An honorific is a title that conveys esteem, courtesy, or respect for position or rank when used in addressing or referring to a person. Sometimes, the term "honorific" is used in a more specific sense to refer to an honorary academic title. It is also often conflated with systems of honorific speech in linguistics, which are grammatical or morphological ways of encoding the relative social status of speakers. Honorifics can be used as prefixes or suffixes depending on the appropriate occasion and presentation in accordance with style and customs.
Typically, honorifics are used as a style in the grammatical third person, and as a form of address in the second person. Use in the first person, by the honored dignitary, is uncommon or considered very rude and egotistical. Some languages have anti-honorific (despective or humilific) first person forms (expressions such as "your most humble servant" or "this unworthy person") whose effect is to enhance the relative honor accorded to the person addressed.
Wakati wa CCM umepita. Chama hiki kwa sasa ni kama simba mzee aliyechoka, anayepigania siku zake za mwisho.
CCM sasa haina rafiki wa dhati, wote waliopo ni wanafiki na wanasubiri kwa mbali kuona nini kitatokea. CCM kimepoteza legitimacy ya kutawala nchi hii. Kila aliyepo CCM leo yupo kwa...
Chanzo cha kuaminika kimenipa taarifa kuhusu uongozi wa SBS kuchukizwa na kauli za Msemaji Simba Ahmed Ally kwa Mmiliki wa AZAM FC Mzee Jamal baada ya Mzee kudai TFF haiwatendei Haki.
Chanzo kimeniambia Mzee Jamal alitoa malalamiko kwa TFF ila wameshangazwa Ahmed kumkejeli Mzee Jamal ili hali...
Samia Acha uoga mzee huyo hana kosa we ndo una makosa
Mnatuforce kuingia kwenye siasa bila kutaka
Mnatulazimisha , Mpaka kuna watu Uzi fulan Walisema natumia Pesa haramu za samia kutamba nchi za watu! Kwanza Samia hana uwezo wa kunihonga na hako ka abdu kake! Pili nawasihi msikate Tamaa kama...
Ama kwa hakika, mkataa pema pabaya pana muita.
Mzee huyo baada ya kujilimbikizia fedha na mali za kutosha akiwa kuhani wa kanisa, akaisaliti nadhiri yake ya sakaramenti ya upadre na kuachana na kazi ya uinjilishaji na kutimikia kwenye sakaramenti ya ya ndoa, kwa tamaa za mwili.
Akiwa huko...
NIMEJIKUTA NAMKUMBUKA MCHUNGAJI MTIKILA.
Binafsi nimefuatilia sana siasa za kenya kama kama ninavyofuatilia siasa za hapa nchini kwetu Tanzania. Ukweli ni kwamba nchi hizi mbili ni miliki ya jumuiya moja ya Africa mashariki na zina historia ya kiasi fulani ya utawala wa kingereza kama...
Mzee Wa Upato, Anthony Lusekelo amesema:
"Nasema, katika dunia hii ya akina Trump, dunia hii ya akina Putin, dunia hii ya vita na magomvi na mambo mengi mengi. Nakuomba sana, sikiliza watu, usieache kusikiliza watu, lakini usizimishe sauti ya moyo wako.
Sikiliza watu, lakini usizimishe sauti...
Mzee Museni yeye ameamua kuiacha sekta binafsi ijenge uchumi wa Uganda,
Mfano ni huu, Katika bajeti ya Uganda ya mwaka wa fedha 2026/27 yenye thamani ya Shs 84.4 trilioni ($22.8 bilioni), eneo la Ushirikiano wa Sekta ya Umma na Binafsi (PPP) limegusiwa kama nguzo muhimu ya kuchochea mkakati...
Mzuka wana jamvi ?
Babu Trump alijisifu leo Iran itaenda kuwa majivu atapiga vibaya mno lakini ghalfa amePost kuwa amesitisha Hilo.
Sasa Trump watu watamchoka kumuona muimba Taarabu ikumbukwe takribani zaidi ya mara 5 kila akisema Leo Iran inakuwa majivu anasema ameombwa na viongozi wa mataifa...
Mwenye macho haambiwi tazama.
Haya ndiyo mambo makuu ambayo Mzee Nyerere aliiachia Tanzania na yamedumu hata baada ya yeye kuondoka, na kuna hatihati kwamba yataendelea kuwepo kwa muda zaidi hapa nchini. Ukweli mchungu ambao wafuasi wa Mzee Nyerere hawapendi kuukubali ni kwamba mambo haya yana...
This was 2019,
Tariq aliniambia kiuhalisia yote aliyofundishwa na yote aliojifunza mwenyewe haya hitaji uwe na fikra pevu na yenye mantiki ili yakukae utaishia kuyakimbia na malipo yake kutengwa kwa hio itakubidi uwe umejazwa hisia na muziki wa mambo ya kufikirika ndio uendane nayo.
Mzee huyu inabidi apewe wana za kupunguza ukichaa wa uzeeni hayupo sawa kabisa. Yaani hata hajitambui kwa ukweli kwamba mauaji ya mwaka jana amri imetoka kwa boss wake
Mzee Thomas Filipi Silayo (75), mkazi wa Kijiji cha Mbomai Juu, Tarakea wilayani Rombo, amefariki dunia baada ya kushambuliwa kwa mapanga wakati wa kikao cha kifamilia kilichokuwa kikijadili mgogoro wa ardhi kati yake na ndugu zake.
Tukio hilo lilitokea Mei 8, 2026 katika Kijiji cha Wama, Kata...
Kwa watanzania wa sasa hakuna watu wawili wanaheshimika kama Mzee Warioba na Lissu kwa uzalendo wao uliopitiliza kwa taifa.
Cha kusikitisha waliopo madarakani hata awamu za nyuma wanafikiria familia zao kwanza kiasi kwamba hawa uwekezaji tunakosa kwasababu ya rushwa. Dangote mfano katuchoka...
Za siku sana jf? Miaka ya nyuma niliweka hapa bandikoANATAFUTWA: Michael Juma anatafutwa na mwanae. Alikuwa askari magereza, mkazi wa Masasi na Mtwara mjini.Baada ya muda kupita nilitoa na tsh 500,000/ kama zawadi ya atakayefanikisha kumpata bahati mbaya hatumpata kabisa.
Kiufipi huju Mzee...
Ndiyo maana tunasema utekaji, mauaji yote yanafanywa na mamlaka za juu. Kama Warioba anaweza kuwa intimidated kwa kutoa ushauri mwema, je wengine wadogo! si ndiyo maana mauaji ni mengi na vifo vya 29 October, 2025 vitakuwa in terms of millions!
All in all washauri wa mama ndio wanamshauri vibaya
Ukitaka kuona ukubwa wa Mzee Yusuph kasikilize kipande cha wimbo wa times fm(Juma dede) kilichoimbwa na Mzee Yusuph.
Huu wimbo ulikuwa mahsusi kwenye sherehe za times fm hivyo wasanii wa taarabu wale magwiji waliungana kwa pamoja kutoa wimbo wa Juma dede.
Yani Mzee alithibitisha ukubwa wake...
Video: Lizee la hovyo la jamii ya Kisomali Kenya umri wa miaka 46 limekamatwa Kenya kwa kuoa katoto, kuhojiwa linasema dini ya kiislamu inaruhusu hata kuoa katoto ka umri wa miaka tisa.
Majirani walitoa ripoti kwamba walikua wanaskia huyo mtoto akilia usiku, inasemekana mtoto alikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.