naomba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    JamiiForums Tanzania Naomba mwenye ushahidi na orodha ya matusi ambayo lissu amewahi kumtukana Rais ayaweke hapa ili tusaidiane kumkanya mi nimeyatafuta sana siyaoni

    Kila mara nawasikia watu wanasema lisu anastahili anachopitia kwa sababu alimtukana Rais, ila kiukweli nimesikiliza hotuba zake na kusoma machapisho yake mbalimbali, sijawahi kukutana na tusi labda kama matusi siyajui vizuri basi kwa kuwa jf tuna utajiri wa kila namna hebu wajuvi wa mambo...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Naomba sababu kwanini niendelee kutumia mafuta zaidi ya 400K kila mwezi wakati ninaweza kubadili gari itumie gesi ya 60K hadi 100K kwa mwezi

    Tuchukulie mfano wa mtu anayesafiri km 30 hadi 35 kila siku ndani ya mji. Kwa mwezi (siku 30), atakuwa amesafiri takribani km 900. Petrol - 4000 kwa lita Gesi - 1545 kwa Kg Sasa tuangalie upande wa gesi. Kwa gari la CC 1900, mfano Nissan X-Trail, kwa mafuta inaweza kukulamba lita 1 kwa km...
  3. Goodluck Boaz

    JamiiForums Tanzania Naomba kuuliza kwenu wana JF

    Msaada, samahani wana JF kama unaandika barua ya kuomba nafasi zilizotangazwa na chuo kikuu, mfano unaomba nafasi ya uhasibu katika XYZ university, barua utakayoandika utatakiwa kumuaddress HR ama Principal wa chuo? Kuuliza si ujinga. Asante
  4. Mama Edina

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kwenye ess kuomba mkopo

    Nikifika hatua ya mwisho napata ujumbe huu, na nimefanya kila kitu kujaribujaribu bado ujumbe ni ule ule Nimewasiliana na benk wanaelekeza na nafanya marekebisho wapi. Nionacho wataalaam wa IT wanisaidie hili jambo
  5. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Naomba orodha za changamoto ulizowahi kukutana nazo wakati ukifuatilia huduma TRA.

    Wakuu samahani naomba mtu yeyote aliyewahi kukutana na changamoto yoyote katika suala lolote linalohusiana na Huduma za TRA aandike hapa,itapendeza zaidi ukifafanua ugumu ulikuwa wapi,? Zaidi naangazia katika malipo ya kodi,kujaza compliance,kutoa mzigo bandarini,kupitisha mzigo mpakani,nk...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Jamani naomba kuuliza mchange wa ccm anaakili timamu au ni dishi lililoacha dawa kama machawa wa ccm wengine wakiwa humu jf?

    Kama kichwa Cha habari kilivyo hapo juu, ndugu zangu hapa namaanisha those with sober mind na sio machawa nimemsikiliza mtu anaitwa mchange online tv anasema Mnyika hakugombea ubunge 2015 Kwa kuwa hakukubaliana na ujio wa Lowassa sasa swali langu ni je huyo jamaa mchange akili zake ziko sawa au...
  7. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Watu wa Kanda ya ziwa hebu naomba mnijibu hili swali kuhusu fisi

    Je, fisi anaona usiku? Kama anaona anajuaje kama binadamu haoni usiku? Nani anamwambia? Nasema hivi kwa sababu kule Shinyanga ukipita mida ya usiku unakuta fisi kajibanza tu sehemu kwa kuamini kuwa humuoni, lakini mchana hafanyi hivyo. Anajuaje kwamba binadamu usiku haoni? Seran, Shytown.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Jamani naomba kuuliza ile kauli ya who are you bado inafanya kazi?

    Kuna kauli ilitokewa kwenye kikao Cha genge la wanaccm walioitwa wazee wa daresalama inayosema 'who are you ' sasa swali langu je kauli hiyo inafanya kazi? Hapa zingatia hatua ambazo US, Commonwealth na EU wameshaanza kuzichukua na matokeo ya hatua hizo. Pia soma: PostGE2025 - Balozi wa Umoja...
  9. SweetyCandy

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada nipo serious

    Wadau wa jf naare?? Sasa mimi napenda sana pangani , ila nasikia pangani uwizard umezidi sana,.. Lengo langu la hii post nilikuwa naombeni jamani mtu serious sana tukiacha watani wa humu,,nilikuwa namtafuta mtu mwenyeweji wa kule anipe ushirikiano mzuri wa kuifahamu pangani na sehemu zake...
  10. Romanus js

    JamiiForums Tanzania Wakuu naombeni msaada wenu katika hili

    Nimekuwa nikifanya utafiti wa kina na maandalizi ya bidhaa moja ya kibunifu (innovative product) kwenye sekta ya vinywaji hapa nchini. Bidhaa hii inaleta suluhisho la kipekee sokoni na tayari nimeshaanza hatua za msingi za kisheria na usajili na mamlaka husika (TBS/TRA) ili kuhakikisha kila kitu...
  11. Msanii

    JamiiForums Tanzania Naomba mnielimishe umuhimu wa Imani na Dini

    Imani haina tofauti na itikadi. Imani inakupa mwelekeo wa kusimamia masuala yanayohusu utawala usioonekana kwamba ndiyo unaotawala fikra na hisia kuhusu uwepo, uumbaji na yanayodhanika kujiri baada ya nafsi na roho kuachana na mwili. (Hii ni tafsiri yangu) Dini, ni utaratibu uliobuniwa na...
  12. Kevzy

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali naomba mlimalizie Daraja la Kimara mnahatarisha usalama wa wananchi

    Kazi iendelee Kwenu Serikali, mliyempa kandarasi ya kujenga dalaja hilo tajwa hapo juu naomba mumshupalie alimalizie, na kama mnalirekebisha ninyi wenyewe naomba mfanye haraka kulimalizia, limalizieni au lirekebisheni haraka Kama wewe ni mkazi wa Kimara utaelewa nazungumzia nn! Simu yangu...
  13. Gabb_y

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa kufika bungeni

    Habari wana JamiiForums. Nina ombi la dhati. Mimi ni kijana wa miaka 21 kutoka Tanzania, na moja ya ndoto zangu kubwa ni kupata nafasi ya kutembelea Bunge la Tanzania na kushuhudia kikao cha bunge nikiwa kwenye jukwaa la wageni. Nimekuwa nikifuatilia mijadala ya bunge kwa muda mrefu, na nina...
  14. UMUGHAKA

    JamiiForums Tanzania Ninaomba Rasmi niwe Mlinzi wa John Heche,Viongozi wa Chadema mkipata huu Ujumbe tafadhali sana naomba mumfikishie John Heche

    Nsikuchoshe na Usinchoshe,Tusichoshane! Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mtakaopitia huu Ujumbe,Tafadhali sana naomba mumfikishie Mh.Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya kwamba ninaomba kwa ridhaa yangu mwenyewe niwe mmoja ya Walinzi wake...
  15. under500

    JamiiForums Tanzania Mwanachama Mpya JF: Naomba Mnikaribishe

    Habari za j2 wakuu Mm ni mwana chama mpya hapa JF ndo najiunga leo kwa mara ya kwanza japo kuwa nilianza kufatilia JF toka mwaka 2024 ila ilishindikana kujiunga coz nilikua natumia simu ndogo Naombeni mnipokee wakuu nawakubali sana Wana JF
  16. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Tanzania Jibu swali! Naomba kuuliza na hili swali ninaomba nijibiwe.

    Sina haja ya kuiuliza AI nakuuliza wewe na wewe usiiulize AI. Nipe jibu lako wewe km wewe. Swali langu ni hili hapa, Kwanini kuna watu wanawahi kuzeeka na kwanini kuna watu wanachelewa kuzeeka? Usiniambie suala la chakula, vinywaji na mazoezi, tafadhari sana hayo yote nayajua. Nipe sababu...
  17. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Rais Samia suluhu Hassan Naomba mfukuze waziri wa mambo ya ndani huyu anakuhujumu mchana kweupe

    Kwa kipindi tulichopo nakushauri fukuza huyo waziri wako anaitwa Katambi huyu ni Kama anakuhujumu mchana kweupe. Kwa kipindi kama hiki joto ni kubwa kwenye nchi yetu liko juu sana sio ndani ya nchi tu mpaka nje ya nchi tumeona nchi za magharibi zinataka kutunyima...
  18. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamu masomo yanayofundishwa sasa hivi ngazi ya Nursery na Primary (Mtaala Mpya - English Medium)

    Habari za majukumu wana-JamiiForums? Naomba msaada wa kufahamu masomo rasmi yanayofundishwa kwa sasa katika ngazi ya Elimu ya Awali (Nursery) na Shule za Msingi (Primary) kwa mfumo wa English Medium. Lengo langu ni kupata uelewa sahihi wa mtaala mpya ili niweze kuwaandaa vizuri watoto wangu...
  19. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Naomba majibu sahihi kutoka kwa wataalamu wa Uchumi

    Pendekezo jipya la Serikali ya Tanzania kuruhusu kukopa moja kwa moja kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) limezua mjadala mkali. Serikali inasema hatua hiyo itasaidia kukabiliana haraka na upungufu wa mapato unaotokana na matukio yasiyotegemewa. Hata hivyo, wakosoaji wanaibua maswali muhimu...
  20. D

    JamiiForums Tanzania Naomba 'connection' ya wanaotoa mkopo binafsi, nimekosa vigezo vya bank.

    Napitia changamoto kubwa mno. Naomba mwenye uwezo wa kukopesha, nitarejesha kidgo kidogo kwa 6 months . Kwa interest atakayosema yeye
Back
Top Bottom