Katika mikoa niliyo tembea hapa Tz mbeya ni kiboko...
Ndo maana kuna makanisa mengi sana, wale jamaa ni wachawi vibaya mno.
Baada ya kumaliza chuo nilienda mbeya kujitafta hiyoo ilikuwa mnamo 2021... Nilikuwa na marafiki zangu huko. Tulipata mchongo private sector.
Tukapanga vyumba sehemu...
Tunaomba kufahamu hatima ya wanafunzi waliozuiliwa kufanya Test 1 katika Chuo cha MUST, ambapo mfumo wa matokeo umeonyesha alama za ABSC. Kwa mujibu wa taarifa kutoka chuoni, wanafunzi hao watafanya mtihani huo kipindi cha SUPP mwezi Oktoba.
Changamoto kubwa ipo kwa wanafunzi wa Diploma mwaka...
CCM policy ya kuua upinzani ni hiyo
Hii ina baraka za samia maana alisema ugaidi wa vijana katika hotuba yake juzi
===========
Viongozi watatu wa CHASO Mkoa wa Mbeya pamoja na vijana wengine watatu waliokamatwa Mkoani Mbeya tarehe 03/07/2026.
Baada ya kukaa ndani kwa siku 20, hatimaye leo jioni...
Wanafunzi na baadhi ya walimu katika upande wa afya wanatoa tuhuma dhidi ya viongozi watatu wa chuo ambao ni Liberatus Phillip (Mkuu wa Chuo upande wa Afya), Sylvester Mgeta (Mtathmini Ubora) na John Michael Henry (Mkuu wa Idara ya Famasi), wakidai kuwa wamekuwa wakijihusisha na vitendo...
Anonymous
Thread
chuo kikuu
idara ya afya
malalamiko ya wanafunzi
mbeya
teku
teofilo kisanji
Habari za muda huu ndugu wapenzi wa jukwaa hili la JamiiForums.
Kuna Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Ikulu iliyopo jijini Mbeya, anaye julikana kwa jina la Godfrey Sitayila amekuwa kero kubwa sana kwa wazazi wa wanafunzi wanaosoma shuleni hapo.
Amekuwa akitoa kauli ambazo siyo nzuri kwa...
Eneo la Kabwe ni mfano halisi wa changamoto zinazohitaji maamuzi ya uongozi.
Wafanyabiashara wadogo wanahitaji kupangwa katika maeneo yanayofaa ili waendelee kutafuta riziki bila kuziba njia za watembea kwa miguu na kuathiri mtiririko wa magari.
Ni kweli kwamba uamuzi wa kuachia stendi ya...
Hivi Tanzania haiwezi kujenga majiji mengine vizuri yakawa makubwa na maarufu kama Dar es salaam? Inakuwaje kila m Tanzania anataka kuishi Dar? Hivi Dar Peke yake ndio kuna maisha? Au wanazuzuliwa na umaarufu wa jiji la Dar? Watu kutoka mikoa kama Lindi, Mtwara, Mo to go to etc wakija Dar...
Watu wanne ambao ni wanachama wa Taasisi ya Wanafunzi wa CHADEMA(CHASO) wamekamatwa na wanaendelea kushikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa tuhuma za kukutwa wakipanga na kuhamasisha watu kufanya vurugu.
Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya Kamishna Msaidizi Mwandamizi...
Kila siku asubuhi natumia usafiri wa daladala kutoka Igawilo kwenda katikati ya mji, jijini Mbeya. Kero kubwa tunayokumbana nayo ni baadhi ya daladala kutokufuata njia zilizoandikwa kwenye vibao vyao. Kwa mfano, gari lenye route ya Igawilo – Soko Kuu mara nyingi huishia Kabwe badala ya kufika...
Anonymous
Thread
abiria
daladala
igawilo
kabwe
kero
kubwa
kuu
mbeya
ruti
soko
Natoa wito Kwa serikali kuipandisha hadhi Manispaa ya Geita kuwa Jiji kwani Ina vigezo stahiki.
Ukiacha vigezo vya ujumla lakini Geita imekishi vigezo muhimu zaidi vya Mapato ya ndani ambapo Kwa mwaka wa fedha 2015/26 imefanikiwa kukusanya zaidi ya Bilioni 27.Mapato haya ni zaidi ya Majiji ya...
Mwaka 2026 dunia sasa inakimbia sana, mambo yanabadilika kila baada ya sekunde 30 lakini kwa nchi nyingi za Afrika. Inawezekana kabisa mambo yanabadilika.Kila baada ya wiki 30.
Huwa inaumiza sana na kushangaza, katika karne ya 21 mwaka 2026 unakuta binadamu wanagombania usafiri kituoni mpaka...
Umoja wa Machief wa Kabila la kisafwa pamoja na kabila la Kinyakyusa Mkoani Mbeya wamekutana Julai 02, 2026 kwa lengo la kupaza sauti zao kukemea na kupinga vikali Tetesi zinazosambaa Mitaani na Mitandao ya kijamii zikidai mapema Mwezi huu Julai Saba 2026 kutakuwa na Maandamano nchi nzima...
Mkoani Mbeya leo linafanyika kongamano la wajane linalolenga kuwaunganisha na fursa za kiuchumi baada ya kuondokewa na waume zao, ili kuwaepusha na manyanyaso ya kifamilia.
Je, hatua hii itasaidia kuboresha maisha ya wajane na kuondoa changamoto wanazokumbana nazo? Tuandikie maoni yako
Bado nina malalamiko dhidi ya Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Mbeya. Kutokana na ucheleweshaji wa utoaji wa pasipoti, hatimaye nimeshindwa kufanya safari yangu iliyokuwa imepangwa kwa mwaka huu wa 2026.
Kinachonisikitisha zaidi ni kwamba, pamoja na kufuatilia mara kwa mara, sijapewa maelezo ya...
Anonymous
Thread
mbeya
passport
safari
safari yangu
sana
uchungu
uhamiaji
yangu
Na huo ndo ukweli
Wanaroga vibaya sana
Nili ishi kule na kuna mazaibu yalinikumba sitosahau mpaka nikahama
Je, kuna siri gani.. Nimegundua kuwa nilicho pitia ilikuwa ni dumba kabisa.
IKONDA HOSPITAL VS HOSPITAL YA RUFAA (ZONAL) MBEYA
Habari ya wakati huu watubwa Mungu!!
Ni tumaini langu mko poa sana.
Naleta uzii huu kuuliza juu ya nini kinafanya hospitali hizi zinazopatika nyanda za juu kusini.
Ikonda kwa jina maaru ila inaitwa CONSOLATA HOSPITAL IKONDA,ipo huko mkoani...
Habari
Hii siyo kero ni pongezi
Kwa madaktari wa Hospital ya RUFAA MBEYA.
Nimekuwa nikifanya Checkup mara kwa mara hospital ya rufaa Mbeya ,nimekutana na
1.watunza Kumbukumbu wanaosikiliza mtu vizuri na kumuelekeza kwa upendo wa hali ya juu ase wabarikiwe sana.
2.Madaktari wanajitoa vizuri...
Polisi Kata ya Uyole Jijini Mbeya, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Charles Buyuya amewataka Maafisa Usafirishaji wa Stendi ya Makasini Uyole Junction kuwa mabalozi wa Amani katika maeneo yao.
Wito huo ameutoa Juni 25, 2026 wakati akizungumza na Maafisa Usafirishaji hao ambapo aliwasisitiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.