muda

MuDA was the acronym of the Museum of Digital Art, an art space dedicated to digital arts. The institute was opened in February 2016 in Zurich by the non-profit Digital Arts Association. It closed by the end of June 2020.

View More On Wikipedia.org
  1. Lighton

    JamiiForums Tanzania Nimejifunza mengi katika muda mchache

    Wakuu..... imepita kama mwezi 1 na nusu tokea nipitie changamoto ambayo baadae ilinipa funzo kuhusu namna ya kuishi kwa mipango. Nilipuuzia sana kuhusu pesa ya akiba, sikuwa na bajeti ya matukio ya imejens. Basi siku hiyo ikafika, nikamgonga mlevi mmoja alikuwa anakatisha barabarani, mlevi...
  2. B

    JamiiForums Tanzania LIVE: JOHN HECHE ANAZUNGUMZA MUDA HUU MAKAO MAKUU YA CHADEMA

    15 September 2026 Maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani, yaliyofanyika leo Septemba 15 LIVE: JOHN HECHE ANAZUNGUMZA MUDA HUU MAKAO MAKUU YA CHADEMA https://m.youtube.com/watch?v=lFT4XNZsv50 Hon. John W. Heche speaking at the World Democracy Day Celebrations, held today, September 15, 2026...
  3. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Kajala: Natamani muda urudi nyuma nianze upya nilipokosea, ila nashukuru napumua

    "napitia kipindi kigumu sana, Sina furaha yoyote kwenye maisha yangu, usiku silali nawaza furaha naitoa wapi kama wengine, sometimes watu wakiniona nje wana hisi ni mtu mwenye furaha ila ukweli ni kwamba nateseka sana Paula ndo anaelewa. Mara watu wakuseme hivi mara vile, mara umri umeenda huna...
  4. McLaren

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Gen Z amkabia trafiki kwa juu. Ambana Trafiki kwa kumrekodi muda wote ili asipokee rushwa

    Wakuu Kijana mmoja anayejulikana kwa jina la Ezra Kachelo amezua gumzo kubwa kwenye mitandao ya kijamii nchini Kenya kumfukuza afisa wa polisi wa usalama barabarani (trafiki) aliyekuwa akituhumiwa kupokea rushwa kutoka kwa madereva wa matatu katika Kaunti ya Kiambu. Katika video iliyosambaa...
  5. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Mnaowekeza Arusha karibu na uwanja wa AFCON wekeni mikakati ya muda mrefu kuendeleza biashara na sio faida ya mwezi mmoja ya AFCON.

    Enzi za JK watu walikimbilia kuweka mahoteli ya kifahari Mtwara bila kuwa na mikakati ya muda mrefu wakaishia kutoa milio baada ishu ya gesi kutokwenda sawa. Kwa sasa naona watu huko Arusha wanawekeza mahoteli wakiitaja sana AFCON kama lengo lao. Ikumbukwe AFCON ni mashindano ya mwezi mmoja tu...
  6. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Baada ya dilema ya muda mrefu sasa yametimia nilichokuwa nakiwaza kimetokea nini kinafuata sijui

    Wakuu nilikuwa na mtanziko wa muda mrefu kuhusu nini ni-priotize katika maisha yangu biashara au ajira au vyote kwa pamoja. Muda wote huo nilikuwa nikifanya biashara ambayo ilinifanikisha kujenga nyumba mbili na kununua viwanja kadhaa mjini (Dar) na mkoani, lakini pia niliweza kutanua wigo kwa...
  7. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Kuna muda huwa napitapita kule gerezani kwangu kuona wafungwa wangu wanaendeleaje.

    Wale ninaowaona wamejirekebisha nawaachia huru, wale wanaojitahidi kubadilika; nawapunguzia vifungo, wale walioshindikana wananyongwa😁😂😂
  8. The Ghost Scripter

    JamiiForums Tanzania Kabla muda haujakufanya kuwa kumbukumbu, ifanye leo kuwa kweli...

    Kuna siku dunia itaendelea kusonga mbele bila uwepo wako. Watu wataamka, jua litachomoza, barabara zitaendelea kuwa na pilikapilika, biashara zitaendelea, mazungumzo yataendelea—na maisha yataendelea kama kawaida. Na hupaswi kuogopa hilo. Kwa sababu ukweli kwamba dunia inaweza kuendelea bila...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Maombi ya Uhamisho wa kubadilishana yamekwama muda mrefu TAMISEMI, kwanini?

    Nafanya kazi kama Mwalimu wa Shule ya Msingi katika Wilaya ya Buhigwe, mkoani Kigoma, kero yangu kubwa ni kuhusu kuchelewa kwa vibali vya uhamisho wa kubadilishana kwa watumishi wa kada mbalimbali nchini. Nimekuwa nikifuatilia uhamisho wa kubadilishana sababu familia yangu ipo Singida. Nilianza...
  10. David ngayanimo

    JamiiForums Tanzania MSANII G SOLO - MUDA WA VITENDO

    🔥 JE, HIP HOP YA ZAMANI ILIKUWA SAUTI YA JAMII? Kuna kipindi Hip Hop haikuwa burudani pekee, bali ilikuwa pia kioo cha jamii. Wasanii walitumia kalamu zao kuzungumzia maisha ya wananchi, siasa, uchumi, rushwa, elimu, ajira na changamoto mbalimbali zilizokuwa zikiikabili Tanzania. Leo...
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO ESS na PEPMIS ni kitanzi kwa Watumishi, kila muda mfumo huo unapotea hewani

    Serikali ilitambulisha mfumo wa ESS kwa Watumishi wa Umma miaka mitatu iliyopita. Ndani ya mfumo huo kuna jukwaa la E-Utendaji (PEPMIS), ambalo mtumishi anatakiwa kuingiza majukumu yake ya kazi kila siku. Bahati mbaya, kwa sasa mfumo huo hauko imara. Kuna muda unakuta jukwaa la E-Utendaji...
  12. MSAGA SUMU

    JamiiForums Tanzania Peter Greenberg hajatoa pole kwa mh. Rais mpaka muda huu

    Wakati wa shida ndio utajua nani rafiki yako. Rafiki mpendwa wa mheshimiwa rais Samia ndugu Peter Greenberg ameshindwa kutoa pole zake kwa Samia kufuatia kifo cha mzee Hafidhi. Kuelekea masaa 24 baada ya msiba hamna rambirambi kutoka kwa Greenberg hata kashindwa na wavuja jasho wakina Kigwangallah
  13. online GOVT applications

    JamiiForums Tanzania MEGA THREADS: OKOA MUDA NA PESA YAKO: Acha Mimi Nikufanyie Maombi Yote ya Serikali

    Habari Wakuu, Umechosha na foleni? Umechoka na mfumo unakwama? Umejaribu kujaza maombi lakini umekwama katikati? Usijali tena. Nipo hapa kukupa suluhisho la haraka, la uhakika na la kitaalamu kwa huduma zote za serikali na kitaaluma mtandaoni. Kazi yangu ni kuhakikisha unapata huduma yako kwa...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Muda wa kuamka ni sasa

    (Emancipate from mental Slavery) Watanzania kwa ujumla wetu bado tumelala usingizi mzito tukiota ndoto za jinamizi kuhusu mustakabali wa Taifa letu. Mambo nayoyasoma na kuyasikia yakitoka vinywani na maandishi kusema kweli ni aibu kwa taifa ambalo waasisi wetu walitujengea misingi bora ya...
  15. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Magari ya Wagonjwa Yawe Tayari na Mafuta muda wote

    Magari ya Wagonjwa yawe tayari muda wote. Tulishanunua magari, yawe na mafuta. Kila wakati yawe na mafuta. Tusichangishe wagonjwa kuweka mafuta kwenye gari ya Serikali kubeba mgonjwa ambaye yuko mautini-Waziri Mkuu Dkt.Mwigulu Nchemba. 📍Ilongero-Singida 🗓️Septemba 06, 2026 ——————- Amesema...
  16. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Yote ni ubatili! Ujana ulinifanya niwe wa moto sana kwa wadada wenye makalio makubwa. Nilitumia pesa sana lakini nilipoteza muda ila niling'atuka

    Haya yote ni kutokana na kuathrika na kuangalia porno toka utotoni, nikajikuta kuwaona wadada wenye makebo makubwa ni viungo vya starehe na sio watu wa kawaida Niliwafanya kila namna, niliwageuza kila angle, huku nikiwa najipa moyo nitatosheka ila hakuna kitu , unacheza tu na mihemuko yako...
  17. Vien

    JamiiForums Tanzania Hapa mjini, kupata maziwa pure ambayo hayajaongezwa kitu ni kama bahati ya mtende😃

    Hapa mjini, kupata maziwa pure ambayo hayajaongezwa kitu ni kama bahati ya mtende. 😃 Hebu fikiria hii scenario... Aliyekamua maziwa kutoka kwa ng’ombe, akaweka maji kidogo. Yule msambazaji naye akasema, “Ngoja niongeze yangu kidogo.” 😂 Yakafika dukani kwa Mangi, Mangi naye akayaangalia na...
  18. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Muda Haumsubiri Mtu

    Muda hausimami kwa ajili ya mtu yeyote. Leo tunasema “bado nina muda”, kesho tunasema “ningejua…” Kila sekunde inayopita haijirudii tena. Pesa inaweza kupotea na ikapatikana tena, mali inaweza kuharibika na kujengwa tena, lakini muda ukishapita, haurudi. Cha kushangaza zaidi ni kwamba...
  19. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Nataka nifungue mgahawa ambao nitakuwa nikionyesha video za Prof Janabi muda wote kama burudani

    Nimeamua kuja na huu ubunifu. Hela nitapiga. Unapata msosi huku ukitazama video za Prof Janabi akishauri mambo ya afya. Itakuwa ni burudani kwa wateja wangu. Natumaini wateja watafurahi. Una maoni gani kuhusu hii idea?
  20. bless on

    JamiiForums Tanzania Saa Sita Mchana: Muda Hatari Zaidi Kuliko Usiku wa Manane!

    Acha kuogopa usiku wa manane! Muda wa hatari zaidi wa kupoteza akili, kufanya maamuzi ya hovyo, au kupishana na majini si saa saba usiku... Ni SAA SITA KAMILI ZA MCHANA! Unadhani wazee walikukataza kuzurura njia panda au chini ya misonobari muda wa mchana kwa bahati mbaya? Hii hapa siri ya...
Back
Top Bottom