🏠
💼 FURSA ADIMU KWA WAWEKEZAJI!
Unatafuta property ambayo inaleta kipato kila mwezi? Hii ni fursa ya kipekee Mabibo Mwisho, eneo lenye wanafunzi wengi na biashara kubwa.
📐 Kiwanja: 300 SQM
🏠 Vyumba 4 vikubwa vyenye deka (slab), vimegawanywa kwa ajili ya wanafunzi 38 na tayari vinafanya kazi...
Habari ndugu zangu nauza simu Aina ya Infinix smart 7 HD ipo katika Hali nzuri Haina kipengele imetumika miaka 2 tu bei ni sh 190000 TSH karibuni maelewano yapo
Nimepatwa na shida ikiwa haraka itapendeza zaidi tukifanya biashara, simu ni yangu mwenyewe ata kwa Mwenyekiti tunaweza kwenda...
Nimesoma mkataba wa Siri wa bandari
Nimesoma mikataba ya ujenzi wa viwanja vya afcon
Nimesoma mikataba ya barabara
Nimesoma mkataba wa bandari ya bagamoyo.
Nimesoma mkataba wa ngorongoro
Nimesoma mikataba wa makaa ya mawe,gasi na uranium kusini
Aisee ni majanga niwaambie tu nchi yetu...
Watu wa Kariakoo na wawekezaji mpo?
Apartment safi inauzwa KARIAKOO MJINI!
Location: Kariakoo - katikati ya biashara, karibu na soko, usafiri masaa 24
Details:
✓ Bedrooms 3 - kubwa na zenye nafasi
✓ Ipo Floor ya 5 - hewa safi na muonekano mzuri
✓ Inafaa kwa kuishi na kwa kupangisha - wateja...
Kiwanja kinauzwa Nyamhongoro Mwanza, ni sehemu nzuri sana, 502 sqmts, block 5, kuelekea kwa mapadri...Bei 26 mil..maongezi yapo..Hati ipo..
Karibu sana mteja mpendwa..
mercybriella@gmail.com
🔥Tunakuletea🔥
NYUMBA INAUZWA
IPO KARIBU na LEADERS CLUB
KINONDONI
LAMI MPAKA MLANGONI
IPO MAENEO TULIVU SAANA USHUANI
Umiliki (HATI SAFI)
(MIRATHI HALALI)
Kiwanja (SQM 1,935)
👉Price (Billion 5)
Maongezi kidogo
Call/WhatsApp +255758844717
STUKA! Maneno haya yanaweza kukuelekeza kwenye biashara ya bidhaa feki
Ukisikia muuzaji akitumia maneno kama:
“Makwaliti”
“Matelephone”
“Original kabisa”
“Dubai”
“Grade A”
“Masaiti”
“Boss Kweza”
“Kama Kariakoo”
…au anazungusha maneno mengi sana huku akiweka vispika vile vya kurekodi na...
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba.
*Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
Wakuu habari
Mkuu habari!! Nina changamoto ya kifedha kodi yangu ya nyumba imeisha mwenye nyumba wangu anatishia kunifungia nyumba Usiku huu, nina simu yangu naiuza nilinunua mwezi wa pili mwaka huu infinix hot 60 pro. Bei kama 220k.
Location Banana mawasiliano 0750607844
Habari wakuu nyumba ( pagale). Linauzwa ….
ipo mbezi marambamawili karibu na shule ya msingi kingazi jirani na tank la dawasco …
Ukubwa wa eneo ni sqm400……
Mauziano serikari za mitaa…
Bei sh 21m(bei inapungua)..
(Lina vyumba 6 (sio vikubwa)
0692669235
N:B.. amna udalali (karibuni)
Unatafuta SUV yenye nguvu, mwonekano wa kisasa na inayofaa kwa matumizi ya kila siku? Hii ni fursa yako!
Sifa za Gari:
Turbo Engine
Full Body Kit
Push Start
Viti vya Ngozi (Leather Seats)
Roof Bars
DVD Player
Kamera ya Nyuma (Reverse Camera)
Bei: TSh 26,500,000
Wasiliana: 0784 225 000...
SIFA ZAKE:
HP E Lite Book
Internal Hard Disk storage: GB 500
RAM storage: 8GB
Processor: 1.50GHZ
Price Tsh 195,000/=
Mawasiliano: 0798434285
🚫 Battery yake imeshakufa hivyo kutumia ni mpaka ichomekwe kwenye umeme.
Tatizo ni hilo tu, kila kitu kipo vizuri, ukiamua kubadilisha battery ni laptop...
LODGE NZURI INAUZWA (MIL 170) GOBA NJIA PANDA YA TEGETA "A" KWA NIABA YA BANK
Ina Vyumba Tisa (9) Vyote Self Contained Na Frem Nne (4) Za Biashara
Umiliki: Mkataba Wa Mauziano
Ukubwa Wa Eneo: SQM 810
Imekamata Barabara Kuu Ya Kwenda Tegeta "A"
Umbali: 2 Kilometres Kutoka Goba Road
Maji...
NYUMBA INAUZWA – KIBAMBA SHULE (HONDOGO), DAR ES SALAAM
💰 Bei: TZS Milioni 27 tu
Sifa za nyumba:
✅ Kiwanja ukubwa wa mita 23×25
✅ Umbali wa km 3 kutoka barabara ya lami
✅ Vyumba 2 vya kulala:
Master Bedroom 1
Single Bedroom 1
✅ Sebule
✅ Jiko
✅ Public Toilet
✅ Plasta ya ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.