biashara

  1. loupa

    JamiiForums Tanzania Biashara ya samaki Tabora

    Wakuu habari ya kazi viongozi Nina hamu ya kufanya biashara ya samaki katika mkoa wa tabora japo siyo hapo mjini "ni senta iliyo pembeni na Mji wa Tabora" Sasa kwa hapa tabora sijui nianzie wapi yani samaki wanapatikana wapi! Nikijua wanakopatikana na nikajua gharama za kuzipata ndo...
  2. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Amani, utulivu na usalama wa uhakika Tanzania ndio kichocheo na kivutio kikuu cha utalii, biashara na uwekezaji wote mkubwa unaoendelea nchini.

    Hongera serikali sikivu ya CCM, chini ya Rais shupavu na mchapakazi hodari, Dr.Samia Suluhu Hassan, kwa kazi kubwa na nzuri sana ya kudumisha umoja, amani na usalama wa waTanzania, na kutengeneza mazingira mazuri, rafiki na bora zaidi ya kuchochea na kuvutia watalii, wafanyibiashara na...
  3. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kwa Maasai, Punda haliwi Wala sio mfugo wa Uchumi , Punda hamtii hasara Mmasai, Nyinyi kama MMEUA Simba ili kuwafurusha Maasai semeni tu

    Ni hayo tu, maana mnaweza kufikia Hatua ya kusema Mifugo ya Maasai inamaliza Nyasi na Majani mbugani !!
  4. Red black

    JamiiForums Tanzania Biashara haramu zina hela nyingi sana.

    madawa ya kulevya...Bangi,unga Uuzaji wa viungo vya binadamu Figo,bandama, uuzaji wa silaha kwa vikundi vya waasi, Usafirishaji wa binadamu kwa ahadi ya kwenda kuwapatia maisha mazuri kumbe ni kwenda kuwauza, Kuforge bidhaa fake kama pombe kali, electronics devices...nk Hapo hela imelala ya...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Naomba kuuliza hivi Kwa Sasa ni biashara gani ya mtaji kuanzia 100k to 300k inayoleta faida

    Naomba kuuliza hivi Kwa Sasa ni biashara gani ya mtaji kuanzia 100k to 300k inayoleta faida kub
  6. M

    JamiiForums Tanzania DC Shaka awataka Wanakilosa usafi uwe utamaduni wao kuanzia majumbani, maeneo ya kazi, biashara mpaka maeneo ya Umma

    DC SHAKA AONGOZA ZOEZI LA USAFI STENDI KUU YA MABASI KILOSA ~ Wananchi Wajitokeza kwa Wingi, Wampongeza kwa Uongozi wa Vitendo Macho ya abiria na wafanyabiashara katika Stendi Kuu ya Mabasi Kilosa leo asubuhi yaligeuka ghafla kuona jambo ambalo hawakulitarajia. Sio basi jipya lililowasili...
  7. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya mfanyabiashara na afisa biashara nani ni boss

    Nauliza ili nitoe ujinga, kati ya mfanyabiashara na afisa biashara nani ni boss kwa mwingine?
  8. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Kuwekeza Afrika na kufanya biashara si kazi rahisi

    Wewe imagine anachopitia Sunderland kwa sasa? Mkataba kaingia na TFF wizara ikiwa anaongozwa na waziri aliyepita. Wamesign mkataba wa miaka 5 mbele ya makamera. Mchakato wa kutengeneza jezi unajulikana mtengenezaji hawezi kufyatua jezi bila kuwatumia mockup au hata sample TFF. Naibu waziri...
  9. masai dada

    JamiiForums Tanzania kwa wafanya biashara tu;ingekuwa wewe ni sandaland ungefanyaje?

    hamna hamna hii issue inaweza ikakata mtaji: ingekua ni mimi ningechutama kwa Waziri aingie front kunisafisha kwa situation ya kisiasa ilivyo bongo ni kulinda mtaji tu
  10. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuuza bidhaa za kidigital kupitia whatapp

    Wakuu naombeni maoni, biashara niliokua nimeeinza Sina uzoefu nayo vizuri. Hivyo nimeamua kurudi kwenye biashara ambayo nilishawahi kuifanya ila Sasa nataka niifanyie online kupitia whatsapp. Hivyo wakuu naombeni ushuhuda mliowahi kufanya biashara za bidhaa za kidigital mfano movie, mikeka...
  11. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Biashara kariakoo kupangwa upya

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema mkoa unaandaa utaratibu mpya wa kuwapanga na kuwatambua wafanyabiashara katika eneo la Kariakoo kwa kuzingatia ukubwa na aina ya biashara wanazofanya. Alisema hatua hiyo inalenga kuondoa mkanganyiko uliopo katika eneo hilo, ambako...
  12. A

    JamiiForums Tanzania HOJA KMC Complex : Fremu za biashara zimefungwa kwa mwaka mzima licha ya kukamilika; kuna tatizo gani?

    Nimekuwa nikifika katika uwanja wa KMC Complex uliopo Mwenge kuangalia mechi, lakini nimekuwa nikishangazwa na hali ya fremu zinazozunguka uwanja huo. Karibu zote zimefungwa na hazitumiki, hali ambayo nimekuwa nikiiona kwa takribani mwaka mzima. Nilijaribu kufuatilia na kutaka kujua ni nani...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Mtu anayehitaji kufanya biashara yoyote ile vitu gani azingatie?

    Kwa mtu anayehitaji kufanya biashara katika engo yoyote ile vitus gani azingatie
  14. M

    JamiiForums Tanzania KERO Ujenzi wa barabara ya Mombasa kwenda Fumba umekuwa kero kwa Wananchi unasababisha vumbi kubwa

    Mimi ni mdau wa JamiiForums ninayeishi Zanzibar, Mkoa wa Mjini Magharibi, Wilaya ya Magharibi B. Ninaomba kuwasilisha malalamiko yangu kuhusu vumbi linalosababishwa na ujenzi wa barabara ya Mombasa kuelekea Fumba, inayojengwa na kampuni ya IRIS. Mkandarasi amemwaga fusi katika eneo hilo bila...
  15. chibe dayo

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu wa biashara ya almonds anijuze

    Kwema wakuu Kwa mwenye kufahamu upatikanaji wa almonds kwa bei ya jumla anijuze popote mm nafika Msaada tafadhali
  16. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Bodi ya filamu; Wamiliki wa video library wasajili biashara za kabla ya tarehe 30/9

    Bodi ya Filamu Tanzania imewakumbusha wamiliki wa Maktaba za Video (Video Library) nchini kuhakikisha wanasajili biashara zao na kuhuisha leseni zao kwa mujibu wa sheria na kanuni za filamu. Kupitia taarifa rasmi iliyotolewa na bodi hii leo Septmba 12, 2026, Bodi imeeleza kuwa ni kinyume cha...
  17. youngkato

    JamiiForums Tanzania MPYA MAMA CATHERINE: KUTOKA MAMA WA NYUMBANI HADI KUMILIKI BIASHARA YA KUBWA YA ICE CREAM

    Watu wengi wanaota kuwa na biashara yao wenyewe, lakini mara nyingi wanaahirisha kwa sababu wanaamini wanahitaji mtaji mkubwa sana ili kuanza. Mama Catherine naye alianza akiwa mama wa nyumbani, bila kujua kwamba wazo dogo alilokuwa nalo lingeweza kubadilisha maisha yake. Alianza kuuza ice...
  18. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Sisi Wakurya tunasema 'Utajiri wa Heche , ni Biashara zake mbalimbali ikiwemo Madini. LEMA na Genge lako mnajisumbua

    Tunaomjua HECHE, tunasema,Pesa za HECHE ni za Haki na Halali.
  19. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini bado unatafuta ajira wakati tayari una biashara au umejiajiri ?

    Kwanini unatafuta ajira wakati tayari unafanya biashara au umejiajiri? Si mlisema ajira ni utumwa, na kujiajiri ndio uhuru? 🤔 Sasa wewe mhitimu umejiajiri, una biashara yako, boss ni wewe mwenyewe… lakini kila siku uko kwenye magroup ya ajira na JF kwenye jukwaa la ajira ukitafuta nafasi za...
  20. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Biashara mpya Tanganyika: Majeneza used

    Majeneza ya Kukodi (Casket Rental).. Haya ni sawa na kusema ni 'used' Kitu pekee kitu pekee sana na chenye faida kubwa lakini hakipatikani kwa urahisi nchini Tanganyika.. Hiki ni kile kinachojulikana kama Rental Caskets (Majeneza ya Kukodi), ambayo hutumiwa zaidi katika nchi za Magharibi...
Back
Top Bottom