mafanikio

  1. SankaraBoukaka

    JamiiForums Tanzania Tupumzishane wajameni hakuna aliyerudi duniani mara ya pili, motiveshono spikas wamekuwa wengi kuliko spika zenyewe.

    Katika dunia ya leo, tunashuhudia wimbi kubwa la watu wanaojiita wasemaji wa maisha ya binadamu wenzao. Wengi wao wamekuwa wakitoa maneno mazuri ya kutia moyo, lakini mara nyingi maneno hayo yanakosa mizizi ya uhalisia. Ni rahisi kusimama mbele ya watu na kusema “fanya hivi, acha vile”, lakini...
  2. O

    JamiiForums Tanzania Pesa ni tool muhimu iwe Pascal mayala au Robert Heriheri sijui Heriel kasema amani ni mafanikio ila pesa ni chanzo

    Ni kweli mafanikio yanahusisha furaha, amani na utulivu wa moyo. Lakini tusidharau nafasi ya pesa. Ukiishi maisha ya kukosa chakula, kushindwa kulipa ada, kodi au matibabu, ni vigumu kuwa na amani ya kweli. Pesa si furaha yenyewe, bali ni chombo muhimu kinachorahisisha maisha na kupunguza...
  3. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Kwanini mission za kuiua na kuifuta CHADEMA kisiasa zinafeli na kwanini Serikali inaambulia chuki kutoka kwa Wananchi badala ya mafanikio?

    Kumekuwa na kufeli kwa mission nyingi za kukiondoa Chama cha Demokrasia na Maendeleo katika uso wa siasa zetu, majaribio yote yameishia kuwa kituko cha awamu husika, propaganda za kitoto dhidi ukomavu mkubwa wa kisiasa ambao jamii yetu inao kwa sasa zimeisha kuwa chuki dhidi ya serikali. Baada...
  4. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini ukimueleza mtu mafanikio yako anakasirika?

    Mafanikio hayana kipimo ila kila mtu na mafanikio yake kulingana na malengo aliyojiwekea Sasa jamii yetu ya kibongo ukimuelezea mtu mafanikio yako yawe makubwa au madogo hujawa na makasiriko na laana juu, kwanini? Mara ooh! Pesa ni za shetani tafuta ufalme wa Mungu, mara sijui pesa kazipata...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nje ya wajaluo kuna makabila maarufu upande wa Tanzania yenye mafanikio makubwa nchi jirani?

    Kuna makabila mengi hapa Tz, hata Watutsi utawakuta ila wapo wachache sana, hivyo tuyaguse makabila ambayo angalau yanafikia hata watu laki Wajaluo wapo wilaya ya Rorya mkoa wa Mara, kwa upande wa Tanzania kwenye maendeleo hawapo kivile japo kuna baadhi ya sehemu wametoboa mfano ukienda kule...
  6. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Tanzania Je ni kweli, Dar es Salaam ndio center ya mafanikio hapa Tanzania? Unamshauri nini kijana?

    Vijana wengi wanakimbia kutoka vijijini kwao wanakimbilia mjini daresalaam, cha kushangaza wapo wanaofanikiwa pia wengi wao wanafeli, unahisi kwanini watu wanakimbilia hasa daresalaam? Je ni population au ni nini? Daresalaam ukiwa na mtaji wa kawaida utafanyaje? Frame za biashara mfano gongo la...
  7. bless on

    JamiiForums Tanzania Siri 3 za Mafanikio ya Wachawi na Somo Kwetu

    1. WAKO MAKINI NA MAMBO YAO. Hawataki mchezo kwenye harakati zao za uchawi wakiambiwa lazima upatikane unyayo wa paka basi atamtafuta paka siku nzima na kwa gharama yoyote paka ampate. Lakini wewe ukiambiwa toa chakula kwa mayatima ili ufanikiwe utaanza sababu mia kidogo unaona unapoteza hela...
  8. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Ardhi Haikupi sio tu Mafanikio, Inaweza Kukupa Utajiri wa Ghafla

    Kuna biashara ambazo zinakupa hela kidogo kidogo kila siku, lakini zipo biashara ambazo zinakaa kimya kwa muda mrefu halafu siku moja zinakushangaza kwa hela nyingi kwa mkupuo. Miongoni mwa biashara hizo ni ardhi, kilimo na madini. Unaweza ukahangaika miaka kadhaa bila kuona matokeo makubwa...
  9. nzalendo

    JamiiForums Tanzania Nimethibitisha ukikaa mbali na dhambi, unapata mafanikio maishani.....

    Maneno haya nayasema nikiwa na confidence kwa maana yake nimeyafanyia utafiti kwa miongo kadhaa. Nilichukua sample za watu tofauti nikiwemo mimi mwenyewe( kimsingi nilisha wahi kuishi maisha ya kihuni na matokeo yake nikayaona). Lakini baada ya kuamua kubadilika na kuishi kiungwana pia matokeo...
  10. Dr Arshavin

    JamiiForums Tanzania Tajiri wa Kesho: Mchakato wa Mafanikio

    TAJIRI WA KESHO YUKO KWENYE MCHAKATO LEO! Usifikirie uko nyuma fikiri uko njiani. Kila hatua unayoichukua leo ni tofauti kati ya wewe wa sasa na tajiri utakayekuwa kesho. Mchakato Unauma Lakini Unabadilisha Mohammed Dewji leo anaitwa bilionea mdogo zaidi Afrika. Lakini kabla ya hapo...
  11. Dr Arshavin

    JamiiForums Tanzania Tabia Zako: Ufunguo wa Mafanikio au Kushindwa

    Kitu kinachokufelisha wewe kuyafikia malengo yako na mafanikio yako ni TABIA ZAKO! The Mind Game Control Wengi wetu tunapenda kulaumu uchumi, serikali, ndugu zetu, au hata bahati mbaya pale mambo yanapoenda kombo. Lakini ukweli mchungu ambao huenda hutaki kuusikia ni huu: Wewe ni matokeo ya...
  12. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Huenda kuchelewa kwako kuoa au kuolewa ndiko kunachelewesha kuyafikia mafanikio ya ndoto za maisha yako

    Humo ndiko Mungu amehifadhi mafanikio, furaha na amani ya maisha yako, ni suala la wewe tu kuamua kuingia kwenye ndoa na hatimae kuanza kufurahia Neema na Baraka za Mungu alizokuandalia uzifurahie katika maisha yako hapa duniani. Kwani hujawahi kuona mtu baada tu ya kuingia kwenye ndoa mafuriko...
  13. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Tanzania Gen Z ni kizazi ambacho kitakuja kuwa na mafanikio kuliko sisi millennia

    Unajua kizazi cha leo kukuta dogo under 30 anamiliki kampuni au yuko financial freedom ni simple sana, wakati sisi millennia tulipata stable economy 40+ Millennia waliamini kusoma ni ufunguo wa maisha, matokeo yake wameshika viti ofisini hawataki kwenda kusoma kuongeza elimu, akipata likizo...
  14. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Kijana Mafanikio ya afya hayahitaji mtaji, jitahidi kufanikiwa kwenye afya

    Kukimbia ni Bure Kupiga pushup ni Bure Mazoezi ya kukimbia ni Bure. Kijana jitahidi usiwe na kitambi kwasababu kuwa na afya bora sio biashara...ni wajibu wako. Six pack muhimu Kifua kikubwa Muhimu Muonekano wa mazoezi muhimu. Haya Tukomae
  15. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Tanzania Usijifunze mafanikio kutoka kwa wanawake, utaumia!

    Nimeona Instagram influencer mmoja anaitwa niffer, anauza cosmetics ameshare historia ya maisha yake, kwamba alikua anauza chakula 2019 hapo mijini daresalam kariakoo, 2023 akaanza kuuza vipodozi, ana mall kama 4 ivi, anasafiri kila sehemu duniani, naona watu wakimpongeza kweli kweli. Broo...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kuiga Mafanikio ya mtu alietoboa vilivyo kwenye biashara hapa Bongo utasubiri sana hadi uote sugu, Game lipo zigzaga tofauti na unachokiona

    Ukitaka kuiga Mafanikio ya mtu haa bongo hasa kwenye biashara utakesha Makanisani, Misikitini, mpaka uote sugu Utamaliza rapa kwa kubuni Biashara na kuwekeza ukiamini utakuwa kama fulani. kumbe Siri Yao ya Mafanikio ni Short Cut Halali inawezekana ila huchukua muda mrefu sana na ubaya ni...
  17. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Ila wanaume bana tunapitiaga ukakasi mkubwa hadi mafanikio alafu tunakuja kuliwa pesa kizembe na hawa wadada

    Mtu umetoka hapa⤴️ Ili uje kuteseka na kuaibika hapa⬇️ Kunaa interview nimeona jamaa mmoja anakuja kujitetea kuwa ile gari aliompa slay queen sio kwamba amemnunulia iwe yake bali amempa tu atembelee ila demu kawa mkali hadi ka-share video asaidiiwe na serikali ili arudishe gari yake.
  18. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Mwanamke Anayerudi Baada ya Mafanikio

    Mwanamke kukuacha wakati wa struggles inaweza kueleweka. Lakini kumrudisha baada ya wewe kusimama tena — hiyo inaweza kuwa kujisaliti mwenyewe. Wapo wanawake ambao hawawezi kuvumilia kipindi kigumu cha mwanaume. Kipindi cha kujijenga. Kipindi cha uncertainty. Kipindi ambacho maisha bado...
  19. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ukosefu wa nidhamu ndio adui mkubwa wa mafanikio

    Watu wengi wana ndoto kubwa. Wanataka utajiri. Wanataka maisha mazuri. Wanataka kuheshimiwa. Wanataka kubadilisha familia zao. Lakini tatizo sio kwamba hawana uwezo. Tatizo ni moja: HAWAJUI KUJITAWALA. Na huo ndio ukweli mchungu ambao watu wengi hukwepa. Kwa sababu mafanikio hayaharibiwi...
  20. Top Gun

    JamiiForums Tanzania Nawashwa sana kwenye makalio, nimetumia SKDERM Cream bila mafanikio

    Zaidi usiku ndio nawashwa sana wakuu. Halafu hakuna vipele wala redness. Nisaidieni dawa maana makebo yanaungua wakuu
Back
Top Bottom