biashara

  1. Optimists

    JamiiForums Tanzania Hii ndio biashara ya kufanya Kwa kijana anayetaka kufanikiwa/kuongeza kipato.

    ukiwa na mtaji chini ya million 20 usijichanganye kwenye biashara za muonekano ambazo, taka, frame, TRA, manispaa, ulinzi n.k wote wanakuangalia wewe, na hii era tunayoenda nayo ndio basi tena, Kwa miaka ya Sasa mtaji wa 5M -10M ukiikimbiza kwenye frame labda uwe na rare skills ambazo watu...
  2. youngkato

    JamiiForums Tanzania Jina la Biashara ni Mali Yako. Je, Limeshasajiliwa?

    Jina la Biashara ni Mali Yako. Je, Limeshasajiliwa? Watu wengi huwekeza muda, fedha na ubunifu kujenga biashara zao, lakini husahau kulinda kitu cha kwanza kinachowatambulisha, ambacho ni jina la biashara. Fikiria hali hii. Umeanzisha biashara, umetengeneza nembo, mabango, kurasa za mitandao...
  3. Vien

    JamiiForums Tanzania Ukiingia kwenye mtego wa kukopesha ili tu kujenga mahusiano mazuri na wateja, ujue unachimbia shimo ambalo linaweza kuizika biashara yako.

    Wafanyabiashara wengi hawafi kwa kukosa wateja, wanafia kwenye madeni ya wateja wao 👇🏾 Kuna dhana imeenea sana kwenye biashara kwamba ukitaka kupata wateja wa kudumu lazima uwe mwepesi wa kuwakopesha. Wapo hata wataalamu wa biashara wanaoshauri kuwa kwa mazingira fulani kutoa bidhaa kwa mkopo...
  4. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Kama hakuchangia mtaji wa pesa au nguvukazi toka mwanzo wa biashara sioni ulazima wa kumpa madaraka makubwa mke kwenye biashara alizokukuta nazo

    Wakuu nimekuwa nikisoma makala nyingi sana za kesi za watu kuuwawa au kunusurika kuuwawa na wake zao kisa kikiwa ni fedha na mali. Kwenye makala nyingi nilichogundua ni kuwa mwanamke aliolewa na tajiri na baadae kuwa msaidizi mkuu wa mumewe kwenye miradi yake. Baada ya kufanya kwa kazi kwa...
  5. Vien

    JamiiForums Tanzania Biashara nyingi zina promotion package nzuri, lakini ukija kwenye uhalisia ni mbingu na ardhi

    Kuna biashara ukiona matangazo yake unaweza kujenga picha kubwa sana kichwani. Video ni nzuri, picha ni kali, maelezo yanavutia na kila kitu kinaonekana cha kiwango cha juu. Mwisho wa siku unafanya maamuzi ya haraka kwa sababu umeamini kila kilichoonyeshwa kwenye tangazo. Lakini ukifika dukani...
  6. W

    JamiiForums Tanzania Vijana na biashara za viwanda

    Wakuu hivi kwanini vijana hatugusi kabisa biashara za viwanda tunakimbilia maduka tu Wakati miaka ya nyuma pale kitumbini palikua ni soko la wahindi tu sasa wamebaki wachache wengi wao Wamehamia kwenye uzalishaji wa bidhaa kwanini sisi tusifikirie huko au tunakwama wapi
  7. Zakaria Maseke

    JamiiForums Tanzania Aina za miundo ya umiliki wa biashara (forms of business ownership)

    Kabla ya kuanza biashara, ni muhimu kuchagua muundo unaofaa malengo yako. Muundo wa biashara unaathiri usimamizi, uwajibikaji, ulipaji kodi & ukuaji wa biashara. Zifuatazo ni aina kuu za miundo ya biashara; 1. BIASHARA YA MTU MMOJA (SOLE PROPRIETOR) - Ni biashara inayomilikiwa na kuendeshwa na...
  8. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania RPCs, OCDs, maRCs na maDCs wametumia uwepo wa maandamano ya 77 kutapeli wafanyabiashara mamilioni ya pesa eti ili biashara zao zilindwe 24hrs!

    Anaandika Hilda Newtown kutoka ukurasa wake wa X-TWITTER... ================== Baada ya Gen-Z kutangaza Maandamano ya Amani ya 7/7 #77Tunatoka. Sasa maandamano haya kwa MaRPC na Wakuu wa Wilaya nchini, wao wakaigeuza kuwa fursa ya kutapeli Wafanyabiasha wenye Maduka pamoja na wamiliki wa Petrol...
  9. H

    JamiiForums Tanzania Wameigeuza 7/7 kutoka kuwa Siku ya Maonesho ya Biashara Mpaka Kuwa ya Maonesho ya Silaha. 8/8 Nayo Wataigeuza?

    Tanzagiza inabadilika kwa speed ya ajabu kupindukia! Watanzagiza walizoea kuiona siku ya 7/7 kuwa siku ya maonesho ya biashara, ghafla imebadilishwa na kuwa siku ya maonesho ya silaha, huku wahusika wakuu wakiwa ni wauaji wanaotumika kudhulumu haki za watanzagiza. Bila shaka wanaowatumia...
  10. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Leo ni Sabasaba, siku inayojulikana kwa maadhimisho ya biashara nchini Tanzania. Kwa nini biashara nyingi zimefungwa na bodaboda hawajapata wateja?

    Ikiwa leo ni siku ya biashara, wengi wangetarajia shughuli za kiuchumi kushamiri. Badala yake, baadhi ya wafanyabiashara wamefunga maduka yao, huku waendesha bodaboda wakisema idadi ya wateja imepungua. Je, hali hii inatokana na watu wengi kuelekea kwenye shughuli za Sabasaba? Au ni ishara ya...
  11. kinywanyuku

    JamiiForums Tanzania Biashara ya mitumba

    Wadau salami zenu habari za jpili nilikuwa nahitaji msaada kujua maeneo mazuri kwa hapa dar unayoweza kutembeza mtumba wako ukatoka Bei nzuri maana nimezoea sinza sahizi pameshavamiwa,nguo za kiume zile track nauza, maana naona Kama mtaji unataka kukata
  12. mamamzungu

    JamiiForums Tanzania Biashara ipi nzuri ya nguo au home decoration kwa Kahama

    Hello wapendwa Nataka nihamie Kahama sasa nataka kujua kama Biashara gani iko poa kwa Kahama Mimi nina uzoefu wa nguo za kike na watoto ndio nayoifanya kwa sasa hapa Dar es Salaam ila sasa malengo yangu sio kuuza nguo ni kuuza home decor na vitu vidogovidogo vya matumizi ya nyumbani sijajua...
  13. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Biashara ambazo huwezi toboa kamwe!

    Hii ni list ya biashara ambazo huwezi toboa kamwe labda upate hela ya kula tu 1; kuuza karanga 2; Machinga 3; Bodaboda 4; Kubet 5; Muuza Chipsi 6; Grocery 7; Kuchoma mahindi - Hadi upate hela ya IST utakuwa umechoka sana! 8; Speculation kwenye hisa kwa pesa ya kuungaunga etc(Hapa wengi sana...
  14. Bongo Tech Giant

    JamiiForums Tanzania Fursa za Kazi za Remote (Mtandaoni) kwa Wataalamu wa IT, Biashara na Anga: Jiunge na Alignerr ($30 - $100+/hr)

    Habari wakuu, Kwa yeyote anayetafuta fursa ya kufanya kazi mtandaoni akiwa nyumbani (Fully Remote), kampuni ya teknolojia ya Alignerr kutoka Marekani (inayomilikiwa na Labelbox) imefungua milango ya ajira kwa wataalamu wa fani mbalimbali nchini Tanzania ili kusaidia kuifundisha na kuinoa mifumo...
  15. Its Jensen

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya forex ilivyonifilisi na kuniacha na madeni

    Habari zenu wana jamvi, Nimependa leo niweze kushare hapa changamoto ninayopitia ambayo imenifanya nipoteze Kila kitu kwenye maisha yangu kupitia hii biashara ya forex Mimi ni mhitimu kutoka UDSM chuo ambacho kina magenius wengi sana na ma TO wengi sana wamemaliza hapo Biashara ya forex...
  16. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Kufungwa kwa baadhi ya bar kubwa Dar ni fursa ya kupanga upya jiji, si kuua biashara

    Hatua ya mamlaka kufunga baadhi ya bar zilizokuwa zikisababisha kelele na usumbufu kwa wakazi imezua mjadala mkubwa. Lengo halipaswi kuwa kupinga burudani, bali kutafuta namna bora ya kuifanya iendane na ustawi wa jiji. Kwa mtazamo wangu, badala ya kuruhusu kumbi kubwa za burudani kuendelea...
  17. CONTROLA

    JamiiForums Tanzania Acha kuuza mchanganyiko unapoteza muda, akili na Pesa zako, shtuka

    Wazeee twende speed muda wa salamu hamna tutasalimiana kwenye comment.. Asee Biashara ni nzuri sana kama ukiwa umetuliza akili ukajua unaingia kufanya biashara gani na biashara ya nini... Kuna mambo mawili naomba nirudie 1.Kufanya Biashara 2.Kujua naenda Kufanya biashara ya Kuuza nini Watu...
  18. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Unakutana na changamoto gani katika biashara / kazi inayoifanya sasa?

    Unazimudu na kuzitatua vipi? 🤔
  19. H

    JamiiForums Tanzania Biashara yako inahitaji mtaji wa kukua? SmartBusiness imekurahisishia!

    Habari njema kwa wajasiriamali na wafanyabiashara! 🎉 Sasa kupitia SmartBusiness, unaweza kuomba mkopo wa biashara kwa urahisi, moja kwa moja ndani ya app. Hakuna safari ndefu wala mchakato mgumu. 💼 Unaweza kutumia mkopo kwa: ✅ Kuongeza bidhaa dukani ✅ Kuongeza mtaji wa biashara ✅ Kuboresha...
  20. S

    JamiiForums Tanzania Nauza kabati la biashara la Aluminium kwa bei rahisi

    Inafaa kwa wenye maduka ya vipodozi, dispensary, tigo pesa, m-pesa n.k Bei 170k Contact: 0779037093 WhatsApp: 0654537771
Back
Top Bottom