inauzwa

  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya maji Songe Kilindi

    Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi ni wiki Sasa hakuna maji, na hakuna maelezo yoyote ya lini maji yatatoka. Kwa sasa ndoo ya maji inauzwa Tsh 1000 mtaani. Sijajua changamoto ni nini lakini waziri wa maji amekuja hapa mara mbili na viongozi wanaahidi kutojirudia kwa hii...
  2. radhiya

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba Inauzwa Kimara Temboni

    Nyumba Inauzwa Kimara. Mahali: Kimara Temboni, Mtaa wa Mtakuja. Sifa za Nyumba: •Ipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro. •Ina chumba chenye choo ndani, sebule na jiko. •Ina mpangaji analipa kodi sh. 300,000 kwa Mwezi. •Ina eneo kubwa mbele. •Usafiri wa aina zote unafika mpaka kwenye nyumba...
  3. Sonship

    JamiiForums Tanzania Shule ya Nursery & Daycare inauzwa Kibaha Maili Moja-Mpigi

    ✨ FURSA ADIMU YA UWEKEZAJI KWENYE ELIMU – SHULE INAUZWA KIBAHA! ✨ Je, unatafuta shule tayari kwa kuanza biashara ya elimu mara moja? Hii ni nafasi ya kipekee kwako! 📍 Location: Kibaha Maili Moja – Mpigi 📐 Ukubwa wa eneo: Heka 1 👨‍🎓 Wanafunzi waliopo: 20 💰 Kila mwanafunzi analipa: Tsh 1.2...
  4. Sonship

    JamiiForums Tanzania Shule ya nursery & daycare inauzwa Kibaha Maili Moja-Mpigi

    ✨ FURSA ADIMU YA UWEKEZAJI KWENYE ELIMU – SHULE INAUZWA KIBAHA! ✨ Je, unatafuta shule tayari kwa kuanza biashara ya elimu mara moja? Hii ni nafasi ya kipekee kwako! Bei ni Milioni 160 Tzs. 📍 Location: Kibaha Maili Moja – Mpigi 📐 Ukubwa wa eneo: Heka 1 👨‍🎓 Wanafunzi waliopo: 20 💰 Kila...
  5. radhiya

    JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa Bahari beach

    Nyumba Inauzwa Bahari beach, Dar es Salaam. Mahali: Mtaa wa Simba/Mugeta. Sifa za Nyumba: *Iko Mita 100 kutoka barabara kubwa ya ununio. *Ina vyumba vitano vya kulala, vyote ni master. *Huduma zote za kijamii zipo. Ukubwa wa Eneo: SQM 1833. Nyaraka: Ina Hatimiliki. Bei: Tzs Milioni 900...
  6. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Nyumba ina hati ya wizara inauzwa 270m Dar kitunda ukonga

    NYUMBA INA HATI YA WIZARA INAUZWA #MILLION_270 MAONGEZI IPO DSM KITUNDA UKONGA VYUMBA VITATU VYOTE MASTER SEBULE DINNING JIKO CHOO CHA PUBLICITY N.K STORE UKUBWA WA ENEO SQM 1,500 KARIBUNI SANA PG AU WHATSAPP 0718408733
  7. stabilityman

    JamiiForums Tanzania House4Sale Inauzwa Tshs. million 160 (mazungumzo) nyumba ipo Kitunda ukonga

    Ina hati ya serikali ya mtaa Inauzwa #million_160 (mazungumzo) Nyumba ipo Kitunda Ukonga Vyumba vitatu- kimoja master) Dinning, sebule, jiko & choo Kiwanja sqm 500 Mawasiliano 0718408733
  8. Kitomai

    JamiiForums Tanzania 🔥 HOT DEAL – APARTMENT YA GHOROFA INAUZWA | UPANGA 🔥

    Unatafuta nyumba ya kisasa au uwekezaji wenye faida kubwa? Hii hapa nafasi yako! 🏡✨ 📍 Location: Upanga ✨ Features Kuu: • Vyumba 3 vya kulala (1 Master Self-Contained) 🛏️ • Sebule kubwa + sehemu ya dining 🍽️ • Jiko la kisasa 🍳 • Swimming Pool 🏊‍♂️ • Gym ya kisasa 💪🏽 • Generator (hakuna stress ya...
  9. Sacsosanct

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Plot inauzwa Kiluvya! Bei ni Milioni 7.5

    Urgent wakuu!, plot inauzwa, SQM 400, imejengwa msingi na kisima kipo. IPO 4km from main road, Kiluvya Madukani maeneo ya kwa mhindi-tondoroni. Ni nzuri sana! Njoo inbox kwa details zaidi. Mil. 7.5 tu! Docs zote zipo za kisheria na kitaalamu haina udalali! HATA KWA AWAMU UNARUHUSIWA KULIPA...
  10. A

    JamiiForums Tanzania GARI YA KAZI INAUZWA, BEI INAANZIA TSH. 9,500,000

    Hili gari pichani linauzwa kwa bei ya Tsh. 9,500,000 (maongezi yapo). Injini yake ni ya Mitsubishi. Ukubwa wa Injini ni CC 2200. Ina bodi ya kuweza kubeba mizigo, yaani pick up. Matairi ni makubwa kwa hiyo linamudu kupita kwenye barabara korofi kwa sababu gari lipo juu. Mbele linaweza kuchukua...
  11. The last don

    JamiiForums Tanzania EPSON HD PROJECTOR INAUZWA

    Overhead Epson Projector Sold OUT
  12. C

    JamiiForums Tanzania Pikipiki aina ya Honda Ace 150 mpya inauzwa

    Nauza pikipiki aina ya Honda Ace 150, iliyotumika kidogo sana na ipo katika hali safi kabisa. 🛵 Maelezo muhimu: Aina: Honda Ace 150 Umbali uliotembea: KM 400 tu (karibu mpya kabisa) Hali ya injini: Safi, safi kabisa, cc150 Matumizi: Binafsi, imetunzwa vizuri Uwezo: Inafaa kwa biashara...
  13. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Sehemu ya Door Lock ya Bugatti inauzwa $2,000+, ila ni same part iliotumika kwenye Volkswagen ambayo wanauza $40!

    Wacha wenye hela waibiwe. Kuna Youtuber anaitwa Matt Armstrong, amekua aki-rebuild magari mbalimbali ya kifahari yaliyopata ajali au kuharibika kisha kuyauza. Amedeal na Ferrari, Lambo, Porsche, RR, etc na amekua akionyesha step kwa step, kwahiyo gari moja anaweza akatuwekea ata kwenye video...
  14. warzone

    JamiiForums Tanzania Engine ya Toyota crown inauzwa 3Gr

    Habari wakuu,kuna engine ya Toyota crown inauzwa ni 3Gr Haina shida Ina kila kitu ,Boss kabadili Engine kwahiyo hiyo aliyotoa anaiuza
  15. Sonship

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Shule inauzwa Bahari Beach

    ✨Shule nzuri sana inauzwa ✨SQMT 5800 (heka1 na nusu) ✨Bei billion 1.5 maongezi yapo ✨Ina madarasa 14 ✨Wanafunz 110 ✨️Unauziwa na wanafunzi waliopo ✨️Location : bahari beach ✨️ Eneo lake linafaa kwa uwekezaji wowote Hati miliki imenyooka sana Kutoka Wizara ya Ardhi Anahitajika serious buyer tu...
  16. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Gari toka Japan linauzwa Mil 5.6 hadi Tanzania, halafu TRA wanataka Mil 9.8 cash!

    Kumiliki gari ni anasa. Kuna mtu anavipenda sana vi BMW MINI sasa tukawa tunacheki cha 2013 tumekielewa. Tukapata cheap kabisa Mil 5.6 Bila negotiations. Tukajua TRA itacheza kwenye Mil 5 hivi au 6. Aisee. Nadhani ataenda kununua pikipiki ya umeme uyu.
  17. K

    JamiiForums Tanzania Chaji Aina ya Infinix Type C inauzwa

    Habari wakuu chaji Aina ya Infinix inauzwa bei sh 15000 aina kipengere chochote karibuni
  18. K

    JamiiForums Tanzania Chaji Aina ya Infinix Type C inauzwa

    Habari wakuu nauza chaji ya Infinix Type C bei 15000 maelewano yapo ndo mpya inachaji vizuri karibuni wakuu
  19. 90sgeneration

    JamiiForums Tanzania Delta fridge lita 132 inauzwa

    DELTA FRIDGE LITA 132 INAGANDISHA NA KUPOOZA VIZURI SANA. HALINA CHANGAMOTO YOYOTE BEI: 370,000 Tu Ubungo Plaza Call/Whatsapp: 0749378669
  20. 90sgeneration

    JamiiForums Tanzania Hisense Smart tv Uhdtv 4k 50 inauzwa - 720k

    HISENSE SMART TV UHDTV 4K 50" INCHES FULL BOX BEI 720,000/= TU Location: Ubungo Plaza Call/Whatsapp: 0749378669
Back
Top Bottom