yanga

Young Africans Sports Club (maarufu kama Yanga ni Timu ya Soka nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935.

Jina la utani wanajulikana kama Timu ya Wananchi (Wananchi) au Wanajangwani.
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Heche: Mechi ya Simba na Yanga, watu wamevaa jezi zimeandikwa 'Mama, Mitano Tena' Tukisema wanatumiwa kisiasa tumekosea nini?

  2. funaku

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Yanga lakini Miraji Maramoja ana kipaji cha pekee!

    Kwa asiyemjua basi jaribu kugoogle interviews zake utapata wasaa wa kutabasamu sana. Anafurahisha huku akitia facts za maana sana. KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
  3. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Tunaomba Yanga watusaidie Dennis Nkane aje kama X factor Simba

    Nadhani tunamhitaji Dennis Nkane wakuu. Kwakuwa pesa ziko Benki na hakuna mtandao, tunaomba GSM amlipe Nkane bilioni 8 ili aje msimbazi kwa msimu 1.
  4. KanyeWest_Tz

    JamiiForums Tanzania Hivi hii Yanga itakua ni project ya chama cha mapinduzi ama?

    Kwa sajili hizi ambazo ziko nje ya uwezo wa kiuchumi wa timu husika.. Kutakuwa na namna chama cha CCM wanatumia yanga kama distraction kwa taifa ili mambo yao yaende smooth na vuguvugu la kisiasa liweze kudisolve kiaina. Haikawahi kutokea club hapa Tanzania ikafannya kufuru ya namna hii kwa...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Ali Kamwe: Kesho tunamtambulisha Wata Pleya wetu Uwanja wa KMC ambaye hapatikani kwa michango ya mashabiki

    Kesho Yanga watamtambulisha mchezaji wao mpya katika dimba la KMC na wanachama na Mashabiki wa Yanga watapata nafasi ya kwenda kumona na kupiga naye picha kwa Shilingi 2000 tu Hakika huu ni moja ya ubunifu mkubwa sana kwa Yanga Hongera kitengo cha Habari na mawasiliano cha Yanga kikiongozwa na...
  6. Foffana

    JamiiForums Tanzania Kocha wa Yanga akiendelea kutumia mawinga wake hivi msimu huu hatoboi

    Kocha wa Yanga anazingua sana pamoja na Mawinga wake Zakuoani na Kangwanda Hao Mawinga ni talented sana ila sometimes vichwani mwao sijui huwa wanawaza nini Winga hatari zote duniani kwa sasa na mawinga wenye akili wote kwa sasa wanacheza kama Inverted wingers washatoka kwenye traditional...
  7. kavulata

    JamiiForums Tanzania The class is big but English is the problem. Kocha wa Yanga amewachana live waandishi wetu, wana maswali lakini hawamuulizi.

    Kiingereza ni lugha yetu rasmi ya Taifa, kwanini waandishi mnashindwa kuitumia kwenye kazi zenu? Tanzania hatuhitaji mkalimani wa kiingereza kwakuwa English inafundishwa kuanzia chekechea, shule za msingi, sekondari hadi vyuoni, kwanini hamjui kuiongea? Wewe mwandishi wa habari bila shaka...
  8. kavulata

    JamiiForums Tanzania Wachambuzi msijimalize mnapoichambua Yanga.

    Unapochambua mpira sahau kuwa unashabikia timu gani, chambua mpira tu kwakuwa kusema ukweli hakutasababisha timu yako ishinde au ishindwe. Wachambuzi wengi wa hivihivi walikuwa wakimdogosha kocha wa Yanga, Mangoba dhidi ya Barker bila kujali wachezaji walioko kwenye vikosi vyao. Uchambuzi wa...
  9. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Doumbia amesajiliwa na Pandikizi la Yanga Magori

    Ifike mahali wazalendo wa Simba tuungane na genius wa boli Murtaza Mangungu kumdhibiti huyu muhuni, tapeli na mwizi Magori anayekula pesa za benki na kutuletea magarasa. Huyu Doumbia yeye ndiyo kamleta na kumsainisha. Huyu ametumwa huyu kutuvuruga, huyu ndio ameropoka kuwa Selemani Mwalimu ni...
  10. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Huenda Magori ni Pandikizi la Yanga pale msimbazi?

    Baada ya Yanga kupata goli alipiga makofi huku akicheka na uso ukiwa na bashasha. Wakati mwenzake mzalendo na genius wa boli Professor Mangungu alikuwepo uwanjani na alioneka kukerwa na kiwango duni kilicho oneshwa na wachezaji waliosajiliwa na pandikizi Magori.
  11. COARTEM

    JamiiForums Tanzania Mangungu ni pandikizi la Yanga ndani ya Simba, shtukeni

    Wanachama na Wapenzi wa Simba huyo MANGUNGU ni pandikizi la Yanga msipomtoa mtaendelea kufungwa mpaka mkimbie nchi. Mzee matendo yake yanajieleza wazi kabisa kuwa siyo simba damu. Mangungu kachomekwa awe mwwnyekiti wa Simba ili alinde maslahi ya Yanga. Kuna mchezo mchsfu ulipangwa hadi na...
  12. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Yanga wana nyakua mchezaji kambi ya Simba kama tukio la Marekani kumnyakua Maduro, Ada ya kuuzwa Fei Toto italipa ya Seleman Mwalimu.

    Huyu Eng. Hersi anajikuta mbabe mithili ya Trump wa Marekani. Kavamia kambi ya Simba kamteka mshambuliaji wao tegemezi. Anawasubiria waingie kichwa kichwa kumnunua Feisal Salum (Fei Toto) kujipoza machungu au wanaita comeback, kumbe wanailipia Yanga ada ya Seleman Mwalimu kwa Wydad. Magori...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ngao ya Jamii: Simba Anashinda Leo!

    Bila kupoteza muda Mechi ya Leo ngao ya Jamii Kati ya Yanga na Simba Nikiwa pangani mchana huu narudi Tanga mjini napewa taarifa hapa kuwa Yanga atapasuka vibaya sana Leo Mpk sasahivi viongozi bado wanahaha namna ya kugeuza kipigo Nawathibishia Leo Simba anashinda Ewee shabiki wa Mnyama...
  14. kavulata

    JamiiForums Tanzania Hii ya Selemani Mwalimu kwenda Yanga Ahmed Ally akamatwe, kadanganya umma

    Ahmed Ally jiridhishe kabla ya kwenda hewani, una viongozi waongo, wanakuponza ili uonekane wewe ndiye uliyekuny pale Jangwani. Nguvu uliyotumia siku ya Simba day kumtambulisha Selemani mwalimu mchezaji wa Simba tumia nguvu hiyohiyo kuuomba radhi umma, wanachama na mashabiki wa Simba.
  15. Li ngunda ngali

    JamiiForums Tanzania Ipo siku Simba atatambulishwa kuwa amesajiliwa Yanga

    Ni suala la mda Ni wazi umafia wa Klabu ya Yanga anao mfanyia Simba, ipo siku kutakucha na taarifa ya "SIMBA IMESAJILIWA NA YANGA"
  16. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Yanga kumsajili selemani mwalimu nani alaumiwe?

    Yanga kumsajili selemani mwalimu nani alaumiwe?
  17. H

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga ni uhitaji wa mahitaji ya team au ni kumkomoa mtani?

    Nimeshanganzwa na Usajili wa Selemani Mwalimu unaonesha mambo makuu mawili: 1. Uongozi mzima wa Simba hawafanyi vitu kiprofessional, huwezi kutambulisha mchezaji kwenye tamasha lenu kumbe ujamalizana na club na mchezaji kwa asimilia zote hii maana yake Nini? Mnafanya mashabiki wenu wasiwaamini...
  18. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Yanga kuokoteza makombo ya Simba ni Ushamba au Upashkuna wa Michezo?

    Klabu ya Yangu 10-8-2026 imemsajili mchezaji wa Simba ambaye hakuna na namba na ameshuka kiwango Sulemani Mwalimu, kwa milioni 150, Nyumba mikocheni na Subaru forester na mshahara wa milioni 15 kwa mwezi kma zilivyopenyezwa za ndani japo hazijadhibitishwa na chanzo huru. Yanga inaonyesha vile...
  19. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Yanga yaanza kutumia “Yanga day” — je, ni kuiga Simba day?

    Kuna mjadala mpya unaoibuka kwenye soka la Tanzania baada ya klabu ya Yanga kutumia kwa nguvu zaidi jina “Yanga Day” katika tamasha lake la mwaka 2026. Kwa miaka kadhaa, tamasha hilo limekuwa likitambulika zaidi kama Siku ya Mwananchi au Wiki ya Mwananchi, majina yaliyokuwa sehemu ya...
  20. Mgagaa na Upwa

    JamiiForums Tanzania Sapraiziiii: Yanga yamsajili Selemani Mwalimu siku mbili baada ya kunukuliwa akisema ataichezea Simba Msimu wa 2026/27

    Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili mshambiliaji Selemani Mwalimu ambaye msimu uliopita aliichezea Simba kwa mkopo, ikiwa ni siku chache tangu mchezaji huyo anukuliwe katika clip iliyopostiwa na Simba akisema ataendelea kuichezea timu hiyo katika msimu wa 2026/27. Mwalimu alikuwa akiichezea...
Back
Top Bottom