Heshima kwenu moderators wa jamii forum, bila kuzunguka sana mimi raisi wa ma jobless pro max naomba ulinzi wenu siku ya leo humu jukwaani.
Ni kweli naipenda timu ya aArsenal ila inanitesa sana, sasa timu initese na hawa madogo wa JF wanizingue ah wapi.
Hakikisheni mna piga ban, yeyote atakaye...
Habari za zenu wana JF,
Husika na mada hapo juu mimi ni kijana Mtanzania, ambaye nimeona nikajitolee kulitumikia Taifa kupitia Jeshi la Wananchi.
Tangazo nililiona na vigezo vyote ninavyo, ila sasa sijaelewa kitu kimoja ambacho naomba msaada wenu kwa ambao mna uzoefu na hili jambo.
Shida...
Leo nimenunua mbwa Kwa ajili ya ulinzi nyumbani
Mbwa ni mlinzi mwaminifu
Mbwa sio kama binadamu kwamba ana usaliti
Naomba jina zuri Kwa ajili ya jibwa langu
Habari zenu wapenzi husika na mada apo juu nahitaji kwenda mwanza sijawahi fika uwo mkoa naitaji kujua bei ya bus na kampuni gani nzuri ambayo nitafurahia safari yangu.
Katika dunia ya leo, hotuba ya kiongozi si maneno tu—ni taswira ya taifa, dira ya wananchi, na wakati mwingine ni ujumbe wa kimataifa unaobeba heshima au aibu ya nchi.
Ndiyo maana inapotokea hotuba yenye makosa ya wazi ya lugha, taarifa zisizo sahihi, au ujumbe usioeleweka, wananchi wengi...
Nahitaji Speaker na Mic mbili zile zinazotumika sana kuhubiria Injili barabarani(mitaani).
Naomba mnishauri ni aina(brand) ipi ina ubora wa sauti, portable na sifa nyingine muhimu za ziada.
Natanguliza shukrani 🙏
Wakuu,
Naomba msaada kwa yeyote anayeelewa namna engine inafanya kazi kwa uhusiano wa tuta na mafuta kuisha.
Nilipitia kwenye post ya Eliudi alitoa listi ya matuta Goba then jamaa mmoja akasema ishu ya mafuta kuisha,
Nataka kuelewa ili nitathmini kwa mazingira ya barabara ya huku mtaani kwetu...
Najua watu wengi huku ni watu wa heshima na wengine wapo top kwenye maamuzi mengi, na ni muda mrefu umepita bila self reflection.
Sasa kukosa self reflection ni kama kuanguka kidogo kidogo. kwakua ukiwa katika stage fulani unaweza usikutane na anayekukosoa ana kwa ana sanasana wengi watakua...
Wasalaam
Naomba kuelekezwa namna ya Kufika Idodi, Iringa nikiwa natokea Njombe kwa usafiri wa basi.
Nipo mapumzikoni Njombe Nimekaa iddle na ningetamani kuhudhuria msiba wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Isimani Mh. William Lukuvi
Ahsante.
Dr Mussa Zaganza: I am looking for these old cosmetics
They are sold at Isirii shops
: Plaese help me to contacts of sellers
My number is : +255 713 039 875 Dr.Mussa Zaganza
Pamoja, tunaweza!!
Wakuu nilianza kupata changamoto ya hairline kurudi nyuma japo umri wangu ni miaka 28 nilijaribu kutumia mafuta mbalimbali but sikupata matokeo. Ni kwamba nywele zangu za mbele zimeanza kuondoka.
Baada ya kufeli nikaamua kutumia Minoxidil kirkland nakimbilia mwezi sasa but changamoto nayikutana...
Eid Mubarak.
Naomba kueleweshwa mfuko wa bond wa UTT AMIS.
Mfano muwekezaji akiwekeza million 100, gawio lipoje?
Na je kuna uwezekano wa mtaji huo wa million kukuwa?
Na je hizo bond huiva baada ya muda gani?
Habari za wakati ewe Boss au dereva mwenzangu.
Naamini chuki husababishwa na hasira basi nakuomba hiyo chuki itoe kwangu unipe connection ya Kazi ya udereva.
Mimi ni professional Driver.
Nimesoma Basic Driving Veta Cheti ninacho
Nimesoma Professional Driver kwenye chuo cha National Institute...
Habari ndugu zangu. Kuna ndugu yangu ana nyumba huko Mbezi Msakuzi. Leo wameitwa na mwenyekiti wa mtaa na kuelezwa kuna mtu amekwenda ofisini kwake akamueleza anaomba ampatie barua ya kufufua mipaka ya eneo lake.
Kwa maelezo ya mwenyekiti, mama huyo anadai mumewe alinunua eneo mwaka 1989 na ana...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba msaada kwenye hilo
Mwenye uzoefu na friji za Tmall naomba anambie kuhusu ubora wake au ni friji ipi nzuri kwa bajeti isiyozidi laki tano
Nina miaka 25
Elimu ni shahada ya maendeleo ya jamiii.
Mahali ni Dar es salaam
Naombeni KAZI yoyote ndugu zangu.
Ya kutumia nguvu akili nk
Ila isiwe kazi haramu hata kama ni haramu niambie niangalie risk zake kwanza.
Ahsante sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.