kilimanjaro

Mount Kilimanjaro () is a dormant volcano in Tanzania. It has three volcanic cones: Kibo, Mawenzi and Shira. It is the highest mountain in Africa and the highest single free-standing mountain in the world: 5,895 metres (19,341 ft) above sea level and about 4,900 metres (16,100 ft) above its plateau base.
Kilimanjaro is the fourth most topographically prominent peak on Earth. The first people known to have reached the summit were Hans Meyer and Ludwig Purtscheller, in 1889. It is part of Kilimanjaro National Park and is a major climbing destination. Because of its shrinking glaciers and disappearing ice fields, it has been the subject of many scientific studies.

View More On Wikipedia.org
  1. Twende Africa Tours

    JamiiForums Tanzania 7 Days Kilimanjaro Group Joining | Machame

    Embark on an unforgettable adventure to the Roof of Africa with our 7-day Kilimanjaro group join tour via the Machame Route. Perfect for solo travelers, friends, and small groups who want to experience the thrill of conquering Kilimanjaro in a supportive, sociable atmosphere—without the cost of...
  2. Generous African Tours

    JamiiForums Tanzania 5 Days Marangu Route Kilimanjaro Climbing Tour | Classic Hut Route Tanzania 2026/2027

    5 Days Marangu Route Kilimanjaro Climbing Tour | Classic Hut Route Tanzania 2026/2027 AbOut.... 5 Days Marangu Route Kilimanjaro Climb | Classic Hut Route with Local Guides Tanzania Join the 5 Days Marangu Route Kilimanjaro climb with Generous African Tours. Trek the famous Coca-Cola Route...
  3. Generous African Tours

    JamiiForums Tanzania 6 Days Machame Route Kilimanjaro Climbing Tour | Short Machame Route Summit Adventure Tanzania 2026 , 2027

    6 Days Machame Route Kilimanjaro Climbing Tour | Short Machame Route Summit Adventure Tanzania AbOuT 6 Days Machame Route Kilimanjaro Climb | Local Kilimanjaro Guides Tanzania 🏔 Climb Mount Kilimanjaro through the 6 Days...
  4. WIDERANGE AFRICAN SAFARIS

    JamiiForums Tanzania 6 days Machame route Kilimanjaro hiking Group Departure

    The 6-day Machame Route group departure offers a scenic, challenging "Whiskey Route" climb of Kilimanjaro (5,895m) with high success rates due to excellent acclimatization, departing throughout 2026/2027. Packages typically start from $1,950-$2,450 per person, including transfers, meals, and...
  5. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Tunaomba uchunguzi katika hospitali ya wilaya ya Same, Kilimanjaro kwani daktari mmoja hatoi huduma vizuri

    Kuna malalamiko kuhusu mwenendo wa daktari mmoja wa kike katika hospitali yetu ambaye anadaiwa kutowahudumia wagonjwa kwa wakati na kutokuwa na lugha nzuri kwa wagonjwa. Inadaiwa kuwa hata wagonjwa wenye hali za dharura au wajawazito wamekuwa wakipata changamoto ya kupata huduma kwa wakati...
  6. MSAGA SUMU

    JamiiForums Tanzania Tukiacha roho mbaya Marangu Kilimanjaro ni kama ulaya

    Mamangi hapa mmejua kutunyoosha, yaani mtu anaweza kutokea Bukoba mjini au Singida akaja kushangaa Marangu. Mikoa mingine uchawi tuwachie mababu zetu sisi tukomae kupendezesha nyumbani. Picha kwa hisani ya Bertin Video nimeattach https://www.facebook.com/share/v/1CQMtL86pJ/
  7. L

    JamiiForums Tanzania Heche Ni Muongo Sana Anapokuwa Jukwaani akifikiria anaongea na Mbumbumbu. Amewadanganya Wananchi Kuwa Mlima Kilimanjaro ni Wa Pili Kwa Urefu Duniani

    Ndugu zangu Watanzania, John Heche Ni Muongo sana Anapokuwa Jukwaani, anakuwa anatoa sauti kubwa huku akiongea takwimu za uongo uongo na Uzushi uzushi tu akifikiria anaongea na kuzungumza na Mbumbumbu kama pengine anavyowachukulia CHADEMA na wafuasi wake wasio na uwezo wa kufikiri . Utakuta...
  8. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ashiriki ufunguzi wa Jengo la Mionzi (Chemotherapy) Hospitali ya KCMC-Moshi Kilimanjaro

    https://www.youtube.com/live/tbA3qAYbzio?si=33KuineyOZDSZmtR Video Courtesy: Directorate of Presidential Communications YouTube Channel
  9. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania Dkt. Jairy Khanga: Mradi wa Scaling up Family Planning (SuFP) umefika katika vituo 74 Mkoani Kilimanjaro

    Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dk. Jairy Khanga ameeleza kwa kina kuhusu utekelezwaji wa Mradi wa Scaling up Family Planning (SuFP) Programme katika mkoa wake. Alibainisha maeneo yaliyofikiwa, changamoto zilizojitokeza, na mikakati ya kuzikabili. Hapa kuna mambo makuu aliyozungumza: 1...
  10. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Yawezekana Mkoa wa Kilimanjaro ndio Mkoa mzuri kuliko yote Tanzania

    Katika siku zangu hapa Tanzania nimefanikiwa kuishi mikoa ifuatayo Dar Morogoro Iringa Mbeya Njombe Kagera Manyara Mwanza Lakini katka mikoa hyo sikuona mambo makubwa ya kufurahia mpaka nilipofika mkoa wa Kilimanjaro Aisee huu mkoa n mzuri hali ya hewa yake n nzuri , uchumi mzuri warembo...
  11. L

    JamiiForums Tanzania KERO Wanafunzi tuliohitimu clinical medicine chuo cha Kilimanjaro College of Health and allied sciences mwaka 2025 mpaka leo hatujapata vyeti vyetu

    Habarini za kazi , Wahitimu wa diploma ya Clinical medicine wa chuo cha Kilimanjaro college of health and allied Sciences (KICOHAS)tulihitimu mwaka 2025 mwezi wa nane mpaka leo hatujapata vyeti Soma Pia: Wahitimu wa Chuo cha Uhasibu Arusha wa Mwaka 2025 hatujapatiwa vyeti vyetu, wanatupiga...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wahitimu wa Chuo cha Afya Kilimanjaro (KICHAS) hatujapata vyeti, tukiulizia wanasema chuo chetu kilisahaulika

    Wahitimu wa Chuo cha Kilimanjaro College of Health and Allied Science (KICHAS) hatujapata vyeti lakini tukiulizia wanasema chuo chetu kilisahaulika. Wahitimu wa Mwaka 2025, tumeuliza uongozi wa chuo wanasema kwenye vyuo vilivyopata vyeti chetu hakipo kwa sababu kilisahaulika wakati wanaprint vyeti.
  13. 9

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga inawatelekeza Wastafu bila kuwarejesha Maskani baada ya kustafu utumishi wa umma

    Halmashauri ya wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro inawatelekeza wastafu bila kuwarejesha maskani baada ya kustafu utumishi wa umma.
  14. PSEUDOPODIA

    JamiiForums Tanzania Nendeni Kilimanjaro International Leather Industry (KLICL) pale magereza moshi mkanunue mikoba original ya ngozi, acheni kuchezea pesa za watanzania

    Unaenda kununua mkoba wa milioni 13 wakati mna kiwanda kinatengeneza mikoba ya ngozi original pale moshi. Unapata mkoba safi wa ngozi hapo hapo unatangaza bidhaa za nchi yako. Hivi huko vyuoni mnaendaga kusoma nini?
  15. Inside10

    JamiiForums Tanzania Muombolezaji afariki Dunia kwenye Msiba wa James Temba, Mwanafunzi Wa IFM Kilimanjaro

    Mwombolezaji Leah Ngowi, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 60 mkazi wa Kiboriloni wilayani Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro, amefariki dunia akiwa kwenye msiba wa aliyekuwa mwanafunzi wa Taasisi ya Usimamizi wa Fedha (IFM), James Temba (24). Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo Mei 7, 2026...
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Maji ya Kilimanjaro hayana ladha tuliyoizoea, wajitafakari

    Maji ya Kilimanjaro hayana tena ile taste (ladha) ya miaka 10 iliyopita, mengi ni ya ladha ya chumvi.... Kampuni ya Kilimanjaro waonye waache uzembe... Hali kadhalika Kampuni ya Sequa maji yao ni muda mrefu wadau kadhaa wamekuwa wakiyalalamikia yananuka harufu ya udongo, kampuni hiyo ipo mkuu...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha General tyre kubadilishiwa matumizi, hatuwezi kushindana na Wachina wanaozalisha tairi moja kwa dakika kwa kutumia mashine za kizamani

    Kiwanda cha general tyre kubalishiwa matumizi, hatuwezi kushindana na wachina wanaozalisha tairi moja kwa dakika moja kwa kutumia mashine za kizamani, tutafungua mashine tutapeleka Kilimanjaro viongozi wakitupa kibali, tutapeleka vipuli kwenye kiwanda ambacho kina matumizi ya hizo mashine...
  18. Red black

    JamiiForums Tanzania Haya ni baadhi ya matukio muhimu baada ya kupanda mount Kilimanjaro "way back" hakika ilikua safari nzuri na kuvutia sana

    Ilikua safari nzuri na ya kuvutia sana unforgettable moment. Nilipanda kama mtalii tulipandika njia ya the Northern circuit 10 day tunashukia mweka gate. Labda nikupe hints kidogo ya zone za mountain kilimanjaro na actually ukipanda mlima kilimanjaro up to Uhuru peak ni sawa na mtu...
  19. B

    JamiiForums Tanzania Paulo Saburi Kilonzo (c. 1890–1979) mtanzania wa Pare (Vu-Asu) kutoka Kilimanjaro Tanzania mwana wa 'Mrungu wa Gu' (Mungu wa vita)

    April 2 2021 Kilonzo, Paulo Saburi (c. 1890–1979) Na Gadi Kilonzo Ilichapishwa kwa Mara ya Kwanza: Machi 29, 2021 Mhubiri painia, mchungaji, na mmishonari katika Afrika Mashariki, Paulo Saburi Kilonzo alitoka katika watu wa Pare (Vu-Asu) wa Milima ya Pare ya safu za milima ya pwani ya...
  20. T

    JamiiForums Tanzania Mama lishe auwawa na mwili wake kutupwa kwenye shamba la mahindi mkoani Kilimanjaro

    Ni simanzi imetawala mkoani Kilimanjaro, baada ya mwanamke mmoja anayefanya biashara ya chakula, Restituta Moshiro (40), kukutwa ameuawa na mwili wake kutupwa kwenye shamba la mahindi, ukiwa na majeraha yanayoashiria aliburuzwa na kukabwa kabla ya kukutwa na mauti. Tukio hilo limetokea usiku wa...
Back
Top Bottom