penalty ila afadhali kidogo ukilinganisha na vituko vya Berkane , nasubiri kwa hamu manguli ya soka kwenye nchi hizo waanze kuzishukia teams zao kwa hasira zote maana simba hapa kuna team ilipewa escort ya pikipiki moja ikalalamika wachambuzi...
Ukiiangalia hii video toka mwanzo hadi mwisho utakubaliana nami, huku ndo Africa tunafaa kuelekea, mambo ya kutegemea China kwa kila kitu tuache, imagine kitu rahisi kama router ya mtandao wa 4G ama decoder ya TV tunaagizia kutoka nje, je ushawahi kuifungua hapo ndani uangalie vile ni very...
Ametulia sana tofauti na wengine wengi. Anaonekana kujali sana maslahi ya Wazanzibar na yupo smart kupata anachotaka kwa ajili ya watu wake.
Siku tukipata Rais wa namna hii ambaye atatanguliza Tanzania mbele tutafika mbali sana.
Ingekuwa si Mzanzibar ningesema 2025 aje agombee huku lakini...
Ni Manispaa ya ajabu sana ukitembea mita 500 kutoka katikati ya mji unakutana na mashamba ya mahindi. Nyumba zimechanganyikana na mashamba
Iendelee tu kuwa Manispaa haifai kuwa jiji inapitwa mpaka na Kahama
A Kenya Airways aircraft at JKIA. FILE PHOTO | NMG
National carrier Kenya Airways (KQ) has inked a codeshare agreement with Africa World Airlines, a West Africa regional airline operating out of Ghana, to expand joint reach in the domestic, African and international routes.
The agreement will...
Hali nchini Tanzania imekuwa mbaya mno Wasimbe wanaongezeka kila kukicha kwa mujibu wa takwimu zilizofanywa huko Africa Kusini katika kila wanawake 10 wasimbe ni 7.
Bado haijajulikana shida hasa ni nini ila kwa mujibu wa wasimbe hao baadhi wanadai walikosa uaminifu huku wengine wakidai tamaa ya...
This may be the final design.
Source
Paul Oburu, Aspera’s Design Director was invited to provide a design proposal for a 60 storey plus tower on a plot in Upper hill, Nairobi. The client’s brief required an iconic and high-end, striking design that would be the tallest building in Nairobi. The...
Makadirio ya shirika la fedha la kimataifa yaani IMF unaonyesha uchumi WA Tanzania umekuwa na kufikia $77 billion katika robo ya Kwanza ya 2022.
Hilo ni ongezeko la Dola billion 12 kutoka GDP ya $65 bilioni, Tangy hakunawahi kuwa na ongezeko la bilioni 12 ndani ya mwaka mmoja.
Ila tofauti ya...
People in the town of Orania, which is in South Africa, are mostly white. This makes it the most white town in the country. While there isn't a law against Black people taking part, there are a few rules. Black South Africans are often afraid to enter because they think the Afrikaners will...
Habari zenu ndugu zangu wa JF wenzangu. Ama baada ya salam ningependa kuandika kile kilichosemwa na ndugu yetu ambae jina lake nimeliambatanisha na kichwa cha habari hapo juu.
Ndugu Zitto amekuwa akiongea ukweli kuhusu viongozi wetu mbalimbali wa kiafrika bila kuangalia chama wala nchi...
Kama tunavyojua utaliii ni moja ya chanzo kikubwa cha mapato kwa nchi nyingi dunia. Hii ni orodha ya nchi za Africa zilizotembelewa zaidi na watalii kwa kipindi cha mwaka 2020-2021 ambapo kuliku na changamoto ya ugongwa wa Covid-19. SOUTH AFRICA-ilitembelewa na wataliii 2.3...
Wanabodi,
Kwa ufupi ni route ya musoma-mwanza. Basi tajwa limenoa nanga saa kumi na moja unusu jioni kuelekea mwanza ambapo kituo cha mwisho inapaswa iwe buzuruga stand.
Changamoto ni gari kuharibika, limeharibikia sheli moja kisesa( mtanirekebisha wenyeji sheli inaitwa "wave").
Ameskika...
Habari mbaya sana kwa wenzetu wa Sgang!
Inavyosemwa Maza anafungua nchi Kweli ameifungua! Haya sio maneno yangu someni hapa!
Tumeanza kukamata chati katika kufanya vizuri kwenye mambo mbalimbali
Ugonjwa wa Malaria unaendelea kuathiri vibaya Afya na maisha ya watu duniani kote licha ya kuwa unazuilika na kutibika. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Mtoto mmoja hufariki dunia kwa Malaria kila dakika mbili
Inakadiriwa kulikuwa na Visa vipya Milioni 241 vya Malaria na Vifo 627,000...