wafanyakazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO City Institute (Ilala Dar) wafanyakazi na walimu hatujalipwa stahiki zetu. Ukilalamika unafukuzwa kazi

    City institute ilala dsm wafanyakazi na walimu hatujalipwa stahiki zetu ukilalamika unafukuzwa kazi
  2. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Wadau, naomba uzoefu wenu kuhusu TRA. Nimeona niwashirikishe jambo ambalo nimekuwa nikikutana nalo katika shughuli zangu za biashara. Kuna baadhi ya watumishi wa TRA ambao, wakati wa kushughulikia masuala ya kikodi au ukaguzi, wamekuwa wakinipa hisia kwamba bila kutoa "Rushwa" au “kitu kidogo”...
  3. doctor mwanafunzi

    JamiiForums Tanzania Unyanyasaji kwa wafanyakazi

    serikali ingeweka mikakati ya kuzifuatilia taasisi binafsi hasa za afya ambazo zinafanya unyanyasaji kwa kutokuwalipa wafanyakazi mishahara yao kwa wakati, kuwalipa nusu nusu na wakati mwingine kutokulipwa kabisa. Nawakati mwingine ukifuatilia sana haki yako unaweza kutishiwa kufukuzwa...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto na unyonyaji wa wafanyakazi - Jambo Group of Companies, Shinyanga

    Mimi pia nilikuwa mfanyakazi wa Jambo Group of Companies, hivyo haya ninayoyaeleza siyo taarifa ambazo nimezisikia tu kutoka kwa watu wengine, bali ni mambo ambayo nimeyaona, nimeyapitia na nimefanya kazi katika mazingira hayo mwenyewe. Hadi sasa mimi mwenyewe ni mdaiwa wa kampuni kutokana na...
  5. G

    JamiiForums Tanzania KERO Kampuni ya ulinzi WS Insight iliyopo Masaki, acheni kuwatesa wafanyakazi wenu

    Kampuni hii imekuwa na kawaida ya kuwalipa wafanyakazi wake (Walinzi) kwa kucheleweshewa mishahara, mfano mwezi uliopita walilipwa tarehe 11/07/2026 huku kwa mwezi huu wa nane kukiwa hakuna hata mmoja aliyelipwa mpaka sasa. Tunaomba wizara husika kuifatilia kampuni hii kwa kina, kwani imekuwa...
  6. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Abiria wakwama JKIA, safari zikichelewa kufuatia 'Go-Slow' ya Wafanyakazi wa shirika la anga

    Abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) wamejikuta wakisubiri kwa saa kadhaa huku safari za ndege zikichelewa kutokana na go-slow ya wafanyakazi wa anga. Video inayosambaa mitandaoni inaonyesha abiria wakiwa na hasira na kuchanganyikiwa, huku baadhi yao wakidai...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Km kuna wafanyakazi wananyanyaswa ni sekta binafsi na serikali imewatelekeza! Mfano VC wa Chuo Kikuu Makumira ni mtu katili, mnyanyasaji, mbaguzi

    Wafanyakazi wa taasisi binafsi ni km watoto yatima tu. Anzia utaratibu wa mifuko ya hifadhi za jamii(NSSF) wao wanakatwa 10% mwajiri anachangia 10%, PSSSF wafanyakazi wanakatwa 5% mwajiri(serikali) anachangia 15%. Siku ya mafao mwajiriwa wa sekta binafsi anapewa 35% ya mkupuo wakati wa serikali...
  8. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mwigulu aagiza kasi ya ujenzi wa viwanja vya mazoezi vya AFCON iongezeke, ataka Wakandarasi kukamilisha mikataba ya Wafanyakazi

    Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza kuongezwa kasi ya ujenzi wa viwanja vya mazoezi vitakavyotumika katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, ili vikamilike kwa wakati na kukidhi viwango vinavyotakiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF). Amesema kazi hiyo...
  9. Hornbil

    JamiiForums Tanzania Ongezeko la wafanyakazi wa kigeni na unyanyasaji kwa wafanyakazi wazawa kwenye vivutio vyetu vya utalii ni uhai wa hii sekta mhimu, serikali imelala.

    Makampuni hayatoi mikataba siku hizi,mtu unafanya kazi kama kibarua yaani unalipwa kwa siku. Hakuna benefits zozote kama bima ya afya wala mifuko ya hifadhi. Kwa makampuni yanayotoa mikataba ni kwamba wanatafuta kampuni nyingine ndio inakua kama imekuajiri. Yaani unafanya kazi kampuni A...
  10. zaza1

    JamiiForums Tanzania TTCL: Tatizo Sio Wafanyakazi, Tatizo Ni Maono.

    TTCL ina tatizo kubwa la uongozi na maono. Inawezekanaje shirika lenye wataalamu, watu wenye elimu na rasilimali liendelee kufanya maamuzi yanayoonekana kama hayana mwelekeo wa ushindani? Tatizo si ukosefu wa vyeti—tatizo ni ukosefu wa maono, ubunifu na uthubutu wa kufanya maamuzi. Elimu ya...
  11. True Man11

    JamiiForums Tanzania Natafuta wafanyakazi wa saluni ya kike

    Habari za majukumu, nimefungua salon mpya ya kisasa ya kike ambayo nalenga kutoa huduma zote za urembo wa kike kama vile, kusuka make-up facial Kupaka rangi kuosha miguu na nyinginezo nyingii salon ipo kimara suka - dar es salaam, kama wewe ni mjuzi wa hizo huduma au unafahamiana na mtu...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kigogo wa chama cha wafanyakazi aingia katika sakata la cheti

    Taarifa zinazozunguka katika baadhi ya duru za wafanyakazi zinamhusisha mmoja wa vigogo wa chama kikubwa cha wafanyakazi nchini na sakata linalodaiwa kuhusisha utata wa cheti cha elimu. Kwa mujibu wa taarifa hizo ambazo bado hazijathibitishwa rasmi na mamlaka zinazohusika, suala hilo linadaiwa...
  13. D

    JamiiForums Tanzania Vyama vya Wafanyakazi: Ngao au Tishio?

    Vyama vya wafanyakazi na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) viliundwa kama ngao ya kulinda, kutetea, na kuwasilisha sauti ya mfanyakazi. Mfumo huu unapokengeuka na kupoteza maono yake ya msingi, chombo kilichoundwa kumkomboa mfanyakazi kinageuka kuwa tishio kwa maslahi na haki zake...
  14. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Tanzania Presha ya wafanyakazi baada ya weekend

    Hakuna kundi linaloteseka kama wafanyakazi wa serikali. Faraja yao kuu ni weekendi na public holidays. Ila masela wengine ikifika jumatatu ni mwendo wa kula tungi tu hawana stress za maisha. Ila wafanyakazi ni kukuru kakara. He/she wake up early in the morning doing the same thing from January...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Pakistan: Mchoma matofali mkristo achinjwa baada ya kunywa maji katika chombo wanachotumia wafanyakazi wenzake waislam

    Pakistan: Sadiq Masih, Mkristo mwenye umri wa miaka 40 aliyekuwa akifanya kazi katika tanuri la matofali, aliuawa baada ya kupata kiu na kunywa maji kutoka kwenye chombo cha kupoozea maji (Water cooler) ambacho wafanyaazi wenzake wa kiislam hawataki wenye dini nyingine kutumia. Hio water cooler...
  16. BigTall

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi Namera Group of Industries wagomea mabadiliko ya jina la Kampuni hadi walipwe stahiki zao

    Wafanyakazi wa Kampuni ya Namera Group of Industries (T) LTD kilichopo Gongolamboto, Dar es Salaam wamefanya mgomo na kukusanyika nje ya kiwanda hicho wakilalamikia hatua ya mwajiri wao kubadilisha jina la kampuni hiyo bila kuwalipa stahiki zao na kuvunja mikataba yao ya awali. Wafanyakazi hao...
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Chuo cha Sayansi ya Afya KAM college Kimara Korogwe Dar, es Salaam kinanyanyasa wafanyakazi wake

    Mmiliki wa chuo anawadharau waalimu na kutukana waalimu mbele ya wanafunzi jambo ambalo linapelekea waalimu kukosa sauti kwa wanafunzi. Mmiliki amegoma kulipa mishahara ya watumishi kwa mwezi wa July akidai hajafurahishwa na utendaji kazi japo yeye hakuwepo chuoni maana alisafiri. Jambo...
  18. A

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali, TNMC tusaidieni. Watumishi hospitali ya KAMANGA-Nyegezi, MWANZA tunateseka

    Uongozi wa hospital ya KAMANGA-Nyegezi, MWANZA unatulazimisha wafanyakazi kufanya shift mbili, hii ni nje ya utaratibu rwa serikali na hupunguza ufanisi tunapokuwa kazini na huhatarisha Afya kwa wagonjwa. Malipo duni ya Muda wa ziada na tunavuliwa uongozi na kutishwa kufukuzwa kazi tunaposemea...
  19. Isenye

    JamiiForums Tanzania Hawa jamaa haipiti siku sijakutana na tangazo lao la kazi,huwa wana matatizo gani mpaka wafanyakazi wanawakimbia?

    Wanajiita platinum credit Ikipita siku hawajatoa tangazo la kazi ni bahati sana. Sijajua wana tatizo gani!
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Tuliokuwa Wafanyakazi wa Call Center cha TANESCO chini ya Erolink tunasotea mafao ya NSSF

    Naomba kufikisha kilio chetu kuhusu haki ya mafao yetu ya NSSF. Sisi ni wafanyakazi tuliokuwa katika Kituo cha Huduma kwa Wateja (Call Center) cha TANESCO, tulioajiriwa kupitia Kampuni ya Erolink, kwa kipindi chote tulichofanya kazi, mwajiri wetu hakuwasilisha michango yetu ya NSSF, na licha ya...
Back
Top Bottom