mzee

An honorific is a title that conveys esteem, courtesy, or respect for position or rank when used in addressing or referring to a person. Sometimes, the term "honorific" is used in a more specific sense to refer to an honorary academic title. It is also often conflated with systems of honorific speech in linguistics, which are grammatical or morphological ways of encoding the relative social status of speakers. Honorifics can be used as prefixes or suffixes depending on the appropriate occasion and presentation in accordance with style and customs.
Typically, honorifics are used as a style in the grammatical third person, and as a form of address in the second person. Use in the first person, by the honored dignitary, is uncommon or considered very rude and egotistical. Some languages have anti-honorific (despective or humilific) first person forms (expressions such as "your most humble servant" or "this unworthy person") whose effect is to enhance the relative honor accorded to the person addressed.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    JamiiForums Tanzania Mzee aliye data wasira wauaji ni ma boss wako

    Mzee huyu inabidi apewe wana za kupunguza ukichaa wa uzeeni hayupo sawa kabisa. Yaani hata hajitambui kwa ukweli kwamba mauaji ya mwaka jana amri imetoka kwa boss wake
  2. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania IFIKE MUDA MZEE WARIOBA AJIHESHIMU

  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mzee wa miaka 75 auwa kwa mapanga kwenye kikao cha familia

    Mzee Thomas Filipi Silayo (75), mkazi wa Kijiji cha Mbomai Juu, Tarakea wilayani Rombo, amefariki dunia baada ya kushambuliwa kwa mapanga wakati wa kikao cha kifamilia kilichokuwa kikijadili mgogoro wa ardhi kati yake na ndugu zake. Tukio hilo lilitokea Mei 8, 2026 katika Kijiji cha Wama, Kata...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Tumpe Maua yake: Mzee wa Taifa ni Jaji Sinde Warioba

    Kwa watanzania wa sasa hakuna watu wawili wanaheshimika kama Mzee Warioba na Lissu kwa uzalendo wao uliopitiliza kwa taifa. Cha kusikitisha waliopo madarakani hata awamu za nyuma wanafikiria familia zao kwanza kiasi kwamba hawa uwekezaji tunakosa kwasababu ya rushwa. Dangote mfano katuchoka...
  5. Wilson Gamba

    JamiiForums Tanzania Feedback ya :Anatafutwa Mzee Michael JUMA mkazi ya Masasi na Mtwara

    Za siku sana jf? Miaka ya nyuma niliweka hapa bandikoANATAFUTWA: Michael Juma anatafutwa na mwanae. Alikuwa askari magereza, mkazi wa Masasi na Mtwara mjini.Baada ya muda kupita nilitoa na tsh 500,000/ kama zawadi ya atakayefanikisha kumpata bahati mbaya hatumpata kabisa. Kiufipi huju Mzee...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Kama mzee Joseph Sinde Warioba anafanyiwa ushenzi huu wa vitisho, Je sisi kwangu kukavu weka mchuzi lazima tufe sana as it is today!

    Ndiyo maana tunasema utekaji, mauaji yote yanafanywa na mamlaka za juu. Kama Warioba anaweza kuwa intimidated kwa kutoa ushauri mwema, je wengine wadogo! si ndiyo maana mauaji ni mengi na vifo vya 29 October, 2025 vitakuwa in terms of millions! All in all washauri wa mama ndio wanamshauri vibaya
  7. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Chukua nyimbo 10 za Diamond hazitoboi kwa kipande cha dakika 2 cha wimbo wa Juma dede (Times fm) kilichoombwa na Mzee Yusuph

    Ukitaka kuona ukubwa wa Mzee Yusuph kasikilize kipande cha wimbo wa times fm(Juma dede) kilichoimbwa na Mzee Yusuph. Huu wimbo ulikuwa mahsusi kwenye sherehe za times fm hivyo wasanii wa taarabu wale magwiji waliungana kwa pamoja kutoa wimbo wa Juma dede. Yani Mzee alithibitisha ukubwa wake...
  8. MK254

    JamiiForums Tanzania Mzee akamatwa Kenya kwa kuoa mtoto, ajitetea na dini ya Kiislamu, asema ameona hata mtoto wa miaka tisa akiolewa

    Video: Lizee la hovyo la jamii ya Kisomali Kenya umri wa miaka 46 limekamatwa Kenya kwa kuoa katoto, kuhojiwa linasema dini ya kiislamu inaruhusu hata kuoa katoto ka umri wa miaka tisa. Majirani walitoa ripoti kwamba walikua wanaskia huyo mtoto akilia usiku, inasemekana mtoto alikua...
  9. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania FT: Simba 1- 0 JKT Tanzania; ni "Mzee " Chama tena

  10. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Watu hudhania kila mzee ni wa kuomba ushauri na guidance, wengi wao wanaweza kuchefuka na hatua kubwa uliyopiga ambayo wao katika umri huo hawakugusa

    Roho mbaya ikizeeka haikauki. Anaweza tu kukuona umewazidi maendeleo watoto wake haina budi kukuelekeza shimoni.
  11. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Spark aliwahi kutupatia goma classic ambalo litabaki katika historia ya nyimbo bora za BF, aisee, rest in peace mzee.

    https://youtu.be/7eIfsGxlOuo?si=Amx3wcOqUoAKQ6zG
  12. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KSh 200 imeleta majonzi! Mzee (100) akufa kwa stampede, siasa za pesa zawekwa kwa spotlight

    Wasee hii story imechafua timelines mbaya sana Video inayosambaa online inaonyesha fujo na msukumo mkubwa kwa rally ya huko Kisii. Ndani ya hiyo chaos, mzee wa miaka 100, Ombui Orandi, alianguka aka-trampled—akapoteza maisha… all this ikisemekana ilikuwa kwa rush ya pesa kidogo Wakati hii...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Watoto wa marehemu Mzee Gordon Odhiambo Odiero wamlilia RC Albert Chalamila wa DSM

    Apr 10, 2026 Mikocheni, Dar es Salaam, Tanzania WATOTO WA MAREHEMU MZEE GORDON ODHIAMBO ODIERO WAVAMIWA na MABAUNSA - WATIMULIWA NYUMBANI - WAMLILIA RC ALBERT CHALAMILA WA DSM - "BABA WAMEMUUA kwa PRESHA" https://m.youtube.com/watch?v=Ee__oTJQz5w Marehemu mzee Gordon Odhiambo Odiero...
  14. A

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mzee amepigwa na kiharusi kikali, sijui kama atatoboa

    Amepigwa pigo takatifu la Cardiovascular Accident. Ni mpwa na msaidizi wa Julius Kambarage toka miaka ya mwanzo ya nchi hii. Alikiri alichomewa nyumba yake akiwa amejificha nchini. Ambayo ni uongo, hakuwepo nchini na hakupiga kura. Alikuwa na mihadi na Kaguta siku ile kuhusu kumchangia hii...
  15. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Tangu alipofariki kwa kutekwa na watu wasiojulikana Mzee Ali Kibao taifa lina mpasuko mkubwa

    Wasiojulikana? Inakuwaje taifa linakuwa na watu wasiojulikana? Tangu afariki Mzee Kibao kwa kifo ambacho kilishangaza dunia kwa mtu kunyakuliwa kama kuku kwenye basi kisha kupatikana amekufa kinyama taifa letu limegawanyika na kupasuka. Leo hii watu wanashangilia hadharani kwenye majukwaa ya...
  16. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ni sahihi mtoto wa kike kumfumania Mzee wake tena kwa yowee kuita watu washuhudie?

    Kuna tukio nimekutana nalo maeneo fulani eti binti kamfumania Baba yake tena anapiga mayowee watu wajae washuhudie akijua anamkomesha baba yake kumtia aibu kingine eti anapambania ndoa ya Mama yake. Nikajiuliza vipi kimaadili hili jambo limekaa sawa kweli? au tuishi kiutandawazi kuitikia mapokeo?
  17. Mjusi Sharobalo

    JamiiForums Tanzania Huyu mzee atakuwa na miaka mingapi hivi sasa?

    Mwamba hazeeki kabisa!
  18. E

    JamiiForums Tanzania Ukimsikiliza huyu mzee unaona kabisa Nchi za Wenzetu watu wako serious na Masilahi ya Nchi zao

    Kweli anaizungumzia Nchi na kuijali kama familia yake , Afrika tuhubiri kwanza Uzalendo tuko nyuma sana . https://youtube.com/shorts/7bpZjoxy2Lg?is=zPTHUjErKG4H9MSd
  19. Pdidy

    JamiiForums Tanzania UJUMBE WA KIDUME BALTHAZAR KWENDA KWA RAISI WA GUINEA MZEE WA 400

    Mtukufu Rais wa Jamhuri yetu tukufu ya Equatorial Guinea, Kwa heshima na unyenyekevu naiomba serikali yako tukufu kuitazama kwa jicho la huruma kutokana na hali ngumu ninayopitia. Nimekuwa nikishikiliwa na serikali kwa zaidi siku 365, na katika kipindi hiki chote nasikitika kukuambia kuwa...
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ampa Mzee Zahir Zorro Tsh. Milioni 10

    Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) amemtembelea na kumjulia hali Mwanamuziki Mkongwe wa muziki wa dansi Zahir Ally Zorro nyumbani kwake Kigamboni Jijini Dar es salaam kwa lengo la kumpa pole kutokana na changamoto za kiafya anazopitia. Katika ziara...
Back
Top Bottom