utumishi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utumishi Girls Fire: 16 Learners Dead as Government Confirms Arson

    Education CS Julius Ogamba provides an update on the tragic fire at Utumishi Girls Academy in Gilgil, Nakuru County. 1. 16 learners sadly lost their lives, while 79 others were injured, seven of whom remain hospitalized. 2. The fire has been confirmed as arson, with eight learners currently...
  2. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga anaficha Barua za Uhamisho zinazotoka Ofisi ya Rais Utumishi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Amekuwa akificha barua za uhamisho zinazotoka kwa OR Utumishi kwa baadhi ya watumishi ambao ana chuki nao. Na pia amekuwa akifanya Hamisho za ndani kwa uonevu pindi anapopishana na watumishi hao. Mfano, Kuna dereva na Transport officer wamepelekwa...
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tragedy in Nakuru as Deadly Fire Engulfs Utumishi Girls Academy Dormitory

    A tragic fire broke out early Thursday morning at Utumishi Girls Academy in Gilgil, Nakuru County, with several students feared dead and many others injured. Initial reports indicate the fire started in one of the school dormitories at around 1:00 a.m., prompting an emergency response from...
  4. 9

    JamiiForums Tanzania Halmashauri ya wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro inawatelekeza wastafu bila kuwarejesha maskani baada ya kustafu utumishi wa umma.

    Halmashauri ya wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro inawatelekeza wastafu bila kuwarejesha maskani baada ya kustafu utumishi wa umma.
  5. serikalibora

    JamiiForums Tanzania Ajira portal & utumishi ni mabingwa wa kupoteza muda wa watu

    Nimekuwa shortlisted interview ya Quantity Surveyor II, NCC. Nikasema sawa, opportunity imepatikana. Nikaanza maandalizi yote kama mtu mwenye matumaini. Nikakata tiketi kutoka Mwanza hadi Dodoma Nikatbook hoteli na kuilipia Nikatumia hela ya kula, usafiri na maandalizi mengine Nikafika mapema...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Nimetuma maombi ya uhamisho Ofisi ya UTUMISHI, miezi mitano hakuna jibu, nini maana ya kuleta mifumo ya Kidigitali?

    Kero yangu ni hii Ofisi ya Utumishi, nimewasilisha ombi la uhamisho zaidi ya miezi sita sasa likapita ngazi zote ndani ya mwezi mmoja, hii ni ngazi ya mwisho kabisa ya maamuzi lakini miezi kama mitano wako kimya, hawajibu chochote umepata umekosa au kuna kasoro yoyote. Je, hii mifumo imekuja...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wasimamizi Interview: Kelele zinatufelisha

    Napenda kutoa dukuduku langu, yaani hawa wasimamizi wa written interviews za utumishi baadhi yao wanasababisha watu wanafeli yaani mshaanza wao ni kelele.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanajeshi wa Marekani wanastaafu utumishi mapema?

    Naomba wajuvi wa mambo wanasaidie nifahamu ni kwanini wanajeshi wa marekani wanastaafu mapema ukilinganisha na huku kwetu?
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna Bachelor degree courses zinatolewa UDOM lakini hazipo kwenye soko la ajira

    Kuna kozi za education zinatutesa sana. Kozi hizi nyingi zinatolewa UDOM. Mfano bachelor of education in psychology, education in administration and management, education in policy planning, adult education and community development. Zote hizi na nyingine zinatolewa kwenye vyuo vikuu lakini...
  10. Yoda

    JamiiForums Tanzania Uraia wa nchi mbili ni sawa ila sio kwenye uongozi na utumishi wa umma

    Suala la uraia wa nchi mbili ni zuri lakini kuna matatizo yake pia lisipowekea vizuri, mfano sasa hivi Kenya Kuna malalamiko ya baadhi ya wanasiasa waliochaguliwa viongozi Kenya kuishi Marekani kwa sababu wana uraia wa nchi mbili. Marekani pia kuna malalamiko ya baadhi ya wanasiasa wenye uraia...
  11. U

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Nchini Botswana ni rahisi zaidi kumfukuza kazi mtumishi Mzembe kuliko Tanzania, Je Sheria yetu ya Utumishi ni Mzigo kwa Walipa kodi?

    === Akiongea katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana Kafulila aliwapongeza wafanyakazi kwa mafanikio makubwa ya kuifanya ajenda ya PPP kueleweka kwa kasi kwa umma na mfumo mzima wa Serikali. Akaendelea kusema, Mafanikio hayo yamepelekea...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Utumishi wamegoma kusikiliza kero ya wanachuo wa course ya Bachelor's of Arts in Microfinance and Enterprise Development (BA-MFED)

    Kuhusiana na changamoto yao kwenye mfumo wa Ajira Portal. Hii course Tanzania inatolewa CHUO CHA USHIRIKA KIKO MOSHI tu. Kwenye mfumo wa Ajira Portal haijapewa kipaumbele kwenye course za finance. Yaani mpaka kazi za benki, uhasibu inakataa, mpaka kazi za afisa mikopo ambayo ndio ubobezi wake...
  13. Copro mtego

    JamiiForums Tanzania Ajira portal hawajamuita mtu interview kimakosa afanyeje

    Habari wanajukwaa Kuna mtu aliomba kazi kupitia ajira portal muda wa kuita interview hajawa shortlisted na sababu ni hajaambatanisha registration certificate ambapo yeye ali attach Afanyeje ili aweze kusaidika na interview ni ijumaa ya wiki hii Msaada wanajukwaa
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Utolewe Ufafanuzi Juu ya Mfumo wa Utoaji Alama katika Mitihani ya Mtandaoni

    Ningependa kuwasilisha hoja yangu kwa Mamlaka ya Utumishi inayohusika na usimamizi wa mitihani ya mtandaoni kwenye usaili wa kuandika. Kumekuwa na mkanganyiko wa matokeo ambapo mtihani wenye jumla ya maswali 50 unatoa alama kama 93 au 75. Kimantiki, ikiwa mtihani una maswali 50, tunatarajia...
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kutohama kwa taarifa za Utumishi baada ya kuhamia Halmashauri nyingine

    Mimi ni mwalimu, Nimehama kutoka halmashauri A tangu mwaka 2024 na sasa nipo halmashauri B lakini mshahara na taarifa za utumishi bado zinasoma halmashauri A. Na wanaohusika kuhamisha hizo taarifa ni TAMISEMI na kila ninapowapigia simu majibu ni yaleyale kuwa watahamisha lakini hawajahamisa...
  16. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Serikali kuhuisha sheria ya Utumishi wa Umma, sura ya 298. Wale waliokuwa wanalipwa mishahara binafsi wajiandae

    Wakuu habari, Kwa taarifa za chini chini, Serikali inaenda kuhuisha sheria hizo kupitia Ofisi ya waziri Mkuu... Kumbuka sheria hasa ya mishahara binafsi inaenda kufanyiwa marekebisho; kuanzia mwezi wa saba watu watapunguziwa mishahara yao.
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mamlaka ya Utumishi wa Umma na TAMISEMI mtutendee haki katika Suala la UHAMISHO WA WATUMISHI

    Unakuta mtu una Cheti cha ndoa, umeshathibitishwa kazini, ukiomba uhamisho unakataliwa na kuambiwa uombe kwenye mfumo. Mfumo ukiomba haukuruhusu eti mpaka miaka mitatu. Hii ni kinyume na haki za binaadamu. Mnataka tuishije tunapokuwa mbali na ndoa zetu? Mamlaka husika naomba litende haki Kwa...
  18. A

    JamiiForums Tanzania KERO Written Interview za Utumishi matokeo yake ni unfair. Kwanini mfumo hautoi matokeo moja kwa moja unapo-submit mtihani?

    Written interview za online ni unfair kwa sababu mifumo ya mitihani ya online huwa inaleta matokeo moja kwa moja punde tu unapomaliza kujibu mtihani, kwanini mfumo wa Utumishi haujatengenezwa hivyo? Hiyo inatuaminisha kwamba Matokeo hayo sio ya haki ni batili, ya kupangwa. Tunaomba mfumo...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Waziri wa UTUMISHI afanye ziara kama Waziri Mkuu, Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri nyingi ni 'Miungu Watu'

    Tumeona ziara ya Waziri Mkuu ikitupa picha halisi juu ya uzembe na kutokuwa na uwajibikaji wa uwazi katika Ofisi za Umma. Tunaomba pia Waziri wa UTUMISHI (Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora) angeanza ziara ya kupitia hususani katika Halmashauri zote...
  20. Capo_di_Tutti_Capi

    JamiiForums Tanzania Utumishi- kuitwa kwenye interview ya kuandika kwa njia ya mtandao -MDA's & lga's - Accounts assistant ii (12/3/2026)

    Tukutane hapa tupeane experience, waliowahi kufanya Interview written ya ACCOUNTS OFFICER II kwa njia ya mtandao.
Back
Top Bottom