Online Scam
1. Phishing
unapata email Dear Customer account yako itafungwa ndani ya dakika 30. Wewe unaogopa, unaingiza password... dakika mbili baadaye akaunti si yako tena.
2. Fake Giveaway
Hongera! Umeshinda iPhone 17 Pro Max na hukushiriki shindano lolote. Mwisho unaambiwa lipa delivery...
Habari za ndani kutoka kwa Exchequer ambazo zimetoka wiki iliyopita ni kwamba pesa haitoshi , na Serikali kuu imeamua Ilipe kwanza Wafanyakazi Mishahara, kisha Italipa kwanza Wabunge Mishahara na Posho zao zote na Madai yao yote na kisha ndio itatizama Wazabuni wanaoidai na Wazabuni hao...
Habari ndugu wana jukwaa nahitaji majibu mazuri ya kisomi.
1. Waziri mkuu amesema kuna mtu analipwa milioni tano kila mwezi ili awaandikishe watanzania vijana wakaandamane na wameandaliwa watu wa kuwapiga waandamanaji ili kuchafua sura ya nchi yetu na mtu huyu amekamatwa na ametoa siri nyingi...
Mifaano batiri, uwezi okota pesa Kwa miaka yetu hii, nasababu sa7 za kuerezea, mwaka 1760 BARTER: ilikuwa Biashara ya mabadilishano example unang'ombe lakini unahitaji mahindi mnakubaliana mnabadilishana, (2) mwaka 1860 GOLD: wakagundua dhahabu wakawa wanaieyusha Na kutengeneza mapambo mbali...
Waziri Mkuu amefichua kuwepo kwa njama za siri zinazosukwa na baadhi ya watu kuwalipa watu wengine ili wawapige watakaoshiriki maandamano, kwa lengo la kuichafua Serikali.
Dkt. Mwigulu ameyasema hayo leo, Juni 27, 2026, wakati akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara wilayani Ikungi...
Kwangu mimi niliweza ku-save lakini sio kiasi kikubwa sana hadi namaliza chuo ni kama naanza upya
Sasa nimekutana na mdada katika story mbili tatu ananiambia pesa ya Boom ndio iliyomfikisha hapo, kiukweli na biashara anayofanya na zile pesa za kila baada ya miezi miwili ni mbingu na ardhi...
Wawekezaji wenzangu mko poa?
Ilikuwa usiku wa fainali ya UEFA mwaka 2026, nilipoweka dau la mshahara wangu wote wa mwezi nikiwa na uhakika wa kushinda mamilioni. Baada ya filimbi ya mwisho na timu yangu kufungwa, nilibaki nimepoza macho nikiiangalia simu, huku nikijua sina hata senti ya...
Wapendwa wasomaji, leo tunazungumzia jambo linalowakumba mastaa wetu wa hapa Bongo. msanii au mtu maarufu akishapata kajina tu, mara moja anaanza kuiga mastaa wa Marekani ambao wana pesa za kutosha. Lakini je, wao wana pesa hizo ? Wachache sana wanazo ila wengi hawana ! Walichonacho ni jina tu...
Katika Dunia hii ambayo wote tumezaliwa tumekuja hatuna hata soksi, kila kitu tumekikuta basi tambua kuwa hakuna kitu HAKIWEZEKANI.
Mitandao hii hii ambayo tunatumia kila siku.
Kuna watu ndiyo inawaendeshea maisha. Kuna watu wamejenga, wamenunua magari, kuna ambao hawataki kuajiriwa.
Iko Hivi...
Wakuu habari Zenu
Dah wimbi kubwa la vijana tumekuwa tunapenda matokeo ya haraka sanaaa yaan boom baah 💥
Manoti hayooo
Hii kitu inapelekea baadhi ya vijana 😂 kutumia fursa hii ya vijana tupendao matokeo overnight kupiga pesa
Wanafungua platform wanaipromote mitandaon kwamba ukijiunga...
Pesa hazimpi mwanamke kiburi kama ambavyo wengi hudhani, bali humjengea uwezo wa kujitambua na kuthamini nafasi yake katika jamii.
Mwanamke anapokuwa na uwezo wa kifedha, anaweza kufanya maamuzi yake bila kutegemea wengine, jambo linalompa uhuru wa kweli wa maisha. Uhuru huu humfanya awe na...
Kwanza nianze kuipongeza serikali ya awamu ya sita Kwa kuimarisha amani na democrasia
Dunia ya Leo identity kubwa ya mwanaume inatokana kiasi Gani Cha pesa unachomiliki/ inatokana na the way unavyotegemewa kwenye maamuzi yatakayohitaji pesa .........
Mambo Yale ya mwanaume busara hayapo kwenye...
Siku chache zilizopita niliwapa stori ya rafiki yangu wa kijani ambaye amenisaidia kuona upande mwingine wa dunia ya freelancing. Wengi mliuliza:
"Huyo rafiki ni nani?"
Leo nimeamua kumleta rasmi.
Jina lake ni FIVERR.
Usichanganyikiwe na kizungu, ngoja nikuelezee kwa lugha rahisi.
Fikiria una...
Mbunge wa Jimbo la Same mashariki, Anne Kilango Malecela akichangia Bajetia Kuu ya Serikali 2026/2027 Bungeni leo Juni 2026, ameiomba serikali kuangalia uwezekano wa kuboresha maslahi na posho za madiwani nchini.
"Nimwombe Rais Samia kwa unyenyekevu, kwa hali ilivyo sasa, ni vyema serikali...
Kitendo Cha Wasouth Kuwafurusha Wageni kimetoa funzo kwamba Nguo ya kuazima Haisitiri matako. Tafuta pesa ugenini wekeza nyumbani
My Take
Unaweka mayai yote kwenye kapu Moja la kuazima unategemea nini?
Hata hizi chokochoko za Muungano Kuna siku kitakuja kuwalamba.
Ndugu zang mm ni mtu wa kazi kazi ilimradi pesa,,,,napenda kuwaomba ndugu zang wana JF kama kuna kazi yyte ya kibarua mimi nipo tayari kuifanya,,,,au
Kama kuna connectio au mchongo wa kuingiza pesa mm nipo..namb zang no 0634362673
Matendo yanayoonekana kama Dhambi lakini yanaingiza Pesa nyingi.
Katika jamii yetu na jamii za kidini, kuna mielekeo ambayo inasifika kuwa ni "dhambi" lakini kwa kweli inaingiza pesa nyingi. Uelimishaji huu ni muhimu ili watu wajue ya kwamba si matendo yote yanayoonekana kuwa si safi kidini...
Hii nchi hipo siku tutasikia somalia tulienda kukopa pesa.
Hapa nacho kiona tuna subiri majini nao waje kuleta shutuma zao nao walikopwa na huyu mama pesa.
Hivi tumefikia steji mbaya sana na pesa zote zimefanya nini ?.
Naona Kuna taasisi nyingi zimeweka mabanda hapa chilangali kuhitimisha wiki/kilele cha Utumishi wa umma jambo ambalo halina manufaa kwa Taifa,ni afadhali kungekuwa na tamasha la tamaduni kuliko haya mambo ya ajabu.
Naomba kupewa ufafanuzi kidogo.
Je, katika Ofisi ya Ujenzi ya Halmashauri ya Wilaya ya Butiama, ni utaratibu wa kawaida kwa watumishi, hususan wa Idara ya Ujenzi, kutolipwa fedha za likizo na badala yake kuambiwa wajilipe kutoka kwenye OC ya ofisi?
Naomba kufahamu kama huo ndio utaratibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.