inauzwa

  1. Sacsosanct

    Plot4Sale Plot inauzwa Kiluvya! Bei ni Milioni 7.5

    Urgent wakuu!, plot inauzwa, SQM 400, imejengwa msingi na kisima kipo. IPO 4km from main road, Kiluvya Madukani maeneo ya kwa mhindi-tondoroni. Ni nzuri sana! Njoo inbox kwa details zaidi. Mil. 7.5 tu! Docs zote zipo za kisheria na kitaalamu haina udalali! HATA KWA AWAMU UNARUHUSIWA KULIPA...
  2. A

    GARI YA KAZI INAUZWA, BEI INAANZIA TSH. 9,500,000

    Hili gari pichani linauzwa kwa bei ya Tsh. 9,500,000 (maongezi yapo). Injini yake ni ya Mitsubishi. Ukubwa wa Injini ni CC 2200. Ina bodi ya kuweza kubeba mizigo, yaani pick up. Matairi ni makubwa kwa hiyo linamudu kupita kwenye barabara korofi kwa sababu gari lipo juu. Mbele linaweza kuchukua...
  3. The last don

    EPSON HD PROJECTOR INAUZWA

    Overhead Epson Projector Sold OUT
  4. C

    Pikipiki aina ya Honda Ace 150 mpya inauzwa

    Nauza pikipiki aina ya Honda Ace 150, iliyotumika kidogo sana na ipo katika hali safi kabisa. 🛵 Maelezo muhimu: Aina: Honda Ace 150 Umbali uliotembea: KM 400 tu (karibu mpya kabisa) Hali ya injini: Safi, safi kabisa, cc150 Matumizi: Binafsi, imetunzwa vizuri Uwezo: Inafaa kwa biashara...
  5. Mad Max

    Sehemu ya Door Lock ya Bugatti inauzwa $2,000+, ila ni same part iliotumika kwenye Volkswagen ambayo wanauza $40!

    Wacha wenye hela waibiwe. Kuna Youtuber anaitwa Matt Armstrong, amekua aki-rebuild magari mbalimbali ya kifahari yaliyopata ajali au kuharibika kisha kuyauza. Amedeal na Ferrari, Lambo, Porsche, RR, etc na amekua akionyesha step kwa step, kwahiyo gari moja anaweza akatuwekea ata kwenye video...
  6. warzone

    Engine ya Toyota crown inauzwa 3Gr

    Habari wakuu,kuna engine ya Toyota crown inauzwa ni 3Gr Haina shida Ina kila kitu ,Boss kabadili Engine kwahiyo hiyo aliyotoa anaiuza
  7. Sonship

    INAUZWA Shule inauzwa Bahari Beach

    ✨Shule nzuri sana inauzwa ✨SQMT 5800 (heka1 na nusu) ✨Bei billion 1.5 maongezi yapo ✨Ina madarasa 14 ✨Wanafunz 110 ✨️Location : bahari beach ✨️ Eneo lake linafaa kwa uwekezaji wowote Hati miliki imenyooka sana Kutoka Wizara ya Ardhi Anahitajika serious buyer tu 0675 065906
  8. Mad Max

    Gari toka Japan linauzwa Mil 5.6 hadi Tanzania, halafu TRA wanataka Mil 9.8 cash!

    Kumiliki gari ni anasa. Kuna mtu anavipenda sana vi BMW MINI sasa tukawa tunacheki cha 2013 tumekielewa. Tukapata cheap kabisa Mil 5.6 Bila negotiations. Tukajua TRA itacheza kwenye Mil 5 hivi au 6. Aisee. Nadhani ataenda kununua pikipiki ya umeme uyu.
  9. K

    Chaji Aina ya Infinix Type C inauzwa

    Habari wakuu chaji Aina ya Infinix inauzwa bei sh 15000 aina kipengere chochote karibuni
  10. K

    Chaji Aina ya Infinix Type C inauzwa

    Habari wakuu nauza chaji ya Infinix Type C bei 15000 maelewano yapo ndo mpya inachaji vizuri karibuni wakuu
  11. 90sgeneration

    Delta fridge lita 132 inauzwa

    DELTA FRIDGE LITA 132 INAGANDISHA NA KUPOOZA VIZURI SANA. HALINA CHANGAMOTO YOYOTE BEI: 370,000 Tu Ubungo Plaza Call/Whatsapp: 0749378669
  12. 90sgeneration

    Hisense Smart tv Uhdtv 4k 50 inauzwa - 720k

    HISENSE SMART TV UHDTV 4K 50" INCHES FULL BOX BEI 720,000/= TU Location: Ubungo Plaza Call/Whatsapp: 0749378669
  13. Kitomai

    Apartment inauzwa Upanga

    Unatafuta nyumba ya kuishi AU uwekezaji wenye uhakika? Hii ni deal ambayo huwezi kuipuuza! Apartment ya kisasa ya ghorofa Vyumba 3 vya kulala Master bedroom (self contained) Sebule kubwa + dining Jiko la kisasa Comfort ya hali ya juu Inakuja na huduma zote muhimu: Lift Generator 24/7...
  14. radhiya

    Nyumba Inauzwa Goba Lilian Kibo

    Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam. Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule. Sifa za Nyumba: *Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji. *Iko mita chache kutoka barabara ya Goba. *Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
  15. Sonship

    House4Sale Nyumba inauzwa Mbezi Maramba Mawili

    INASIFA ZIFUATAZO; Room 3 moja Master, sitting Room, Kitchen,Daining room, Store, public toilet, na jiko, Baraza mbele na nyuma. Ukubwa wa eneo lake ni sqm 380 tu. Maji Dawasa tayari tumevuta yapo Umeme ni kushusha nguzo ipo uwanjani Nyumba ipo mbezi Maramba mchikichini. Kutoka Zinapoishia...
  16. Dalali wa Mjini

    Toyota Vanguard 2012 inauzwa

    Toyota Vanguard Year 2012 Cc 2360 Seat 7 Milion 35 Gari ni mpya kabisa Nipigie simu Kwa ukaguzi 📱0754693556
  17. darautobroker

    Car4Sale TOYOTA Hilux inauzwa bei kitonga kabisa

    Bei/Price🏷️👉🏾TSH 25M Call📞+255 747 999 927 TOYOTA HILUX PICKUP DOUBLE CABIN Year: 2009 Engine: 5 L Mileage: 280K Fuel Used: DIESEL Transmission: MANUAL ✨Alloy Wheels ✨2-SRS Airbags ✨4 Wheels Drive ✅100% Duty Paid ✅Well-Maintained ✅Swap Deals Allowed
  18. Dalali wa Mjini

    Toyota Quantum inauzwa

    Toyota Quantum Engine 2KD Fuel Diesel ⛽ Bei milion 38 Nipigie simu Kwa ukaguzi 📱0754693556
  19. Sacsosanct

    Plot inauzwa kwa dharula: Kama uko na hela hata nusu Njoo inbox!

    Sqm400; Kiluvya, 3km from mainroad, msingi ni vyumba viwili+sebule+jiko. Hati ipo. Mil 7, pesa nusu inapokelewa.
  20. Sacsosanct

    Plot nzuri inauzwa Kiluvya madukani

    Urgent wakuu!, plot inauzwa, SQM 400, imejengwa msingi na kisima kipo. IPO 2km from main road, Kiluvya Madukani maeneo ya kwa mhindi-tondoroni. Ni nzuri sana! Njoo inbox kwa details zaidi. Mil. 8 tu! Docs zote zipo za kisheria na kitaalamu!
Back
Top Bottom