fursa

  1. H

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi 150 wa kitanzania kunufaika na fursa ya elimu ya juu Algeria

    WANAFUNZI 150 WA KITANZANIA KUNUFAIKA NA FURSA YA ELIMU YA JUU ALGERIA Tanzania imepata nafasi 150 za ufadhili wa masomo ya elimu ya juu nchini Algeria kwa mwaka 2026, zikilenga wanafunzi waliofanya vizuri zaidi katika masomo ya sayansi. Akizungumza na waandishi wa habari Septemba 11 jijini...
  2. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Morogoro yafungukiwa fursa mpya za nishati

    Kituo cha Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (CNG) kinachopangwa Morogoro kinafungua fursa mpya katika sekta ya usafirishaji, kwa kuwezesha magari na vyombo vingine kutumia nishati mbadala yenye gharama nafuu na rafiki kwa mazingira. Serikali kupitia TPDC imepanga kuweka kituo cha CNG katika eneo la...
  3. JF Member

    JamiiForums Tanzania Fursa ya ushirikiano wa kibiashara

    Wasalaam! Je, una wazo zuri la biashara lakini huna mtaji wa kuanzisha? Hii ni fursa yako. Nina mtaji wa TSh Milioni 10 na kutokana na majukumu mengi ya kazi nashindwa kujigawa, ninatafuta kijana mwenye wazo la biashara lenye tija na uwezo wa kusimamia biashara hiyo kwa uadilifu, uwajibikaji...
  4. Kigongoi kwetu

    JamiiForums Tanzania Ni mwanasiasa wa kutumia fursa kwa maslahi binafsi

    Wakati akiwa kiongozi wa chama chake alionekana ni muungwana,mtu mwenye misimamo na mpenda haki. Wanachama,wananchi na washabiki wa chama chake walimpenda,walimheshimu na walimuamini kupitiliza hadi kila akifanya jambo hawakugundua tabia yake. Baadhi ya wanachama na washabiki walivuja damu na...
  5. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Tanzania Nchi ya Ajabu?, Pamoja na Fursa Zote za Kidigiti, Mpaka Leo Bado Hatuna Sheria ya E-Commerce?!. Usikute Ndio Maana Tunachelewa Sana Kuendelea

    Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe, Jumapili ya leo nikiishangaa jinsi nchi yangu Tanzania tulivyo nchi ya ajabu!, pamoja na fursa zote za kidigiti, na biashara ya mtandaoni, lakini mpaka leo bado sisi Tanzania, kama nchi, hatuna Sheria ya biashara mtandao, E-Commerce...
  6. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Mikopo ya 10% kwa Vikundi: Fursa ya Kujenga Uchumi

    Tunapoona vikundi vya wajasiriamali 33,594 vikifikiwa na mikopo ya asilimia 10 inayotolewa kupitia Serikali tunapaswa kutafakari kwa kina Je hii si ishara kwamba Serikali inaendelea kufungua milango ya wananchi kushiriki moja kwa moja katika uchumi wa nchi yao? Pongezi za dhati zimwendee...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kozi ya 'Community Development for Water Supply and Sanitation' kwanini fursa zake za ajira haziwekwi wazi?

    Ninaomba kuwasilisha malalamiko kuhusu kozi ya Community Development for Water Supply and Sanitation (CDWSS) inayotolewa na Chuo cha Maji (Water Institute) chini wa Wizara ya Maji. Kozi hii ni specific kwenye sekta ya Maji na usafi wa mazingira lakini cha kusikitisha, hakuna utaratibu wa wazi...
  8. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania EACOP: Bomba la mafuta la Afrika Mashariki

    Thamani: USD Bilioni 3.5+ | Urefu: Km 1,443 Kwa Tanzania ni fursa ya ajira, biashara, mapato, uwekezaji na kuimarisha nafasi yetu kama lango la nishati Afrika Mashariki.
  9. youngkato

    JamiiForums Tanzania Unajua unaweza kuanzisha biashara ya unga wa Lishe kwa mtaji unaoweza kumudu?

    Mahitaji ya vyakula vyenye virutubisho yanaendelea kuongezeka, huku watu wengi wakitafuta bidhaa zinazoweza kuwasaidia kupata lishe bora. Hali hii inafanya biashara ya unga wa lishe kuwa fursa nzuri kwa mjasiriamali anayetaka kuanza kwa kiwango kidogo na kuikuza hatua kwa hatua. Hata hivyo...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Tanzania, Serbia Kuimarisha Diplomasia ya Uchumi, Kupanua Fursa

    Tanzania na Serbia zimekubaliana kuanzisha Tume ya Pamoja ya Uchumi kwa lengo la kukuza biashara, uwekezaji na ushirikiano wa kiuchumi kati ya nchi hizo. Makubaliano hayo yamefikiwa wakati wa mazungumzo kati ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Mahmoud...
  11. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Idadi ya watu vs Fursa za ajira

  12. A

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni mhitimu wa digrii au diploma ya kodi na bado hujapata ajira wala fursa ya kupata uzoefu wa vitendo, taarifa hii ni kwa ajili yako.

    HALA TAXPRO LAUNCHPAD Programme imeandaliwa mahsusi kwa ajili yako. Ni programu ya kukuongezea ujuzi na uzoefu wa vitendo katika taaluma ya kodi, na haitakugharimu ada yoyote ya mafunzo. Awamu ya kwanza ya programu itahusisha wahitimu 15 pekee, kulingana na idadi ya vitendea kazi vilivyopo...
  13. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania 'Uwezo wa kupita kiasi au fursa?' Afrika yatoa jibu tofauti na nchi za Magharibi

    Ripoti iliyotolewa hivi karibuni na Gazeti la South China Morning Post la Singapore inasema, kutokana na bei ya magari ya umeme, betri, na vipuri vilivyotengenezwa nchini China kuendelea kushuka, nchi nyingi za Afrika zinatumai kutumia fursa hii kupunguza gharama za mchakato wao wa nishati ya...
  14. Denice Maxwell

    JamiiForums Tanzania Vijana muacheni Rais Samia afanye anavyoviweza, hawezi kuridhisha kila moja

    Watanzania wenzangu, hasa vijana, jikiteni kwenye kuzitafuta fursa. Achana na siasa vijana wenzangu, acheni kutumia mitandao ya kijamii kutoa maneno yasiyo mazuri kwa viongozi. Kumbuka Mungu anatutazama, ipo siku utaeleza kwanini ulitumia maneno hayo ya matusi na dhihaka. Mama Samia ni Mtulivu...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Endapo Nchimbi atatakiwa kuachia Umakamu, tutumie fursa hii kuchochea Uhuru wa Tanganyika.

    Tukio hili litakuwa tukio la aina yake na ni fursa ya kipekee kudai uhuru wa Tanganyika kama nchi Huru. Tuitumie hii fursa kufanya kampeni ya ghafla kuhamasisha Utaifa wa Tanganyika, kufufua Bendera ya Tanganyika na hata kuandaa Waraka wa uhuru na Rasimu ya katiba ya Tanganyika
  16. G

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Fursa! Kiwanja Kilichopimwa chenye Huduma Zote

    Kiwanja kinauzwa KIBAHA KWA MFIPA kwa dharura 6M,kina sq merter za mraba 500+ Hizi ni picha kiwanja kilipo, kuna huduma zote muhimu na tayari kuna makazi ya watu. Kimepimwa tayari na hakina udalali, changu mwenyewe Kutoka morogoro road hadi site ni km 5 Mawasiliano 0754088347
  17. K

    JamiiForums Tanzania Jinsi Miamala ya Airtel Money inavyowapa Wateja fursa za zawadi

    Wateja wa Airtel Tanzania wanaendelea kupata fursa za kushinda zawadi mbalimbali kupitia miamala yao ya kawaida ya Airtel Money, chini ya kampeni ya Minyoosho Inaendelea ambayo inawahamasisha wateja kutumia Airtel Money katika shughuli zao za kila siku, huku miamala inayokidhi vigezo ikiwapa...
  18. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Mradi wa JNHPP: Fursa Mpya za Maendeleo Tanzania

    Samia Amkosha, Mbowe JNHPP! JNHPP ni mradi wa kihistoria na fahari ya Tanzania. Ni hatua kubwa itakayoongeza fursa za uzalishaji, uwekezaji na ajira kwa Watanzania. “Ndoto imetimia,” Rais Samia amesema, akisisitiza umuhimu wa mradi huu katika kuchochea maendeleo ya Taifa.
  19. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Mwenye fursa au information ya kazi yoyote msaada wako unahitajika

    Wanabodi, mimi ni kijana wa kiume wa 20's. Mkazi wa Dar, kwa sasa ninaishi mbezi magari saba. Naomba yoyote mwenye nafasi au information ya kazi msaada wako unahitajika. Kuuza duka, storekeeper, kufanya kazi godown, kazi inayohusu taaluma niliyosemea procurement and logistic management, saidia...
Back
Top Bottom