wanadamu ni mafupi na yenye mahangaiko mengi, na hakuna jipya chini ya jua.
Hapo utaona mambo matatu Mwanadamu, Maisha, na Mahangaiko.
Tumesema hapo juu kuwa maisha ni mafupi sana, kwa uzoefu mdogo utaona kuwa umepitia utoto, baadaye ujana, na huenda kwa sasa wewe ni mzee. Kesho huenda ukawa...