Wakuu,
Hapa Arusha kuna mzani moja wa Jiji iliyopo maeneo ya Njiro, baada tu ya roundabout ya Impala.
Mzani huu naufahamu huu mwaka wa tatu. Kila gari kubwa linalopita hapa linatozwa kati ya 5,000 hadi 10,000, lakini la kushangaza ni kwamba mzani haugfanyi kazi, yaani ni mbovu, ila fedha...