Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi ni wiki Sasa hakuna maji, na hakuna maelezo yoyote ya lini maji yatatoka.
Kwa sasa ndoo ya maji inauzwa Tsh 1000 mtaani. Sijajua changamoto ni nini lakini waziri wa maji amekuja hapa mara mbili na viongozi wanaahidi kutojirudia kwa hii...
Anonymous
Thread
changamoto
changamoto ya maji
hakuna maji
halmashauri
inauzwa
kilindi
lini
maji
makao
makao makuu
ndoo
wiki
wilaya
Nyumba Inauzwa Kimara.
Mahali: Kimara Temboni, Mtaa wa Mtakuja.
Sifa za Nyumba:
•Ipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro.
•Ina chumba chenye choo ndani, sebule na jiko.
•Ina mpangaji analipa kodi sh. 300,000 kwa Mwezi.
•Ina eneo kubwa mbele.
•Usafiri wa aina zote unafika mpaka kwenye nyumba...
✨ FURSA ADIMU YA UWEKEZAJI KWENYE ELIMU – SHULE INAUZWA KIBAHA! ✨
Je, unatafuta shule tayari kwa kuanza biashara ya elimu mara moja?
Hii ni nafasi ya kipekee kwako!
📍 Location: Kibaha Maili Moja – Mpigi
📐 Ukubwa wa eneo: Heka 1
👨🎓 Wanafunzi waliopo: 20
💰 Kila mwanafunzi analipa: Tsh 1.2...
✨ FURSA ADIMU YA UWEKEZAJI KWENYE ELIMU – SHULE INAUZWA KIBAHA! ✨
Je, unatafuta shule tayari kwa kuanza biashara ya elimu mara moja?
Hii ni nafasi ya kipekee kwako!
Bei ni Milioni 160 Tzs.
📍 Location: Kibaha Maili Moja – Mpigi
📐 Ukubwa wa eneo: Heka 1
👨🎓 Wanafunzi waliopo: 20
💰 Kila...
Nyumba Inauzwa Bahari beach, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Simba/Mugeta.
Sifa za Nyumba:
*Iko Mita 100 kutoka barabara kubwa ya ununio.
*Ina vyumba vitano vya kulala, vyote ni master.
*Huduma zote za kijamii zipo.
Ukubwa wa Eneo: SQM 1833.
Nyaraka: Ina Hatimiliki.
Bei: Tzs Milioni 900...
NYUMBA INA HATI YA WIZARA
INAUZWA #MILLION_270 MAONGEZI IPO DSM KITUNDA UKONGA
VYUMBA
VITATU
VYOTE
MASTER
SEBULE
DINNING
JIKO CHOO CHA PUBLICITY N.K STORE
UKUBWA WA ENEO SQM 1,500
KARIBUNI SANA PG AU WHATSAPP 0718408733
Unatafuta nyumba ya kisasa au uwekezaji wenye faida kubwa? Hii hapa nafasi yako! 🏡✨
📍 Location: Upanga
✨ Features Kuu:
• Vyumba 3 vya kulala (1 Master Self-Contained) 🛏️
• Sebule kubwa + sehemu ya dining 🍽️
• Jiko la kisasa 🍳
• Swimming Pool 🏊♂️
• Gym ya kisasa 💪🏽
• Generator (hakuna stress ya...
Urgent wakuu!, plot inauzwa, SQM 400, imejengwa msingi na kisima kipo. IPO 4km from main road, Kiluvya Madukani maeneo ya kwa mhindi-tondoroni.
Ni nzuri sana! Njoo inbox kwa details zaidi. Mil. 7.5 tu!
Docs zote zipo za kisheria na kitaalamu haina udalali!
HATA KWA AWAMU UNARUHUSIWA KULIPA...
Hili gari pichani linauzwa kwa bei ya Tsh. 9,500,000 (maongezi yapo). Injini yake ni ya Mitsubishi. Ukubwa wa Injini ni CC 2200. Ina bodi ya kuweza kubeba mizigo, yaani pick up.
Matairi ni makubwa kwa hiyo linamudu kupita kwenye barabara korofi kwa sababu gari lipo juu.
Mbele linaweza kuchukua...
Nauza pikipiki aina ya Honda Ace 150, iliyotumika kidogo sana na ipo katika hali safi kabisa.
🛵 Maelezo muhimu:
Aina: Honda Ace 150
Umbali uliotembea: KM 400 tu (karibu mpya kabisa)
Hali ya injini: Safi, safi kabisa, cc150
Matumizi: Binafsi, imetunzwa vizuri
Uwezo: Inafaa kwa biashara...
Wacha wenye hela waibiwe.
Kuna Youtuber anaitwa Matt Armstrong, amekua aki-rebuild magari mbalimbali ya kifahari yaliyopata ajali au kuharibika kisha kuyauza.
Amedeal na Ferrari, Lambo, Porsche, RR, etc na amekua akionyesha step kwa step, kwahiyo gari moja anaweza akatuwekea ata kwenye video...
✨Shule nzuri sana inauzwa
✨SQMT 5800 (heka1 na nusu)
✨Bei billion 1.5 maongezi yapo
✨Ina madarasa 14
✨Wanafunz 110
✨️Unauziwa na wanafunzi waliopo
✨️Location : bahari beach
✨️ Eneo lake linafaa kwa uwekezaji wowote
Hati miliki imenyooka sana Kutoka Wizara ya Ardhi
Anahitajika serious buyer tu...
Kumiliki gari ni anasa.
Kuna mtu anavipenda sana vi BMW MINI sasa tukawa tunacheki cha 2013 tumekielewa. Tukapata cheap kabisa Mil 5.6 Bila negotiations.
Tukajua TRA itacheza kwenye Mil 5 hivi au 6. Aisee.
Nadhani ataenda kununua pikipiki ya umeme uyu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.