Mwanza umelala mno
Vibe na biashara, matajiri yote Sasa ni Geita
Oyaa Geita ni balaa, Geita mjini, KATORO,Buseresere, Chato, Mganza, Runzewe, Nyangwale
Kuna mzuka sio poa, watu wanapiga pesa na starehe kubwa kila siku weekend
Mara Kibao naona wasanii wakubwa hapa Tanzania na nje ya nchi...