In computer technology and telecommunications, online indicates a state of connectivity, and offline indicates a disconnected state. In modern terminology this usually refers to an Internet connection, but (especially when expressed "on line" or "on the line") could refer to any piece of equipment or functional unit that is connected to a larger system. Being online means that the equipment or subsystem is connected, or that it is ready for use."Online" has come to describe activities performed on and data available on the Internet, for example: "online identity", "online predator", "online gambling", "online shopping", "online banking", and "online learning". Similar meaning is also given by the prefixes "cyber" and "e", as in the words "cyberspace", "cybercrime", "email", and "ecommerce". In contrast, "offline" can refer to either computing activities performed while disconnected from the Internet, or alternatives to Internet activities (such as shopping in brick-and-mortar stores). The term "offline" is sometimes used interchangeably with the acronym "IRL", meaning "in real life".
Aise, kwema wadauh? Leo nimecheka sana mwanangu mmoja alikopa elfu 40,000 wakampa 24,000/= badala ya 40,000 aise nilishangaa jamaa akala kiapo cha kutokulipa deni hilo, sasa hizo simu kutoka kwa zuri pesa ni balaa.
Jamaa akaamua kuwatandika block la maana weee!
UJUMBE uliofatia hapo ni balaa...
hawa huwa wanafanya kazi za kukaa wapweke muda mrefu mfano: Kuuza mapazia, kuuza mabegi, kuuza cover za simu n.k
hawa watu utawakuta maranyingi wamekaa dukani kusubiri wateja. mtu kama MIN -mi atakua anafanya kazi ya kuuza duka la dawa kwasababu anaonekana ni mdau wa afya. hivyo muda wa...
Ningependa kuwasilisha hoja yangu kwa Mamlaka ya Utumishi inayohusika na usimamizi wa mitihani ya mtandaoni kwenye usaili wa kuandika.
Kumekuwa na mkanganyiko wa matokeo ambapo mtihani wenye jumla ya maswali 50 unatoa alama kama 93 au 75. Kimantiki, ikiwa mtihani una maswali 50, tunatarajia...
Anonymous (5d05)
Thread
alama
hii
katika
mfumo
mitihani
mtandaoni
online
ufafanuzi
utumishi
Kichwa cha habari kinajieleza chenyewe, sina mudi ya kuandika sana
Kuna watu humu muda wote wapo online tu wanacomment sasa muda wa kufanya kazi wao wanautoa wapi jamani
Kuna mengi sana yananishangaza mno na bado yanakuja
chafya ngumu
min -me
Dr.Mussa Zaganza nimekuwa kwa muda mrefu nikiwasaidia watanzania ushauri wa kutunza ngozi zao na nywele kwa njia za asili.Na Wiki Hii nimeandaa klinik ya ngozi na nywele kupitia group la whatsapp ambapo utapata kujifunza yafuatayo:
1.Makundi 4 ya ngozi, na makundi 3 ya nywele,jinsi ya kuipima...
Vijana wa Gen Z wameamua kujitokeza kwa nguvu kujiandikisha kama voters, wakionyesha kuwa wako ready kushake system kuelekea 2027. From first-time registrants to wale wa zamani, wote wanaungana chini ya slogan “Tuko Kadi!”
Lakini si registration tu ni digital pressure. Screenshots za voter...
Habari wakuu
Ni wazi Njia za jadi za kusambaza muziki, filamu na vipindi vya televisheni zinaendelea kupoteza nafasi yake, huku huduma za streaming zikichukua nafasi kuu katika matumizi ya maudhui ya burudani.
Hali hii imesababisha kupungua kwa utegemezi wa televisheni za kawaida. Vituo vingi...
Hivi karibuni Februari 28, 2026 wakati wa Msiba wa Hayati Polycarp Kadinali Pengo kila mtu anakumbuka kilichotokea kuhusu suala ya kupigiwa au kutopigiwa makofi kwa wanasiasa. Baadhi ya Viongozi wastaafu walipigiwa sana makofi na waaumini lakini wale waliopo madarakani kwa sasa hali ilikuwa...
BREAKING NEWS: X Influencers React to Hilda Baci’s NLP Testimony Ahead of March 13 Conference at Tafawa Balewa Square
LAGOS — Social media platform X (formerly Twitter) erupted in debate this week following a viral testimonial video by Nigerian entrepreneur and Guinness World Record holder...
Waziri wa vijana elewa kitu kitu kimoja SI kwamba serikali haitoi fedha kwenye HALIMASHAURI la hasha,
Ilikuwa inatoa tuliisha kwambia fedha hizo zililiwa na mchana uvccm na wake na ndugu wa madiwani
Sasa wewe ni waziri wa vijana wote weka utaratibu mzuri wa kuwasajili vijana platform kila mkoa...
Social media platforms were set abuzz on Tuesday as loved-up video clips of Senior Pastor of The Masters Place International Church, Pastor Korede Komaiya, and his wife, Dr Esther Komaiya, went viral, sparking widespread reactions and heated debates across relationship circles.
In the...
Nimetengeneza app ya Kucheza Drafti Mtandaoni pia unaweza kucheza na rafiki yako kwa kutumia Game Code. Inapatikata Google Play store, itafute inaitwa Backrow Rush
Kwa kifupi:
Air Tz Mwanza hawatambui boarding pass za mtandaoni, wanakulazimisha upange tena foleni ya kaunta hata kama hauna mizigo.
Full:
Juzi nilikuwa nasafiri kutoka Mwanza na Air Tanzania. Usiku kabla ya safari nilitembelea tovuti ya ndege nika 'check in' kwa mtandao ili kuepuka kadhia ya...
Hizi kampuni za mikopo online zimekuwa na kero kubwa kwa wakopaji, yaani mtu unakopa laki moja (100,000) unalazimishwa kurudisha Sh 152,000 ndani ya siku 5. Ambayo ni riba ya asilimia 52, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ipo wapi? Serikali ipo wapi kwa huu unyanyasahlji unaofanyika kwa Watanzania...
Ukilipitia tiketi online, automatically utabakiwa na muamala wa malipo, unapofika stendi uendako kama huna risiti utatakiwa ulipie shilingi mia tatu getini.
Kwani kulipia ticket online na kulipia ofisini kuna tofauti gani? Ukionesha SMS ya malipo hawataki, wanataka risiti ya tiketi ya EFD...
Anonymous (ae7c)
Thread
bus
bus terminal
hata
kulipa
msamvu
online
tiketi
una
walinzi
Dunia sasa hivi imeenda digital (AI) hivyo naomba tupeane michongo ya jinsi ya kutengeneza hela ndogo ndogo online (genuine website); BILA kujumuisha betting
Hata ukiwa na mchongo tofauti ila unao uelewa vizuri sio ule wa kusema tu; nenda kalime matikiti/ Nyanya wakati hata mahindi hujawahi...
Over time, repeated claims of secret detention and harsh treatment whether proven or not, have created a serious trust gap between the state and the public.
The real issue isn’t this individual alone—it’s what this approach means for rule of law in Uganda, anyone can now be a victim of this...
Wakuu,
Nataka nifungue madai ya fao la kukosa ajira. Shida ni kwamba NSSF hawapokei simu wala kujibu emails.
Nimesikia kuwa siku hizi Madai ya NSSF yanafanyika Online kwa 100%. Hakuna haja ya kwenda Ofisini kwao.
Je, Kuna aliyewahi kutumia hii njia?
Attachment nilizonazo: Certificate of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.