simba sc

Simba Sports Club is a football club based in Kariakoo, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1936 as Queens, the club later changed their name to Eagles, then to Sunderland. In 1971 they were renamed Simba (Swahili for "Lion").
Simba is one of the two biggest clubs in Tanzania, alongside cross-city rivals Young Africans. Simba have won 21 league titles and five domestic cups, and have participated in the CAF Champions League multiple times. They are also one of the biggest clubs in East Africa, having won the CECAFA Club Championship six times.
Nicknamed "Mnyama" (The Beast) or "Wekundu wa Msimbazi" (The Reds of Msimbazi), Simba play their home games at the Benjamin William Mkapa Stadium and the National Stadium. In 2020 Simba were the fastest growing Instagram account among football clubs, with 1.9 million followers and a growth of 89% from the previous year.

View More On Wikipedia.org
  1. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania FT: Match day; Simba SC 1-0 Coastal Union | Ligi Kuu NBC | 1:00 Usiku

    Simba imeibuka na ushindi wa bao 1 kwa 0 dhidi ya Coastal Union, Bao lililofungwa na Ismail Toure. Kwa Ushindi huo Simba inaongoza Msimamo wa ligi ikiwa na alama 12 huku watani wao wa jadi wakiwa wana mchezo mmoja mkononi Simba SC leo Alhamisi, Agosti 27, 2026, itashuka dimbani kuikabili...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Benchi la ufundi la Simba sc hebu kaeni na wachezaji mzungumze nao kuhusu suala la nidhamu ya mchezo uwanjani. Hizi red cards zinaicost team sana

    Moja kwa moja huu uzi uwafikie viongozi na benchi la ufundi la Simba sc. Muwaeleze wachezaji kuwa uwepo wa Football video support (FVS) na madhara yanayoweza kuwakumba wao wachezaji na team kwa ujumla kutokana na uchezaji wao wa ovyo. Beki na viungo wa Simba wanafanya sana reckless tackles...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania FT: Pamba SC 1-2 Simba SC | Ligi ya NBC | CCM Kirumba

    Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo Jumatano, Agosti 19, 2026, kwa michezo mitatu, huku Simba SC ikishuka dimbani kumenyana na Pamba Jiji FC katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Mchezo huo unatarajiwa kuanza saa 10:15 jioni. Simba inaingia uwanjani ikiwa ugenini, huku Pamba Jiji ikitafuta kutumia...
  4. M

    JamiiForums Tanzania KANSA INAYOIMALIZA SIMBA SC: Kwanini Kamati ya Usajili inang'ang'ania kuacha pengo upande wa beki za pembeni kila msimu?

    Nguvu moja!!! Habari zenu Wana-JamiiForums na Wanasimba wanaoumia na timu hii, Imefika hatua sasa hapa Simba SC lazima tuambiane ukweli mchungu hata kama unauma. Kuna usaliti mkubwa wa kiufundi unafanywa na Kamati yetu ya Usajili misimu nenda rudi, na unajirudia tena kuelekea msimu huu mpya wa...
  5. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Timu ya Yanga SC imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba SC katika mchezo wa Ngao ya Jamii uliochezwa leo, Agosti 12, 2026, Zanzibar. Goli la Yanga limefungwa dakika 31 na Albert Kangwanda ambaye ni ingizo jipya katika dirisha kubwa la usajili ================ Nani kuanza msimu na...
  6. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Tanzania Simba SC walishajihakikishia nafasi ya pili msimu huu NBC

    Yeah nawapongeza sana Simba sc, kwasababu naona nafasi ya pili msimu wa 2026/2027 nafasi yao iko very secured. Naona mabeki wao wazuri Kameta Duchu, Kibabage wakipambana angalau wafikie nafasi ya pili , napongeza Kwa usajili wao mzuri wa kumleta Victor Osimeh Doumbia mfumania nyavu wa kutisha...
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Simba Day yaingia doa yakubali kichapo | Simba SC 0-1 Kenya Police | Mechi ya kirafiki | Uhuru | Agosti 8, 2026

    Klabu ya Simba SC imekubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Kenya Police FC ya nchini Kenya katika mchezo wa Simba Day uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru. Matokeo hayo yamekuja katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Simba Day, huku Kenya Police ikiibuka na ushindi muhimu mbele ya mashabiki wa...
  8. min -me

    JamiiForums Tanzania Hii timu yangu ya Simba kumbe bado ni takataka 🚮

    Kwa hicho kikosi na ujinga ujinga wenu , na ufisadi, hatuwezi kuwashinda Yanga kamwe 🤔 Yapo mababu majinga majinga kwenye uongozi ,ambayo hayana maono ya mpira wa sasa. Kwa Simba day hii tu na utambulisho wa wachezaji , mtapigwa nyingi sana takataka nyie . Kipigo cha hawa wajinga na...
  9. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Feisal salamu anawatumia mabumunda WA SIMBA SC na YANGA SC kujiongezea thamani

    Azam FC wanachofanya ni kiburi cha pesa ambacho hakina tija yoyote kwao. Tangu usajiri wa Feisal ufanyike, Azam FC imeendelea kua msindikizaji Katika mashindano ya ndani na hata Yale ya kimataifa. Huku feitoto akinufaika pakubwa kimaslahi . Kutokana na ubumunda wa viongozi wa Azam FC kwenye...
  10. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Ahmed Ally; nitaingia na ungo uwanjani

    Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally ametanabaisha kwamba siku ya Simba (Simba Day) Jumamosi Agosti 8, 2026 ataingia Uwanjani kwa namna ya tofauti ambapo ataingia kwa kupaa na ungo.
  11. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Neo Maema akaribia kurejea Simba SC kwa mkopo kutoka Mamelodi Sundowns

    Kwa mujibu wa Mwandishi Lorenz Köhler amesemea kuwa kiungo mshambuliaji Neo Maema anatarajiwa kurejea Simba SC kwa mkopo akitokea Mamelodi Sundowns kwa msimu wa 2026/27. Simba SC na Mamelodi kukamilika, Klabu hizo zipo katika hatua ya mwisho ya mazungumzo kumruhusu Maema kurejea Simba SC...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Magori: Kikao cha Bunju ni batili, haukuwa Mkutano Mkuu rasmi wa Simba

    Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba, Crescentius Magori, ametangaza kuwa kikao kilichofanyika Bunju hakikuwa kikao rasmi cha Mkutano Mkuu Maalum wa wanachama, hivyo maamuzi yote yaliyotolewa katika kikao hicho ni batili na yanakwenda kinyume na Katiba ya klabu. Soma: Try Again...
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania FT: Singida Black Stars 1-2 Simba | CECAFA Kagame Cup | Julai 31, 2026 | 2:00 Usiku

    Simba wanakamilisha ratiba ya mashindano haya, hata wakishinda awaendi popote, Simba SC watamaliza ratiba yao ya CECAFA Kagame Cup kwa mchezo dhidi ya Singida Black Stars leo, Julai 31, 2026. Licha ya umuhimu wa mchezo huo, matokeo yoyote, ikiwemo ushindi, hayatabadilisha nafasi ya Simba kwenye...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Full Time | Jamus SC 0 - 0 Simba SC | CECAFA Kagame Cup | Kigali Pele Stadium

    Klabu ya Jamus baada ya kuwaduwaza Singida BS mechi iliyopita, leo anakutana na Mnyama Simba SC aliyetoka sare mechi iliyopita dhidi ya Mogadishu. Je, nani kuondoka na alama tatu?...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Simba yathibitisha kushiriki CECAFA Kagame Cup 2026

    Klabu ya Simba SC imethibitisha rasmi kushiriki michuano ya CECAFA Kagame Cup 2026, itakayofanyika jijini Kigali, Rwanda, kuanzia Julai 24 hadi Agosti 7, 2026. Ushiriki wa Simba unarejea katika mashindano hayo ya vilabu vya Afrika Mashariki na Kati baada ya kukosekana kwa miaka kadhaa, huku...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania FT: FAINALI | Simba SC 1-0 Azam FC | Kombe la Shirikisho la CRDB | dimba la Gombani, Pemba | Simba yatwaa ubingwa

    Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB ni Derby ya Mzizima Simba SC dhidi ya AzamFC Mtanange huu unapigwa Jumamosi hii, Julai 04 katika dimba la Gombani Pemba, Saa 11:00 Jioni. Mechi 5 za mwisho kati ya Simba SC na Azam FC kwenye Ligi Kuu: 5 Aprili 2026: Azam FC 0–0 Simba SC 7 Desemba 2025...
  17. M

    JamiiForums Tanzania FT: Simba SC 1-0 KMC | Uwanja wa KMC | Juni 30, 2026

    Leo majira ya saa kumi kamili Mnyaama ataenda kummalizia KMC hasira zote za kukosa ubingwa msimu huu
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania FT: Simba kuukaribia Ubingwa wa Ligi ya NBC leo? | Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC | Saa 10:00 Jioni | Jamhuri Stadium

    Raundi ya 28 ya Ligi Kuu NBC inaendelea leo kwa mchezo wa kusisimua kati ya Mtibwa Sugar na Simba SC utakaopigwa saa 10:00 jioni katika Uwanja wa Jamhuri. Simba SC ikisaka pointi 3 katika mbio za ubingwa baada ya kuukosa kwa misimu kadhaa mfululizo, huku Mtibwa Sugar ikihitaji matokeo mazuri...
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania FT: Mbeya City 0-1 Simba SC | Ligi Kuu NBC | Uwanja wa Sokoine | Juni 17, 2026

    Leo Simba wapo tena uwanjani dhidi ya Mbeya City Simba kwa mara ya kwanza kwenye msimu huu wanacheza mechi ya mchana tena jua kali na hili jua kali liwawakie tu Mbeya City VS Simba SC | Ligi Kuu NBC | Sokoine | Juni 17, 2026 | 8:00 Mchana
  20. M

    JamiiForums Tanzania Mashujaa FC Vs Simba Sc Uwanja wa Lake Tanganyika Kigoma, 14 Mei 2026

    Yap Yap ni Leo, Mei 14 2026 Simba ndani ya Msitu mzito wa Sokwe Aina ya Mashujaa FC, Mashujaa wamejiapiza kuikaanga Simba siku ya leo huku Simba wakiweka wazi kuwa kilichowapeleka Kigoma ni alama 3 tu na si vingine, kwani utalii wa kuona Sokwe si jambo lao. Simba leo watakuwa na Presha kubwa...
Back
Top Bottom