inauzwa

  1. W

    JamiiForums Tanzania Car4Sale HOWO TIPPER 371 HP INAUZWA

    Karibu tunauza howo tipper 371HP Not registered Bei: million 145 Mawasiliano: 0748 270 719
  2. Kitomai

    JamiiForums Tanzania NYUMBA INAUZWA – MABIBO MWISHO | INAINGIZA KILA MWEZI 🔥

    🏠 💼 FURSA ADIMU KWA WAWEKEZAJI! Unatafuta property ambayo inaleta kipato kila mwezi? Hii ni fursa ya kipekee Mabibo Mwisho, eneo lenye wanafunzi wengi na biashara kubwa. 📐 Kiwanja: 300 SQM 🏠 Vyumba 4 vikubwa vyenye deka (slab), vimegawanywa kwa ajili ya wanafunzi 38 na tayari vinafanya kazi...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Simu Inauzwa

    Habari ndugu zangu nauza simu Aina ya Infinix smart 7 HD ipo katika Hali nzuri Haina kipengele imetumika miaka 2 tu bei ni sh 190000 TSH karibuni maelewano yapo Nimepatwa na shida ikiwa haraka itapendeza zaidi tukifanya biashara, simu ni yangu mwenyewe ata kwa Mwenyekiti tunaweza kwenda...
  4. technically

    JamiiForums Tanzania Wakuu nchi inauzwa tuitisheni maandamano haraka iwezekanavyo

    Nimesoma mkataba wa Siri wa bandari Nimesoma mikataba ya ujenzi wa viwanja vya afcon Nimesoma mikataba ya barabara Nimesoma mkataba wa bandari ya bagamoyo. Nimesoma mkataba wa ngorongoro Nimesoma mikataba wa makaa ya mawe,gasi na uranium kusini Aisee ni majanga niwaambie tu nchi yetu...
  5. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Apartment inauzwa Kariakoo, Dar Es Salaam kwa bei ya Milioni 115

    Watu wa Kariakoo na wawekezaji mpo? Apartment safi inauzwa KARIAKOO MJINI! Location: Kariakoo - katikati ya biashara, karibu na soko, usafiri masaa 24 Details: ✓ Bedrooms 3 - kubwa na zenye nafasi ✓ Ipo Floor ya 5 - hewa safi na muonekano mzuri ✓ Inafaa kwa kuishi na kwa kupangisha - wateja...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Kinauzwa Nyamhongoro Mwanza (502 sqm)

    Kiwanja kinauzwa Nyamhongoro Mwanza, ni sehemu nzuri sana, 502 sqmts, block 5, kuelekea kwa mapadri...Bei 26 mil..maongezi yapo..Hati ipo.. Karibu sana mteja mpendwa.. mercybriella@gmail.com
  7. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa karibu na Leaders Club, Kinondoni – Bei tsh bilioni 5

    🔥Tunakuletea🔥 NYUMBA INAUZWA IPO KARIBU na LEADERS CLUB KINONDONI LAMI MPAKA MLANGONI IPO MAENEO TULIVU SAANA USHUANI Umiliki (HATI SAFI) (MIRATHI HALALI) Kiwanja (SQM 1,935) 👉Price (Billion 5) Maongezi kidogo Call/WhatsApp +255758844717
  8. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Ukisikia Makwaliti, matelephone ma sijui nini elewa hapo inauzwa bidhaa feki

    STUKA! Maneno haya yanaweza kukuelekeza kwenye biashara ya bidhaa feki Ukisikia muuzaji akitumia maneno kama: “Makwaliti” “Matelephone” “Original kabisa” “Dubai” “Grade A” “Masaiti” “Boss Kweza” “Kama Kariakoo” …au anazungusha maneno mengi sana huku akiweka vispika vile vya kurekodi na...
  9. radhiya

    JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa Goba Lilian Kibo

    Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam. Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule. Sifa za Nyumba: *Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji. *Iko mita chache kutoka barabara ya Goba. *Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Toyota Coaster inauzwa

    🚐 Inauzwa COASTER BOX – NDEFU Inauzwa Coaster Box ndefu, yenye engine 14B. Gari ipo barabarani na inaendelea kufanya kazi. Mteja atapewa namba ya dereva ili aweze kukagua gari likiwa kazini. 📞 Piga simu: 0712 801 265 ⚠️ HAITAJI DALALI.
  11. H

    JamiiForums Tanzania COSTA inauzwa

    Inauzwa:- COASTER BOX - NDEFU. ENGINE 14B Ipo Barabarani inafanyakazi, Nakupa namba ya Dereva unakagua Gari ikiwa Kazini. Piga:- 0712801265 Note: Sihitaji Dalali,
  12. H

    JamiiForums Tanzania COSTA inauzwa

    Inauzwa:- COASTER BOX - NDEFU. ENGINE 14B Ipo Barabarani inafanyakazi, Nakupa namba ya Dereva unakagua Gari ikiwa Kazini. Piga:- 0712801265 Note: Sihitaji Dalali,
  13. M

    JamiiForums Tanzania Urgently; Infinix hot 60 pro inauzwa 220k

    Wakuu habari Mkuu habari!! Nina changamoto ya kifedha kodi yangu ya nyumba imeisha mwenye nyumba wangu anatishia kunifungia nyumba Usiku huu, nina simu yangu naiuza nilinunua mwezi wa pili mwaka huu infinix hot 60 pro. Bei kama 220k. Location Banana mawasiliano 0750607844
  14. TUMBOO

    JamiiForums Tanzania Nyumba (pagale) inauzwa marambamawili karibu na shule ya msingi king’azi

    Habari wakuu nyumba ( pagale). Linauzwa …. ipo mbezi marambamawili karibu na shule ya msingi kingazi jirani na tank la dawasco … Ukubwa wa eneo ni sqm400…… Mauziano serikari za mitaa… Bei sh 21m(bei inapungua).. (Lina vyumba 6 (sio vikubwa) 0692669235 N:B.. amna udalali (karibuni)
  15. N

    JamiiForums Tanzania Monetized YouTube Channel na Adsense Inauzwa

    Nauza channel ya YouTube Ina subscriber 1870 Ina matangazo ( Monetized ) Ina Adsense pia ( Id na pin vyote vipo verified ) Bei maelewano 0796759528
  16. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Subaru Forester XT 2008 inauzwa

    Unatafuta SUV yenye nguvu, mwonekano wa kisasa na inayofaa kwa matumizi ya kila siku? Hii ni fursa yako! Sifa za Gari: Turbo Engine Full Body Kit Push Start Viti vya Ngozi (Leather Seats) Roof Bars DVD Player Kamera ya Nyuma (Reverse Camera) Bei: TSh 26,500,000 Wasiliana: 0784 225 000...
  17. puker

    JamiiForums Tanzania LAPTOP AINA YA HP INAUZWA

    SIFA ZAKE: HP E Lite Book Internal Hard Disk storage: GB 500 RAM storage: 8GB Processor: 1.50GHZ Price Tsh 195,000/= Mawasiliano: 0798434285 🚫 Battery yake imeshakufa hivyo kutumia ni mpaka ichomekwe kwenye umeme. Tatizo ni hilo tu, kila kitu kipo vizuri, ukiamua kubadilisha battery ni laptop...
  18. Sonship

    JamiiForums Tanzania Lodge nzuri inauzwa Goba, njia panda ya Tegeta A kwa niaba ya benki

    LODGE NZURI INAUZWA (MIL 170) GOBA NJIA PANDA YA TEGETA "A" KWA NIABA YA BANK Ina Vyumba Tisa (9) Vyote Self Contained Na Frem Nne (4) Za Biashara Umiliki: Mkataba Wa Mauziano Ukubwa Wa Eneo: SQM 810 Imekamata Barabara Kuu Ya Kwenda Tegeta "A" Umbali: 2 Kilometres Kutoka Goba Road Maji...
  19. Sonship

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Kibamba shule (Hondogo), Dar es Salaam

    NYUMBA INAUZWA – KIBAMBA SHULE (HONDOGO), DAR ES SALAAM 💰 Bei: TZS Milioni 27 tu Sifa za nyumba: ✅ Kiwanja ukubwa wa mita 23×25 ✅ Umbali wa km 3 kutoka barabara ya lami ✅ Vyumba 2 vya kulala: Master Bedroom 1 Single Bedroom 1 ✅ Sebule ✅ Jiko ✅ Public Toilet ✅ Plasta ya ndani...
  20. Sonship

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Kibaha Loliondo

    NYUMBA INAUZWA – KIBAHA LOLIONDO 1. Vyumba 3 2. Sebule 3. Dining 4. Jiko 5. Master Bedroom 📐 Ukubwa wa kiwanja: Mita 20×20 Bei: TZS Milioni 17.5 maongezi kidogo yapo 📞 Wasiliana: 0675 065906
Back
Top Bottom