mkataba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Walimu wa Mkataba (Mradi wa GPE-TSSP): Tunafanya kazi katika mazingira magumu, hakuna usawa, tunabaguliwa, hatupewi stahiki zetu

    Walimu wa Mkataba (Mradi wa GPE-TSSP): Mikataba inaonesha tumeajiriwa na Wazazi na si TAMISEMI, tuna mazingira magumu. Ujumbe wa Walimu wa Mkataba chini ya mradi wa GPE-TSSP, Juni 26, 2026: Napenda kuwasilisha kwenu baadhi ya changamoto kubwa tunazokabiliana nazo sisi walimu wa mkataba chini...
  2. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Tanzania, Ujerumani Wasaini Mkataba wa Bilioni 60.7 Kuboresha Huduma za Maji Tunduma na Vwawa-Mlowo

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini mkataba wa msaada wa Euro milioni 20 sawa na shilingi za Tanzania bilioni 60.7 kutoka Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani kupitia Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW) kwa ajili ya kufadhili mradi wa Uboreshaji wa Huduma za...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Eric Shigongo aingia mkataba na CRDB ili kuwakopesha Wajasiriamali wa Buchosha

    Ofisi ya Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, imewakilishwa na Kerryn Mbatude katika kikao na Benki ya CRDB kilicholenga kuzindua rasmi ushirikiano wa kuwawezesha wananchi wa Buchosa kiuchumi kupitia mikopo kwa wajasiriamali. Akizungumza kwa niaba ya Mbunge, Kerryn Mbatude amesema Shigongo...
  4. Room 28

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Israel imeukataa na kuupinga mkataba wa amani wa iran na US! Inasema itaendelea kuwabomoa hezbollar na Iran

    Hii inatupa picha gani?? Wapambe wa iran wanaamini israel ilipigwa vibaya sana katika ile vita? Lakini kama ni hivo mbona bado hawataki vita isimame wala iishe?? Nadhani kina zungu kuna kitu wanaficha
  5. Waufukweni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni Msanii gani wa Tanzania anapaswa kupewa Mkataba wa wimbo wa FIFA World Cup ijao?

    Wakuu Baada ya kuangalia perfomance ya The Mother na Malkia wa Majukwaa ya Kombe la Dunia 'Shakira', The African Giant 'Burna Boy', Tyla kwenye ufunguzi wa michuano hiyo mikubwa ulimwenguni, unadhani ni Msanii gani wa Tanzania anapaswa kupewa Mkataba wa wimbo wa FIFA World Cup ijao?
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kero yetu sisi walimu wa kujitolea au mkataba shule ya msingi kupitia mradi gpe ambao tuliletwa na Tamisemi, tupo nchi nzima mpaka sasa hatujalipwa

    Kero yetu sisi walimu wa kujitolea au wa mkataba katika shule za msingi kupitia mradi wa gpe, ambao tuliletwa na tamisemi. tupo nchi nzima, lakini mpaka sasa hatujalipwa. mara ya mwisho kulipwa ilikuwa mwezi februari 2026, tena baada ya kutoa kero yetu hapa jamii forums ndipo malipo yakafanyika...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Muda wa mkataba umeisha, Kwanini fremu za Tegeta Nyuki hazijarudishwa?

    Fremu za Tegeta Nyuki zilijengwa na wananchi wakaambiwa wachukue kodi kwa miaka 10, kisha fremu zirudishwe Halmashauri wapewe wananchi wanaohitaji kupanga. Lakini mpaka sasa miaka 10 imeisha muda mrefu. Kwa nini mpaka leo hawajarudisha fremu hizo? Nasema hivi kwa sababu wapangaji wanaumizwa...
  8. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira Bila Mkataba: Haki za Wafanyakazi wa Kampuni ya Temboking yupo gizani

    Kero yangu ni kuhusu ajira katika kampuni binafsi. Nimefanya kazi kwenye kampuni inayoitwa Temboking Limited, lakini sikuwa na mkataba wa ajira licha ya kukatwa makato ya NSSF kama kawaida. Hii inanifanya nisiwe na uhakika wa kazi, maana mwajiri anaweza kunisimamisha kazi muda wowote bila...
  9. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Serikali yasaini Mkataba wa Ujenzi wa Barabara ya Njia Sita Dodoma–Chamwino Ikulu, Bilioni 241 kutumika

    Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa upanuzi wa barabara ya Dodoma Mjini–Chamwino Ikulu yenye urefu wa kilometa 32 kuwa ya njia sita, mradi utakaogharimu takribani shilingi bilioni 241 hadi kukamilika kwake. Mkataba huo umesainiwa kati ya TANROADS kwa niaba...
  10. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga na GSM zasaini mkataba wa ujenzi wa uwanja wa Yanga

    Klabu ya Yanga leo imesaini mkataba na Mfadhili na Mdhamini wao Ghalib Said Mohamed wa ujenzi wa uwanja wao wa mpira Uwanja huo wa Yanga utamilikiwa kwa 50% na klabu ya Yanga na 50% na GSM Tanzania Limited Ujenzi wa uwanja huo upo kwenye mfumo wa partnership ambapo Yanga wamechangia ardhi na...
  11. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania TBS: Watumishi wa Mkataba walisitishiwa ajira zao kwa mujibu wa mikataba yao na taratibu zingine za kiutumishi

    UFAFANUZI KUHUSU WATUMISHI WA MKATABA KUTOTENDEWA HAKI Dar es Salaam, 10 Mei 2026 Shirika la Viwango Tanzania linapenda kutoa ufafanuzi kwa umma juu ya upotoshaji uliochapishwa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu watumishi wanaodaiwa kutokutendewa haki. Hoja ya awali ~ TBS haijatutendea haki...
  12. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Katika Mkataba wa Bomba la Mafuta Hoima -Tanga imeandikwa Refinery itajengwa Tanga.

    Watanzania hasa wapenda maendeleo suala la kujenga refinery ya Crude oil ya Uganda limeandikwa kwenye Mkataba siyo suala la Makubaliano na Dangote refinery ya crude oil itajengwa na waofanya drilling ya Total Energy. Lakini Tujiulize Refinery ya Mombasa itakua inasafisha mafuta gani? labda...
  13. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaingia soko la Dunia la Helium baada ya kusaini mkataba na mwekezaji Helium One Global. Serikali itamiliki hisa asilimia 17 tu

    Ndio kama mlivyosoma kwamba hisa za Serikali ni asilimia 17% tuu. https://www.instagram.com/p/DX1ya8oCn_S/?igsh=MWlja2xja2QxMHd2aw== My Take Kama hatuna pesa za kuingia kwenye ubia hakuna haja ya kusainiana.Pia soma (1) Mradi wa Kuchimba Gesi Adimu ya Helium kwenye Bonde la Ziwa Rukwa Kuanza...
  14. britanicca

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Graham Aitaka Udhibiti Kamili wa Hormuz, Akataa Mkataba Wowote na Iran

    Seneta Lindsey Graham alisifu vizuizi hivyo kwa kuidhoofisha uchumi wa Iran na akataja mashambulizi ya IRGC dhidi ya meli kuwa ishara ya kukata tamaa. Alimtaka Rais Trump achukue udhibiti wa Mlango-Bahari wa Hormuz na kuendeleza vizuizi hivyo, huku akikataa mkataba wowote unaoruhusu Iran...
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wafanyakazi wa mkataba wa Shirika la ICAP – Geita hatujalipwa mshahara toka Januari 2026

    Wafanyakazi wa mkataba wa Shirika la ICAP hatujalipwa mshahara toka Januari 2026, tumeulizia kwa RACC kiongozi mratibu wa Afua ya UKIMWI Mkoa lakini hatupewi majibu sahihi kila siku anatuzungusha. ICAP ni International Center for AIDS Care and Treatment Programs kwa Geita na Mwanza ila kwa...
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Nimefanya kazi Kampuni ya Wachina kwa miaka 10 bila mkataba, wameniondoa kazini bila kosa lolote, nafanyaje kupata stahiki zangu?

    Mimi nilikuwa Mfanyakazi kwenye kampuni ya Wachina inayojihusisha na michezo ya kubahatisha inaitwa BONANZA, ni kampuni maarufu sana na huenda ikawa ya kwanza kuingia nchini, nimefanya kazi takribani miaka 10 na bila mkataba wowote. Niliahidiwa kusainishwa mkataba kila siku zinapoenda mwisho wa...
  17. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Tenda za Zabuni za Taka, Kata ya Miburani hazijafunguliwa toka Mwezi Oktoba 2025. Mkandarasi apewa mkataba kinyume na taratibu za vikao

    Mkandarasi mwenyewe wa TAKA Kata ya Miburani ameshindwa kufanya kazi na kuna Hatari ya Magonjwa ya Mlipuko. Mchakato wa tenda umeingiliwa na wanasiasa
  18. N

    JamiiForums Tanzania Dereva bajaji ya mkataba anahitajika

    Dereva bajaji kwa mkataba anahitajika 1.Awe anaishi na kufanyia route Kigamboni 2.Awe na mdhamini mwenye makazi ya kudumu 3.Awe na leseni 4.Awe anafanya bolt 5.Awe mchapakazi na mwaminifu Mawasiliano:0757208745/0617984818
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Watumishi wa Mkataba Hospitali ya Sinza Palestina tunacheleweshewa mishahara, kila tukiuliza wanasema “Next week”

    Mimi ni mtumishi wa mkataba na hudumu katika Kituo cha Afya cha Sinza Hospital (maarufu kwa jina la Hospitali ya Sinza Palestina) kilichopo Wilaya ya Ubungo, Dar es Salaam. Kero yangu ni kwamba Watumishi kuanzia Wauguzi wasaidizi (nurse), Madaktari wote wa Mkataba tunakumbana na changamoto ya...
  20. Jackwillpower

    JamiiForums Tanzania KERO Madereva wa mkataba Ubungo halmashauri tunacheleweshewa mishahara

    Kwako Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Dr .Aaron Kagurumjuli , MADEREVA wa mkataba tumekuwa tunacheleweshewa mishahara kila mwezi hivo kupelekea kufanya kazi kwa mawazo, Kazi yetu inahitaji kuwa vizuri kimwili na kiakili ,mishahara imekuwa Hadi tarehe 15 ndio inatoka ,hii sio fair kabisa...
Back
Top Bottom