biashara

  1. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Katambi: Matukio ya utekaji yanatokana na visasi vya biashara, uhasama wa kimahusiano, na baadhi kuwa ni "michongo ya kisiasa"

    Mbunge wa Tunduru Kaskazini (ACT Wazalendo), Ado Shaibu, ameibana serikali akitaka majibu na maelezo ya ziada kufuatia tukio la karibuni kabisa la kutekwa kwa David Jumbe, msaidizi wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu. Akijibu mwongozo huo, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Vibanda vya kisasa vya biashara

    Vibanda vya biashara. Tunatengeneza vibanda vya biashara kwa mbao na bodi. Vibanda ni imara na haviharibiki kwa maji( finishing tunatumia stika hivyo huzuia maji kuingia kwny bodi au mbao pia stika hufanya muonekano wa kibanda kuwa 🔥🔥🔥.. Tupo dar mbagala mikoani tunafika kufanya kaz. 0692477610
  3. B

    JamiiForums Tanzania Vibanda vya kisasa vya biashara

    Vibanda vya biashara. Tunatengeneza vibanda vya biashara kwa mbao na bodi. Vibanda ni imara na haviharibiki kwa maji( finishing tunatumia stika hivyo huzuia maji kuingia kwny bodi au mbao pia stika hufanya muonekano wa kibanda kuwa 🔥🔥🔥.. Tupo dar mbagala mikoani tunafika kufanya kaz. 0692477610
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Sospeter Mtwale: Serikali imejipanga kuhakikisha biashara ya kaboni nchini inatekelezwa kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa jamii

    Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM – TAMISEMI), Sospeter Mtwale, amesema Serikali imejipanga kuhakikisha biashara ya kaboni nchini inatekelezwa kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa jamii ili kuwanufaisha wananchi na Taifa kwa ujumla. Bw...
  5. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania Dr. Mwangi: Zanzibar ina nafasi ya kipekee kuwa lango la biashara na uwekezaji kuunganisha Afrika na Asia siku zijazo

    Mkurugenzi Mtendaji na CEO wa Equity Group Holdings, Dr. James Mwangi, tarehe 23 Mei, 2026 aliwasilisha mada katika Jukwaa la Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi, akisisitiza umuhimu wa viongozi wa Taasisi barani Afrika kukumbatia uongozi wenye mabadiliko, ubunifu, ujumuishaji wa kifedha, na...
  6. kimara Kimara

    JamiiForums Tanzania Inachukua muda gani kupata mkopo wa biashara kwenye benki kubwa NMB, CRDB & NBC

    Habari wananzengo, Naomba kuuliza Je ni Muda gani Mtu anapewa mkopo kama amekidhi vigezo vyote vya kukopesheka, ie ana dhamana, ana biashara iliosajiliwa, Bank statement zake ziko vizuri ?? Naomba kujua
  7. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji usiweke kwenye biashara ya Frame/maduka, fanya hivi

    Biashara ya kuweka kwenye maduka imekaa kitapeli sana, unakuta umebahatika kupata mtaji wa million tano ukisema utafute Frame, unapita zaidi ya laki mbili, Frame yenyewe ukishaifungua utakutana na maafisa njaa kali wa halmashauri na TRA na wengine kibao ili ufunge ufurisike, Jikite kwenye ujuzi...
  8. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Je, real estate ni biashara ya matajiri pekee au mtu wa kawaida anaweza kufanikiwa?

    Watu wengi huona majengo makubwa, viwanja, apartments, na nyumba za kisasa kisha kufikiri real estate ni biashara inayohitaji mabilioni ya pesa kuanza. Lakini ukweli ni kwamba real estate sio kujenga nyumba pekee — ni mfumo mkubwa wa uwekezaji, usimamizi wa mali, biashara, na financial growth...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Shigongo: Biashara za Wazawa Kariakoo zinafungwa, tutunge sheria Biashara chini ya Bilioni 50 isifanywe na Wageni

    Katika kikao cha Bunge kilichofanyika leo Mei 22, 2026, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo, ametoa mchango wake kwenye Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara kwa mwaka wa fedha 2025/2026 akiibua kilio cha wafanyabiashara wazawa wa soko kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam...
  10. Kilawo

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri nina million 3 nifanye biashara gani?

    Habarini wakuu Katika Harakati za hapa na pale nimepata milion 3 nifanye biashara gani?ili niweze kupata Kwa siku faida ata 30k.
  11. G.T.L

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Router ya biashara

    Wakuu. Samahani, naomba mwenye uzoefu zaidi anaweza kunisaidia ni Router ya kampuni gani naweza kupata kwaajili ya biashara ya WiFi kwenye ofisi yangu ambayo mteja atakua analipia either kwa muundo wa kununua vocha or njia yoyote ambayo itaniwezesha ku control mapato hata nikiwa mbali na eneo...
  12. Amicable Group

    JamiiForums Tanzania Tangazo la Huduma za Ushauri wa Biashara

    TANGAZO LA HUDUMA ZA USHAURI WA BIASHARA Amicable Group Holdings Limited inatoa huduma za kitaalamu za Ushauri wa Biashara (Business Consultancy) kwa watu binafsi, vikundi, kampuni, taasisi na wafanyabiashara wanaohitaji kuanzisha, kukuza au kuboresha biashara zao. Tunatoa huduma za: ✔️...
  13. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Mnasema tufanye biashara, kazi tunazofanya afanye nani?

    Kuna mtindo umezuka sasa hivi, kila kona unapogeukia, kila mtu unayekutana naye anakwambia anza biashara ufanikiwe. Mbaya zaidi ni kuwa maneno haya yanaambatana na kejeli haswa kwa watu ambao wameajiriwa kuwa ni duni na kwamba hawawezi kupata mafanikio. Hii movement pamoja na kuwa na mazuri...
  14. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Je, kilimo cha mijini ndicho suluhisho la chakula na biashara ya baadaye?

    Katika dunia ya sasa ambapo miji inaongezeka kwa kasi na gharama za maisha zinapanda kila siku, watu wengi wameanza kugundua nguvu ya “Kilimo cha Mijini” kama njia ya kujitosheleza kwa chakula na hata kujiongezea kipato. Lakini swali kubwa ni: 👉 Inawezekana kweli kulima ukiwa mjini? 👉 Ni mazao...
  15. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Rais Museveni; Africa iliachwa nyuma kimaendeleo na Asia kwa sababu ya kutaifisha biashara za sekta binafsi.

    Huyu mzee ana madini hatari. Msikilize https://www.facebook.com/share/v/18Z3GKN5RQ/
  16. U

    JamiiForums Tanzania Dangote aipongeza Serikali kwa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji, pamoja na kutatua changamoto za wawekezaji

    #HABARI Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, ameipongeza Serikali kwa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji, pamoja na kutatua changamoto za wawekezaji nchini. Katika taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Tanzania baada ya Mfanyabiashara huyo kufanya mazungumzo...
  17. L

    JamiiForums Tanzania Unahitaji Taarifa Hizi Wakati wa kuomba leseni ya biashara

    Habari mjasiriamali kama wewe umesajiki biashara au Kampuni Brela unahitaji Taarifa Hizi kuomba leseni halmashauri/tausi. 1. TIN Unahitaji TIN number ambayo utaitumia kufungulia akaunti tausi 2. Mkataba wa upangishaji, unaweza kuwa wa ofisi au wa nyumbani kwako. 3. Certificate of...
  18. SamuraiJack

    JamiiForums Tanzania Dawa ya Kuvuta Wateja kwenye Biashara Mpya

    Habari wakuu. Nimekuja leo nikiwa na maswali mawili kuhusu biashara yangu mpya ya restaurant/mkahawa. Swali la kwanza linahusu biashara yenyewe. Nimefungua restaurant wiki mbili zilizopita baada ya kuwahi kufanya biashara kama hii miaka kadhaa nyuma lakini sikufanikiwa sana. Safari hii...
  19. A

    JamiiForums Tanzania Natarajia kuuza viatu kwa jumla naombeni maoni yenu

    Natarajia kuuza viatu kwa jumla naombeni maoni yenu.
  20. M

    JamiiForums Tanzania Kuna mwamba huko TikTok amebomoa bei za vioo vya simu, wafanyabiashara wamemkasirikia, wateja wanamfurahia, kosa lake ni lipi?

    Kuna mwamba huko Tiktok anatoa vioo vya simu kwa bei chee, Simu kama samsung A05 ni 16k tu , Ila kuna ukicheki comments wafanyabiashara wamekasirika, anawaharibia biashara, sasa kosa lake lipi.
Back
Top Bottom