bure

Buré is a commune in the Orne department in northwestern France.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Bure kuhusu siku ya 7/7

    Kwahali ninavyoiona nahisi tarehe 7/7 siyo siku ya kutoka nyumbani. Ushauri wa Bure nunua mahitaji ya nyumbani Sasa tena ya kutosha ikifika 7/7 Baki ndani usitoke hata kwenda kununua chumvi dukani ili Yale ya Octoba 29 Yasije yakakukuta.
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Songolo: Hakuna bodaboda aliyefunga bendera ya chama kwenye Kampeni bure, tuliwalipa walikuwa kwenye biashara

    Meya wa Kinondoni, Songoro Mnyonge, amesema waendesha bodaboda walioshiriki katika kampeni za vyama vya siasa hawakufanya hivyo bure, bali walilipwa kwa huduma zao kama sehemu ya shughuli za kibiashara. "Nilikuwa namsikia mbunge mmoja juzi anazungumza kwenye bunge, kwamba hawa watu [Bodaboda]...
  3. Smart Eagles

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi Morogoro Mjini Mshahara 180,000/= + Internet ya bure

    Anahitajika binti mwenye uwezo mkubwa wa kutumia simu na computer. Ofisi yetu inafanya kazi 2 ambazo ni kutoa huduma ya internet Morogoro mjini na kukata tiketi za treni ya SGR. Anahitajika mdada smart anayefahamu kutumia computer na simu vizuri, awe sharp na asiye na hasira za hapa na pale...
  4. M

    JamiiForums Tanzania KERO Elimu ya juu ya Sekondari (A-Level) ni elimu bure kweli au kwa makaratasi?

    Ninaomba mamlaka husika zitafakari hali halisi ya elimu ya kidato cha tano na sita nchini. Serikali imekuwa ikisema elimu ni bure, lakini ukweli uliopo mashuleni ni tofauti kabisa hasa kwa watoto wa familia za wakulima na wenye kipato cha chini. Mahitaji yanayotolewa wakati wa kuripoti shule...
  5. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Jumba la kifahari, inadaiwa la Lugumi, ukipewa kuishi bure, unaweza shindwa, kumudu bili ya umeme na maji

    Sina hakika ni skendo tu nasikia ni ya LUGUMI. Kwa ukubwa inaonekana vigogo hewa wa humu jf tunaweza SHINDWA KUMUDU billi ya maji na luku, maisha haya
  6. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Wanahabari wetu bure Kabisa nilitegemea leo kuamkia kwenye Offce ya Msajili wa vyama vya siasa kuhusu kauli ya Chatanda Kimya

    Nilitegemea waandishi wa habari leo kuamkia kwenye offce za msajiri wa vyama vya siasa kufanya nae mahojiano kuhusu kauli ya Marry Chatanda kuifuta chadema na huyu mama kakiuka katiba ya 1977 lakini waandishi wa habari kimya ?
  7. Life2

    JamiiForums Tanzania Huwezi kuua watu bure Ulimwengu mzima ukanyamaza juu yako

    Endeleeni kupumzika kwa amani Watanganyika wenzetu mliopoteza maisha yenu 29 Oct, mkiwa na lengo la kulipigania taifa hili. Mauaji ya Kimbari kule Rwanda mpaka leo yanakumbukwa. Mauaji ya halaiki kwa njaa kule Ukraine (Holodomor) kutoka kwa Urusi mpaka leo bado yanakumbukwa, na bado baadhi ya...
  8. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Mbunge, Jesca Yuda Mbogo: Sera ya Matibabu bure haitufikii vyema wanawake, Unakwenda kujifungua unaambiwa utachangia matibabu

    Sera ya matibabu bure haitufikii vyema wanawake, kumwambia Mwanamke wa kijijini achangie 250,000 kwa ajili ya upasuaji, ni gharama kubwa sana hivyo wanawake wanaona bora wakajifungulie nyumbani Hayo ameyasema leo 12 Mei 2026, Bungeni Dodoma, wakati akichangia hoja bungeni kuhusu bajeti ya...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Bure kwa TRA: Anzisheni Program ya Certified Tax Educator (CTE).

    Haya ni maoni na ushauri wangu wa Bure kwa TRA, naomba niwaahauri waweze kuanzisha program Maalum ya Certified Tax Educator (CTE), hii inatokana na Kwamba kwa sasa Watanzania wengi hawana Elimu ya kutosha kuhusiana na masuala ya kodi. Tukio halisi ni la hivi karibuni lililotokea Dar es Salaam...
  10. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Sasa, Pesa Ndio Kila Kitu!, Hakuna cha Bure!, Je Umefika Wakati Habari Zilipiwe?Bila Pesa Hakuna Habari!. Media Zilipwe, Waandishi Tulipwe?

    Wanabodi, Hii ni makala yangu, katika gazeti la Mwananchi la leo, nikizungumzia maisha ya kisasa, na mambo ya kisasa, pesa ndio kila kitu!, siku hizi hakuna cha bure!, kwanini mpaka leo habari ni bure?!, je umefika wakati habari nazo zilipiwe?, bila pesa hakuna habari!, media zilipwe, waandishi...
  11. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Miaka yote Imeenda Bure?” Students wa KIM walia baada ya Serikali Kufunga Chuo na Kufuta Vyeti vyao

    Wadau, mambo ni mazito kwa maelfu ya students wa Kenya Institute of Management baada ya Technical and Vocational Education and Training Authority (TVETA) kuifungia kabisa na kufuta vyeti vyote vilivyotolewa kuanzia 2018 Hii si mchezo imagine umesoma miaka kadhaa, umelipa fees, umegraduate…...
  12. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Kliniki ya Ngozi Na Nywele Bure Online Wiki Hii

    Dr.Mussa Zaganza nimekuwa kwa muda mrefu nikiwasaidia watanzania ushauri wa kutunza ngozi zao na nywele kwa njia za asili.Na Wiki Hii nimeandaa klinik ya ngozi na nywele kupitia group la whatsapp ambapo utapata kujifunza yafuatayo: 1.Makundi 4 ya ngozi, na makundi 3 ya nywele,jinsi ya kuipima...
  13. C

    JamiiForums Tanzania Watu wananiogopa bure

    Wengine wanatetemeka, wengine wanakimbia wakiniona. sometime nashindwa hadi kupata madem kwasababu wananiogopa sana.. hii inasababishwa na nini ?
  14. Akotia

    JamiiForums Tanzania Jipatie a 800ml french press pamoja na kahawa bure kwa 89,000Tsh tu.

    Kwa wale wadau wa kahawa,french press madhubuti sasa zimekuja tena. Ukinunua unapewa na kahawa 200 gram quality buree ya kuanzia maisha.
  15. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Tanzania Chuki isiyo na sababu/msingi ni sawa sawa na uchawi

    CHUKI NI TUNDA LA UCHAWI Awali ya yote leo sikujisikia kabisa kuandika kitu chochote ila nimeona ngoja niandike. Sio mtu wa kuandika na sio muandikaji mzuri. Ila tuvumiliane. Zingatia mambo yafuatayo : a. Chuki isiyo na sababu ni bure kabisa ni sawa kufukuza upepo. b. Ili uchukie lazima uwe...
  16. Mshana Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ungependa utulivu? Tiba ya bure

    Hii mada ni maalum kwa wenye kupenda asili, ukimya utulivu na wenye kujitafuta kiroho ama kujitakasa Je umeshawahi kutembelea mwituni kwenye "Crystal clear water" yanayotirika kwa utulivu na sauti zenye mirindimo laini sana Sauti ya maji yanayotiririka katikati ya msitu ni moja kati ya midundo...
  17. astalavista

    JamiiForums Tanzania Pata bure mfumo wa bulk SMS, API na msg za trial.

    Ni sisi ONFON MEDIA pekee ambao tunakupatia mfumo wa BULK SMS bure, tunafanya API buree, na tunakupatia msg za majaribio buree. Pale utakapokuwa tayari kununua msg kwajili ya matumizi yako utashangaa zaidi, kwani gharama zetu ni nafuu kulinganisha na popote pale. Sisi ndiyo tunawauzia hao...
  18. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania Vodacom Tanzania Foundation Yaandaa Kambi ya Matibabu Bure Morogoro

    Na Mwandishi Wetu Morogoro — Wakati magonjwa yasiyoambukiza yakizidi kuwa tishio kwa afya ya jamii nchini, Vodacom Tanzania Foundation imeanzisha kambi maalum ya matibabu bure kwa wakazi wa Morogoro ili kuongeza upatikanaji wa huduma za uchunguzi wa afya pamoja na elimu ya kujikinga na magonjwa...
  19. astalavista

    JamiiForums Tanzania Jipatie mfumo wa BULK SMS bure na msg za trial.

    Fanya ofisi yako kuwa ya kisasa inayokwenda na wakati, tumia huduma ya bulk sms kuwafikia watu wengi zaidi na kwa haraka. Kwetu sisi mfumo tunakupatia bure ukiwa na msg kadhaa za kujaribu. Nipigie 0795790411
  20. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure kwa Samia akae karibu na TEC ataishi kwa Amani.

    GT Huu ni ushauri wa bure tu hauna gharama yoyote. TEC mara zote hushauri mambo mema huku wakiwa hawana tamaa na maslahi binafsi. Kitendo cha Samia kuwapuuza hawa jamaa kitamtesa milele hadi anazikwa na atapata tabu sana jamaa hawana mbamba. Na hawajipendekezi kwa yeyote isipokuwa dini yao tu...
Back
Top Bottom