temeke

Temeke District is a district in southern Dar es Salaam, Tanzania, with Kinondoni to the far north of the city, and Ilala in the downtown of Dar es Salaam. To the east is the Indian Ocean and to the south and west is the coastal region of Tanzania. The 2002 Tanzania National Census reported that the population of Temeke District was 768,451. The area is 786.5 km².

View More On Wikipedia.org
  1. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati mnapochukua video muwe makini. Unachukua paa au dirisha huoni utakamatwa?

    Hamjambo wote! Kwa wale waliosoma Jiografia hasa kwenye masuala ya Spatial and settlements distribution mtakubaliana na mimi kuhusu jambo hili. Kila sehemu, Mahali Ina style yake ya ujenzi, kuanzia madirisha, uezekaji wa bati, ndani kwenye silingboard, Pia kila Zama Zina styles zake za ujenzi...
  2. W

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kampuni ya Macrobuluba Investment imeshindwa kutekeleza wajibu wa ukusanyaji taka mtaa wa Kisewe, Temeke

    Sisi wakazi wa Mtaa wa Kisewe, Wilaya ya Temeke, tunapenda kuwasilisha malalamiko yetu kuhusu utendaji usioridhisha wa kampuni ya MACROBULUBA INVESTMENTS COMPANY LTD ambayo imepewa jukumu la ukusanyaji wa taka katika eneo letu. Kwa muda mrefu sasa, kampuni hiyo imekuwa ikishindwa kutekeleza...
  3. Dalali wa kimataifa

    JamiiForums Tanzania Shule inauzwa,ipo Mbagala bei Tsh 28 bilioni

    SCHOOL FOR SALE or RENT as YARD/ SHULE INAUZWA. IPO MBAGALA-TEMEKE Eka 80 Fully fenced Linagusa lami Full DOCUMENTS/ HATI kamili Panafaa Parking ya malori Kiwanda Hospitali BEI/ PRICE NI TSH 28b/ 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717 #tiles #realestate #school #houseforsale #property
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania DC Temeke: Familia isipopanda miti mitano, itawajibishwa kama muhalifu mwingine

    Kwahiyo mkuu wa Wilaya hiyo miti inafaida gani hasa huku mjini palipojaa manyumba na maduka kila mahali? Hiyo miti mitano nitaipanda wapi? Acha zako bhana fanya mambo mengine ya msingi ============= Mkuu wa Wilaya ya Temeke Sixtus Mapunda ametoa tamko kwa kila mkazi wa Wilaya hiyo kupanda miti...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Yadi za malori Temeke zimekuwa kero, magari yanaziba njia, yanakata umeme, maafisa wa TANESCO wakija 'wanapozwa'

    Habari Naomba kutuma kero ya kata ya 14 Temeke Dar-es -Salaam yadi ya malori mtaani ni kubwa, yanapaki magari mbele ya nyumba za watu na magari hayo Hayo yanakata wire za umeme.. Maafisa wa TANESCO wakija hawawasilishi kesi ofisini wanapewa hela na watu hawalipwi, vitu vyao vilivyoungua. Barua...
  6. Mhaini

    JamiiForums Tanzania Temeke: Ukidakwa na hawa Wrong Parking unalipishwa laki mbili Papo kwa papo! Muda wa mavuno kwa Watawala

    Kwanza Kabisa Bandari ipo Temeke, Uwanja wa Ndege Temeke, Uwanja wa Taifa Temeke. Lakini wamekosa ubunofu wa kukusanya kodi, wanaamua kukudandia ukipark kidogo tu gari inabebwa unapigwa faaini. Kwamba ndo ubunifu wa kuingiza kipato Halmashauri. Ukiwauliza Parking kwa Temeke zipo wapi hata za...
  7. radhiya

    JamiiForums Tanzania House For Sale at Temeke Chang'ombe

    House For Sale. Location: Temeke Chang'ombe. -100 meters from National Stadium. -Corner House. Features: -3 Bedrooms(1Master Bedroom). -1 Kitchen. -1 Public Toilet. -3 Medium Size Warehouse(Stoo). -Large Parking. -Borehole(Kisima). Size: SQM 375. Starting Price: Tzs 450 Million Negotiable...
  8. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Nadhani The Velvet Lounge na Sudan Hotel Temeke, ni mifano hai ya Sodoma na Gomora!

    Kitambaa Cheupe mnapazingizia tu. Pana wastaarabu sana. Izo sehemu mbili tajwa kwa level yangu ya dhambi, nimeona mengi sana.
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania KERO Milima ya taka inatupa hofu ya mlipuko wa magonjwa Wakazi wa Buza, Temeke

    Kwa siku sita sasa, wakazi wa Buza tunaendelea kuishi katika mazingira hatarishi baada ya taka kurundikana katika maeneo mbalimbali bila kuondolewa na mamlaka husika. Gari la kukusanya taka linalosimamiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Temeke lilipita mtaani likitoa tangazo kuwa wakazi watoe...
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu Temeke hatujalipwa fedha za likizo tangu 2019, nasikia zimewekwa Fixed Account ziwazalishie

    Walimu Temeke hela za likizo hatujalipwa toka 2019, Ni huzuni tupu. Pesa nasikia wanazo ila wanaziweka fixed acc ziwazalishie, ni maumivu makubwaa. Tunaomba mtupazie Sauti. Mimi ni mwalimu, Temeke Manispaa, Dar es Salaam.
  11. radhiya

    JamiiForums Tanzania House For Sale at Temeke Chang'ombe

    House For Sale. Location: Temeke Chang'ombe. -100 meters from National Stadium. -Corner House. Features: -3 Bedrooms(1Master Bedroom). -1 Kitchen. -1 Public Toilet. -3 Medium Size Warehouse(Stoo). -Large Parking. -Borehole(Kisima). Size: SQM 375. Starting Price: Tzs 450 Million Negotiable...
  12. S

    JamiiForums Tanzania KERO Shule ya sekondari Wailes Temeke inaongoza kwa viboko na michango

    Walimu wa sekondari wailes wanaongoza kwa kubuni michango shule ni tatizo ni nini? Mtoto asipoenda kusoma jumamosi anadaiwa tofali 5 mpaka 10 za sementi na hela aliyotakiwa kulipa jumamosi anailipa pia ingawa hakusoma, walimu wakujitolea wazazi ndio wanakiwa kuwalipa kwa mwezi 2000, Kuna kusoma...
  13. David Harvey

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kwenu uongozi wa Temeke hospital

    Juzi nimempoteza ndugu yangu tena kizembe kabisa ni kwa vile sikuwepo,Competent doctors wote mmeondoka hospital imeshikiliwa na intern doctors! Hospital ya rufaa inashikiliwa na interns mko serious kweli??? Kuna mtu niliwahi kumsikia kuwa temeke hospital ni kijiwe cha interns kweli nimeamini...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU Temeke: Tumeamfikisha Askofu Mahakamani kwa tuhuma za kughushi nyaraka za ardhi

    Katika kipindi cha Oktoba hadi Disemba 2025, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Temeke imefanikisha kumfikisha mahakamani Askofu Renatus Joseph Nyalali, Askofu kutoka kanisa la Hosanna Assemblies of God Tanzania (HAOGT), kwa tuhuma za kughushi nyaraka na kutoa nyaraka za...
  15. political monger senior

    JamiiForums Tanzania Mwananchi alia na kuzimia baada ya kubomolewa nyumba yake Mbagala

    Jinsi ilivyokuwa mpaka mwananchi kuzimia mbele ya mbunge baada ya kubomolewa nyumba yake katika manispaa ya Temeke Mbagala -Toangoma Mwananchi anaelezea alivyompigania mwenyekiti wake wa CCM kushinda uchaguzi lakini baadaye haoni utu wake mpaka nyumba yake imebomolewa..video ya tukio...
  16. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot For Sale at Temeke Toangoma

    Plot For Sale. Plot details: Accessible through Nyerere Bridge or Mbagala near to Kigamboni. •It's almost 20.5km from Dar port through Kilwa road. •It's within 700 mtrs from main road. •Perfect for; Yard, Garage, container’s storage, or Godown. Location: Temeke Toangoma. Size: 5600 sqms...
  17. radhiya

    JamiiForums Tanzania House For Sale at Temeke Chang'ombe near Benjamin Mkapa stadium

    House For Sale. Location: Temeke Chang'ombe. -100 meters from National Stadium. -Corner House. Features: -3 Bedrooms(1Master Bedroom). -1 Kitchen. -1 Public Toilet. -3 Medium Size Warehouse(Stoo). -Large Parking. -Borehole(Kisima). Size: SQM 375. Starting Price: Tzs 450 Million Negotiable...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Hii Script ya Wakatoliki Feki wa Mtaa wa Yombo Dovya Kata ya Makangarawe Wilayani Temeke Ifike Mahali Ifike Mwisho

    Chondechonde hizi Scripts za Hawa Wakatoliki Feki wa Mtaa wa Dovya, Kata ya Makangarawe ifike mahali hata Wakuu wa Nchi waon Aibu inabidi Wachutame kuweza Kufika hili Jambo. Sisi Wakatoliki wa CCM na ambao siyo wa CCM hatupendezwi na hizi Scripts Kila Uchwao zinakuja kwa namna tofauti tofauti...
  19. S

    JamiiForums Tanzania Hospitali ya Temeke

    Jana kuna mgonjwa kaenda kufunga kidonda (dressing) cha kidole cha mguu kaambiwa Bima yake haina hiyo huduma ya bandage. Bima aliyonayo ni hii ya wafanyakazi (NHIF); alielekezwa akanunue bandage apeleke ili wamfunge; ikabidi afanye hivyo Kwa wanao husika na Hospitali ya Temeke naomba...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Mliochezea Mashine Pale Temeke Hospitali Nina Ujumbe wenu

    Huyu mwamba mwenye dhamana ya Wizara yenu hatanii na Wala hataniwi, ni Bora mkafikiria kwenda kuishi nje ya nchi kama bado mnapenda kuendelea kupumua katika hii Dunia kabla hamjaaimbiwa parapanda. Natumaini mmenielewa.
Back
Top Bottom