mwanza

  1. O

    JamiiForums Tanzania Kambi ya Waziri Aweso Mwanza, huduma maji safi yarejea awaonya watumishi

    KAMBI YA WAZIRI AWESO MWANZA, HUDUMA MAJI SAFI YAREJEA AWAONYA WATUMISHI Kambi iliyowekwa jijini Mwanza na Wazir wa maji Jumaa Aweso, imeleta manufaa kwa wakazi wa Jiji la Mwanza baada ya huduma ya maji safi kurejea katika maeneo mbalimbali. Baada ya kambi hiyo ya siku nne Jiji Mwanza...
  2. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Serikali ichunguze utendaji wa Afisa Utumishi Mkuu wa Hospitali ya Sekou-Toure – Mwanza hawatendei haki Watumishi

    Sisi ni Watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou-Toure Mkoani Mwanza, tunaomba kupaza sauti kuhusu unyanyasaji unaodaiwa kufanywa na Afisa Utumishi Mkuu wa hospitali hiyo. Amekuwa akitumia madaraka vibaya kwa kuwanyanyasa watumishi, kuwahamisha bila kufuata utaratibu, pamoja na kutoa...
  3. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Kinauzwa, Usagara Mwanza

    Habari wadau? Kiwanjq kizuri, gentle slope, eneo la makazi 45/23m 1km from Main road Bei 4M tu Njoo tuzungumze
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Malalamiko yangu kuhusu Kampuni ya Ulinzi ya Rampart iliyopo Nyakato, Mwanza juu ya kazi, mishahara na mazingira

    Ninafanya kazi katika kampuni hii kwa zaidi ya miaka mitatu, lakini hadi sasa bado ninadai mishahara ya kipindi kilichopita ambayo sijalipwa. Mbali na kucheleweshwa kwa mishahara, hivi karibuni uongozi wa kampuni ulifanya kikao na kutangaza kuwa wafanyakazi waliokuwa wakilipwa mshahara wa...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Upanuzi wa barabara jijini Mwanza

    Habari zenu wanaJF, natumaini nyote mnaendelea na pirika za kila siku kwa ajili ya familia na ujenzi wa taifa. Twende kwenye hoja yangu direct! Swali langu ni kwamba "Ni lini serikali itapanua barabara hizi muhimu zinazounganisha Mwanza mjini na maeneo kuanzia Usagara hadi mjini kati na Kisesa...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wananchi wa Pasiansi jijini Mwanza hatuna maji wiki mbili sasa na hakuna taarifa yoyote imetolewa

    Wananchi wa eneo la Pasiansi jijini Mwanza wamekumbwa na ukosefu wa huduma ya maji kwa takribani wiki mbili sasa, hali inayosababisha usumbufu mkubwa katika shughuli zao za kila siku. Kinachozua malalamiko zaidi ni kwamba mamlaka husika hazikutoa taarifa yoyote kwa wananchi kabla ya huduma hiyo...
  7. Chakaza

    JamiiForums Tanzania HOJA RC Mwanza, Said Mtanda, Kwa Huu Ukosefu wa Maji Wiki Zaidi ya 2 Hustahili Kuendelea Kuwa Kazini. Wajibika

    Kwa hali inayo endelea katika jiji la Mwanza ambalo limezungukwa na maji ya Ziwa Victoria kukosekana maji na eti RC yupo anazunguka zunguka mjini mjini akipeperusha benders kwenye Gari yake ni aibu ya karne. RC Said Mtanda anafahamika kuwa ni mtendaji mzuri, lakini nadhani atakuwa Sasa amechoka...
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania MWAUWASA: Kukosekana kwa huduma Uzalishaji na Usambazaji wa Maji Mwanza imetokana na hitilafu ya umeme

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) imetangaza kuwepo kwa upungufu wa uzalishaji na usambazaji wa maji kwa wakazi wa Jiji la Mwanza kutokana na hitilafu ya umeme katika vituo vya uzalishaji na usambazaji wa maji. Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyotolewa Juni 9, 2026, hali...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Eneo la Buswelu Center - Mwanza tuna tatizo sugu la kukatika kwa umeme, tumeripoti TANESCO ila hata hatuwaelewi

    Ningependa kuwasilisha malalamiko yangu kuhusu tatizo sugu la kukatika kwa umeme katika eneo la Buswelu Center, jijini Mwanza. Kwa muda wa zaidi ya miezi sita sasa, kumekuwa na changamoto kubwa ya kukatika kwa umeme mara kwa mara, hasa nyakati za jioni (kuanzia saa 12 hadi saa 2 usiku). Tatizo...
  10. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Serikali ikichunguze Kituo cha Afya Optimisim Dispensary cha Mwanza, mazingira ni machafu na huduma zake mmmh!

    Katika Mkoa wa Mwanza, Kata ya Kirumba, kuna kituo cha afya kinachoitwa Optimisim Dispensary ambacho kinakabiliwa na malalamiko makubwa kutoka kwa wananchi na hata baadhi ya wafanyakazi wake. Inadaiwa kuwa hakijasajiliwa rasmi, na baadhi ya watumishi wanaotoa huduma hawana leseni hai za kufanya...
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Suala la Watoto katika baadhi ya Shule jijini Mwanza kuendelea na masomo hata wakati wa likizo ni kero kubwa

    Tunaomba sauti ya wazazi ifikishwe kwa mamlaka za elimu katika Mkoa wa Mwanza kuhusu suala linalohusu baadhi ya shule kuendelea na masomo hata wakati wa likizo rasmi za wanafunzi. Kumekuwa na taarifa kwamba baadhi ya shule zinaendelea na ratiba za masomo wakati wa likizo, hali ambayo imeibua...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara za Mwanza, hususan Nyamagana hazina hadhi ya Jiji

    Mwanza (Nyamagana), tuliahidiwa ujenzi wa barabara mwaka 2011 na mipaka ya barabara ikawekwa. Hata hivyo, tangu miaka ya 1980 barabara hii haijafanyiwa ukarabati wa kina. Jiji limekuwa likiziba mashimo kwa kuchelewa, hali inayoacha maeneo mengi kuharibika na kusababisha ajali pamoja na...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO ILEMELA, MWANZA: Je, Serikali ya CCM Inashindwa Kumdhibiti Mwana CCM Anayevunja Sheria?

    ILEMELA, MWANZA: Je, Serikali ya CCM Inashindwa Kumdhibiti Mwana CCM Anayevunja Sheria? Buswelu A – Majengo Mapya, Ilemela. Mwaka 2019, wananchi wa eneo hili waligundua kuwa kuna mpango wa kujenga baa katikati ya makazi yao. Kwa kuwa sheria za nchi zinadhibiti wazi wapi baa zinaweza kujengwa...
  14. R

    JamiiForums Tanzania MV. Mwanza Hapa Kazi Tu inatoa huduma au hapana?

    Hii meli mpya kabisa inafanya route zipi? Hii meli nakumbuka tuliambiwa imeanza rasmi safari zake kati ya Mwanza na Bukoba mwezi Sept mwaka jana. Lakini sasa hivi nadhani hii route bado inahudumiwa na MV. Victoria peke yake. Wenyeji wa Mwanza, Bukoba Musoma hii meli inato huduma huko mliko? Au...
  15. BINARY NO

    JamiiForums Tanzania KERO Mwanza: Wamachinga wanafunga barabara kwa kupanga vitu barabarani na nje ya maduka makubwa hivo kupelekea usumbufu kwa wapitaji

    Jiji la Mwanza licha ya kupewa upendeleo wakati wa JPM hadi kujengewa stand kubwa mbili za kimkakati ya Nyegezi (Nyamagana) na Nyamhongolo (Ilemela) lakini bado viongozi waliopewa kuongoza Jiji hilo wapo karne ya 18. Bado ma bus yanaingia Mjini kabisa eneo linaitwa NATA na kupakilia abiria pale...
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ukosefu wa taa za barabarani jijini Mwanza

    Kumekuwa na changamoto ya ukosefu wa taa za barabarani katika barabara nyinginza jiji la Mwanza hivyo kupelekea barabara nyingi usiku kutopitika na pia kuvutia wahalifu. Kwa mfano, barabara inayoenda hospitali ya Rufaa ya Bugando ni giza tupu usiku hivyo kuhatarisha usalama wa wagonjwa na ndugu...
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mwanza: Tuliosoma Course ya Mortuary Attendant hatupewi kazi, wanapewa ambao hawajasomea

    Mimi ni Mkazi wa Mwanza, nimesoma Course ya Mortuary Attendant. Course yetu huwa hutolewa kwa Certificate, hadi sasa tumefika wafanyakazi 200 wa fani hiyo lakini cha kushangaza Serikali imejenga majengo ya mortuary Lakini imesahau kuajiri watumishi wake, naomba mtusaidie na sisi tuweze kupata...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Millennials tukaze buti, hawa Gen Z wanaijua pesa vizuri, bado wadogo lakini wako very sharp kwenye kutega pesa.

    Millennials tukaze buti 😅. Hawa Gen Z wanaingia kwenye game wakiwa na uelewa mkubwa wa kutengeneza pesa kuliko vizazi vilivyopita. Vijana wa 2000 wao bado wadogo lakini honestly wako very sharp kwenye kutega pesa na kuona opportunities . Wamekua kwenye era ya internet, apps na fast information...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Mwanza airport inapewa bajeti ndogo kana kwamba mchango wake hauna maana ?

  20. M

    JamiiForums Tanzania Hadhi ya Mwanza na majiji mengine ipo wapi? Tukisema hizi ni dharau tunakosea? Bajeti na mikopo ni kwajili ya miradi ya Dar na Dodoma?

    MIRADI YA MIUNDOMBINU YA MAJIJI – BAJETI YA MWAKA 2026/27 1. JIJI LA DAR ES SALAAM BRT na Maboresho Makubwa ya Barabara I. BRT Awamu ya 3: Maktaba – JNA – Gongolamboto (km 23.3) II. BRT Awamu ya 4: Maktaba – Morocco – Mwenge – Tegeta pamoja na Mwenge – Ubungo (km 30.1) III. BRT Awamu ya 5...
Back
Top Bottom