mlima

The Mlima Combani and Mlima Mtsapéré Important Bird Area lies in the north-central part of the French island territory of Mayotte in the Comoro Islands, lying at the northern end of the Mozambique Channel between the East African country of Mozambique and Madagascar.

View More On Wikipedia.org
  1. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Waislamu wafurika kwenye mlima Minna huko Saudi-Arabia kusherehekea Idd!!

    Karibu mahujaji milioni 2 wa Kiislamu walikusanyika jana kwenye uwanda wa Mina nchini Saudi Arabia kabla ya kupanda Mlima Arafat, kuashiria kilele cha hija ya kila mwaka ya Hajj na mwanzo wa Eid al-Adha, moja ya sikukuu takatifu zaidi za Uislamu. Eid al-Adha, ambayo pia inajulikana kama Sikukuu...
  2. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tetesi: Sangalo Hill Yageuka “Mlima wa Miujiza” Kadri Waumini Wanavyomiminika

    Kuna taarifa zinazosambaa kuwa mlima wa Sangalo, ulioko magharibi mwa Kenya, umeanza kuvutia idadi kubwa ya waumini wanaodai wanapata msaada wa kiroho, uponyaji, na majibu ya maombi. Kwa mujibu wa simulizi zinazoendelea kusambaa, watu kutoka maeneo mbalimbali wanadaiwa kusafiri hadi mlima huo...
  3. figganigga

    JamiiForums Tanzania Mlima Namanga wapasuka katikati na kuporomoka

    Mlima Namanga uliopo mpakani mwa Kenya na Tanzania, wapasuka katikati na kuporomoka. Sababu yadaiwa ni mvua inayoendeea kunyesha. Sijui lawama nimtupie nani
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wale wasafiri wa zamani waliopita mlima Sekenke, unakumbuka nini?

    Achana na Sekenke ya sasa hivi iliyochongwa, kuna ile ya zamani ambayo haikuwa na lami. Mara ya kwanza napita pale 2006 kwanza tukashushwa kwenye gari wakabaki wazee, watoto na wagonjwa, bus likaanza kukata mlima. Kwakweli ilikuwa hali ya kutisha.
  5. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Hapo mlima Kitonga mbona kuna watu hawaeleweki aisee

    Nimepita saa kumi na Moja asubuhi na usafiri binafsi hapo mlima kitonga nimeona Kuna watu hawaeleweki wamevaa kininja ni wengi halafu Wana silaha aisee mpaka nikataka kugeuza safari wakaniambia pita hakuna shida Kuna nini kinaendelea aisee hii nchi mbona ishakua shida. Mnaopita kitonga...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Dr. Mnyaka Sururu Mboro - Ni "Upuuzi" katika masomo ya historia jinsi Mjerumani "alivyogundua" mlima Kilimanjaro

    Ruka hadi yaliyomo Potsdam baada ya ukoloni "Upuuzi" katika masomo ya historia Mnyaka Sururu Mboro jinsi Mjerumani "aligundua" mlima Kilimanjaro https://m.youtube.com/watch?v=RctLtVYpIyc Mnyaka Sururu Mboro alizaliwa mwaka 1951 na anaishi Berlin. Yeye ni mwanaharakati wa Tanzania...
  7. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Naomba kumjua mbunifu wa hizi mbao hapa kileleni mwa Mlima Kilimanjaro

    Ubunifu wake unavutia sana hapo kileleni
  8. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi wa Mlima Kilimanjaro: Jiungeni Sasa Kudai Haki Zenu Kisheria Kupitia Mountain Workers Advocacy Union (MWAU)

    Kwa muda mrefu, wapagazi, waongozaji na wapishi wa Mlima Kilimanjaro wamekuwa wakifanya kazi katika mazingira hatarishi, bila mikataba, bila bima ya afya, na wakikosa kinga ya kisheria – hali inayokiuka haki zao za msingi kazini. Kwa mujibu wa Employment and Labour Relations Act, 2004, Kifungu...
  9. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Haki kwa wapanda Mlima Kilimanjaro, kama wewe ni mdau soma na ushiriki

    We are going to lose the rights of mountaineers and the entire tourism industry in general. We are the Mountain Workers Advocacy Union (MWAU) — a powerful collective voice for porters, guides, and cooks on Mt. Kilimanjaro. We stand for dignity, justice, fair contracts, and safe working...
  10. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Ubinadamu Umefiwa Mlima Kilimanjaro – Ukimya wa Serikali, Manyanyaso ya Makampuni na Kilio cha Wapagazi

    Jamii nzima ya Tanzania na ulimwengu kwa ujumla mnapaswa kufunguka masikio, kufumbua macho na kusikiliza kwa makini kilio hiki kinachotoka kwenye mioyo ya wale ambao wamesahaulika – Wapagazi (porters), wapishi na magwiji wa milimani (guides) wa Mlima Kilimanjaro. Hawa ndio watu ambao kwa mikono...
  11. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Utalii wa Mlima Kilimanjaro: Hazina ya Taifa Inayoendelea Kupotezwa kwa Kutojengewa Mfumo Endelevu wa Kiuchumi na Kihistoria

    Mlima Kilimanjaro—maarufu kama "The Roof of Africa" ni zaidi ya kivutio cha kijiografia; ni iconic symbol of Tanzania's natural heritage na turathi ya kiulimwengu. Hata hivyo, pamoja na umuhimu wake wa kimazingira, kihistoria na kiuchumi, sekta ya utalii wa mlima huu inaendelea kukumbwa na...
  12. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Tembea Mlima Kilimanjaro – Safari ya Kuukumbuka Milele! ⛰️

    Je, umewahi kujiuliza hisia halisi za kusimama juu ya Afrika? Sasa ni muda wako! Tunakupeleka katika safari ya kipekee ya kupanda Mlima Kilimanjaro – "The Roof of Africa" – kwa mpangilio ulio professional, safe and unforgettable. ✅ Muongozo wa kitaalamu (Certified Mountain Guides) ✅ Mafunzo ya...
  13. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania " Kama Mohammed hatoweza kwenda Mlimani, Mlima huenda kwa Mohammed. Ukrain yalipua Kambi kubwa ya kijeshi ya Urusi.

    And the vice versa is true "If the mountain won't go to Mohammed, then Mohammed must go to the mountain"
  14. Magical power

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke Mwenye Mlima Kama Huu Huo Ujasiri Wa Kuchit Atautoa Wapi Kwanza

    Sawa Wanaume Hatuliziki Hata Tupewe Nini Ila Nakupeni Siri Moja Hakuna Mwanaume Anaweza Kuchit Akimiliki Mwanamke Mwenye Mlima Kama Huu Huo Ujasiri Wa Kuchit Atautoa Wapi Kwanza. Mkoa Gan Tanzania 🇹🇿 Kuona Viumbe Vyenye Milima Kama Hii👇👇👇 Kawaida Japo Sura Ni Za Baba Zao. Tunaishi Na Vimbau...
  15. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Huu ndiyo mlima wa mizeituni huko Jerusalem Israel.

    Ukiwa kwenye mlima wa Mizeituni Mji wa Yerusalem unaonekana hivi
  16. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Ifahamu Hali ya hewa ya mlima Kilimanjaro na zones zake kwa ujumla

    Mlima Kilimanjaro ni mlima mrefu zaidi barani Afrika na unajulikana kwa utofauti mkubwa wa mimea na viumbe hai. Kuna maeneo tofauti ya uoto wa asili yanayopatikana katika mlima huu, ambayo yanaweza kugawanywa katika maeneo saba (zones): 1. Lower Forest Zone: Hapa ndipo panapokuwepo na miti ya...
  17. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Nimeandaa safari ya kupanda mlima Kilimanjaro kwa ajili ya wanaJF tu ambao wanavutiwa kufika kilele cha mlima

    Ndugu wanajamii, nataka kuwashauri tuungane pamoja katika adventure ya kupanda mlima Kilimanjaro! Gharama ya safari hii ni Shilingi 700,000 kwa kila mtu, na itafanyika mwezi wa sita. Tutatumia Marangu Route, ambayo ni the easiest way to climb Kilimanjaro. Safari hii itachukua siku 6, na itakuwa...
  18. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Hii hapa historia kamili ya mlima Kilimanjaro, soma kwa makini uielewe

    Mlima Kilimanjaro, ambao ni mlima mrefu zaidi barani Afrika, una historia yenye mvuto na thamani kubwa. Katika muktadha wa utafiti wa muda mrefu, Kilimanjaro inajulikana kama "Kilimanjaro" kutoka kwa neno la Kiswahili linalomaanisha "mlima wa wingu". History ya Kilimanjaro inategemea mazingira...
  19. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Fursa ya kupanda Mlima Kilimanjaro mpaka kileleni Uhuru Peak

    Wana jamvi mnaonaje kama mtakuwa tayari kuchangamkia fursa hii ya kutembelea mlima Kilimanjaro kwa gharama nafuu zaidi ambayo imeandikwa kwenye tangazo letu hapo chini! Changamkini fursa chap chap ili ukajionee kwa macho na kujifunza mengi zaidi kwa mwaka huu 2025 Kwa maelezo zaidi nicheki...
  20. Mlaleo

    JamiiForums Tanzania Tukio la Nabii Musa kuona Moto unawaka kwenye kichaka cha majani mabichi kujirudia tena tarehe 20&21 Dec2024 nchini Israel Mlima Karkom! Je tulipigwa?

    Jeshi la Israel, IDF inaruhusu watalii kuona 'kichaka kinachowaka moto' kwenye Mlima Karkom, Je ni nini hiki? - mfafanuzi Jeshi limesema kuwa litafungua eneo hilo, ambalo kwa kawaida ni eneo la shabaha kwa silaha za moto la IDF, tarehe 20-21. Desemba 2024 Watu wataruhusiwa kuzuru Mlima Karkom...
Back
Top Bottom