Wadau, naomba uzoefu wenu kuhusu TRA.
Nimeona niwashirikishe jambo ambalo nimekuwa nikikutana nalo katika shughuli zangu za biashara. Kuna baadhi ya watumishi wa TRA ambao, wakati wa kushughulikia masuala ya kikodi au ukaguzi, wamekuwa wakinipa hisia kwamba bila kutoa "Rushwa" au “kitu kidogo”...
serikali ingeweka mikakati ya kuzifuatilia taasisi binafsi hasa za afya ambazo zinafanya unyanyasaji kwa kutokuwalipa wafanyakazi mishahara yao kwa wakati, kuwalipa nusu nusu na wakati mwingine kutokulipwa kabisa. Nawakati mwingine ukifuatilia sana haki yako unaweza kutishiwa kufukuzwa...
Mimi pia nilikuwa mfanyakazi wa Jambo Group of Companies, hivyo haya ninayoyaeleza siyo taarifa ambazo nimezisikia tu kutoka kwa watu wengine, bali ni mambo ambayo nimeyaona, nimeyapitia na nimefanya kazi katika mazingira hayo mwenyewe. Hadi sasa mimi mwenyewe ni mdaiwa wa kampuni kutokana na...
Anonymous (694e)
Thread
changamoto
group
hela
jambo
kujikimu
mpwapwa
mpya
mwezi
shinyanga
unyonyaji
wafanyakazi
walimu
wilaya
Kampuni hii imekuwa na kawaida ya kuwalipa wafanyakazi wake (Walinzi) kwa kucheleweshewa mishahara, mfano mwezi uliopita walilipwa tarehe 11/07/2026 huku kwa mwezi huu wa nane kukiwa hakuna hata mmoja aliyelipwa mpaka sasa.
Tunaomba wizara husika kuifatilia kampuni hii kwa kina, kwani imekuwa...
Abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) wamejikuta wakisubiri kwa saa kadhaa huku safari za ndege zikichelewa kutokana na go-slow ya wafanyakazi wa anga.
Video inayosambaa mitandaoni inaonyesha abiria wakiwa na hasira na kuchanganyikiwa, huku baadhi yao wakidai...
Wafanyakazi wa taasisi binafsi ni km watoto yatima tu. Anzia utaratibu wa mifuko ya hifadhi za jamii(NSSF) wao wanakatwa 10% mwajiri anachangia 10%, PSSSF wafanyakazi wanakatwa 5% mwajiri(serikali) anachangia 15%.
Siku ya mafao mwajiriwa wa sekta binafsi anapewa 35% ya mkupuo wakati wa serikali...
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza kuongezwa kasi ya ujenzi wa viwanja vya mazoezi vitakavyotumika katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, ili vikamilike kwa wakati na kukidhi viwango vinavyotakiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF).
Amesema kazi hiyo...
Makampuni hayatoi mikataba siku hizi,mtu unafanya kazi kama kibarua yaani unalipwa kwa siku.
Hakuna benefits zozote kama bima ya afya wala mifuko ya hifadhi.
Kwa makampuni yanayotoa mikataba ni kwamba wanatafuta kampuni nyingine ndio inakua kama imekuajiri.
Yaani unafanya kazi kampuni A...
TTCL ina tatizo kubwa la uongozi na maono. Inawezekanaje shirika lenye wataalamu, watu wenye elimu na rasilimali liendelee kufanya maamuzi yanayoonekana kama hayana mwelekeo wa ushindani?
Tatizo si ukosefu wa vyeti—tatizo ni ukosefu wa maono, ubunifu na uthubutu wa kufanya maamuzi.
Elimu ya...
Habari za majukumu,
nimefungua salon mpya ya kisasa ya kike ambayo nalenga kutoa huduma zote za urembo wa kike kama vile,
kusuka
make-up
facial
Kupaka rangi
kuosha miguu
na nyinginezo nyingii
salon ipo kimara suka - dar es salaam,
kama wewe ni mjuzi wa hizo huduma au unafahamiana na mtu...
Taarifa zinazozunguka katika baadhi ya duru za wafanyakazi zinamhusisha mmoja wa vigogo wa chama kikubwa cha wafanyakazi nchini na sakata linalodaiwa kuhusisha utata wa cheti cha elimu.
Kwa mujibu wa taarifa hizo ambazo bado hazijathibitishwa rasmi na mamlaka zinazohusika, suala hilo linadaiwa...
Vyama vya wafanyakazi na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) viliundwa kama ngao ya kulinda, kutetea, na kuwasilisha sauti ya mfanyakazi. Mfumo huu unapokengeuka na kupoteza maono yake ya msingi, chombo kilichoundwa kumkomboa mfanyakazi kinageuka kuwa tishio kwa maslahi na haki zake...
Hakuna kundi linaloteseka kama wafanyakazi wa serikali. Faraja yao kuu ni weekendi na public holidays. Ila masela wengine ikifika jumatatu ni mwendo wa kula tungi tu hawana stress za maisha. Ila wafanyakazi ni kukuru kakara. He/she wake up early in the morning doing the same thing from January...
Pakistan: Sadiq Masih, Mkristo mwenye umri wa miaka 40 aliyekuwa akifanya kazi katika tanuri la matofali, aliuawa baada ya kupata kiu na kunywa maji kutoka kwenye chombo cha kupoozea maji (Water cooler) ambacho wafanyaazi wenzake wa kiislam hawataki wenye dini nyingine kutumia.
Hio water cooler...
Wafanyakazi wa Kampuni ya Namera Group of Industries (T) LTD kilichopo Gongolamboto, Dar es Salaam wamefanya mgomo na kukusanyika nje ya kiwanda hicho wakilalamikia hatua ya mwajiri wao kubadilisha jina la kampuni hiyo bila kuwalipa stahiki zao na kuvunja mikataba yao ya awali.
Wafanyakazi hao...
Mmiliki wa chuo anawadharau waalimu na kutukana waalimu mbele ya wanafunzi jambo ambalo linapelekea waalimu kukosa sauti kwa wanafunzi.
Mmiliki amegoma kulipa mishahara ya watumishi kwa mwezi wa July akidai hajafurahishwa na utendaji kazi japo yeye hakuwepo chuoni maana alisafiri.
Jambo...
Anonymous
Thread
afya
chuo
college
dar
kimara
kimara korogwe
korogwe
mmiliki
sayansi
waalimu
wafanyakazi
wake
Uongozi wa hospital ya KAMANGA-Nyegezi, MWANZA unatulazimisha wafanyakazi kufanya shift mbili, hii ni nje ya utaratibu rwa serikali na hupunguza ufanisi tunapokuwa kazini na huhatarisha Afya kwa wagonjwa.
Malipo duni ya Muda wa ziada na tunavuliwa uongozi na kutishwa kufukuzwa kazi tunaposemea...
Anonymous
Thread
hii
hospital
kufanya
mbili
mwanza
nje
serikali
uongozi
utaratibu
wafanyakazi
Naomba kufikisha kilio chetu kuhusu haki ya mafao yetu ya NSSF. Sisi ni wafanyakazi tuliokuwa katika Kituo cha Huduma kwa Wateja (Call Center) cha TANESCO, tulioajiriwa kupitia Kampuni ya Erolink, kwa kipindi chote tulichofanya kazi, mwajiri wetu hakuwasilisha michango yetu ya NSSF, na licha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.