mbeya

  1. Traxtion

    Wachina wamejaa Tanzania, sasa hivi wameanza kuhamia Mbeya

    Sio kwa ubaya, ila najiuliza huwa wanafuata nini huku Africa wakati nchi yao imeendelea sana Najua watu watasema Wachina wamefuata madini, ila trust me wachina wengi tunaowaona mtaani hata sio watu wa hizo sekta. Wa madini wengi wanaspend muda wao maporini huko Kuna hawa wanaishi huku yani...
  2. Cute Wife

    Baada ya kupigwa 6-0 na Yanga, Mbeya City yamtimua na Kocha Mexime na Wasaidizi wake

    Mbeya City FC imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kusitisha mkataba wa Kocha Mecky Maxime pamoja na wasaidizi wake ambao ni Kocha Msaidizi Nizar Khalfa na Kocha wa utimamu wa mwili Francis Mkanula. Tunatambua na kuthamini jitihada walizofanya katika kuboresha utendaji wa timu yetu na...
  3. A

    KERO Uongozi wa Hospitali ya Wilaya ya Igawilo – Mbeya boresheni huduma kwa wateja

    Sisi baadhi ya wananchi tuna malalamiko kuhusu hali ya utoaji huduma katika Hospitali ya Wilaya ya Igawilo, zipo changamoto mbalimbali zinazoathiri upatikanaji wa huduma bora za afya kwa leo nitazitaja mbili tu. Kwanza kabla ya yote kuna huduma zisizoridhisha kwa baadhi ya Watumishi...
  4. Mzee makoti

    Full Time: Yanga SC 6-0 Mbeya City| Ligi Kuu | Yanga yaiacha Simba pointi 8

    Yanga imefanikiwa kuifunga Mbeya City United magoli 6-0 kwenye Uwanja wa KMC, hivyo kufikisha pointi 47 ikiendelea kuongoza Ligi Kuu Bara kwa tofauti ya pointi 8 dhidi ya Simba inayoshika nafasi ya pili ikiwa na alama 39. ============== Yanga Sc leo wapo uwanjani wakiwakaribisha Mbeya City...
  5. S

    Tundu Lissu akiachiwa, mikutano yake ya hadhara itajaa sana, na ikiwezekana mkutano wake wa kwanza uwe Mbeya alikokamtwa kabla ya kuwekwa gerezani

    Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, huo ndio mtazamo wangu na pia ni ushauri wangu kwa chama iwapo Tundu Lissu ataachiwa kutoka gerezani. Tundu Lissu akiwa gerzani shida, akiwa nje shida. Mtajua hamjui.
  6. Roving Journalist

    Watangazaji wawili wa KYELA FM walioshikiliwa na Jeshi la Polisi waachiwa kwa dhamana Mkoani Mbeya

    Wanahabari wawili wa kituo cha redio cha Kyela FM, Tumsifu Katina na Emmy Eliud, wameachiliwa kwa dhamana asubuhi ya leo Aprili 15, 2026 baada ya kushikiliwa na Jeshi la Polisi tangu jana mchana. Meneja wa Kyela FM, Lamso Malongo amethibitisha kuwa wanahabari hao kwa sasa wako huru na taratibu...
  7. A

    KERO Uhamiaji Mbeya wananizungusha kupata Passport, kila nikienda wanasema hakuna Mtandao

    Idara ya Uhamiaji Mbeya imekuwa changamoto na kero kubwa, nimeenda kuomba Passport nimerudi zaidi ya mara 4, mwezi sasa umeisha wanasema hakuna Mtandao wakati sisi tunajaza form zao online, tukiwapelekea wao wanasema mtandao hamna mbona form zao tunajaza bila shida, kwanini wao ofisini kwao...
  8. A

    KERO Nauli zinapanda MBEYA na SONGWE kiholela

    Umbali kutoka kyela-mbeya mjini ni km 83 nauli ilikuwa sh.7,000...imepanda Hadi sh.10,000. Pia umbali Toka tukuyu-mbeya mjinj ni km 45 nauli ilikuwa sh.4000 imepanda Hadi 5000. Pia umbali Toka mbeya-tunduma ni km. 103 nauli ilikuwa sh.5000 Sasa imeongezeka Hadi sh. 7000. Yaaani tunduma-mbeya...
  9. A

    KERO Barabara mbovu Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya

  10. Roving Journalist

    Muonekano wa taa mpya zinazofanya kazi Kituo cha NaneNane mkoani Mbeya

    Baada ya malalamiko kadhaa ya Wananchi kuhusu Stendi ya Nane Nane Mkoani Mbeya kuwa na changamoto ya kuwa na kiza wakati wa usiku kutokana na Taa kutofanya kazi, kwa sasa kituo hicho kina taa mpya ambazo zinafanya kazi. Hoja ya awali hii hapa ~ Stendi ya NaneNane – Mbeya taa haziwaki usiku...
  11. A

    KERO Responded Stendi ya NaneNane – Mbeya taa haziwaki usiku, tunalazimika kutumia tochi za simu

    Watumiaji wa Stendi ya NaneNane Mkoani Mbeya tuna changamoto inayohusiana na usalama wetu, kwani nyakati za Usiku abiria wanaoshuka hapo wanakutana na giza kwa asilimia kubwa. Taa zipo ila haziwaki, tunateseka sana, tunalazimika kutumia mwanga wa simu, hatujajua shida nini. Tatizo hili...
  12. A

    KERO Abood wametukomesha, safari ya Dar – Mbeya imechukua Saa 24, wana huduma mbovu kwa wateja

    28 FEBRUARY 2026, Basi la Abood lilitoka Mbezi Bus Terminal, kufika chuo cha St Joseph likapata hitilafu, wahusika wakatoa taarifa kuwa Bus imekata Fen Belt, hivyo abiria tuwe wavumilivu fundi anakuja. Tulikaa tangu Saa 1 Usiku hadi Saa 5 Usiku ndio Bus linaanza kutoka tena safari ya kutoka...
  13. BumbleBeeBot

    Mbeya wadada wengi hawajatulia aisee

    Wakubwa mi nimeishi Dar, Kibaha na sasa Mbeya (mjini). Aisee hapa Mbeya wadada wengi ni bed to bed midfielder. Labda kwasababu mgeni sielewi sana maeneo, ila wadada wengi ukitongoza mmekutana kabwe, mwanjelwa, soweto mpaka Sae ni wapo kimkakati sana usiombe ukutane na mdada akwambie anaishi...
  14. A

    KERO Kitengo cha Mapokezi Hospitali ya Rufaa Mbeya hakina huduma nzuri, kuna mtumishi anaongea sana na simu, hajali wagonjwa

    Watu wa Mapokezi ya Wagonjwa katika Hospitali ya Rufaa Mbeya hawana huduma nzuri kabisa kwa Wananchi wanaofika kituoni hapo. Mfano kuna mtumishi mmoja anaongea na simu muda mwingi bila kujali wagonjwa walio mbele yake, amekuwa na kawaida ya kufanya hivyo na hajali wanaohitaji kuhudumiwa. Mbali...
  15. Mwanongwa

    KERO Barabara ya Mbeya kwenda Chunya ni janga jipya la mkoa

    Hivi Viongozi Wa Serikali Mmeiona Barabara Ya Mbeya Kwenda Chunya? au wenzetu Kuna njia nyingine mnaitumia na siyo hii tunayopita sisi wananchi. Barabara Ina Mashimo Utadhani Mahandaki Magari Yanaharibika Kila Kukicha Kutokana Na Ubovu Wa Barabara. Tanroad Mbeya Mmejikausha Kama Vile Hamuoni...
  16. A

    KERO Vyoo vya Soko jipya la Mbeya ni bora ujisaidie nje, ni vichafu

    Uongozi wa Jiji la Mbeya uangalie namna ya kufanya kuhusu Vyoo vilivyopo katika Soko jipya la Mbeya. Sinki ni la bati na uchafu unabaki kwenye bati la pembeni. Kwa ufupi mazingira ni machafu. Wahusika wanaangalia tu hela wanazowatoza watu kutumia lakini katika sula la usafi ni 0%.
  17. jashmoe32

    Msaada wa Mabasi ya Mbeya to Tabora

    Habarini, Je Kuna mtu ana ufahamu wa mabasi ya kutoka Mbeya kwenda Tabora? Je ni safari ya muda gani kama tukianza asubuhi?Barabara ni Rafiki au? Ahsante
  18. M

    Orodha ya majiji na watu walioyashikilia kiuchumi,

    DAR - Watu wa Kilimanjaro, Pemba, Njombe, Kigoma, Mara, Mwanza, n.k. MWANZA - Watu wa Simiyu na Mara. ARUSHA - watu wa Kilimanjaro wamedominate sana Mbeya - Watu wa Njombe Dodoma na Tanga sijajua
  19. Roving Journalist

    Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya yaadhimisha Siku ya Sheria, yasisitiza utoaji Haki na Ufanisi wa usikilizaji mashauri

    Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imeadhimisha Siku ya Sheria Nchini katika viwanja vya Mahakama Kuu, ambapo Jaji Mfawidhi wa Kanda hiyo, Joachim Tiganga, amesema kuwa wajibu wao wa kikatiba ni kutoa haki kwa wananchi na kwamba wameendelea kuutekeleza kwa kusikiliza mashauri na migogoro mbalimbali...
  20. Dalton elijah

    Kamata Kamata ya CHADEMA Mbeya yashika kasi

    Kamata kamata ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuwasweka ndani, inaendelea kushika kasi mkoani Mbeya baada ya Katibu wa chama hicho Wilaya ya Rungwe, Award Karonga kukamatwa kwa tuhuma za uchochezi. Taarifa iliyotolewa leo na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya...
Back
Top Bottom