Kumeanza kuchangamka.
Leo nilipita Tengeru askari wa JWTZ katika makundi wakiwa na silaha za kivita wapo mtaani wanazunguka tu.
Ndio kusema maandalizi ya kuelekea, tarehe 7.
Hali kama hii ni kawaida ukiwa nchi kama Rwanda, Uganda na DRC. Huku kwetu hatujazoea sana.
Kisiwa chetu cha amani...
Mwaka 2026 dunia sasa inakimbia sana, mambo yanabadilika kila baada ya sekunde 30 lakini kwa nchi nyingi za Afrika. Inawezekana kabisa mambo yanabadilika.Kila baada ya wiki 30.
Huwa inaumiza sana na kushangaza, katika karne ya 21 mwaka 2026 unakuta binadamu wanagombania usafiri kituoni mpaka...
Mtu mmoja wa jinsia ya kiume amekutwa amefariki dunia katika eneo la Mto Kijenge, mtaa wa Block J, kata ya Ngutoto, jijini Arusha.
Kwa mujibu wa mashuhuda, walipokuwa wakipita pembezoni mwa bonde hilo waliona kwa mbali mwili wa mwanaume huyo, ndipo wakatoa taarifa kwa viongozi wa eneo. Baadaye...
Ni wiki sasa inakwenda, wakazi wa kata ya Sombetini hatuna huduma ya maji safi. Hakuna taarifa yoyote toka kwa mamlaka husika ya maji safi na maji taka ya jiji la Arusha (AUWSA) huku wananchi tukitaabika na adha ya kupata maji safi kwa matumizi mbalimbali ya shughuli za kila siku.
Tunaomba...
Anonymous
Thread
arushaarusha mjini
maji
mjini
ukosefu
ukosefu wa maji
wilaya
Huku Arusha nauli za dalada ziko juu kuliko mji wowote Tanzania; kutoka kituo hadi kingine abiria wanalipishwa shilingi elfu moja [tsh.1,000/=], mkuu wa mkoa yupo, LATRA wapo, sasa mamlaka hizo [serikali] zinafanya kazi gani wakati kisheria nauli zinathibitiwa?
Yaani Arusha ni mji ulio...
Mimi ni kijana mwenye umri 28 nipo iringa ni fundi sofa na vitanda vya sofa kwa pamoja, najua kutumia cherehani na kukata vitambaa kwa jiri ya kushonea sofa, hivyo kama Kuna mtu anahitaji mtu wa kazi iyo naomba anitumie ujumbe, inbox kwa mawasiliano zaidi, hata kama ipo kazi nyingine yoyote...
Nimeenda Chuga kumsalimia jamaa yangu. Nilipofika maeneo ya Philps kama unaenda Usa river kutokea mjini nimekutana na mabasi yakiongozwa na Landcruiser nyeupe zina bendera nyekundu.
Kwa sababu mimi ni mgeni nimeogopa sana. Nimezoea kukaa kijijini huku napiga zangu chaki.
Sijazoea kuona haya...
Habari wanajf!!! Nimeamua kuanzisha group ili ili tuweze kufanya mazoezi ya kutembea pamoja kila siku ya weekend (Saturday na Sunday). Lengo letu kuu ni kuweka mwili sawa, kuongeza stamina, kupunguza uzito, kuimarisha afya ya moyo na kuondoa stress ya maisha ya kila siku, kwa wale wote waliopo...
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla amesema serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan tayari imeanza ujenzi wa kipande cha barabara ya Luduare- Serengeti (Km88), akisema barabara hiyo itajengwa kwa kiwango cha tabaka gumu ili kuondoa adha kwa watalii wanaotembelea hifadhi ya...
Ni kiwanja kiluchopo Sanawari chapili kutoka Lami ya bara bara kuu ya Arusha Moshi. Kiwanja kipo jirani na Redio mbingu duniani kinauzwa Milioni 110 top. Ukubwa ni 20x20. Kinafaa kujenga apartments za ghorofa au mahitaji mengine. 0785931267 kelvin kwa maelezo zaidi na kupelekwa site kilipo
Tunatafuta wadada wa kuhudumia wateja katika Barbeshop yetu iliyopo Olasiti,Arusha.
Sifa zinazohitajika
Awe smart na mwenye muonekano mzuri
Awe anajua kufanya scrub,Massage ya Kichwa na shingo
Awe msafi na anayejitambua
Awe mchangamfu na anayejua kuongea vizuri na wateja
...
Ninaandika hii post kwa masikitiko na hasira baada ya kusoma mtandaoni post za mwandishi maarufu kwa jina la Zungu kutokea mkoani Arusha. Kwenye machapisho yake kaonekana kukerwa na kumshambulia mtu mwingine anayetumia jina la MATEJOO kwenye utambulisho wake, wenyewe wanasema kuji-brand...
Kwetu ni Kagera Ba mnyongote, kwetu ni Bukoba nataka niwambie hakuna msukuma,mchaga,au kabila lolote linaweza gombea hata UJUMBE wa nyumba kumi akaupata katika mkoa niliozaliwa Mimi
Huu upumbavu umekubaliwa na wamasai, na Wachaga wa Arusha na Waruguru wa morogoro kuongozwa na mijitu ya kuja...
Kuna malalamiko sana kuhusu nauli za dadadala mjini Arusha.
Daladala zinatoza nauli Tshs 1000 badala ya nauli elekezi ya Tshs 700.
Mamlaka zipo kimya kwenye hili. Simu zikipigwa hawapokei.
Je hii ni sahihi?
Tunaziomba mamlaka zilitazame hili jambo limekuwa mwiba mchungu kwa wanachi wa...
Anonymous
Thread
arusha
daladala
kim
kuhusu
malalamiko
mamlaka
mjini
nauli
sana
Baadhi ya watu wanadhani fursa za huu utalii tena wa mikoa mingine unatakiwa kunufaisha kwao tu
Ni vita kubwa sana hii, kwa sasa tunasikia milio kila muda panaposikika habari za ujenzi wa uwanja na imeonyesha haijaanza leo bali ni ya muda mrefu sana kupiga sabotage uwanja huu, ila kwa sasa...
arusha
biashara
habari
hawapendi
hawataki
kelele
kiwanja
kufanya
kujengwa
kuona
kusikia
maeneo
maslahi
miaka
namna
ndugu
sababu
sababu za
sabotage
sana
serengeti
ubinafsi
ujenzi
ujenzi wa uwanja
uwanja
wabinafsi
wabunge
wanaopinga
wao
zao
Hii nchi ni shida Kila nyanja tangu tupate uhuru Hadi Sasa ni ngumu kukuta huduma ya serikali ya uhakika na wananchi wakaifurahia.
Magufuli alifufua usafiri wa Treni kwenda kaskazini lakini ndani ya muda mfupi toka afariki Dunia usafiri umekufa kabisa Hadi Leo, hakuna usafiri wa Treni ya Abiria...
Hii nchi ni shida Kila nyanja tangu tupate uhuru Hadi Sasa ni ngumu kukuta huduma ya serikali ya uhakika na wananchi wakaifurahia.
Magufuli alifufua usafiri wa Treni kwenda kaskazini lakini ndani ya muda mfupi toka afariki Dunia usafiri umekufa kabisa Hadi Leo ha, hakuna usafiri wa Treni ya...
Wadau wa burudani na wapenzi wa Hip-Hop/Melodic Rap ya ukweli hapa nchini, mambo vipi!Leo naomba kuwasogezea kazi zangu mpya kutoka kwa msanii anayechipukia kwa kasi kutoka pande za Arusha, Eazy Credible.
Amekuja na ladha ya tofauti kabisa yenye ujumbe wa kusisimua na midundo ya kisasa...
Tunaomba mamlaka husika ziingilie kati kuhusu mradi wa maji uliotekelezwa katika Kijiji cha Losikito, Kata ya Mwandeti, Wilaya ya Arusha DC, ambao ulitengewa bajeti ya takribani Shilingi bilioni 2.5.
Kwa mujibu wa taarifa za wananchi, mradi huo ulikamilika mwaka jana kwa gharama zinazokadiriwa...
"Mimi nina watoto kumi na katika kumi kuna Polisi mmoja Mahita Omary Mahita. Ukienda Arusha kama utapata nafasi nenda uliza namtaka Mahita yupo wapi, watakuambia Mahita Omary Mahita ni mkono wa chuma."
Soma Pia: IGP Mstaafu Omar Mahita: Jeshi la Polisi lizingatie misingi yake, wasifanye kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.