Kuna biashara ukiona matangazo yake unaweza kujenga picha kubwa sana kichwani. Video ni nzuri, picha ni kali, maelezo yanavutia na kila kitu kinaonekana cha kiwango cha juu. Mwisho wa siku unafanya maamuzi ya haraka kwa sababu umeamini kila kilichoonyeshwa kwenye tangazo.
Lakini ukifika dukani...
Wakuu hivi kwanini vijana hatugusi kabisa biashara za viwanda tunakimbilia maduka tu
Wakati miaka ya nyuma pale kitumbini palikua ni soko la wahindi tu sasa wamebaki wachache wengi wao
Wamehamia kwenye uzalishaji wa bidhaa kwanini sisi tusifikirie huko au tunakwama wapi
Kabla ya kuanza biashara, ni muhimu kuchagua muundo unaofaa malengo yako. Muundo wa biashara unaathiri usimamizi, uwajibikaji, ulipaji kodi & ukuaji wa biashara.
Zifuatazo ni aina kuu za miundo ya biashara;
1. BIASHARA YA MTU MMOJA (SOLE PROPRIETOR) - Ni biashara inayomilikiwa na kuendeshwa na...
Anaandika Hilda Newtown kutoka ukurasa wake wa X-TWITTER...
==================
Baada ya Gen-Z kutangaza Maandamano ya Amani ya 7/7 #77Tunatoka.
Sasa maandamano haya kwa MaRPC na Wakuu wa Wilaya nchini, wao wakaigeuza kuwa fursa ya kutapeli Wafanyabiasha wenye Maduka pamoja na wamiliki wa Petrol...
Tanzagiza inabadilika kwa speed ya ajabu kupindukia! Watanzagiza walizoea kuiona siku ya 7/7 kuwa siku ya maonesho ya biashara, ghafla imebadilishwa na kuwa siku ya maonesho ya silaha, huku wahusika wakuu wakiwa ni wauaji wanaotumika kudhulumu haki za watanzagiza.
Bila shaka wanaowatumia...
Ikiwa leo ni siku ya biashara, wengi wangetarajia shughuli za kiuchumi kushamiri. Badala yake, baadhi ya wafanyabiashara wamefunga maduka yao, huku waendesha bodaboda wakisema idadi ya wateja imepungua.
Je, hali hii inatokana na watu wengi kuelekea kwenye shughuli za Sabasaba? Au ni ishara ya...
Wadau salami zenu habari za jpili nilikuwa nahitaji msaada kujua maeneo mazuri kwa hapa dar unayoweza kutembeza mtumba wako ukatoka Bei nzuri maana nimezoea sinza sahizi pameshavamiwa,nguo za kiume zile track nauza, maana naona Kama mtaji unataka kukata
Hello wapendwa
Nataka nihamie Kahama sasa nataka kujua kama Biashara gani iko poa kwa Kahama
Mimi nina uzoefu wa nguo za kike na watoto ndio nayoifanya kwa sasa hapa Dar es Salaam ila sasa malengo yangu sio kuuza nguo ni kuuza home decor na vitu vidogovidogo vya matumizi ya nyumbani sijajua...
Hii ni list ya biashara ambazo huwezi toboa kamwe labda upate hela ya kula tu
1; kuuza karanga
2; Machinga
3; Bodaboda
4; Kubet
5; Muuza Chipsi
6; Grocery
7; Kuchoma mahindi - Hadi upate hela ya IST utakuwa umechoka sana!
8; Speculation kwenye hisa kwa pesa ya kuungaunga etc(Hapa wengi sana...
Habari wakuu,
Kwa yeyote anayetafuta fursa ya kufanya kazi mtandaoni akiwa nyumbani (Fully Remote), kampuni ya teknolojia ya Alignerr kutoka Marekani (inayomilikiwa na Labelbox) imefungua milango ya ajira kwa wataalamu wa fani mbalimbali nchini Tanzania ili kusaidia kuifundisha na kuinoa mifumo...
Habari zenu wana jamvi,
Nimependa leo niweze kushare hapa changamoto ninayopitia ambayo imenifanya nipoteze Kila kitu kwenye maisha yangu kupitia hii biashara ya forex
Mimi ni mhitimu kutoka UDSM chuo ambacho kina magenius wengi sana na ma TO wengi sana wamemaliza hapo
Biashara ya forex...
Hatua ya mamlaka kufunga baadhi ya bar zilizokuwa zikisababisha kelele na usumbufu kwa wakazi imezua mjadala mkubwa.
Lengo halipaswi kuwa kupinga burudani, bali kutafuta namna bora ya kuifanya iendane na ustawi wa jiji.
Kwa mtazamo wangu, badala ya kuruhusu kumbi kubwa za burudani kuendelea...
Wazeee twende speed muda wa salamu hamna tutasalimiana kwenye comment..
Asee Biashara ni nzuri sana kama ukiwa umetuliza akili ukajua unaingia kufanya biashara gani na biashara ya nini...
Kuna mambo mawili naomba nirudie
1.Kufanya Biashara
2.Kujua naenda Kufanya biashara ya Kuuza nini
Watu...
Habari njema kwa wajasiriamali na wafanyabiashara! 🎉
Sasa kupitia SmartBusiness, unaweza kuomba mkopo wa biashara kwa urahisi, moja kwa moja ndani ya app. Hakuna safari ndefu wala mchakato mgumu.
💼 Unaweza kutumia mkopo kwa:
✅ Kuongeza bidhaa dukani
✅ Kuongeza mtaji wa biashara
✅ Kuboresha...
Mungu ni mwema. Twende China tulete vyombo vya nyumbani na mapazia. Mchongo mzuri
FACT: SIMPLE:- UKITAKA KUJUA MCHONGO GANI ,PATA MAJINA YA YA WAMILIKI
Video
Hamjambo! Mimi sijambo
Unapoingia kwenye siasa usiingie kichwa kichwa kama panya kwenye shimo ambalo hakulichimba.
Asilimia kubwa ya watu siasa kwao ni fursa ya kibiashara na kiuchumi. Wao siasa wameingia kwa sababu ya Maslahi Yao ya kiuchumi.
Hivyo chochote anachokifanya ndani ya siasa...
Kwa kijana mwenye umri wa 22yrs mwenye mtaji wa 3.5M apa mjini dsm ungemshauri ajikite kwenye biashara zipi zinakazomfanya atoboe kimaisha baada ya miaka michache?
Kila unapopita unaona watoto wa mitaaani wamejaa kila kona.
Kila unapopita unakutana na mdada aliezalia nyumbani na jamaa yake hawaelewani.
Kila unapopita unakuta baba akifa na biashara ndio imekufa na siku ya msiba watoto na wamama wa nje nao wanaleta kashi kashi wapate mgao.
Kila unapopita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.