Siasa za Tanzania hufanyika katika mfumo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Muungano, ambapo Rais wa Tanzania ni mkuu wa nchi, Amiri Jeshi Mkuu na mkuu wa Serikali katika mfumo wa vyama vingi.
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche akitoa neno la rambirambi katika msiba wa aliyekuwa Dereva wake, Suezi Maradufu, leo Julai 5, 2026 amesema
"Kazi hii tunayoifanya haipaswi kuwa kazi ya hatari. Ni kazi inayopaswa kuwa ya halali kabisa. Tangu mwaka 1992 tuliridhia kwamba tutakuwa na...
Maana kuna viashiria vya wazi kabisa na tuhuma za usaliti zinamzonga na kumuandama mwanasiasa huyu wa chadema kutoka kanda ya kaskazini ya chama hicho cha upinzani.
Endapo hilo litatokea, na akabanduliwa uongozi na uanachama wa chadema,
Kwa haraka haraka na kwa mtazamo wako, unadhani Godbless...
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania nini kimewasibu?
Wanatumia salaam za Chama cha Mapinduzi za Kazi na Utu. Halafu wanalazimisha baadhi ya vyombo vya habari vikate hicho kipande cha Salaam za CCM. Nimeshangaa sana.
Pili Maandamano wanaita Vurugu. Je, wanalinda katiba ya Nchi gani...
Hiki ni nini sasa. Sidhani kama ni sahihi.
Jeshi letu ndo la kutoa salaam za kisiasa “Kazi na Utu”?
Hatujavamiwa kutoka nje. Ya ndani waachie vyama vya siasa waminyane majukwaani na CCM. Sidhani kama hii ni sahihi.
Watu wanadai haki na si vinginevyo. Hakuna anayeamini katika fujo. Waambie CCM...
Shida kuelimisha mtu kama kobe kujiondoa kwenye gamba lake.
Dini zetu zimetumia nguvu nyingi kumwaga damu zaidi ya history za vita ya dunia zote.
Dini zimekuwa kujificha kwa watawala kuanzia imani zao na kabira zao japo wanaweza kutumia haya.
Kuna mada wengi wanadanganywa uislamu ulikuwepo...
Samia Acha uoga mzee huyo hana kosa we ndo una makosa
Mnatuforce kuingia kwenye siasa bila kutaka
Mnatulazimisha , Mpaka kuna watu Uzi fulan Walisema natumia Pesa haramu za samia kutamba nchi za watu! Kwanza Samia hana uwezo wa kunihonga na hako ka abdu kake! Pili nawasihi msikate Tamaa kama...
Katibu Mkuu NLD na aliyekuwa Mgombea wa Urais kupitia chama hicho katika uchaguzi mkuu mwaka 2025, Doyo Hassan Doyo, akizungumza kwenye mahojiano na Wasafi Media leo Julai 2, 2026
"Ni kweli siasa ya nchi hii inahitaji fedha. Ukizungumzia mikutano ya hadhara, mkutano mmoja mdogo ambao unaweza...
Hamjambo! Mimi sijambo
Unapoingia kwenye siasa usiingie kichwa kichwa kama panya kwenye shimo ambalo hakulichimba.
Asilimia kubwa ya watu siasa kwao ni fursa ya kibiashara na kiuchumi. Wao siasa wameingia kwa sababu ya Maslahi Yao ya kiuchumi.
Hivyo chochote anachokifanya ndani ya siasa...
It's me JamiiForums member: Nina Akili Ndogo Sana.
Ndugu zangu, ninawaombeni sana, sana, sana, sana, tena saana, msisahau kuipenda na kuwa wazalendo kwa Tanzania yetu.
Ipendeni kwanza Tanzania, kisha baadae ndio ukipende chama chako cha siasa (Mfano: CCM au CHADEMA).
Ndugu zangu, hivi vyama...
Huku waziri aloteuliwa na Samia akifungia vyama vya Siasa, Mtoto wa Rais wa Uganda amefungia vyombo vya habari.
Kisa mtangazaji wake alihoji kutata kujua kama Janeth Mke wa Museven amekufa huko Marekani au yupo hai.
Mnamo Machi 21, 2026.
Yoweri Museveni alisema kwaamba ana hofu kubwa juu ya...
Nitoe mfano wangu binafsi. Mie sio mwanasiasa, na wala sijawahi kujihusisha na siasa. Lakini mtu yeyote akisoma thread zangu anaweza kuhisi mie ni mwanachama wa Chadema au chama kingine cha upinzani. Si kweli.
Nakiri walionifikisha hapa ni CCM na viongozi wa serikali. Unakuta mara nyingi...
Unajua amani ndo uchumi wenyewe pasipo na amani hakuna shughuli za uchumi, hakuna ajira, hakuna shule, hakuna madawa, hakuna nyongeza za mishahara, hakuna haki ya kuabudu nk.
Haiwezekani mtu afanye kosa la kuhatarisha amani ya nchi au afanye vurugu halafu aende Rumande halafu atoke halafu...
Nadhani wafuasi wa chadema huwa Wana high expectations za kisiasa ambazo hazipo nchini.
wanajidanganya na kuamini. Nenda hapo Rwanda hakunaga siasa taka kama za chadema.
Leo mmekesha mnaandika nyuzi 🤣🤣
Nendeni mkafanyie mikutano kwa mabeberu ili mkasalimie na wake na watoto wenu
Poleni sana...
Hlw
In his life he cannot come to like Tanzania's politics, and even if one day he gains his freedom I don't know if he will get back into politics again. And if he does get back into politics or meddle in it again, he will have deeply into politics
Kijana alijitengeneza vizuri sana kwenye...
Serikali ya Raisi Samia imefika mahali inafikiri kwamba inaweza kuamua jambo lote lile kufanyika hapa nchini, hata kama kufanya hivyo ni kupingana na katiba ya nchi. Serikali hii imefanya maamuzi mengi ya kukiuka katiba, kufikia hata kiwango cha kuua raia wasio na silaha kwa sababu tu...
Wataalamu watusaidie kuitambua hii Sheria kama ndivyo ilivyo ??
SHERIA YA VYAMA VYA SIASA
(SURA YA 258)
-------------
KANUNI
(Zimetungwa chini ya fungu la 22(b))
KANUNI ZA MAADILI YA VYAMA VYA SIASA ZA
MWAKA 2007
SEHEMU YA KWANZA
UTANGULIZI
1. Kanuni hizi zinaitwa kanuni za Maadili ya Vyama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.