biashara

  1. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania siku ukiwa makaburini usije kamwe kanyanga juu ya kaburi Jingine Why sababu biashara zako zitakufa

    siku ukiwa makaburini usije kamwe kanyanga juu ya kaburi Jingine Why sababu biashara zako zitakufa
  2. Gabb_y

    JamiiForums Tanzania Kwa wafanya biashara au mawinga nahitaji combination hii ya nguo

    Habari wakuu nilikuwa naomba kuulizia wapi ninaweza kupata combination kama hii?
  3. Gabb_y

    JamiiForums Tanzania Kwa wafanya biashara au mawinga nahitaji combination hii ya nguo

    Habari wakuu nilikuwa naomba kuulizia wapi ninaweza kupata combination kama hii?
  4. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Heche kuendelea kuwepo ofisini licha ya kashifa za ubadhirifu wa mali za chama ni maana halisi ya Siasa biashara

    Wanasiasa wa Tanzania (hawa wa upinzani) wameshajijengea dhana ya kuwa watakula ofsini kwahyo hawana mubadala wa kupata Hela nje ya Siasa ndo maana ni vigumu sana kuachia madaraka licha ya kuwa wanakashifa za kula Hela za chama. Heche hakutakiwa kuendelea kuwepo ofsn mpaka muda huu nadhani ni...
  5. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Washiriki maonesho ya 98 ya kilimo na biashara nchini Zambia waendelea kutembelea banda la Tanzania

    Washiriki wa Maonesho ya 98 ya kilimo na Biashara Zambia wameendelea kutembelea banda la Tanzania na kujifunza kuhusu huduma za kibingwa na kibobezi zinazotolewa na Taasisi ya MOI, MZRH pamoja na huduma za Uchukuzi na Usafiri za Mamlaka ya Bandari Tanzania na Shirika la ndege la Tanzania.
  6. youngkato

    JamiiForums Tanzania Kama una biashara ndogo au unapanga kuanza, soma hadithi hii ya Sarah

    Watu wengi huamini kuwa ili ufanikiwe kwenye biashara lazima uwe na mtaji mkubwa. Lakini hadithi ya Sarah inaonyesha kuwa mafanikio huanza pale unapokuwa na maono, nidhamu na uamuzi wa kuanza na kile ulichonacho. Sarah alikuwa akiishi katika mji uliokuwa karibu na eneo la uvuvi. Kila siku...
  7. youngkato

    JamiiForums Tanzania Je, unafikiria kuanzisha biashara ya kukodisha ukumbi? Kabla hujawekeza mamilioni ya fedha, kuna mambo muhimu unapaswa kuyafahamu ili kuongeza nafasi

    Biashara ya kukodisha ukumbi ni moja ya fursa zenye uwezo mkubwa wa kuleta faida endapo itaendeshwa kwa mipango sahihi. Mahitaji ya kumbi kwa ajili ya harusi, semina, mikutano, sherehe za kuzaliwa na matukio mbalimbali yanaendelea kuongezeka. Hata hivyo, mafanikio ya biashara hii yanategemea...
  8. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Polisi wawaokoa Wanawake 48 waliodaiwa kutumikishwa kwenye biashara ya ngono

    Maafisa wa upelelezi wamewaokoa wanawake 48 katika operesheni mbili zilizofanyika Ongata Rongai na Kiserian, Kaunti ya Kajiado, kufuatia taarifa kutoka kwa wananchi kuhusu madai ya unyanyasaji wa kingono na utengenezaji wa maudhui ya ngono kwa biashara. Katika operesheni ya kwanza iliyofanyika...
  9. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Kuweni makini na hizi page za biashara zinazofunga comments. Laki 6 yangu ilikuwa inaondoka!

    Kuna siku Insta niliona Iphone 14 wanauza laki 6. Wanasema duka liko Zanzibar lakini kwenda kwenye comments nikakuta wamefunga Nikasave post alafu nikawafollow nikasema mwisho wa mwezi nitanunua Siku mbele naona mshikaji wangu ananitumia reel ananiuliza hawa jamaa unawajua maana nimeona...
  10. CHASHA FARMING

    JamiiForums Tanzania Kwenye Biashara ya Super Market hasa hizi Kubwa, Fruits, Vegitable na fresh food zingine ndio Cash cow yao

    Super Market huwa sehemu ya vyakula ndio Cash cow yao ya kuendeshea biashara, ndio sehemu wanayo patia pesa za kurun Duka zima. Bidhaa zingine zinazo bakia ni changamoto tu kama ilivyo mtaani. Ndio Maana Super Market kubwa wanajitahidi sana wawe na fresh food muda wote na kwa wingi sana kwa...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Soko halina huruma. Kwa huu mlipuko wa biashara ya Wi-Fi, tunakoelekea internet itaanza kuuzwa sh 200, huku Serikali ikianzisha vibali na kodi mpya

    Kila wiki inayopita kuna nyumba, jengo au fremu mpya inayopandisha antenna ya kusambaza internet. Wengi wameona fursa, wamenunua vifaa, wamevuta fibre na kuanza kuuza vifurushi vya Wi-Fi. Lakini kinachonishtua si ongezeko la watoa huduma, bali kasi ambayo biashara hii inaanza kujiharibia...
  12. Hekima ni Mwalimu

    JamiiForums Tanzania Biashara ya vifungashio / packaging

    Jamani aliye na uzoefu wa hii biashara anipe maarifa zaidi Nina mpango wa kuanza & Inatakiwa niwe na mtaji wa sh ngapi ili nifanye kwa ubora zaidi ? & Profit yake uwa inakuaje kwa anaye hijua jamani please msaada?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi hatuna biashara, bali "TUMEJIAJIRI". Biashara ya kweli huendelea hata mmiliki asipokuwepo.

    Kuna tofauti kubwa kati ya kujiajiri na kumiliki biashara, lakini mara nyingi tunavitumia kana kwamba ni kitu kimoja. Wabongo wengi hatuna biashara bali tumejitengenezea ajira (tumejiajiri). Biashara ya kweli haimtegemei mmiliki kwa kila uamuzi. Ina mfumo wa uendeshaji, watu wenye majukumu...
  14. youngkato

    JamiiForums Tanzania Unatamani kuanza biashara ya viatu lakini hujui pa kuanzia? Huu ndio mwongozo muhimu unaohitaji kabla ya kuwekeza fedha zako

    Biashara ya viatu kwa rejareja ni miongoni mwa biashara zenye soko kubwa kwa sababu viatu ni hitaji la kila siku. Watu hununua viatu kwa ajili ya kazi, shule, michezo, sherehe, safari na matumizi ya kawaida. Hata hivyo, mafanikio hayategemei kuwa na viatu vingi pekee. Unahitaji kuelewa wateja...
  15. youngkato

    JamiiForums Tanzania Kabla hujaanza biashara ya catering, haya ndiyo mambo muhimu unayopaswa kujua

    Biashara ya catering services ni moja ya biashara zenye fursa nzuri, hasa kutokana na kuongezeka kwa sherehe, harusi, mikutano, semina, birthday, mahafali na matukio mbalimbali. Hata hivyo, ili biashara hii ikue na kupata wateja wa kudumu, ni muhimu kuianza kwa mipango mizuri. 1. Tambua Aina ya...
  16. youngkato

    JamiiForums Tanzania Mambo Muhimu ya Kuzingatia Unapoanzisha Biashara ya Miamala ya Simu na Huduma Ndogo za Kibenki

    Biashara ya huduma za miamala ya simu na huduma ndogo za kibenki ni miongoni mwa biashara zinazohitajika kila siku. Watu wanahitaji kutuma na kutoa pesa, kuweka fedha, kulipa bili, kununua vifurushi na kufanya malipo mbalimbali. Hata hivyo, mafanikio ya biashara hii yanahitaji maandalizi mazuri...
  17. youngkato

    JamiiForums Tanzania Mwongozo Kamili wa Kuanzisha Biashara ya Bakery

    Biashara ya bakery ni miongoni mwa biashara zenye soko kubwa kwa sababu bidhaa kama mikate, keki, maandazi, biskuti, doughnuts na vitafunwa vingine vinahitajika kila siku. Hata hivyo, mafanikio yake yanategemea maandalizi mazuri, ubora wa bidhaa na namna unavyowahudumia wateja. 1. Tambua bidhaa...
  18. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Massauni: Wananchi Rufiji Wanufaike na Fursa za Biashara ya Kaboni

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Azimio iliyopo Halmashauri ya Mji Rufiji mkoani Pwani (hawapo pichani) alipokuwa mkoani humo kwenye ziara yaa kikazi, Julai 21,2026. Waziri wa Nchi...
  19. youngkato

    JamiiForums Tanzania Ifahamu biashara ya butcher

    Biashara ya butcher ni moja ya biashara zenye soko la kila siku kwa sababu nyama hutumiwa majumbani, hotelini, migahawani na kwenye sherehe mbalimbali. Hata hivyo, mafanikio yake yanahitaji maandalizi mazuri na usimamizi makini. 1- Chagua eneo lenye watu wengi na linalofikika kwa urahisi. Eneo...
  20. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Amroga aliyeshare naye biashara mpaka kuwa chizi

    Kwema-story ya kweli ambayo imenihusu moja Kwa moja na inaniumiza akili mpaka leo 2026 nikimuona jamaa akiwa chizi, cha ajabu akiniona ananifurahia na kutaka tukae tupige story Moderata-kichwa cha habari kiache hivyo hivyo, tafadhali 2014, miezi ya mwanzoni asubuhi nimeamka Kwa kuchelewa...
Back
Top Bottom