Kwa kipindi tulichopo nakushauri fukuza huyo waziri wako anaitwa Katambi huyu ni Kama anakuhujumu mchana kweupe.
Kwa kipindi kama hiki joto ni kubwa kwenye nchi yetu liko juu sana sio ndani ya nchi tu mpaka nje ya nchi tumeona nchi za magharibi zinataka kutunyima...
huyu
kipindi
mambo
mambo ya
mambo ya ndani
mzigo
naomba
ndani
rais
rais samia
rais samia suluhu
rais samia suluhu hassan
samia
samia suluhu
samia suluhu hassan
sio
suluhu
tatizo
waziri
Habari za majukumu wana-JamiiForums?
Naomba msaada wa kufahamu masomo rasmi yanayofundishwa kwa sasa katika ngazi ya Elimu ya Awali (Nursery) na Shule za Msingi (Primary) kwa mfumo wa English Medium.
Lengo langu ni kupata uelewa sahihi wa mtaala mpya ili niweze kuwaandaa vizuri watoto wangu...
Pendekezo jipya la Serikali ya Tanzania kuruhusu kukopa moja kwa moja kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) limezua mjadala mkali. Serikali inasema hatua hiyo itasaidia kukabiliana haraka na upungufu wa mapato unaotokana na matukio yasiyotegemewa.
Hata hivyo, wakosoaji wanaibua maswali muhimu...
Hello habarini mimi ni mgeni kwenye hii forum japo nilikua nikiiona siku nyingi hivyo basi nimeamua kuji register Rasmi ili niwe na uwezo wa ku reply kwenye mada zenu naombeni mnipokee kwa ukarimu
Habari ya majukumu ndugu zangu mafundi tiles.
Eti njia sahihi ya kubandika hizo tiles hapo pichani zinate vizuri hata watoto wakizichezea zisitoke ni ipi kati ya kutumia gundi yake au kuzibandika kwa kutumia cement.?
Fundi wangu kasema ninunue cement na dukani nilikonunua hizo ndude wanasema...
Kuna mada niliweka hapa kuhusu tabia hii ya mtindo wa ukamataji au kiufupi ni utekaji ambao ukijiambatanisha wasio julikana.
Kwa haya wanayofurahia na mtindo wanaotumia nilisema kuna siku kutatumika kama person ndani ya jeshi asilimia kubwa na ndogo itakuwa kwa wananchi.
Tusipo likemea na...
Endapo nitafariki na halafu bado ikiwepo naomba mazishi yangu yawe live kupitia JF. Zile sehemu ambazo tu kisheria na kimila, na utamaduni wa kiislam unaruhusu.
Kuanzia kuswaliwa, watu watapokusanyika mpaka hatma yake.
Natumai huu uzi utawakuta mkiwa katika hali ya utulivu huku mkinzigatia nature na life la kiturist.
Moja kwa moja kwenye mada, Inawezekanaje Leseni ya Udereva ya Tanzania inayotambulika na SADC kutumika Nchi za East Africa na Nchi za pembeni haitambuliki Zanzibar? Au sijaelewa vizuri...
Kwanza naomba kwa nitakae mchukiza kwa hiki ninachoenda kukiandika hapa tusameheane ila nitasema ukweli na ukweli tupu sitosema uongo.
Niende moja kwa moja, kwanza brother huyo binti au mwanamke kabla hujamuoa hakikisha unamjua vizuri nje ndani.
Sio unamjua juu juu tu kisha unapapatika kutaka...
Sijachanganyikiwa lakini nimefikiria TU maana sielewi kuishi ni bahati au Kuna Nini.
Mbona Toka kuzaliwa kwangu nimezika na kusikia misiba mingi.
Je? Kuishi ni bahati TU.
Maana kama mabasi nimepanda Sana pikipiki boti kutembea Kwa miguu barabarani kuogelea nk.
Kwanini Bado naishi?
Eti wakuu hiyo rangi hapo kwenye picha ni ya kupaka ndani au nje ya nyumba.?
Eti ni kweli kwamba rangi ikiwa na neno EMULSION haifai kupaka nje ya nyumba?
Kama rangi hii ni ya nje,je ni miongoni mwa rangi bora?
Kama sio,naomba mapendekezo ya rangi bora za kupaka nje.
Nyumba ilishapakwa...
Na mtu ambaye yupo Dodoma jana katutext eti ameshikwa na polisi tumlipie dhamana tokea hapo hatuna taarifa yeyote naomba msaada kama kuna mtu ambaye anaweza kutusaidia tumpate .
Maana hapatikani kwenye simu.
Tunaomba msaada maana hii ni serious . Mimi napendaga matani ila naombeni msaada...
Baadhi ya watumishi walioajiriwa wilaya ya Siha mwaka 2021, hatukulipwa mshahara wa kwanza wa July 2021.
Imepita miaka minne sasa unaenda mwaka wa tano.
Tumeshaandika sana barua na kujaza fomu za kulipwa mshahara huo lakini hakuna majibu yoyote ya kuridhisha.
Anonymous
Thread
halmashauri
juni
kwanza
mishahara
mwaka
mwaka 2021
naomba
siha
watumishi
wilaya
GUYS NAOMBENI UFAFANUZI WA MASWALI HAYA MAANA PENGINE SULUHISHO LA MGOGORO WA MAREKANI, ISRAEL NA IRANI NDO UKO HAPA.
1.Kwa muda sasa tumekuwa tukishudia uchokozi wa USA katika mataifa mbalimbali.Je Marekani ni nani hapa duniani?
2.Nchi zingine zote zilizopo hapa duniani zikiungana zinashindwa...
Jamani naomba nipate maelezo ya kina imekuwaje baadhi ya wanafunzi wamepangiwa somo la computer kwenye combination ya advance kwenye michepuo wa PMCs ilhali o level hawakuwahi kusoma Computer ufafanuzi tafadhali
Mimi ni mtumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Idara ya Utawala na Rasilimali Watu. Tuna changamoto kubwa inayohusu mfumo wa PEPMIS, ambapo mwaka 2025 tulitakiwa kupanda daraja lakini haikuwezekana kutokana na supervisors kushindwa kuingia kwenye mfumo huo.
Cha kusikitisha ni kwamba...
Anonymous (b4b1)
Thread
kazi
kero
kupanda madaraja
mbalimbali
msaada
naomba
sana
serikali
vigezo
wako
Wana jamvi, naomba mnisaidie tofauti ya CCM na makaburu walau kwa mambo yafuatayo;
1. Ni jambo gani baya sana mkoloni mweupe alitufanyia watanganyika ambalo CCM hajatufanyia?
2. Ni mambo gani mazuri CCM inafanya ambayo mkoloni alishindwa kutufanyia mpaka ikatubidi kumfukuza?
Binafsi maswali haya...
Kwamba kabla hawajafungiwa akaunti zao za nje je,hawawezi kuzichepusha ili zisifungiwe hususani kipindi hiki wakati mchakato wa utekelezaji wake unasubiriwa?
Ndugu zangu naomba kujua vyuo tajwa hapo juu vinapatikana wapi ?
Elimu yangu ni form 4 . Nilipata dv 3 natamani kusoma mitambo hio .kuopperate.
Naomba muongozo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.