Temeke District is a district in southern Dar es Salaam, Tanzania, with Kinondoni to the far north of the city, and Ilala in the downtown of Dar es Salaam. To the east is the Indian Ocean and to the south and west is the coastal region of Tanzania. The 2002 Tanzania National Census reported that the population of Temeke District was 768,451. The area is 786.5 km².
Tanzania ni kubwa sana , ina miako zaidi ya 26 na wilaya karibu 300.
Tanzania ina masoko zaidi ya elfu 8 .
Masko yanasimamiwa na local government ambayo ipo kumsaidia mheshimiwa Rais.
Sasa , pale wanapofanya vibaya anayelaumiwa ni Rais ni sio hao wwatendaji.
Mh Rais , anapenda usafi hata juzi...
Katika hali ya kushangaza, wakati manispaa zinatakiwa zisafishe mitaro ya maji ya mvua, manispaa ya Temeke imeamua kuziba mitaro hiyo ya Mbagala Rangitatu Biasi ili maji yasambae barabarani!
Nini kitatokea wakati wa mvua za El Nino tusubiri tuone utafiti huu mpya.
https://www.youtube.com/live/foCqxnCqX8M
ACT Wazalendo Mkoa wa Dar es Salaam imepokea kwa mshangao na kupinga vikali kauli za Mkuu wa Wilaya ya Temeke Ndg. Sixtus Mapunda kuhusu mpango wa kuhamisha wakazi na kuathiri uwepo wa kata zipatazo 10 katika Wilaya ya Temeke kwa madai ya kupisha ujenzi...
Licha ya kuwa wafanyakazi wanaopelekeshwa na kufanya kazi katika Mazingira magumu, wafanyakazi wa Mikataba wa Manispaa ya Temeke tumekuwa tukicheleweshewa mishahara yetu hadi miezi inapinduka.
Watumishi wa mikataba Manispaa ya Temeke ni mojawapo ya kundi tunalofanya kazi katika Mazingira magumu...
Anonymous
Thread
hawajalipwa
miezi
miezi miwili
mishahara
mkataba
mshahara
mwezi
temeke
watumishi
Wakusanya malipo ya maegesho (parking), kwa kuvamia kando ya barabara na kuanza kukusanya malipo wamekuwa kero sana na mara nyingi wamekuwa wakiona ufahari kusumbua wenye magari.
Hii hali ina kera sana kupoteza muda wa Wananchi. Wananchi kweli anapaswa hulipia lakini kwanini wasiweke njia nzuri...
Anonymous
Thread
bure
gani
huduma
pesa ya maegesho
pesa ya parking
tanzania
tatizo
temeke
una kampuni inaitwa amanzi ambayo maafisa wake
usumbufu hela ya parking
Ripoti ya kitaifa ya makadirio ya ukubwa wa makundi maalum ya mwaka 2025 (National Key Population Size Estimates), iliyoandaliwa kwa kutumia takwimu za makadirio ya idadi ya watu kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), imebainisha kuwa mkoa wa Dar es Salaam unaongoza nchini kwa kuwa na idadi...
House For Sale.
Location: Temeke Chang'ombe.
-100 meters from National Stadium.
-Corner House.
Features:
-3 Bedrooms(1Master Bedroom).
-1 Kitchen.
-1 Public Toilet.
-3 Medium Size Warehouse(Stoo).
-Large Parking.
-Borehole(Kisima).
Size: SQM 375.
Starting Price: Tzs 450 Million Negotiable...
Nimefika leo, Alhamisi, kufuatilia marekebisho ya cheti changu ili niweze kupata cheti kipya. Hata hivyo, nimeelezwa kuwa huduma imesimama kutokana na kukosekana kwa umeme, ambapo inadaiwa transformer imeharibika.
Tulijaribu kupendekeza kutumia jenereta lililopo kwa kuchangia gharama za mafuta...
Anonymous
Thread
huduma
huduma za rita
kuhusu
rita
taifa
temeke
uwanja
uwanja wa taifa
Hamjambo wote!
Kwa wale waliosoma Jiografia hasa kwenye masuala ya Spatial and settlements distribution mtakubaliana na mimi kuhusu jambo hili.
Kila sehemu, Mahali Ina style yake ya ujenzi, kuanzia madirisha, uezekaji wa bati, ndani kwenye silingboard,
Pia kila Zama Zina styles zake za ujenzi...
Sisi wakazi wa Mtaa wa Kisewe, Wilaya ya Temeke, tunapenda kuwasilisha malalamiko yetu kuhusu utendaji usioridhisha wa kampuni ya MACROBULUBA INVESTMENTS COMPANY LTD ambayo imepewa jukumu la ukusanyaji wa taka katika eneo letu.
Kwa muda mrefu sasa, kampuni hiyo imekuwa ikishindwa kutekeleza...
SCHOOL FOR SALE or RENT as YARD/ SHULE INAUZWA.
IPO MBAGALA-TEMEKE
Eka 80
Fully fenced
Linagusa lami
Full DOCUMENTS/ HATI kamili
Panafaa
Parking ya malori
Kiwanda
Hospitali
BEI/ PRICE NI TSH 28b/
🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
#tiles #realestate #school #houseforsale #property
Kwahiyo mkuu wa Wilaya hiyo miti inafaida gani hasa huku mjini palipojaa manyumba na maduka kila mahali? Hiyo miti mitano nitaipanda wapi?
Acha zako bhana fanya mambo mengine ya msingi
=============
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Sixtus Mapunda ametoa tamko kwa kila mkazi wa Wilaya hiyo kupanda miti...
Habari Naomba kutuma kero ya kata ya 14 Temeke Dar-es -Salaam yadi ya malori mtaani ni kubwa, yanapaki magari mbele ya nyumba za watu na magari hayo Hayo yanakata wire za umeme.. Maafisa wa TANESCO wakija hawawasilishi kesi ofisini wanapewa hela na watu hawalipwi, vitu vyao vilivyoungua.
Barua...
Anonymous
Thread
kero
maafisa
magari
malori
njia
tanesco
temeke
umeme
Kwanza Kabisa Bandari ipo Temeke, Uwanja wa Ndege Temeke, Uwanja wa Taifa Temeke. Lakini wamekosa ubunofu wa kukusanya kodi, wanaamua kukudandia ukipark kidogo tu gari inabebwa unapigwa faaini. Kwamba ndo ubunifu wa kuingiza kipato Halmashauri.
Ukiwauliza Parking kwa Temeke zipo wapi hata za...
House For Sale.
Location: Temeke Chang'ombe.
-100 meters from National Stadium.
-Corner House.
Features:
-3 Bedrooms(1Master Bedroom).
-1 Kitchen.
-1 Public Toilet.
-3 Medium Size Warehouse(Stoo).
-Large Parking.
-Borehole(Kisima).
Size: SQM 375.
Starting Price: Tzs 450 Million Negotiable...
Kwa siku sita sasa, wakazi wa Buza tunaendelea kuishi katika mazingira hatarishi baada ya taka kurundikana katika maeneo mbalimbali bila kuondolewa na mamlaka husika.
Gari la kukusanya taka linalosimamiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Temeke lilipita mtaani likitoa tangazo kuwa wakazi watoe...
Walimu Temeke hela za likizo hatujalipwa toka 2019, Ni huzuni tupu. Pesa nasikia wanazo ila wanaziweka fixed acc ziwazalishie, ni maumivu makubwaa.
Tunaomba mtupazie Sauti. Mimi ni mwalimu, Temeke Manispaa, Dar es Salaam.
Pia soma ~ Naibu Waziri Qwaray: Waajiri wote lazima watenge bajeti ya...
House For Sale.
Location: Temeke Chang'ombe.
-100 meters from National Stadium.
-Corner House.
Features:
-3 Bedrooms(1Master Bedroom).
-1 Kitchen.
-1 Public Toilet.
-3 Medium Size Warehouse(Stoo).
-Large Parking.
-Borehole(Kisima).
Size: SQM 375.
Starting Price: Tzs 450 Million Negotiable...
Walimu wa sekondari wailes wanaongoza kwa kubuni michango shule ni tatizo ni nini? Mtoto asipoenda kusoma jumamosi anadaiwa tofali 5 mpaka 10 za sementi na hela aliyotakiwa kulipa jumamosi anailipa pia ingawa hakusoma, walimu wakujitolea wazazi ndio wanakiwa kuwalipa kwa mwezi 2000,
Kuna kusoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.